Tetesi: 90% ya Waandamanaji kutoka Mikoani wamewasili Dar es Salaam, Waliosalia ambao wengi wataingia Jumamosi wameombwa kutokuvaa sare za CHADEMA safarini


Mkae mzungumze nini wakati wamesema wanajiteka wenyewe.

Wameomba iundwe tume ili pande zote zipeleke ushahidi wao.

Mkuu wa nchi anafanya kazi kwa video clips zilizoharibiwa na kutoa hotuba kwa hasira wakati wetu wamepoteza ndugu zao .

Hivi wasipoandamana unajua madhara ya hotuba ile kiusalama wa mtu l
mmoja mmoja mmoja . Zile hotuba hua zinatolewa na madikteta sio kwenye nchi ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba na sheria .

Hajataja kifungu chochote cha sheria .
Eti kifo ni kifo tu.

Yaani anaona madraka yake ni bora kuliko uhai wa watu.
Kwa nini yeye analindwa kama hajali kufa ?
 
hamna kitu kama icho.
 
Niamini, nafasi ya mazungumzo ipo, kila kitu kinawezekana!
 
Unajua Azori Gwanda alitekwa na kuuawa kwa sababu gani ?
Kama hujui pls shut your mouth ..
Kwani alikua mhalifu ?
Kwani aliandamana?
Kwani alikua Chadema?
Kwani alimpinga mkuu wa nchi?
Kwani alikua mchochezi?
Tafakari!!

Kama kifo ni kifo kwa nini waogope kuandamana!!

 
Mstari wako wa mwisho, "kifo ni kifo tu" dah , umeniliza, umeniliza! Namuwaza mjane wa Marehemu, nawaza sana!
 
Mstari wako wa mwisho, "kifo ni kifo tu" dah , umeniliza, umeniliza! Namuwaza mjane wa Marehemu, nawaza sana!

Ilikua ni kauli ya kifedhuli sana .
Hata mnyama mbwa anapenda kuishi .
Uhai hauna spea .

Mtu anayethamini madaraka kuliko uhai wa watu hafai hata kuingia Jehanamu taratibu zaidi ya kutupwa Jehanamu ya Moto .

Uhai ni uhai tu .

tulinde uhai kwa nguvu zote.

Ile hotuba yake itawaua wetu kama 23 sept. haitafanikiwa kuingia barabarani kwa mamilioni ya wapenda haki na uhai wa watu.
Ile hotuba itaingia mpaka kwenye vyombo vya dola . Kila atakayedai haki yake atauawa na kuitwa Chadema , iwe ni polisi ,jeshi, daktari mwalimu TISS , raia wote wataumizwa na hotuba iliyoelekeza kuwatia wetu adabu wasiote mikia.
Yaani katiba haifuatwi tena bali mtu anavyojisikia na aalivyoamka kutoka nyumbani kwake . Hata akiamua kula nyama ya mtu basi mtu atachinkwaa na kupelekewa nyama .
Hakuna maana ya kua kiongozi wa watu kama uhai hauna maana.
 
pls shut your mouth ..
Heshima kitu cha bure, hinijui sikujui naomba tuheshimiane!, huwezi kunitukana shut up your mouth, kwasababu hunijui umri wangu, maneno hayo unaweza kumwambia baba yako wa kukuzaa?, kwa vile hunijui naweza kuwa umri wa baba yako!.
Jifunze kuwa na heshima kwa wote.
P
 
Wajee wajiandae kufanya usafi vizuri na jeshi letu
Asbh tutawagaiq mafagio

Kutakuwa na ambulance kwa watakaochoka usafi
 
Hata wapumbavu maoni yao tunayasoma na sometimes tunayajibu msije wakajiua kwa sonona
Ingekuwa ya wananchi ungeona mtwara mbeya singida kigoma na kwingineko yanafanyika ila kwa kuw ya wanasiasa wengine hawana tu habari kama kuna maandamano
 
Ingekuwa ya wananchi ungeona mtwara mbeya singida kigoma na kwingineko yanafanyika ila kwa kuw ya wanasiasa wengine hawana tu habari kama kuna maandamano
Haya
Endelea kuwaza uwazavyo.
 

Kumbukizi nzuri 🤣🤣🤣
 
Unaamini hizi habari ni za kweli????
 
Naona mnamjaza upepo Samia Suluhu Hassan na polisi wake balaaa...

Si ajabu polisi wakapangana barabarani na kuteka ila basi la abiria, treni na ndege wanaosafiri kuja DSM eti kuzuia maandamano....!

Very weak and stupid Tanzania Police Force, very weak empty, shallow minded president Samia Suluhu Hassan...!

Huyu mama, hakuna namna ya kumsaidia isipokuwa;

#SAMIA MUST GO..!!
 
Wewe mtoto wa kahaba , angekuwa ni baba yako kauawa na kutoboloewa macho baada ya kutekwa au angekuwa ni ndugu yako wa karibu katekwa na keplekwa kusulubiwa huko bila kujulikana alipo na pengine kuawa kabisa maporini huko baada ya kutekwa na kuteswa
Ungeandika huu useng£ wako hapa kama ulivoandika ?
Baba yako bora angepiga nyeto bafuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…