Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hata Waafrika walivunja amani.@Hapo kwenye neno dunia ulipaswa kusema neno wazungu kwa maana wao ndio waliovunja amani kwa kuwafanya waafrika kuwa watumwa kwa maendeleo yao
Machifu wa Kiafrika waliuza Waafrika wenzao kwa wazungu, waliwaonesha wazungu njia, mzungu ilikuwa vigumu sana kuingia Afrika na kufanya mambo yake bila msaada wa Muafrika.
Pia, kama mfumo huo umezifanya nchi fulani zikaendelea mpaka keo zikaanzisha internet, unayofaidika nayo wewe leo, na wewe umefaidika nao huo mfumo.
Ndiyo nauliza, is the pain worth the reward?
If yes, why. If no. Why not?
Hapa tunafanya cost benefit analysis.
Sent from my typewriter using Tapatalk