7 natural laws of business

7 natural laws of business

Ninalo nikitulia nitalitupia sina kinyongo illi watu waone tofauti,
Nina chapisho jingine linaitwa IPYANA analysis linajadili kwanini biashara zinakufa, na nini kifanyike, hahahaa

we do better than those you think they are doing well,
Appreciations in advance!
 
zilindeni mali zenu kwa kutoa sadaka hii ni secret code matajiri wa wanafanya,niliwahi kufanya kazi kwenye moja ya familia za kitajiri hapa Tz.jamaa wanatoa sana sadaka makampuni yao yana watu wasipungua 10k ,lakini wanaweza watembezea pesa na mazaga kibao kipindi cha mfungo,bado watu baki nje huko.
Sadaka toeni kwa wahitaji sio unapeleka kunua maji kwa wachungaji,December hii peleka kalamu,daftari ,unga charity center kuna malaika kibao pale hawana dhambi na baraka /dua/maombi yao yanafika haraka.

Saidia wazazi wako,kuna ndugu yetu alipatwa na maruhani/mapepo/majini hyo siku tuliambiwa ndugu wote tukutane ili kujua anasaidiwa vipi yle mashetani yakawa yanampa kila mmoja changamoto zake .kila mtu alikili ni kweli anazo hizo shida ingawa hatukuwa tunaambizana Majini yale yalimtaka awe mganga so tukasema ngoja tuone kweli yaliyomo yamo
ikafika kwangu moja ya mambo niliambiwa kuwa mimi sipendi kutoa sadaka kiufupi nina mkono wa birika ,madude yale yakasema mama yako humpi fungu lolote kutoa kwenye kipato chako nikawambia nina ishi nae kwa hyo anapata huduma zote kama watu wangu wengine,ila nikaambiwa lazima nitenge fungu la kwake ili vimeo vyangu vikawe sawa na kweli kipindi hicho nilikua na vimeo kinoa

Pili niliambiwa laima niwe msiri kwenye mambo yangu ,ukweli nilipata kazi part time sehemu ila iliishia kwenye mkataba hata kazi sikuwahi kufanya na yule mwenye ile kazi alikua ananihusudu sana ila sasa hata simu nikimpigia hapokei ,nadhani nilitangaza kwa watu nimepata part time job kwa hyo itaniongeza niboost salary yangu kwa kuwa na kazi 2

Mavitu yake yakaniambia kuna mtu niliambiwa kwa code usichangamane nae ana roho flani hivi ukimshirikisha mambo hutoboi na kweli hyo jamaa nilikuaga nashare mambo mengi ,baadaae kuna mambo yalitokea nikajua kumbe jamaa alikuaga ananichoma kwa maboss kidogo nipoteze tonge

Nadhani kwenye suala la utafutaji kuna vita kubwa sana tena unaweza chukulia rahisi lakini watu wanachoma sana mitaji ,kazini unaanza vizuri na hivi kazi za kibongo ni uchawa na kurogana ,utapiga kazi hata Vitz hununui na kipindi hicho wewe ndio mtu potential watu wanakufunika tu mtu flani wa maneno na kujikosha kwa maboss anapepea tu anabadili mandinga kudadeki
 
zilindeni mali zenu kwa kutoa sadaka hii ni secret code matajiri wa wanafanya,niliwahi kufanya kazi kwenye moja ya familia za kitajiri hapa Tz.jamaa wanatoa sana sadaka makampuni yao yana watu wasipungua 10k ,lakini wanaweza watembezea pesa na mazaga kibao kipindi cha mfungo,bado watu baki nje huko.
Sadaka toeni kwa wahitaji sio unapeleka kunua maji kwa wachungaji,December hii peleka kalamu,daftari ,unga charity center kuna malaika kibao pale hawana dhambi na baraka /dua/maombi yao yanafika haraka.

Saidia wazazi wako,kuna ndugu yetu alipatwa na maruhani/mapepo/majini hyo siku tuliambiwa ndugu wote tukutane ili kujua anasaidiwa vipi yle mashetani yakawa yanampa kila mmoja changamoto zake .kila mtu alikili ni kweli anazo hizo shida ingawa hatukuwa tunaambizana Majini yale yalimtaka awe mganga so tukasema ngoja tuone kweli yaliyomo yamo
ikafika kwangu moja ya mambo niliambiwa kuwa mimi sipendi kutoa sadaka kiufupi nina mkono wa birika ,madude yale yakasema mama yako humpi fungu lolote kutoa kwenye kipato chako nikawambia nina ishi nae kwa hyo anapata huduma zote kama watu wangu wengine,ila nikaambiwa lazima nitenge fungu la kwake ili vimeo vyangu vikawe sawa na kweli kipindi hicho nilikua na vimeo kinoa

Pili niliambiwa laima niwe msiri kwenye mambo yangu ,ukweli nilipata kazi part time sehemu ila iliishia kwenye mkataba hata kazi sikuwahi kufanya na yule mwenye ile kazi alikua ananihusudu sana ila sasa hata simu nikimpigia hapokei ,nadhani nilitangaza kwa watu nimepata part time job kwa hyo itaniongeza niboost salary yangu kwa kuwa na kazi 2

Mavitu yake yakaniambia kuna mtu niliambiwa kwa code usichangamane nae ana roho flani hivi ukimshirikisha mambo hutoboi na kweli hyo jamaa nilikuaga nashare mambo mengi ,baadaae kuna mambo yalitokea nikajua kumbe jamaa alikuaga ananichoma kwa maboss kidogo nipoteze tonge

Nadhani kwenye suala la utafutaji kuna vita kubwa sana tena unaweza chukulia rahisi lakini watu wanachoma sana mitaji ,kazini unaanza vizuri na hivi kazi za kibongo ni uchawa na kurogana ,utapiga kazi hata Vitz hununui na kipindi hicho wewe ndio mtu potential watu wanakufunika tu mtu flani wa maneno na kujikosha kwa maboss anapepea tu anabadili mandinga kudadeki
Nice
 
Unagawa uhai?, mimi nimebobea kwenye elimu ya ujasiriamali, ila wengi ni wavivu wa kusoma maandiko, niliandika humu maswali wadau hawajajibu hadi leo wanapenda short cut, (njia ya mkato)
Please make use of me am aged enough 64, na mimi nimekulapa ila vinono vikikatiza msinihukumu, hahahaa
Hapa jamaa kalenga Zaidi kwenye Utajiri! Kwenye utajiri lazima uwe wa kiroho zaidi.
 
bro ina maana kanuni za biashara zinazofundishwa shule hazina nafasi kabisa? ni mambo ya light side na dark side tu?

dah.

mbona wanasema business can be boiled down to a science
Kuna topic inaitwa Business Secrets kwenye somo la entrepreneurship kwa tuliosoma BUSINESS ADMINISTRATION.

Nakumbuka lecture alisema hawezi zitaja maana ataondoa uhalali wa secrets. Japo alitoa mifano kadhaa kama management strategies nk.

Unadhani kwanini kuna siri kwenye biashara tena mpaka wataaluma wanazitambua?
Na unadhani hizo Siri ni zipi?

Jiongeze😁😁😁
 
Hapo kwenye first Law pale uliposema “ Sisi wa Light side tunatumia damu ya Mwana Mungu ”,,,,hpo una maanisha kwamba ukiomba na kunuia kwa Imani kupitia Damu ya Mwana wa Mungu ktk sehemu yako ya biashara utakuwa tayari umeshapata hiyo access ya kiroho au unahitaji cha zaidi?
Ufafanuzi please Tanzanian Dream.
 
In Summary..
1. Zindua biashara kwa damu/liquid iliyobarikiwa.
2. Toa sadaka moja kwa moja kwa wahitaji, hasa wale wanaochangia maendeleo yako.
3. Tunza na heshimu muda katika kila jambo unalofanya.
4. Tunza siri ya biashara na mafanikio yako.
5. Weka msisitizo na zingatia kitu kimoja unachofanya kwa wakati mmoja mpaka uone matunda yake na sio kurukaruka kibiashara.
6. Kaa mbali na watu wenye mtazamo hasi wa kibiashara na kimaendeleo.
7. Jenga urafiki na watu wenye mlengo wa kufanana na wewe na waliokuzidi kimafanikio.

"SUBJECT TO CORRECTION"
Big Up
 
Hapa una maanisha kwamba UKIOMBA NA KUNUIA KWA IMANI KUPITIA DAMU YA MWANA WA M_NGU UTAKUWA UMEPATA HIYO SPIRITUAL ACCESS AU?
Nahitaji clarification hapa tafadhali Mr. Tanzanian Dream.
Eddy de rose ...uliwahi kushiriki meza ya Bwana?kwasababu kinachofanyika kwy meza ya Bwn kwa sehemu kina reflect application ya damu in business place.
 
Nimewahi kushiriki brother.
Do the same...ila in business place hunywi,unaimwaga...huko nyuma nilisema damu ina kitu kinaitwa prana kinaweza kubeba maneno"spelling"so wakati unaimwaga unatamka exactly unachotaka damu ifanye ie access,protection, customer attraction....etc...I think you get ma point.
 
Back
Top Bottom