kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Umetumwa nani kuuliza!We umetumwa na Chama kipi kujibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumwa nani kuuliza!We umetumwa na Chama kipi kujibu?
TUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?
USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.
hamna kitu kama icho.Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Ndio mwisho wa akili zako kumbe.samahani.Umetumwa nani kuuliza!
Niamini, nafasi ya mazungumzo ipo, kila kitu kinawezekana!Mkae mzungumze nini wakati wamesema wanajiteka wenyewe.
Wameomba iundwe tume ili pande zote zipeleke ushahidi wao.
Mkuu wa nchi anafanya kazi kwa video clips zilizoharibiwa na kutoa hotuba kwa hasira wakati wetu wamepoteza ndugu zao .
Hivi wasipoandamana unajua madhara ya hotuba ile kiusalama wa mtu l
mmoja mmoja mmoja . Zile hotuba hua zinatolewa na madikteta sio kwenye nchi ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba na sheria .
Hajataja kifungu chochote cha sheria .
Eti kifo ni kifo tu.
Yaani anaona madraka yake ni bora kuliko uhai wa watu.
Kwa nini yeye analindwa kama hajali kufa ?
Mpuuzi usije tena!Ndio mwisho wa akili zako kumbe.samahani.
Ignored
Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.
Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
Mstari wako wa mwisho, "kifo ni kifo tu" dah , umeniliza, umeniliza! Namuwaza mjane wa Marehemu, nawaza sana!Mkae mzungumze nini wakati wamesema wanajiteka wenyewe.
Wameomba iundwe tume ili pande zote zipeleke ushahidi wao.
Mkuu wa nchi anafanya kazi kwa video clips zilizoharibiwa na kutoa hotuba kwa hasira wakati wetu wamepoteza ndugu zao .
Hivi wasipoandamana unajua madhara ya hotuba ile kiusalama wa mtu l
mmoja mmoja mmoja . Zile hotuba hua zinatolewa na madikteta sio kwenye nchi ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba na sheria .
Hajataja kifungu chochote cha sheria .
Eti kifo ni kifo tu.
Yaani anaona madraka yake ni bora kuliko uhai wa watu.
Kwa nini yeye analindwa kama hajali kufa ?
Mstari wako wa mwisho, "kifo ni kifo tu" dah , umeniliza, umeniliza! Namuwaza mjane wa Marehemu, nawaza sana!
Heshima kitu cha bure, hinijui sikujui naomba tuheshimiane!, huwezi kunitukana shut up your mouth, kwasababu hunijui umri wangu, maneno hayo unaweza kumwambia baba yako wa kukuzaa?, kwa vile hunijui naweza kuwa umri wa baba yako!.pls shut your mouth ..
Wajee wajiandae kufanya usafi vizuri na jeshi letuHii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
Jf ni ukumbi wa kuelimishana, tunachojua ni Azory Gwanda alitekwa, kwanza hakuna anayejua sababu za kutekwa kwake wala hakana ajuaye kama aliuwawa!, kama wewe unazijua sababu, please share what you know! Ili na sisi tujue!.Unajua Azori Gwanda alitekwa na kuuawa kwa sababu gani ?
Ingekuwa ya wananchi ungeona mtwara mbeya singida kigoma na kwingineko yanafanyika ila kwa kuw ya wanasiasa wengine hawana tu habari kama kuna maandamanoHata wapumbavu maoni yao tunayasoma na sometimes tunayajibu msije wakajiua kwa sonona
HayaIngekuwa ya wananchi ungeona mtwara mbeya singida kigoma na kwingineko yanafanyika ila kwa kuw ya wanasiasa wengine hawana tu habari kama kuna maandamano
View: https://m.youtube.com/watch?v=WH-3qniTLEk&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D
View: https://m.youtube.com/watch?v=__R1rETaCDA&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D
Nchi ilivyokuwa zama za Jakaya Kikwete, ndio akushauri kuongoza nchi.
Bila ya Magufuli kuwatuliza wapinzani hali ingekuwa mbaya zaidi.
Unaambiwa baki hapo hapo, hiyo kazi sio rahisi na lawama katika maamuzi magumu ayakwepeki. Anadhani anaweza furahisha kila mtu.
View: https://m.youtube.com/watch?v=WH-3qniTLEk&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D
View: https://m.youtube.com/watch?v=__R1rETaCDA&pp=ygU6UG9saXNpIHdhdGFuZGEga3V6dWlhIG1hYW5kYW1hbm8ga2lwaW5kaSBjaGEgdWNoYWd1emkgMjAxNA%3D%3D
Nchi ilivyokuwa zama za Jakaya Kikwete, ndio akushauri kuongoza nchi.
Bila ya Magufuli kuwatuliza wapinzani hali ingekuwa mbaya zaidi.
Unaambiwa baki hapo hapo, hiyo kazi sio rahisi na lawama katika maamuzi magumu ayakwepeki. Anadhani anaweza furahisha kila mtu.
Unaamini hizi habari ni za kweli????Asante kwa taarifa hii, pili nashauri tuache sensesionalism kwenye serious issues kama hii, hayo malundo ya watu kutoka mikoani kuja tuu kushiriki maandamano, is a big news!, kwasababu inaonyesha ama ni Watanzania wamepata emancipation ya kujitambua kudai haki zao no matter what, na wako tayari kugharimia haki hizo hata kama gharama yake ni machozi, jasho na damu, wako tayari kulipia wako tayari kwa lolote!. Hii ni habari njema sana kwa ukombozi wa pili wa taifa letu.
Lakini pia inawezekana hayo makundi yakawa ni kipimo kizuri cha kiwango cha joblessness ya watu wake, ni mtu tuu asiye na shughuli ya kufanya akipewa nauli ya kwenda popote, atakwenda na yuko tayari kwa lolote, ndio ana muds huo kusafiri kuja kuandamana kwenye maandamano haramu, japo the cause is the right causes?, this being the case, this is very dangerous!.
Ushauri wangu wa kwanza, ni Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
Ila kama hao waandamaji ni Gen Z wetu, nawashauri Jeshi letu la Polisi litumie utaratibu huu kusambaratisha maandamano hayo Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
P
Naona mnamjaza upepo Samia Suluhu Hassan na polisi wake balaaa...Hii ndio Taarifa iliyovuja kutoka kwa Waandaaji wa Maandamano hayo ya Amani, Imedaiwa kwamba ilitumika Akili kubwa ya Watu kusafiri mapema ili kuepuka hujuma za Polisi kwenye siku za mwisho mwisho.
Waandamanaji hao wa Maombolezo ya Waliotekwa, Kuuawa (kifo ni kifo tu) na kupotezwa wameombwa kutokubeba silaha zozote, kutokuvaa sare za CHADEMA, wala kutoweka vifaa vya CHADEMA kwenye Mabegi yao , hii ni kwa sababu Maandamano hayo ya Amani ni ya Kitaifa, yatahusisha wananchi wote.
Pia Waandamanaji kutoka Mikoa yote wameelekezwa kutokujadili siasa kwenye Mabasi waliyomo ili kuepuka mitego ya Mamluki.
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- News Alert: - Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Taarifa inaeleza kwamba Malundo ya Waandamaji walianza kuwasili tangu siku ya Maulid.
Mungu Ibariki Nchi yetu.
TUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?
USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.
Wewe mtoto wa kahaba , angekuwa ni baba yako kauawa na kutoboloewa macho baada ya kutekwa au angekuwa ni ndugu yako wa karibu katekwa na keplekwa kusulubiwa huko bila kujulikana alipo na pengine kuawa kabisa maporini huko baada ya kutekwa na kuteswaTUSAIDIE SERIKALI KUWE NA UTULIVU:-
1. Wanadai nini?
2. Wamewaomba mazungumzo hao wanao wadai wakakataliwa?
3. Kwanini tuingie kwenye maandamano wakati tuna mawaziri, wakuu wa mikoa, waziri mkuu na Rais ambaye anaweza kuombwa venue ya mdahalo na mambo yakawekwa sawa?
USHAURI:
Vyama vikae mezani, kuwe na muafaka wa kitaifa, tuendelee kutunza tunu yetu ya amani.