Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Game ikiisha mtuwekee msimamo wa ligi nzima kwenye uzi huuhuu!
Yanga anakwea kileleni akiwa na points 25 na mechi 13.
Anafuatia Azam points 22 na mechi 12.
Walio chini ya hapo wanacheza ligi yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game ikiisha mtuwekee msimamo wa ligi nzima kwenye uzi huuhuu!
Yanga anakwea kileleni akiwa na points 25.
Anafuatia Azam points 22.
Mnatushikia tu nafasi yetu hapo kileleni, mwisho wa msimu utaona msimamo utakavyokuwa.
Hongereni yanga.
Mnatushikia tu nafasi yetu hapo kileleni, mwisho wa msimu utaona msimamo utakavyokuwa.
FT
Yanga 2 - 0 Mtibwa
Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngasa dk 55 na dk 62.
Kwa matokeo haya Yanga wanarudi kileleni mwa ligi wakijikusanyia alama 25.
Ligi sio kama Mapinduzi Cup