A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Sisi tulikuwa wastaarab kitambo Kabla wazungu kuja na sisi ni were u Sana kuliko WAP ndo mama mila kukicha WAP ni kutuhujumu Ru unadhani ni kwanini?wanatuogopa wakituacha huru tutawazidi kila kitu si ktk science,entertainment,nk sisi tuligundua moto,chuma,nk ata gari alietengeneza blueprint ni mweusi sio huyo ford yeye aligundua tairi tu ila sababu yule black alikuwa ni mwajiriwa basi ikatangazwa sir henry ford ndie mgunduz wa motokaa vitu vingi bro vilianzia africa hata ujenzi wa Majumba makubwa ulianzia kwetu nenda misri kaangalie piramid ndugu
 
Ford hakugundua gari wala hakuwa "Sir". Uwezo wa Ford ilikuwa kugawa kazi kwa hatua ndogo na kila mfanyakazi alipewa hii kazi ndogo tu. Hapa aliweza kutengeneza magari kwa idadi kubwa katika muda mfupi kwa gharama ndogo zaidi.

Wagunduzi wa motokaa walikuwa Wajerumani, Daimler angalia majina ya ijini "Otto" (kawaida yale ya petroli) na "Diesel", wote Wajerumani. Hawakuwa na wafanyakazi kutoka Afrika-

HAlafu matairi - angalia majina ya Dunlop na Michelin. Ujisomee kwanza kidogo kabla ya kutangaza mambo.
 
je kwan mansa Musa kani mbona alikuwa vizur financially mbona hakuwafata wazungu
 
Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
kiteknolojia mwafrika alikuwa vizur ila mzungu ndo akatushusha chink kiteknolojia kwa kufanya uzalishaji mali nchi kwao
 
Kitu kimoja tuu,alituwahi kwa kutengeneza silaha bora kuliko zetu na akazitumia .
 
je kwan mansa Musa kani mbona alikuwa vizur financially mbona hakuwafata wazungu
Mansa Musa alitawala maeneo penye dhahabu iliyopelekwa nje hadi Misri Uarabuni na Ulaya. Kwa muda fulani sehemu kubwa ya dhahabu iliyotumiwa katika sarafu za Ulaya ilitoka kwake (hii inaweza kupimwa hadi leo). Ila hakuanzisha ufundi, elimu kwa watu wengi n.k. jinsi iivyokuwa kwa Waislamu wa Kaskazini na Ulaya. Angalau aliwekeza katika vyuo mbalimbali, lakini vilevile alitumia dhahabu na mapato yake kama mali yake ya binafsi. Hivyo huwezi kujenga uchumi wa kitaifa, utafanana tu na hao maraisi na wafalme wenye mafuta ya petroli nchini kwao (oil sheikhs) lakini wanashindwa kujenga uchumi wa maana (Nigeria, Kuwaitm, Saudia..)
Wakati Mansa Musa aliposafiri Makka alibeba dhahabu kiasi kikubwa na kuimwaga kote akasababisha kushuka kwa thamani ya pesa ya dhahabu katika Mashariki ya Kati na Ulaya kwa miaka kadhaa. Hii ni njia ya kuonyesha wewe ni mtu mkubwa, lakini huwezi kujenga uchumi na maendeleo.
 
Upo vizuri sana katika kufafanua chief@
 
Kiroho ni kuwa tulikwenda kinyume na matarajio ya Mungu kama taifa teule. tulivunja agano la Damu na Mungu wetu. Biblia imeongelea sana utumwa Duniani, na watumwa walio dhalilishwa sana ni waafrica.

Kisiasa kijamii - Utumwa ulianzishwa na waafrika wenyewe kwa wenyewe, utumwa ule ulikuwa wa kiistaraabu, kufikia hata mtumwa kuongoza majeshi ya ugenini kwa uaminifu, kupewa hata mke na kuwa sehemu ya familia au ukoo! mfano nchi ya ETHIOPIA , Madagascar, Mali ilikuwa na watumwa wengi mpaka hapa juzi juzi tu.

Mzungu hasa Portuguese, British, Spanish wakaona fursa ya kukamata mijitu yenye nguvu km waafrica ajili ya mashamba yao makubwa waliyokuwa wameyaanzisha ajili ya biashara.

Jamiii za kihindi na kizungu ndiyo walifanywa watumwa wa awali lkn sasa walikuwa wanakufa kama nzi kwa kukaa kushinda juani tu, na laini mno kufanya kazi za suluba kuliko waafrica. hivo wazungu walianza kuwanunua kidogo kidogo mpaka soko lilipo kuwa kubwa Duniani.

Jamii tajiri za mwanzo za Kiafrica waliwadharau wazungu sababu waliwaona km walemavu wa ngozi albinism, nyoronyoro hawawezi kuhimili vishindo vya vita, nza kazi ngumu waliwatenga kumbe kule kuwatenga wenzao walienda wakajiimarisha, kwa kila hali.

Na wanajua Mwafrica akichomoka hakamatiki, ndo maana wanatudhiti na kutudhoofisha kikanda km Libya, Somalia. Nigeria, Zimbabwe nk ili kutudhoofisha tuendelee kukimbia kimbia ukimbizini tusizalishe mali, Jirani yako akipigana vita vya ndani lazima aje akuibie wewe ili watoto wake wale, uhifadhi wakimbizi mfano Somalia imefanya EAC isifuge ng' ombe, kilimo chenye tija nk,
 

You are making a good point that smartness is not genetic and hence not specifically prevalent on any particular ethnic group. But unfortunately you are not then explaining how the tables were turned and we became the weak ones.

If it's not a smartness issue, what other weakness allowed the foreigners to have an advantage over us?
 
Waafrika hawakua na shida na mtu yeyote walijitosheleza ila wazungu walihitaji malighafi za kulisha viwanda vyao!!! Anyway nashukuru walikuja Africa
 
Umesoma historia ya wana wa Israel (weupe) dhidi ya Farao (mweusi)?
 
Umesoma historia ya wana wa Israel (weupe) dhidi ya Farao (mweusi)?
Life style yao mwanzoni ilikuwa ni kwa nguvu utake usitake au ufe! hata majina ilikuwa ni kwa nguvu! polepole vizazi tukazoea lengo ni ili wapte masoko ya bidhaa zao za viwandani km dawa, mabati, misumari, nguo nk lkn Masai, Mzuru, Khoisan, babaig walikataa mpaka leo.

Kiukweli sisi siyo maskini ila wao wanatuua kisaikolojia ili tujione wanyonge omba omba cha kupewa, bado lengo ni lile lile tununue vya kwao! wanatulinganisha na wao! angalia tuna maeneo makubwa hata tukijenga nyumba za udongo tutaishi tutakula vizuri, wao wanajibana ukiwa kwenye vigorofa km viota vya ndege! tunakula vya leoleo. wao vya kusindika,

wakiacha kutufuatafuata miaka 50 tu bila kutusababishia vita hapa patakuwa zaidi ya ulaya kwa mtazamo na mwelekeo tofauti
Mbona sasa tunaishi lifestyle yao? Mbona wao ni matajiri kuzidi sisi?@
 
Point..
 

Hata wasipotufuata fuata tutapigana tu shida yetu kubwa tuna tamaa sana na roho mbaya tutamalizana wenyewe kwa wenyewe
 
Perfect insight [emoji457].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…