Hapanandonga vipi ile changamoto yako imeshapata ufumbuzi
Ukiwa unazindua nitag ninunue kopi moja.Hizo zinaitwa traits, (personal entrepreneurial competences), mimi wakati nasoma entrepreneurship skills development, 1986 tulijifunza 25 kwasasa wamezi finya, (condensed), ziko 9 ama 8, pia zingine nimezingundua kama 3 za ziada
Hitimisho kama huna tabia hata moja ya ujasiriamali huwezi kufanya biashara yoyote, hiyo ya mkataba na mteja ni muhimu sana, (commitment to work contract and a job well done )
Kwasasa namalizia kuandika kitabu fikirishi cha ujasiriamali
Na nimetengeza dhana inayozijumisha hizo tabia inaitwa HARABA tool
Unaweza kuimwaga bila shakaNaomba ufafanuzi kwenye first law kama lianza biashara bila kumwaga damu je naweza kuimwaga kwa sasa ikiwa biashara inaendelea
Kama vyanzo vipi hivo visivyooonekana mkuu?pili uwe na vyanzo vya mapato visivyoonekana
Sawa nitazindua cha kiswahili na cha kimombo kwakifupi kinaelezea jinsi ya kuanzisha na kuenenda katika biashara bila kusahau kukumbusha kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike pia kinaeleza kinaga ubaga kuhusu biashara endelevu, (runing an enduring business), kumbe asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mjasiriamali na asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzunguka, cha ajabu asilimia 20 ina nguvu hata kuua biashara endapo jamii itanyamaza, (itaufyata mkia)Ukiwa unazindua nitag ninunue kopi moja.
Kwanza pole,ila hapo pa kupita dark side sikushauri,kupoteza hela au mtaji ni ishara kwamba fedha yako haina ulinzi wa kiroho,sasa hata ukiua mtu bado utakuwa huja solve tatizo,Hapana
Ngoja niitype hapa
Nimedhurumiwa mzigo wa million 15.. Nimeenda mahakamani nimekosa support adui wangu kanizidi sina utundu wa mahakama
Nataka nipite darkside za kimahakama lakini nafsi inanikanya sijawai kuingia uko ww km mzoefu vip hapa
Damu ya kisasi nitakayoitoa huko haitanihukumu huko mbele?
Hapa naomba association na wewe kama hutojaliiiSEVENTH LAW-the law of association
Wakati tunafundishwa elimu ya ujasiriamali, 1986-1987, walialikwa wafanya biashara ambao walikuwa wamefanikiwa kibiashara karibu na chuo ambao hawakuwahi kupata elimu ya ujasiriamali, walimu walifanya hivyo baada ya sisi wanafunzi kupata somo linalohusu tabia za wajasiriamali waliofanikiwa duniani yaani PEC'S personal entrepreneurial competencesKwanza pole,ila hapo pa kupita dark side sikushauri,kupoteza hela au mtaji ni ishara kwamba fedha yako haina ulinzi wa kiroho,sasa hata ukiua mtu bado utakuwa huja solve tatizo,
Nakushauri ushughulikie kwanza suala la protection.
masharti utakayopewa ni kazi toshaTatu, naweza kupata mafanikio kwenye darkside ikiwa sina biashara, mtaji ama kazi......
Nilimuuliza bi mkubwa nataka nifuge majini hayo.....unaweza ila masharti utakayopewa ni kazi tosha
Unagawa uhai?, mimi nimebobea kwenye elimu ya ujasiriamali, ila wengi ni wavivu wa kusoma maandiko, niliandika humu maswali wadau hawajajibu hadi leo wanapenda short cut, (njia ya mkato)unaweza ila masharti utakayopewa ni kazi tosha
Nilifatilia hapa bongo kwa wale ma broker wa financial securities,nilikuta wawekezaji wakubwa kwenye hizo securities ni wahindi,yaani ni hivi,mhindi anakuwa na kiduka chake cha kuuza urembo lakini ana bilioni 2 kwenye municipal bonds,kila mtu anajua kile kiduka lakini hakuna mtu anajua dark investment zake,that is ma point.Kama vyanzo vipi hivo visivyooonekana mkuu?
Security features ? In entrepreneurship there's no security featuresNilifatilia hapa bongo kwa wale ma broker wa financial securities,nilikuta wawekezaji wakubwa kwenye hizo securities ni wahindi,yaani ni hivi,mhindi anakuwa na kiduka chake cha kuuza urembo lakini ana bilioni 2 kwenye municipal bonds,kila mtu anajua kile kiduka lakini hakuna mtu anajua dark investment zake,that is ma point.
No one size fits allUlipoanza TU na ushirikina,mada Yako imepoteza mantiki
mkuu plz nijib swali kuhusu law namba 1, hiyo damu ya light side naipataje???No one size fits all
Tai ya mtt wa nurseryNo one size fits all
Mzee Fabi alipata wapi hii damu ya mwana wa M-ngu? Au unanishauri vipi kwa mimi kuweza kuipata na kuitumia katika biashara zangu?Unaweza kuimwaga bila shaka
Damu ya mwana wa mng inapatikanaje.Mzee Fabi alipata wapi hii damu ya mwana wa M-ngu? Au unanishauri vipi kwa mimi kuweza kuipata na kuitumia katika biashara zangu?
Pia, kama nikipita dark path. Naweza nikakubaliana nao kuwa kafara zangu ziwe ni viumbe tu kama vile kuku na mbuzi lakini siyo Binadamu? Au badae ni lazima huja kugeuka na kuhitaji damu ya mwanadamu.