storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,844
Nn kilisababisha historia ikageuka?Mkuu wewe ndio umetoa jibu la kueleweka watu wanawakuza sana wazungu.
Wakumbushe pia General Hannibal yule black wa Numidia, aliitawala mpaka hispania na aliteka mpka Alps kwa kudefeat majeshi ya Roman Empire akitokea ilipo Tunisia ya leo.
Pia anasahau Moors wa Algeria waliwahi chukua watumwa kutoka uturuki na kuwapekeka huko kufanyishwa kazi. Wanawake walichukuliwa for sex slavery!!
Hta wanasahau 25th dynasty ile ya weusi wa Nubia/ sudan ya leo iliotawala misri chini ya kina pharaoh Thutmose ilistretch utawala ma kuchukua watumwa mpka Asia minor.
Mifano ni mingi sana ila watu wanarejea ya historia ya mzungu tunaofundishwa Form 3B!!
Niwakumbushe tu hta hao wazungu wamewahi kuwa koloni kwa Waarabu wa Ottoman empire na Mongolian Empire. Waliwakuta wazungu wengi tu huko eastern europe washamba hta wanajisaidia kokote tu!! Wakawateka kiulaini na kuwatawala. Na kama sio kifo cha Suleiman ama Genghis Khan historia ingekua tofauti sana.
Naomba kuwasilisha
Cc Infantry Soldier
Sent using Jamii Forums mobile app