A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Good reasoning brother
 


Waafrika didn't have a reason kwenda Uarabuni au Ulaya kuchukua watumwa because sie ni wachapakazi wa ukweli, hatukuhitaji watumwa waje kutulimia mashamba yetu tulijitosheleza sie wenyewe. Kingine, mila na desturi zetu zinakataza unyama kama huu.
 
Waafrika didn't have a reason kwenda Uarabuni au Ulaya kuchukua watumwa because sie ni wachapakazi wa ukweli, hatukuhitaji watumwa waje kutulimia mashamba yetu tulijitosheleza sie wenyewe. Kingine, mila na desturi zetu zinakataza unyama kama huu.
Sawa mzee baba nimekuelewa sana. Je, kuna umuhimu wowote wa watu wa bara la Afrika kuendelea kulialia na kulalamikia biashara ya utumwa kama ni janga lililowarudisha nyuma kimaendeleo mpaka sasa?
 
Weak points mkuu ,no offence!

《Caprichar o teu sorriso》
 
Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
Ukijiongeza ukafuatilia historia nje ya hii uliyoaminishwa utagundua waafrika tulishawahi kutengeneza empire hadi hukoo roma ya kale na kiongozi wa mwisho aliitwa "Septimus severus karakala" huyu ndiye kiongozi wa mwisho mweusi wa roma ya kale .
Pia waafrika zamani tulikuwa tunaaminika na dunia kwa ujumla kuwa ni best warriors na ndiyo maana matajiri wa zamani wa ulaya , asia and the rest waliwakodisha waafrika kama walinzi wao fuatilia historia ya wale waafrika wanaoishi india zaidi ya miaka 800 wanajulikana kama "siddi".
Kingine ukifuatilia british royal family utagundua walikuwa na long line ya wafalme weusi waliotangulia mfano (1).prince james III of england (2).king james I of england e.t.c

Japo sijajibu swalu lako directly ila utapata mwanga zaidi ukifuatilia hizo angle chache nilizogusia na ukizidi jiongeza mwenyewe.

《Caprichar o teu sorriso》
 
Upo sahihi kabisa.

Mtu akipitia changamoto nyingi akili yake hupanuka haraka Sana
 
Mwafrika hakuwa na sabab kwenda ulaya! Mazingira yake yalijitosheleza kwa kila mamna! Angeenda ulaya kutafuta nini kinachokosekana afrika?kule ni kugumu!wao ndo walikuwa na kila sababu za kuja huku,kuhusu utofauti na mzungu! Sisi sio tofauti na wale jamaa ila ni mazingira tu!!wale changamoto nyingi ndo zilizowafanya wawe vile! Sisi hatuhitaji kufikiria saana ili tuishi kama wao!! Kosa tunalolifanya sasa ni ku behave kama wao wakati tupo kwetu na maisha yanaanza kuwa magumu bila sababu!! Tumeiga sana tamaduni zao na mwenendo wao wa maisha wakati mazingira yetu hayahitaji hivyo na tunazidi kuwa mambumbumbu kwenye mazingira yetu na wanatucheka tu!!!
 
Rejea historian..mwafrika amekuwa ulaya,Asia,Latin America etc miaka mingi kabla ya kristo. Uingereza, Spain,ufaransa,Russia etc wamethibitisha Hilo..hebu pitia vizuri vyanzo vyako mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…