70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

Sehemu za starehe sio za kutafuta mwanamke wa maana sio rahisi kumpata asilimia kubwa maruhuni hata umuone ana sura ya malaika akiongea kwa upole kama mtoto wa malaika ni Pepo binti shetani kaa mbali
Dah umenikumbusha, kuna demu nilikutana nae kiwanja, aisee anaongea kiupole lakini bonge la jambazi, shortly nilitaga pita, nikapita nae, now simu haziishi, nimeamua kumblock mazima,

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Umesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.

Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1430][emoji1430][emoji1430]Haki mkuu umenichekesha mnoo mnatuonea bhana
 
Na wengi wao Wanaishi maeneo ya Tabata Segerea, Banana Gongo la Mboto, Kimara Bonyokwa, Mbezi Makabe, Tegeta, Salasala, Mbagala Kipati, Bunju B, Mabwepande, Ubungo Maji, Yombo, Kawe Ukwamani, Mbezi Beach ya kwa Maua hadi ile ya Makonde upande wa kuelekea Baraza la Mitihani, Buza, Msasani mkabala na Uwanja wa Magunia, Mwananyamala,
Buguruni Malapa na Kinondoni Studio.

Sasa ndiyo uwe umepanga kwenda Kumtembelea na Kufanya nae Uzinifu wa Kibaiolojia umkute ana Godoro lake Futi 1 kwa 3 Magoti yako yatasugulika Sakafuni mpaka Ngozi Kubamduka.

Wanaume tujitahidini kuanzia sasa tukitongoza tuwe tunauliza Mazingira ya wanapoishi kwani kuna uwezekano ukaenda huko ukiwa mzima ila ukitoka lazima Magoti yako yatakuwa na Bandage au Umebandika Plasta kwa Kuchubuka Kwake Sakafuni wakati wa Kubaiolojiana nae Kwake ( Ghettoni ) alikopanga.

Najuta.....!!!!!!!!
Poti pole sana kwa yaliyokukuta. Ila ni baada ya kubailojiana naye ndiposa ukagundua kwamba kumbe mko sakafuni!
 
Umesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.

Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
Mkuu yaani nimecheka mpaka Mbavu zangu zinaniuma sasa kwani umesema Ukweli wa 99.9999% juu ya hawa Mademu.
 
Sio dar tu..mademu wengi wakishaitwa warembo basi ni full mashauzii...ndo maana nkishawalala sinaga muda nao tena naweka toleo jingine kama ilivyo cm za infinix
Na ndiyo maana wengine kwa Kuwakomoa zaidi kwa Upuuzi wao tukiwa nao tunaamua kupita nao barabara zote za Lami na Vumbi ili Wakome na Wakasimulie vyema huko Vijiweni Kwao ( Mwao )
 
Poti pole sana kwa yaliyokukuta. Ila ni baada ya kubailojiana naye ndiposa ukagundua kwamba kumbe mko sakafuni!
Kwahiyo ulitaka baada ya kwenda Kwake na kukuta analala Sakafuni na Godoro lake ndiyo nisimbandue? Nyege zangu angezimaliza Mkeo?

Japo nilikereka ila Kumbandua nilimbandua tena Kihasira hasira ( kama Ukraine na Russia Uwanja wa Vita ) kisha nikaondoka zangu na Kumbloku mazima, lakini nikiona nina dalili za Gono au Kaswende nitaondoa Bloku na Kumpa Makavu yake.
 
Back
Top Bottom