A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Mkuu wewe ndio umetoa jibu la kueleweka watu wanawakuza sana wazungu.

Wakumbushe pia General Hannibal yule black wa Numidia, aliitawala mpaka hispania na aliteka mpka Alps kwa kudefeat majeshi ya Roman Empire akitokea ilipo Tunisia ya leo.

Pia anasahau Moors wa Algeria waliwahi chukua watumwa kutoka uturuki na kuwapekeka huko kufanyishwa kazi. Wanawake walichukuliwa for sex slavery!!

Hta wanasahau 25th dynasty ile ya weusi wa Nubia/ sudan ya leo iliotawala misri chini ya kina pharaoh Thutmose ilistretch utawala ma kuchukua watumwa mpka Asia minor.

Mifano ni mingi sana ila watu wanarejea ya historia ya mzungu tunaofundishwa Form 3B!!

Niwakumbushe tu hta hao wazungu wamewahi kuwa koloni kwa Waarabu wa Ottoman empire na Mongolian Empire. Waliwakuta wazungu wengi tu huko eastern europe washamba hta wanajisaidia kokote tu!! Wakawateka kiulaini na kuwatawala. Na kama sio kifo cha Suleiman ama Genghis Khan historia ingekua tofauti sana.

Naomba kuwasilisha

Cc Infantry Soldier
Nn kilisababisha historia ikageuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tumfanye mzungu mtumwa wakati hata mpaka leo hatujafikia pale walipokuwa wamefikia wao walipokuja kwetu.
 
This is deep...ujue watu wanahis hii dunia ni ya leo..hii dunia si ya leo.na ni tofaut snaa kama tunavoaminishwa kwwnye vitabu...kiumbe mweus ndio kiumbwe wa kwanza kutawala dunia..yan at a time huko zaman..mweus ndiye alikua kama sasa hiv mweupe...tuliwatawala pia...ila sbabu white ni dominant gene ..ngoz nyeus inaelekea ku extinct kama walivopotea dinnasaur..kama wanavyo potea now vifaru.tembo..hawa ni wanyama ancient..wa zaman zaid....so ndomana ngoz nyeus tii ile asili inapatikana sehem ndogo sana dunian.chin ya jangwa ka sahara..tena ni sehem ndogo..ita reach a point watapotea kabisa.kutakua na ma point 5 tuu nao badae watazaliana na weupe nao watapotea mazima so dunia itakua na whites only...na jua na joto litakua kal snaa sbabu ya uharibifu wa mazingira..weupe sabab wana melanin hafif watakua wanakufa kwa cancer na jua na joto.badae miili yao naturaly itaanza adopt na kutengeneza tena melanin so weus wataanza ibuka tena.ila sabab joto litakua kal snaa viumbe vitakua vinakufa .hakuna mimea inayoota no majiz no hewa,..so dunia itafika mwisho kama zilivyo zile sayar za kwanza zenye joto kali.mars..na maisha yatahamia sayar inayofuata na binadam ambao wamesurvive kwenye dunia na tecnolojia ya juu watahamia the next planet.kama walivokuja dunian..zile pyramids zilikua ni droping points za spaceships.na ndio wanadam walivohamia sayar earth from mars(hii ni conspiracy lakin)

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umeharibu zaidi kwa sababu hapa unamaanisha kuwa waafrika tuko katika hatua za evolution kuelekea kuwa wazungu, kwamba itafika wakati tutatoweka (extinct) kama yalivyopotea yale ma dinosaurs! Hilo sidhani kama ni kweli. Kama ni evolution inaendelea basi ni kwa wote, kwamba hata wazungu, waarabu, wahindi, wachina na waafrika tukijichanganya katika msaragambo wa kuzaana inter-racially itafikia kipindi kuwe na wanadamu wapya wanaotofautiana na races zilizoko leo, kwamba kila race itaathirika na mabadiliko.
Makaburu wa Afrika kusini walipopitisha ile sheria ya apartheid mwaka 1948, mojawapo ya malengo yao yalikuwa kufanya preservation of the white race. Hata Marekani until last century tu walikuwa wamepiga marufuku inter-racial marriages kwa lengo hilohilo.
 
Mkuu wewe ndio umetoa jibu la kueleweka watu wanawakuza sana wazungu.

Wakumbushe pia General Hannibal yule black wa Numidia, aliitawala mpaka hispania na aliteka mpka Alps kwa kudefeat majeshi ya Roman Empire akitokea ilipo Tunisia ya leo.

Pia anasahau Moors wa Algeria waliwahi chukua watumwa kutoka uturuki na kuwapekeka huko kufanyishwa kazi. Wanawake walichukuliwa for sex slavery!!

Hta wanasahau 25th dynasty ile ya weusi wa Nubia/ sudan ya leo iliotawala misri chini ya kina pharaoh Thutmose ilistretch utawala ma kuchukua watumwa mpka Asia minor.

Mifano ni mingi sana ila watu wanarejea ya historia ya mzungu tunaofundishwa Form 3B!!

Niwakumbushe tu hta hao wazungu wamewahi kuwa koloni kwa Waarabu wa Ottoman empire na Mongolian Empire. Waliwakuta wazungu wengi tu huko eastern europe washamba hta wanajisaidia kokote tu!! Wakawateka kiulaini na kuwatawala. Na kama sio kifo cha Suleiman ama Genghis Khan historia ingekua tofauti sana.

Naomba kuwasilisha

Cc Infantry Soldier
hahahahhahahahaa umepiga bom...shukran
ujumbe... waache kujenga hoja kwa history ya shuleni. Si rahis kuumaliza ulimwengu
yamefanyika mengi sana hapa duniani
we were kings and queens never porchy of monkeys

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo munasoma history ya darasani tu na kuona inatosha.
Kwanza kufanya mtu mtumwa haimaanishi ndo unaakili
Tumejenga pyramids kabla hata hatujawatumikisha waisrael kutoka Misri. Inamaana kabla ya kizazi cha yakobo.. waafrika tulishaweza kujenga pyramids of egypt.

Wazungu kukutana na waafrika sio suala la karene ya 15 (hii ni historia mbovu ya darasani)

Utawala wa kwanza Afrika ulikua wa mgiriki kabla ya kuzaliwa yesu... utawala uliofuata ulikua wa italy chini ya Kaisari na cleopatra na mwisho akaja mwarabu baadae baada ya yesu kuzaliwa ambapo tunaona watu kama kina Mansa Musa washaanza kukijenga chuo cha Timbuktu (chuo kikuu cha kwanza duniani) chuo ambacho kilianza kama madrasa kwa jengo moja
hadi majengo matatu makubwa.


Kingine... afrika tulishazunguka dunia nzima kama wazungu hawajaanza kutembea majini... Search Mandingo from mali
Mandingo walifika America kabla ya Christopha Columbas... kabla ya vasco dagama.
Mandingo wamefanya operation kwa kutumia misuli ya wanyama kama nyuzi


Rejea kwenye historia... mji wa kwanza na mtawala wa kwanza duniani anaitwa Nimrod.. nimrod alikua mweusi na ndiye mtawala wa kwanza wa sehem iliyoitwa Babeli... nimrod ni mweusi kwakua baba yake alikua ni Kush.. kush means black


kuna mambo mengi sana
ila waafrica au watu weusi tulishastaarabika..tulikua na akili... tulimiliki dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
Egypt iliyowapokea na kuwatumikisha wayahudi haikuwa ya weusi.
Inventions nyingi zilizofanywa Afrika hazikufanywa na weusi, hata hizi unazosikia geometry na algebra kugunduliwa north Africa, hawakuwa weusi wale! Ni waarabu hawahawa tunaowaona leo wa Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria, na hawa wa Egypt walisonga wakasogea hapo Sudan ambako hawaivi na weusi, unaona hata sasa nchi imegawanywa weusi wakabakia kusini. Ethiopians hawajikubali kama waafrika, actually wako Afrika kijiografia tu lakini hawapendi unasaba na weusi, na hiki ndicho chanzo cha mapinduzi ya Ethiopia yaliyomwondoa Mfalme Haile Selassie, ambapo Col Mengistu Haile Mariam alitoka jamii ya watu weusi waliokuwa wananyanyaswa Ethiopia na ndio waliokuwa wanapewa kazi za ulinzi, akatumia fursa hiyo kumpindua mfalme. Chanzo cha Eritrea kujitenga na Ethiopia ni hichohicho, kila anayejiona mweupe zaidi anajihesabia haki zaidi dhidi ya anayeonekana mweusi zaidi. Wasomali wanapenda kujitambulisha kama wasomali, hawapendi uafrika! Kwahiyo waafrika weusi ndio wanaotengwa, na sifa yoyote nzuri inayozungumzwa kwa jambo lililofanikiwa Afrika siyo ya hawa weusi!
 
Mkuu wewe ndio umetoa jibu la kueleweka watu wanawakuza sana wazungu.

Wakumbushe pia General Hannibal yule black wa Numidia, aliitawala mpaka hispania na aliteka mpka Alps kwa kudefeat majeshi ya Roman Empire akitokea ilipo Tunisia ya leo.

Pia anasahau Moors wa Algeria waliwahi chukua watumwa kutoka uturuki na kuwapekeka huko kufanyishwa kazi. Wanawake walichukuliwa for sex slavery!!

Hta wanasahau 25th dynasty ile ya weusi wa Nubia/ sudan ya leo iliotawala misri chini ya kina pharaoh Thutmose ilistretch utawala ma kuchukua watumwa mpka Asia minor.

Mifano ni mingi sana ila watu wanarejea ya historia ya mzungu tunaofundishwa Form 3B!!

Niwakumbushe tu hta hao wazungu wamewahi kuwa koloni kwa Waarabu wa Ottoman empire na Mongolian Empire. Waliwakuta wazungu wengi tu huko eastern europe washamba hta wanajisaidia kokote tu!! Wakawateka kiulaini na kuwatawala. Na kama sio kifo cha Suleiman ama Genghis Khan historia ingekua tofauti sana.

Naomba kuwasilisha

Cc Infantry Soldier
Hannibal hakuwa mweusi.
Rejea historia hapa: Hannibal - Wikipedia
 
Egypt iliyowapokea na kuwatumikisha wayahudi haikuwa ya weusi.
Inventions nyingi zilizofanywa Afrika hazikufanywa na weusi, hata hizi unazosikia geometry na algebra kugunduliwa north Africa, hawakuwa weusi wale! Ni waarabu hawahawa tunaowaona leo wa Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria, na hawa wa Egypt walisonga wakasogea hapo Sudan ambako hawaivi na weusi, unaona hata sasa nchi imegawanywa weusi wakabakia kusini. Ethiopians hawajikubali kama waafrika, actually wako Afrika kijiografia tu lakini hawapendi unasaba na weusi, na hiki ndicho chanzo cha mapinduzi ya Ethiopia yaliyomwondoa Mfalme Haile Selassie, ambapo Col Mengistu Haile Mariam alitoka jamii ya watu weusi waliokuwa wananyanyaswa Ethiopia na ndio waliokuwa wanapewa kazi za ulinzi, akatumia fursa hiyo kumpindua mfalme. Chanzo cha Eritrea kujitenga na Ethiopia ni hichohicho, kila anayejiona mweupe zaidi anajihesabia haki zaidi dhidi ya anayeonekana mweusi zaidi. Wasomali wanapenda kujitambulisha kama wasomali, hawapendi uafrika! Kwahiyo waafrika weusi ndio wanaotengwa, na sifa yoyote nzuri inayozungumzwa kwa jambo lililofanikiwa Afrika siyo ya hawa weusi!
unajua mwarabu ameingia egypt mwaka gan??.. [emoji4]
unazungumzia historia ya mtu kama haile wa karne ya 20
me nakupa data za misri iliyoongozwa na Black khemets (kushite)... miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa yesu... means huu ni mwaka 2020 toka azaliwe yesu
urudi miaka elfu tatu kabla
ambapo hata nabii mussa alikua hajazaliwa.
Misri ambayo iliishi kwa kuamini miungu kama Amun-ra... osirs.. horus ... Anubis ... sobek

Bro.... [emoji38]

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
 
unajua mwarabu ameingia egypt mwaka gan??.. [emoji4]
unazungumzia historia ya mtu kama haile wa karne ya 20
me nakupa data za misri iliyoongozwa na Black khemets (kushite)... miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa yesu... means huu ni mwaka 2020 toka azaliwe yesu
urudi miaka elfu tatu kabla
ambapo hata nabii mussa alikua hajazaliwa.
Misri ambayo iliishi kwa kuamini miungu kama Amun-ra... osirs.. horus ... Anubis ... sobek

Bro.... [emoji38]

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
nyongeza

kwa nnachozungumza mimi ukimtaja Haile Selasie means urudi nyuma hadi kwenye uzao wake ambao QUEEN OF SHEBA , Alipata mtoto baada ya kutembelea Asia kwa nabii suleiman (king solomon) suleiman ambaye alikua mtoto wa mfalme Daud
hii ndio story ya Afrika nnayoizungumzia hapa... sio story ya Adolf Hitler wa 1940... myth but intelectual

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
 
Egypt iliyowapokea na kuwatumikisha wayahudi haikuwa ya weusi.
Inventions nyingi zilizofanywa Afrika hazikufanywa na weusi, hata hizi unazosikia geometry na algebra kugunduliwa north Africa, hawakuwa weusi wale! Ni waarabu hawahawa tunaowaona leo wa Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria, na hawa wa Egypt walisonga wakasogea hapo Sudan ambako hawaivi na weusi, unaona hata sasa nchi imegawanywa weusi wakabakia kusini. Ethiopians hawajikubali kama waafrika, actually wako Afrika kijiografia tu lakini hawapendi unasaba na weusi, na hiki ndicho chanzo cha mapinduzi ya Ethiopia yaliyomwondoa Mfalme Haile Selassie, ambapo Col Mengistu Haile Mariam alitoka jamii ya watu weusi waliokuwa wananyanyaswa Ethiopia na ndio waliokuwa wanapewa kazi za ulinzi, akatumia fursa hiyo kumpindua mfalme. Chanzo cha Eritrea kujitenga na Ethiopia ni hichohicho, kila anayejiona mweupe zaidi anajihesabia haki zaidi dhidi ya anayeonekana mweusi zaidi. Wasomali wanapenda kujitambulisha kama wasomali, hawapendi uafrika! Kwahiyo waafrika weusi ndio wanaotengwa, na sifa yoyote nzuri inayozungumzwa kwa jambo lililofanikiwa Afrika siyo ya hawa weusi!
siku moja ntakupa chanzo cha Haile Selasie kupinduliwa na jeshi lake ambalo liligawanyika sehem mbili kwasababu ya balaa la njaa...
kwasababu ya kubeba watu weusi jamaica na kuwapa hifadhi ethiopia akiwa kama baba wa imani wa rastafaries..
selasie i

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
 
Hannibal hakuwa mweusi.
Rejea historia hapa: Hannibal - Wikipedia
Source wikipedia? Leta credible evidence mkuu
Haya nmetaja hapo Thutmose 3 naye mweupe? 25th dynasty ilikuwa weupe? Haya Kush Empire iliotawala Ethiopia mpaka Middle East nayo weupe?

Kingine nmekuonyesha hao wazungu walishatawaliwa na race zingine mfano nmetoa Mongolia, Ottoman, Caliphate ya Baghdad n.k

Tukitaka kubalance mjadala mtueleze kwanini mnaanzia historia ya 15th century kuonyesha utumwa ni watu weusi tu
 
Kwanini Mpaka leo CCM haijaondoka madarakani?

Majibu yake ndio hayo hayo
 
1.Technology-mzungu na muafrica walikutana kwa mara ya kwanza mnamo karne ya 15 wakati huo mzungu yupo mbali kidogo katika teknolojia mfano silaha hivyo tusingeweza kuwateka kama tungeenda

2.Umasikini -Mzungu aliweza kufika huku kututeka kutokana na kwamba alikuwa na capital sasa kwa mfano mkwawa angeweza ku finance jeshi lake kwenda Ulaya ?

3.Kutokuwa na Wazo hilo- Mu Africa hakuwa na wazo la kumtawala mzungu kama mtumwa kwa sababu wazungu walimuitaji mtu mweusi kumfanya mtumwa kwenye mashamba ya Miwa nk lakini sisi tuliitajiana kufanyana misukule

4.SABABU ZA KIUTAWALA-Wazungu walikuwa na mfumo mzuri wa kiutawala kwa mfano Uingereza ilikuwa chini ya utawala wa kifalme pamoja na nchi zingine za Ulaya lakini huku kwetu tuliongoz kitemi kila kabila na mtemi wake hivo isingewezekana wote wakubaliane katika kwenda Ulaya na kuteka wazungu
Katika "factors" zote ulizozielezea inaonekana "Muzungu" alikuwa hatua moja mbele kuliko mtu mweusi. Swali bado liko palepale.
Why !??
 
Kwanini watu weusi walishindwa kuwa wa kwanza kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kwanini wazungu/waarabu waliweza kuwa wa kwanza kuwaza kuja kuwazoa babu zetu na kuwafanya bidhaa?
Hawakushindwa. Hawakuona faida. Kinyume Afrika ilikuwa na watawala wengi waliokuwa tayari kuuza watu.

Utumwa ulikwa kwanza uhusiano wa kiuchumi. Chukua mfano miaka 1000 iliyopita. Katika sehemu za Afrika watumwa walikuwa wengi (ni wale waliokamatwa katika vita baina ya Waafrika). Hapakuwa na haja kubwa kuongeza wafanyakazi watumwa.
Kinyume Uchumi katika sehemu za Asia na baadaye pia Ulaya ulikuwa mbele zaidi, walihitaji wafanyakazi na pia askari watumwa (jisomee kuhusu askari watumwa katika nchi za Waislamu). Hivyo mfanyabiashara aliweza kupata faida kupeleka watumwa kutoka Afrika kwenda kaskazini kuliko kinyume.
Miaka 1000 iliyopita watumwa walikuwepo pia Ulaya na Asia. Pia "weupe". Kundi lote la "Slavonic peoples" (mababu wa Warusi, Wapoland, Wabulgaria...) lilipata jina la "slavonic=slaves" kwa sababu Ulaya Mashariki ilikuwa chanzo kikubwa cha watumwa kwa ajili ya nchi za Waislamu.
Ila kati ya watumwa hao wazungu ni wachache tu waliouzwa hadi Afrika; hasa mabinti waliouzwa. Mfano Mama wa Sayyida Salme wa Zanzibar (bofya na soma habari zake) alikuwa mtumwa kutoka Georgia aliyenunuliwa na Sultani wa Zanzibar.

Watumwa kutoka Ulaya wa jumla walibaki upande wa kaskazini wa jangwa Sahara.
Lakini tangu Wazungu wa Ulaya Magharibi kuvamia Amerika (baada ya 1500) walianza kutafuta watumwa kwa mashamba makubwa kule. Maana walishindwa kuwatumia wenyeji wa huko, waliokufa tu kutokana na magonjwa ya Ulaya - Asia. Hivyo walitafuta wafayakazi watumwa.
Chanzo kikuu kilikuwa Afrika penye watumwa tele na watawala waliokuwa tayari kuwauza.
 
unajua mwarabu ameingia egypt mwaka gan??.. [emoji4]
unazungumzia historia ya mtu kama haile wa karne ya 20
me nakupa data za misri iliyoongozwa na Black khemets (kushite)... miaka elfu 3 kabla ya kuzaliwa yesu... means huu ni mwaka 2020 toka azaliwe yesu
urudi miaka elfu tatu kabla
ambapo hata nabii mussa alikua hajazaliwa.
Misri ambayo iliishi kwa kuamini miungu kama Amun-ra... osirs.. horus ... Anubis ... sobek

Bro.... [emoji38]

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
Waafrika weusi chini ya Jangwa la Sahara (Sub-Saharan Africa) ni tofauti kabisa na hao wa Afrika kaskazini ambao bado nasisitiza hawakuwa weusi.
 
siku moja ntakupa chanzo cha Haile Selasie kupinduliwa na jeshi lake ambalo liligawanyika sehem mbili kwasababu ya balaa la njaa...
kwasababu ya kubeba watu weusi jamaica na kuwapa hifadhi ethiopia akiwa kama baba wa imani wa rastafaries..
selasie i

Sent from my SM-J5007 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kuwa makundi yaliyoshiriki kumpindua Haile Selassie ni mengi likiwamo la Mengistu, lakini kilichomuibua Mengistu ni ubaguzi ambao weusi walikuwa wakifanyiwa huko Ethiopia.
 
Najua umenitega
lakini potelea mbali narekebisha kidoogo uoni wako.
Kuna vitu vingine vya kwetu ni kweli ni vibaya ,na havina tija yoyote na vinakwaza maendeleo yetu,hasa kwa vile vinatumika kimakosa.
Wazungu leo duniani wamefungua vyuo vya kujifunzia uchawi ,na wanautumia kwa maslahi kama ya kiuchumi,biashara,kivita na kiupelelezi. Hapa ndipo sisi tulipo miss point. Huku kwetu tunatumia uchawi kuulia watu tusio wapenda,au kuwaadhibu watu innocent na kujijengea jina kwa watu ili wakuogope.
Unaona tofauti ,sio kutambik tuu,bali kuwepo na halisia wa manufaa makubwa.

Sasa ile habari ya Kule Jerusalem na Makka ,hii si mizimu wala matambiko, Yale ni maaeneo aliyoyachagua Mungu mwenyewe ili wale wanaotaka matambiko ya ukweli na uhakika waende pale kwa Mungu na kumsemeza shida zao.

Na kwa vile Mungu ana wivu amewakatezeni kutambika mitaani kwenye vinyamkela,kwani huko kuna shetani,labda uniambie wewe kuwa umefanya shirika naye huyo shetani.Pole sana.

Si kila chetu ni cha kishenzi, kweli wali 'take advantage' lakini kutokana na kulala kwetu na ujinga wetu, hadi leo bado tuko USINGIZINI?
LINI TUTAAMKA NA KUJITAMBUA?
Hee nani kakwambia mungu aliyachagua maeneo yale bro?si kweli wangu wala sidhani Kama mungu ana wivu wao wametupotosha kuamini mungu wao na wala mungu hakuchagua maeneo yale mungu yupo popote na ukimuomba popote anakusikia sio lazima uende huko!km angewachagua wao angewaweka ktk eneo lililo zuri na kila kitu.angalia hali ya hewa ya huko na africa wapi bomba kisha ujijibu mwenyewe wapi ni wapendwa wake cc au wao?tunaishi nao km wenzetu pamoja na mabaya yoote waliotufanyia km sio hekima ni nini wao wangewezaa?sisi sio wajinga kamwe ila hatujui uovu tunafundishwa na wao kilazima so many things to talk about hii mada ila the good thing is waafrica tumeanza kuamka look at u for eg
 
Back
Top Bottom