80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'

Wasalaam wana JF
Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli.

Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada.

Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako wanaofanya ukahaba wa wazi mabarabarani, maofisini, na mitandaoni. Na wapo wengine wanafanya hivyo indirect mpaka kwenye ndoa zao pia. Yaani, exchange ya viungo vya uzazi na pesa. Na sehemu kubwa ni wale wanaopenda slope, yaani kimjini kitonga au udangaji.

Kimsingi, siyo rahisi kuwa na meaningful relationship hapa Tanzania. Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.

Pengine, sisi kwa sisi, kibongo bongo tunaweza kuhimiliana, je ni aibu gani hawa dada zetu wanalipa hili taifa kwa wageni kutoka nje ya nchi? Gold digqģers.

Tunaomba serikali iwe na mkakati wa makusudi, pengine kuanzia shule za msingi kuwapa ujasiri wanawake. Ujasiri wa kujitegemea, kuwafundisha kuona aibu kuomba na kuwa wategemezi. Kuwa mwanamke siyo kuwa handicapped na siyo justification au leseni ya kuwa omba omba. Tusiruhusu kuwa na taifa lililojaa wanawake wadangaji na omba omba.

katika muktadha huu, kama nchi za wenzetu wameweza sisi kwanini tushindwe? Nchi za wenzetu katika mabara ya ulaya na america wanawake omba omba wapo kwa idadi ndogo sana.

Ikumbukwe, hakuna omba omba anaye heshimika, hizo ndizo harsh realitiies of capitalism.

Mwenye akili na aelewe.
Safi labda wewe umechambua vizuri na umewaelewesha
Lakini walivyo matahira bado watajifanya hawakuelewi

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri ni zaidi ya 80%, mi nasema ni 99% ya wanawake wa kibongo wako hivi. Mtu anaamka asubuhi anasubiri atongozwe aanze kumpa majukumu amtongozaye. Mimi mwanamke akianza tu sijuwi nasikia njaa ama nywele zangu sijuwi zikoje namkatia simu na kumblock haraka sana.
 
Kiasilia mwanaume ni mtoaji na. mwanamke ni mpokeaji

Huku unakokuita onbaomba kunakutengeneza kua baba bora mtu ambae anahudumia familia yake asa kama vitu vidogo ulivovitaja kama hivo je, ukiwa na familia kubwa utaweza???

Binafsi naona wanaotoa mada kama hizi ni hawa “young adults” 21-24 au hawa wa 25 na 27

Huez mkuta mkaka kwa his kate 30 au early 40 anaongelea mada kama hizi na ndo maana waga wanawachukulia mademu zenu kwasababu hamjakua bado kiakili

My take; tafuta hela mwenye hela hapigagi makelele hivi na ukitaka for free umba wako 🥱

Yani unilale weee unichakaze ehee afu usepe hivihivi hapana haingiii akili 😅😅😅😅😅
Watu wenye mentality kama yako hawana exposure wako huko vijijini wamekariri maisha na mahitaji yao ni chakula, malazi na mavazi. Hii ni dimension tofauti, tunaangalia familia na wajibu wa wanafamilia katika context kubwa. Siyo ya kuleta vitumbua asubuhi na kuwapikia ubwabwa jioni.
 
Unaemda nunua malaya polis anamuachia anakushika mnunuaji alfu uniambie Kuna kukomesha hapo au nikupoteza mdaa
 
Me mke Wangu Nina mpango nimfungulie genge la kidizaini hivi auze uji vitafunwa na matunda fruit mixer.. nadhani hapo nitamuweza off course wanawake NI wazuri kwenye kutunza hela kuliko sisi...mtaji Kama laki mbili hivi utamtosha halafu namsikilizia nione anaendeleaje je bado ananiomba pesa Huku vyakula na bills nyingine naendelea kulipa Mimi..
Sky Eclat
Ninaunga mkono hoja.
 
Siamini kama hii Sledi imeanzishwa Leo asubuhi na inakimbia page ya 8

inaonekana mabaharia hili swala limetugusa Sana so sad,pole yetu sote

Imagine umemchangamkia msichana pahari na ukamwoneshea ka tabasamu ka kumtamanipo na ukajiongeza kuchukua mamba ya simu
Halooooo at the Beninging ooooh sorry at the Bi ni ngi ngi aaaaa noo at the Beginning of day yule Binti anapata matatizo mfululizo
(in Jacob Zuma voices)

1: Simu yake imeharibika anaomba Hela akatengeneze

2:Kodi yake imeisha baba mwenye nyumba anamsumbua hivyo anaomba msaada wa Ela 😁( Hela acording to their mother tongue)

3:Nywele zake zimefumuka anataka Ela akasuke

4:Kuna send off ya dada wa rafiki yake anahitaji Ela ya mchango maana ataumbukaaa

5:Hajala Toka Jana na Hana Ela ya chakula pulizi help to feed hungry stomach

6...................

My friends mabaharia Mimi nikishaona hivyo namwambia dada samahani naomba nikuache maana Nina mkosi kwako Ile kufahamiana na kupeana Namba TU umepata matatizo mfululizo inaonekana Nina nuksi kwako byeeeeeeee!

NB
Wanaume tutafute Ela narudia Ela, Ela, Ela,
(Hela acording to their mother tongue)

😁😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥
 
Siamini kama hii Sledi imeanzishwa Leo asubuhi na inakimbia page ya 8

inaonekana mabaharia hili swala limetugusa Sana so sad,pole yetu sote

Imagine umemchangamkia msichana pahari na ukamwoneshea ka tabasamu ka kumtamanipo na ukajiongeza kuchukua mamba ya simu
Halooooo at the Beninging ooooh sorry at the Bi ni ngi ngi aaaaa noo at the Beninging of day yule Binti anapata matatizo mfululizo

1: Simu yake imeharibika anaomba Hela akatengeneze

2:Kodi yake imeisha baba mwenye nyumba anamsumbua hivyo anaomba msaada wa Ela 😁( Hela acording to their mother tongue)

3:Nywele zake zimefumuka anataka Ela akasuke

4:Kuna send off ya dada wa rafiki yake anahitaji Ela ya mchango maana ataumbukaaa

5:Hajala Toka Jana na Hana Ela ya chakula pulizi help to feed hungry stomach

6...................

My friends mabaharia Mimi nikishaona hivyo namwambia dada samahani naomba nikuache maana Nina mkosi kwako Ile kufahamiana na kupeana Namba TU umepata matatizo mfululizo inaonekana Nina nuksi kwako byeeeeeeee!

NB
Wanaume tutafute Ela narudia Ela, Ela, Ela,
(Hela acording to their mother tongue)

😁😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥
Nahisi kuna chuo kinafundisha hii kozi ya kuomba omba au wana vipaji tu vyakuzaliwa?
 
Watu wenye mentality kama yako hawana exposure wako huko vijijini wamekariri maisha na mahitaji yao ni chakula, malazi na mavazi. Hii ni dimension tofauti, tunaangalia familia na wajibu wa wanafamilia katika context kubwa. Siyo ya kuleta vitumbua asubuhi na kuwapikia ubwabwa jioni.
Lol ur funny my dear
wanawake unaowaita wa vijijini most ndo wanazibeba familia most ndo huficha kutowajibika kwa bab zetu hawa wapumzishe wapo shamba kwanza 🙏🏽


The kind of love that is truly romantic is that love which is developed during the course of a life together with someone whom you have worked hard with toward the lasting life …..

Also a succesful relationship is a status that two people worked hard at building together na sio kulalana tu so naona weww na mtoa mada ni wale mnao date for funny if so hii mada ni meaningless!!
 
Mi sioni kama nna cha ku add hapa maana umeona the difference mwenyewe like huombi kila siku na ukiombwa unajua kweli leo mwenzangu kakamatika
Umekamatika ndio upige mzinga heavy?.Nature ya mwanamke ni mbinafsi upande wa hela yake na ndio maana ndani ya nyumba mke akiwa na 1milion, mume akiwa na laki tatu, hiyo nyumba jumla ina laki tatu.

Nina mifano mingi, ila huu mmoja wa juzi wa jamaa yangu dereva wa bajaj. Siku hiyo alichelewa kuamka sababu jana yake alifanya kazi nyingi, sasa asubuhi mkewe alienda gengeni. Jamaa kuamka alikuwa anaitafuta simu yake, katafuta wee baadae akawa anatafuta kwa kubahatisha, si akajaribu kuangalia upande wa kabati zinapokaa nguo za mkewe, pekua pekua akaziona milioni moja na laki nne. Jamaa mpaka alichoka, mkewe kurudi gengeni anamuomba mia tano ya Pampas, jamaa akamchana live kuhusu zile milioni 1.4,kumbe baba yao miezi miwili iliyopita aliuza eneo maeneo ya Kibaha baadae akaamua kuwapa watoto wake 1.5m na hapo hela ya matumizi kila kitu anaacha jamaa.

Sasa just imagine una 1.4m ila bado unamuomba 500 ya pampas mume wake ambaye kazi yake kuendesha bajaj tena ya mtoto aliye mzaa.

Mwanamke anaweza akawa ana hela mtoto anaumwa baada kumpeleka hospitalini, anampigia simu mme wake, mme wake anamwambia basi tumia akiba yako nikija nitalipa, bahati mbaya huko alipo enda mambo hayajawa vizuri. Sasa siku karudi mke anakumbushia kuhusu hela ya matibabu ya mtoto, mumewe anamwambia kwa sasa mambo si mazuri, utapewa mineno mixer kununiwa utazani labda mtoto ulizaa ww peke yako.

Bado kuna wale wanafunguliwa biashara na waume zao msingi ukikata mmewe anamuongezea, sasa siku au msimu hela kidogo inakuwa ngumu, mume anamwambia mkewe basi tumia faida yako kununua unga wa mwezi huu, mimi sasa hivi mambo hayapo vizuri,baada muda fulani lazima ataikumbushia hiyo na ataidai na hapo bado msingi ukikata anaomba umuongezee hela.

Dada nyinyi (95%) ni wabinafsi hajalishi mna kazi au hamna.Mimi katika maisha yangu siipigii hesabu hela ya mke wangu sababu ina masimango na maneno mengi.
 
Back
Top Bottom