50 People Who Are Screwing Up Tanzania

50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mbona kiongozi wao anaowafadhili au ambaye hawachukulii hatua kwa niaba yetu sisi wanyonge hukumtaja? Au ndio nambari wani kuwafanya hawa 49 kutimia hamsini?
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Tuendeleze list

Mbona umemwacha Jakaya Kikwete na Mwinyi ila umemweka Mkapa? Ajabu kweli?
 
Mbona kiongozi wao anaowafadhili au ambaye hawachukulii hatua kwa niaba yetu sisi wanyonge hukumtaja? Au ndio nambari wani kuwafanya hawa 49 kutimia hamsini?

Kilasara kwani hujui kinachoendelea hapa JF? Kuna kampeni ya kumlaumu kila mtu mwingine isipokuwa Kikwete. Title ya heading inaongelea watu ambao wana fanya screwing kwa Tanzania (ing inamaanisha tensi inayoendelea). Sasa jiulize, Mkapa anaendeleaje kuiscrew Tanzania hadi leo hii?
 
Nawaongeza
1. Ali Hassani Mwinyi
2. Dr Mwinyi ( waziri wa ulinzi)
3. John Samwel Malecela
4. Dr Dau wa NSSF
4. Waziri wa fedha wa sasa
 
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Yusuf Manji
  13. Anna Mkapa
  14. Johson Lukaza
  15. Vincent Mrisho
  16. Frederick Sumaye
  17. Omari Mahita
  18. Jeetu Patel
  19. Sir Andy Chande
  20. Amatus Liyumba
  21. Emmanuel Nchimbi
  22. Shailesh Vithlani
  23. Tanil Somaiya
  24. Eric Shigongo
  25. Patrick Rutabanzibwa
  26. Felix Mrema (Arusha)
  27. Laurence Masha
  28. David Mattaka
  29. Kingunge Ngombare Mwiru
  30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  31. Malegesi Advocates
  32. Ringo Advocates
  33. Cleopa David Msuya
  34. Prof. Mkandara (UDSM)
  35. Maria Kejo
  36. Apson Mwang'onda
  37. Dr Edward Hosea - PCCB
  38. Ferdinand Ruhinda
  39. George Lauwo (TRA Customs)
  40. Cpt. John Chiligati
  41. Costa Mahalu
  42. James Sinclair
  43. Pius Msekwa
  44. Alex Massawe
  45. Zakhia Meghji
  46. Joseph Mungai
  47. Abdallah Kigoda
  48. Yusufu Makamba
  49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya

Mimi nijuavyo ALEX MASSAWE ni JAMBAZI wa siku nyingi siyo FISADI
 
Namuunga mkono son of Alaska kwamba watanzania tuwe namba 1 kwenye order kwa sababu sisi watanzania ndo tunaong'ang'ania viongozi wabovu. Kazi kwetu 2010
 
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.

Kati ya hao walioorodheshwa hebu toa jina/majina ya ambaye unaona anachafuliwa bila sababu!
 
Andy Chande who bought his Knighthood from the British Government is the biggest fisadi.
He is the one who behind the mask of 'patriotism'is the king maker in many of the deals in Tanzania and is a FREEMASON as well.
The whole TANZANIA RAILAWAY contract by Indians smacks of corruption and the proof is in the pudding.
He has made a lot of money in shady dealings and is renowned for his corrupting element.
Ironically he does not know Kiswahili and can hardly speak in kiswahili..
these are the people ho ruin our country..................
Go google andy chande and u will come across many things about him.
His son donated 5 miullion pounds to LABOUR PARTY to get a knighthood for andy chande..........WHOM CAN U TRUST IN TANZANIA
 
Nadhani line iwe kama hivi
Number one ni VIJANA wa Tanzania tunakoroma huku tukirisishwa nchi mifupa.

Number two maraisi walioshika nchi most of the walikua na plan ya kuwa maraisi lakini hawana(hawakuna) na vision wapi kuipeleka nchi.

number three individual how to my believe they don't love this country.hao uliowataja hapo juu.
wakubeba lawama ni VIJANA and Maraisi.
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Yusuf Manji
  13. Anna Mkapa
  14. Johson Lukaza
  15. Vincent Mrisho
  16. Frederick Sumaye
  17. Omari Mahita
  18. Jeetu Patel
  19. Sir Andy Chande
  20. Amatus Liyumba
  21. Emmanuel Nchimbi
  22. Shailesh Vithlani
  23. Tanil Somaiya
  24. Eric Shigongo
  25. Patrick Rutabanzibwa
  26. Felix Mrema (Arusha)
  27. Laurence Masha
  28. David Mattaka
  29. Kingunge Ngombare Mwiru
  30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  31. Malegesi Advocates
  32. Ringo Advocates
  33. Cleopa David Msuya
  34. Prof. Mkandara (UDSM)
  35. Maria Kejo
  36. Apson Mwang'onda
  37. Dr Edward Hosea - PCCB
  38. Ferdinand Ruhinda
  39. George Lauwo (TRA Customs)
  40. Cpt. John Chiligati
  41. Costa Mahalu
  42. James Sinclair
  43. Pius Msekwa
  44. Alex Massawe
  45. Zakhia Meghji
  46. Joseph Mungai
  47. Abdallah Kigoda
  48. Yusufu Makamba
  49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.

Hiyo namba 32 hapo juu imewekwa kimakosa au sawa sawa nijuavyo mimi sio Ringo Advocates waliotufisadi ila waliotuhujumu na kutunga mikataba yote ya kifisadi ni Law Associates ya Dr. Tenga waliopitunga mikataba ya IPTL,Richmonds,Dowans and the like na bila kuwasahau IMMMA Advocates ya kina Masha,Mujulizi,Magai na Ishengoma waliotuletea Deep Green Finance.
 
baada ya invisible kuweka kitabu cha "100 people who are screwing up america" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. rostam azziz
  2. edward lowassa
  3. andrew chenge
  4. idris rashid,
  5. nazir karamagi,
  6. gray mgonja,
  7. basil mramba,
  8. daniel yona,
  9. peter noni,
  10. nimrod mkono,
  11. subash patel
  12. yusuf manji
  13. anna mkapa
  14. johson lukaza
  15. vincent mrisho
  16. frederick sumaye
  17. omari mahita
  18. jeetu patel
  19. sir andy chande
  20. amatus liyumba
  21. emmanuel nchimbi
  22. shailesh vithlani
  23. tanil somaiya
  24. eric shigongo
  25. patrick rutabanzibwa
  26. felix mrema (arusha)
  27. laurence masha
  28. david mattaka
  29. kingunge ngombare mwiru
  30. mark manji & sadiki muze (hawa wamepelekea atcl kufikia icu)
  31. malegesi advocates
  32. ringo advocates
  33. cleopa david msuya
  34. prof. Mkandara (udsm)
  35. maria kejo
  36. apson mwang'onda
  37. dr edward hosea - pccb
  38. ferdinand ruhinda
  39. george lauwo (tra customs)
  40. cpt. John chiligati
  41. costa mahalu
  42. james sinclair
  43. pius msekwa
  44. alex massawe
  45. zakhia meghji
  46. joseph mungai
  47. abdallah kigoda
  48. yusufu makamba
  49. chrisant majiyatanga mzindakaya
tuendeleze list

note: marais wote kuanzia mwalimu nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.

50. Reginald mengi
51. Samwel sitta
52. Iddi simba
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Yusuf Manji
  13. Anna Mkapa
  14. Johson Lukaza
  15. Vincent Mrisho
  16. Frederick Sumaye
  17. Omari Mahita
  18. Jeetu Patel
  19. Sir Andy Chande
  20. Amatus Liyumba
  21. Emmanuel Nchimbi
  22. Shailesh Vithlani
  23. Tanil Somaiya
  24. Eric Shigongo
  25. Patrick Rutabanzibwa
  26. Felix Mrema (Arusha)
  27. Laurence Masha
  28. David Mattaka
  29. Kingunge Ngombare Mwiru
  30. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  31. Malegesi Advocates
  32. Ringo Advocates
  33. Cleopa David Msuya
  34. Prof. Mkandara (UDSM)
  35. Maria Kejo
  36. Apson Mwang'onda
  37. Dr Edward Hosea - PCCB
  38. Ferdinand Ruhinda
  39. George Lauwo (TRA Customs)
  40. Cpt. John Chiligati
  41. Costa Mahalu
  42. James Sinclair
  43. Pius Msekwa
  44. Alex Massawe
  45. Zakhia Meghji
  46. Joseph Mungai
  47. Abdallah Kigoda
  48. Yusufu Makamba
  49. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
MIMI NADHANI HAKUNA HAJA YA KUWATAJA WOTE HAMSINI..........HII NI KWA SABABU HAO WOTE JK ANAWEZA KUWACHUKULIA HATUA........... HIVYO MAKOSA YAO YANABEBWA NA JK. Kwa hiyo hii list ingetaja jina moja tu JK
 
Kwenye list hii tujiongeze na sisi wasomi wa Kitanzania ambao kwa kweli tumeshindwa kabisa kusogeza nchi mbele. Kwa mfano wasomi na watanzania wengineo wenye ufahamu wangapi wameanzisha makampuni ya kuzalisha mali na kuajiri watanzania wenzao? Waliopo serikalini ndo hao wanaandika mikataba ya kuifilisi nchi. Waliopo nje hawafikirii kuijenga nchi yao kwa kuleta hayo wanayofahamu huku, hata kwa kuiba, mpaka wahongwe kwa "dual citizenship". Tulio wengi nafikiri bado hatujitambui. Tunahitaji kutambua tuko wapi na tunakwenda wapi. Uzalendo, ushirikiano (sharing), ni mdogo sana. kila mmoja amelenga kuganga njaa yake. Msomi atafikiriaje kuipeleka mbele Tanzania wakati wazo kuu ni kuganga njaa yake?

Kwa hiyo sishangai kuona mnaweka list hii kwa vile ni subset ya Watanzania, kwa maana kwamba Watanzania ndivyo tulivyo. Hivyo nasi tunaoandika humu tukubali kwamba nasi tumo kwenye list hiyo! Wala sisemi hivyo kwa sababu nawatetea waliomo kwenye list!

MtuKwao
 
Nikisema wabaya watanzania hawatumii vizuri nguvu ya kura mtasema chama ndio kimewanyima elimu! basi mi sina comment.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom