70% ya Mademu wa Dar wanaopendeza sana, wana Mashauzi na wana Simu Kali wanalala Sakafuni na Magodoro yao Ghetoni

Sehemu za starehe sio za kutafuta mwanamke wa maana sio rahisi kumpata asilimia kubwa maruhuni hata umuone ana sura ya malaika akiongea kwa upole kama mtoto wa malaika ni Pepo binti shetani kaa mbali
Dah umenikumbusha, kuna demu nilikutana nae kiwanja, aisee anaongea kiupole lakini bonge la jambazi, shortly nilitaga pita, nikapita nae, now simu haziishi, nimeamua kumblock mazima,

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1430][emoji1430][emoji1430]Haki mkuu umenichekesha mnoo mnatuonea bhana
 
Poti pole sana kwa yaliyokukuta. Ila ni baada ya kubailojiana naye ndiposa ukagundua kwamba kumbe mko sakafuni!
 
Mkuu yaani nimecheka mpaka Mbavu zangu zinaniuma sasa kwani umesema Ukweli wa 99.9999% juu ya hawa Mademu.
 
Sio dar tu..mademu wengi wakishaitwa warembo basi ni full mashauzii...ndo maana nkishawalala sinaga muda nao tena naweka toleo jingine kama ilivyo cm za infinix
Na ndiyo maana wengine kwa Kuwakomoa zaidi kwa Upuuzi wao tukiwa nao tunaamua kupita nao barabara zote za Lami na Vumbi ili Wakome na Wakasimulie vyema huko Vijiweni Kwao ( Mwao )
 
Poti pole sana kwa yaliyokukuta. Ila ni baada ya kubailojiana naye ndiposa ukagundua kwamba kumbe mko sakafuni!
Kwahiyo ulitaka baada ya kwenda Kwake na kukuta analala Sakafuni na Godoro lake ndiyo nisimbandue? Nyege zangu angezimaliza Mkeo?

Japo nilikereka ila Kumbandua nilimbandua tena Kihasira hasira ( kama Ukraine na Russia Uwanja wa Vita ) kisha nikaondoka zangu na Kumbloku mazima, lakini nikiona nina dalili za Gono au Kaswende nitaondoa Bloku na Kumpa Makavu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…