Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]chizi hachagui jalalaKwanza mwanaume unakwendaje kufanya mapenzi nyumbani kwa mwanamke, ilhali umlipii kodi?
Acheni ujinga,
mtakuja kupigwa mapanga ya vichwa tuje kuandika R.I.P
Aaaah utakua unaongopa tuuu toa hio Note 20 plus na viatu vyenu vya manyoya nyonya upo zako fishmonger..ukisalimiwa..unanyali watu....🤣🤣🤣🤣Nna ka tecno hapa au na kenyewe na kapo kwenye simu kali?😂😂
[emoji1787]Kingine,
Mtoa mada Hii tabia ya kwenda kwny nyumba za wanawake na kuanza kukagua kagua minor issues Kama size ya godoro n.k mbona halijakaa kiume zaidi[emoji848]
Tafuta bushgirl wako utulie nae kiroho safiMimi huwa naogopa wanawake wanaopendeza sana wanaotumia simu za thamani kubwa nywele za bei mbaya na muonekano wa thamani kwa kudhani siyo hadhi yangu
Inawezekana nakosea na ninakosa starehe za dunia lakin pia inanipa nafasi ya kutengeneza msingi wa maisha yangu maana kuwahudumia wao ni gharama maana wanapenda kushindana na watu mitandaoni
Huwa mnakutana maeneo gani hadi muishie kwenda anakoishi?Na wengi wao Wanaishi maeneo ya Tabata Segerea, Banana Gongo la Mboto, Kimara Bonyokwa, Mbezi Makabe, Tegeta, Salasala, Mbagala Kipati, Bunju B, Mabwepande, Ubungo Maji, Yombo, Kawe Ukwamani, Mbezi Beach ya kwa Maua hadi ile ya Makonde upande wa kuelekea Baraza la Mitihani, Buza, Msasani mkabala na Uwanja wa Magunia, Mwananyamala,
Buguruni Malapa na Kinondoni Studio.
Sasa ndiyo uwe umepanga kwenda Kumtembelea na Kufanya nae Uzinifu wa Kibaiolojia umkute ana Godoro lake Futi 1 kwa 3 Magoti yako yatasugulika Sakafuni mpaka Ngozi Kubamduka.
Wanaume tujitahidini kuanzia sasa tukitongoza tuwe tunauliza Mazingira ya wanapoishi kwani kuna uwezekano ukaenda huko ukiwa mzima ila ukitoka lazima Magoti yako yatakuwa na Bandage au Umebandika Plasta kwa Kuchubuka Kwake Sakafuni wakati wa Kubaiolojiana nae Kwake ( Ghettoni ) alikopanga.
Najuta.....!!!!!!!!
Nisamehe sana Dada yangu Mpendwa nilikuwa Natania tu na sikujua kuwa Wewe kumbe ni Mjane kama ulivyosema. Pole Dada yangu na Samahani mno.Nimeumia sana kwa hilo tusi. Mimi ni mgane.
Nina Mkeka tu hivyo Nitaaibika zaidi.Lakini kwa nini uende kwake? Si wewe umpeleke kwako!?
Wee umeonesha uhalisiaUmesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.
Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
Kwa mtitiriko huu ni wazi yalishakukuta mkuu. Vipi bado upo nako au umekaacha?Umesema kweli ndugu. Na usiombe ukutane nao sehemu za starehe au kwenye ma mall huko. Jinsi wanavyonata unaweza sema wanaishi mbinguni. Ukipanga nao miadi hata siku moja hawakwambii uafuate makwao; ni aidha nyumbani kwa rafiki ama njiani. Na wao hujifanya ni mwiko kupanda daladala au bodaboda wakiwa wanakuja kwako; wanataka wa request UBER.
Ila sasa usiombe ukutane nao kwenye mishe zao binafsi, wanajuaga mpaka kuingilia dirishani kwenye daladala za kugombania.
Kipimo cha mademu design hii, ukiwakaribisha kwako au hata hotel jambo la kwanza wanalofanya ni kupiga picha mfululizo kila angle. Hii huwa ni reference ya kuhalalisha maisha yao fake ya mtandaoni.
Na kama ni kwako umemkaribisha, atagoma kuondoka. Utakaona kamejilaza kwenye sofa kanabadilisha channel za tv, huku kamevaa tshirt yako bila ya chupi. Hakajali ni Jumatatu, siku ya kazi. Kenyewe kanazuga zuga tu ukaache hapo. Utasikia baby ukirudi niletee ice cream, kama vile kanaishi hapo.
Kakiondoka lazima kaache japo chupi, ukitahamaki kamehamishia nguo zake zote kwako na tayari kamehamia hapo.
Kumbe wote ni waarabu wapemba nyie ndo maana mkachukuana. Muoe kabisa hiyo, wewe na mkeka wako yeye na 3x6 yake mbona maisha yamekamilika tayari hapo.Nina Mkeka tu hivyo Nitaaibika zaidi.
Barabara za vumbi na lami[emoji23][emoji38]Na ndiyo maana wengine kwa Kuwakomoa zaidi kwa Upuuzi wao tukiwa nao tunaamua kupita nao barabara zote za Lami na Vumbi ili Wakome na Wakasimulie vyema huko Vijiweni Kwao ( Mwao )
Kasema ana chubuka magotikinakukera nini labda mkuu
Kagonga Pentagon kabisa😅Heee maBig haya!
Anahatarisha marinda yake😅Mwanaume unaenda vipi getoni kwa demu ? Kodi umemlipia wewe?