8/02/2015: Yanga vs Mtibwa match preview and live coverage

8/02/2015: Yanga vs Mtibwa match preview and live coverage

Dakika zilizosalia hazimtoshi hata njiwa kumeza punje ya uwele...
 
Yanga anakwea kileleni akiwa na points 25.

Anafuatia Azam points 22.

Mnatushikia tu nafasi yetu hapo kileleni, mwisho wa msimu utaona msimamo utakavyokuwa.
 
FT

Yanga 2 - 0 Mtibwa

Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngasa dk 55 na dk 62.

Kwa matokeo haya Yanga wanarudi kileleni mwa ligi wakijikusanyia alama 25.

Ushindi huu pia ni kisasi cha Yanga kwa Mtibwa baada ya Yanga kupoteza mechi ya duru la kwanza.

Mwisho kila la kheri Yanga na maandalizi ya mechi ya shirikisho ya CAF dhidi ya BDF ya Botswana.
 
Naam Mpira Umeisha Uwanja Wa Taifa, Yanga 2 Mtibwa 0.

Mikia Buuuuuuuuu
 
Mikia lini mkutano mkuu kutathmini mwendo wa sare?
 
Hongereni

10891922_861053907284199_3655956340205244039_n.jpg
 
Hongera Yanga leo naimaliza siku kwa furaha tele!kukaa kileleni ndo desturi yetu.
 
FT

Yanga 2 - 0 Mtibwa

Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngasa dk 55 na dk 62.

Kwa matokeo haya Yanga wanarudi kileleni mwa ligi wakijikusanyia alama 25.

ewe ibilisi Shetani nakuomba endelea kuwashikilia Thimba washuke daraja msimu huu
 
Back
Top Bottom