A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kujiongeza kuliwabeba sana(akili ya ziada) waliyokuwa nayo ndo iliwapa fursa ya kututawala
Mzungu wa kwanza kufika afrika hata alikuwa hajui anaenda wap akatokea na kujikuta yupo kwenye ardhi yenye rutuba,maliasili za kutisha na kila zuri lipo ndipo akarud kuwambia wenzake kuwa kuna sehemu iko hivi
Wakaja kutupima wakaona wanaweza kututawala na kutupora Mali zote
Ukweli ni kwamba tulizubaa kuanzia wanaleta Dini zao tukapokea,wakaleta ustaarabu wao tukaupokea na ndipo hapo tulipofeli mpaka kesho
 
First I'd like to refute the notion that seems to be communicated, that enslaving and demeaning a person makes one to be smart. "Economics without conscience is destruction". I'd like to prove this by setting forth am example of the Moors(africans) who conquered Europe and civilized it from 711AD to 1490's years before the whites came to Africa. Whites came to africa after mid 15thC

When Black Men Ruled the World: 8 Things the Moors Brought to Europe

We flourished with our civilizations and great riches and technology.
Why do you think they hoard African artefacts in their museums?

And we have to admit the fact that the demeaning acts of slavery, colonialism, neo colonialism, rewriting of African history by the whites has so much ingrained in an African inferiority complexes. WE HAVE TO BELIEVE IN OURSELVES. History has great examples speaking to us.
Today an average african worships the whiteman.
I think the most suitable question to ask ourselves is how can we deliver ourselves and shake off the stigma within us that we may thrive as we should.
The stigma out there isn't a factor if you've delivered yourself on the inside
 
Infact uwezekano wa mtu mweusi ulikuwepo but ni kuzidiana tu kwenye UTHUBUTU na KUAMUA (haya yaliwasaidia kwenye nyanja zote ikiwa kwenye technology, Trade, Education etc...) actually mtu akikuzidi akili na awe mwenye kwa vipengele hivyo lazima uwe mtumwa .......that's why we still in up to now .......
 
Huko kutangulia kwa wazungu kujuwa mambo ndio kuliko tufanya tuwe nyuma kwa kuchelewa kwetu.

Huu ni mpango wa Mungu, kaamua kutupunguzia majukumu.

Ndo maana hatuna uvumbuzi wa kitu chochote duniani ,Hata hizi ngoma zikienda ulaya wanaziboresha na zinakuwa nzuri na zenye mvuto mzuri sana..

Mwafrika ni imara kwa kazi ngumu zisizohitajimaarifamakubwa,hata akiwa amesoma,.

Karibuni miaka 60 tangia tuwe huru na zaidi ya miaka 100 tangia muafrika wa kwanza awe na elimu ya PHD au degree sawa na zile za wazungu. Lakini hakuna hata kitu kimoja tulichoweza kuvumbua kikawa UNIQUE kwa Afrika invention.

Ukweli ni kwamba hatuna uwezo wa ki uvumbuzi wala wa kutunza taarifa za research za vitu ambavyo vipo Afrika tuu haviko sehemu nyingine duniani.

Huundio udhaifu na kikomo cha uwezo wetu
 
Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
HUU ndio ukweli,
Ukiwa na akili kuliko wengine utaendelea kuwatawala wajinga,
Ukiwa na akili kuliko wengine,utaendelea kumiliki nguvu za kijeshi na utawala.
Ukiwa na akili kuliko wengine utaendelea kuutawala Uchumi wa dunia na technolojia.
Ukiwa na akili kuliko wengine utaendelea kuwa na nguvu za kijeshi, kisayansi, vifaa tiba,viwanda,uundaji wa mashine,mbali mbali na kuwa na ushawishi wa kisiasa duniani.
 
This truth is bitter indeed
 
Mkuu nimeielewa sawasawa hii post Ila nina maswali mawili kwenye aya ya pili.
1.Hao kina Vasco ga Gama walivijulia wapi vitu visivyoota kwao?

2.Kwanini wafrika hawakwenda nje kutafuta visivyoota kwao? Si kuna mazao mengi tu yaliyoletwa na wazungu Africa kwa mara ya Kwanza?
 
Nakubaliana na majibu yenye mtazamo ulionao, ni kweli shida nyingi huongeza maarifa.Lakini pia huku Afrika kulikuwepo na shida nyingi ambazo majibu yake yalitoka nje la sivyo tusinge adopt chochote kutoka nje.Hata leo Africa kuna changamoto nyingi ambazo utatuzi wake unasubiriwa kutoka taasisi za nje.Je hizi shida zilizotamalaki Africa hadi sasa bado hazitoshi kutufanya tufikiri zaidi.
 
Waafrika didn't have a reason kwenda Uarabuni au Ulaya kuchukua watumwa because sie ni wachapakazi wa ukweli, hatukuhitaji watumwa waje kutulimia mashamba yetu tulijitosheleza sie wenyewe. Kingine, mila na desturi zetu zinakataza unyama kama huu.
Mila zetu ndo zikawatupa mababu zetu na vizazi vyao kwenye utumwa? Bila shaka zilikuwa mila potofu.
 
Wazungu ni dhaifu sana kwenye kazi zinazohitaji misuli na nguvu nyingi,pili tulikosa nyenzo za kusafiri
 
1. Walivijua kwa biashara, watu walibadilishana vitu kijiji kwa kijiji mpaka vitu vikafika mbali. Pia kuna watu wachache kama kina Marco Polo walitembea kufika nchi za mbali.Ukisoma historia ya Ulaya, hususana wakati wa Crusades, utaona Crusades zilivyowafungua macho Europe.

2.Waafrika wana neema, vitu kedekede vinaota kwao.Waingereza wanasema "necessity is the mother of invention". Waafrika hawakuwa na necessity ya kwenda Ulaya kutafuta kisichoota kwao, Waafrika walisambaa sana Afrika kila walipotaka kujitanua, bara la Afrika lina hinterland kubwa, liliwezesha expansion ndani ya Afrika.Bara la Ulaya lina coastline kubwa na hinterland ndogo.Nchi moja tu ya Congo ni sawa na 66% ya Western Europe nzima.

Kwa hiyo, Waafrika walitembea sana, ndani ya Africa.Nchi ilikuwa kubwa ipo. Wazungu nchi ilijaa, ikawabidi waende kutafuta makoloni nje ya Ulaya. Ndiyo maana wakaenda Marekani, Australia na Afrika.
 
Infantry Soldier mdogo wangu hii Africa yetu ni nzuri sana Ila tatizo kuna baadhi ya watu ndio wanatuangusha
 

Swali Fikirishi hili, Ila kwa uelewa wangu Mimi ni kuwa Waafrika walistaarabika kabla ya Wazungu, Wayunani (Wagiriki) walisoma Kemet (Misri ya leo).
Unajua kitu kimoja ambacho kimezikumba jamii zetu nyingi ni kutokuhifadhi kumbukumbu kwa maandishi (jamii chache za Kiafrikazilifanya hayo).
Tuchukulie mfano wa Mansa Abubakri (Kaká yake Mansa Musa) wa Dola ya Mali (Mali Empire), huyu alifanya juhudi za makusudi za kutaka kujua mwisho wa bahari ya Atlantiki, na alikutana na Wahindi wekundu wa kule Amerika (miaka kama 300 hivi kabla ya Christopher Columbus kufika kule), na yeye pia alikiri hilo, zana walizokuwa wakitumia wale Wahindi wekundu zilikuwa sawa na za Mali enzi zile, Kuna kitu kinaitwa OLMEC COLOSSAL HEAD, jaribu pia kufuatilia na hichi kitu.
Pia kasome historia ya Mbanza Kongo (São Salvador wa Angola).

Amma kujibu swala lako, sijui kwa nini hatukuwafanya watumwa n.k ila Waafrika walifika mbali.
 
Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?

Mamalaka yanakuja na kuondoka, Warumi, Warabu, Wachina, Wakemet (Wamisri + Wakush) n.k , wenzetu wameviandika na kutuambia chetu nnya na chao dhahabu nasi bado tunaamini hayo. Kwa Sasa wametupiga bao sana..
 
Mamalaka yanakuja na kuondoka, Warumi, Warabu, Wachina, Wakemet (Wamisri + Wakush) n.k , wenzetu wameviandika na kutuambia chetu nnya na chao dhahabu nasi bado tunaamini hayo. Kwa Sasa wametupiga bao sana..
Sawa kaka mkubwa. Asante sana
 
Sidhani kama waafrika tuna akili tofauti na watu weupe au wazungu. Nachoona ni wenzetu waliwahi kustaarabika na kuendelea kabla yetu na waliweza kugundua vingi kabla yetu hivi hapo ndipo walipotuzidi.

so wao wastaarabu kuliko sisi? so huo ustaarabu walikua nao kabla ya kutufanya watumwa au baada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…