A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

1.Technology-mzungu na muafrica walikutana kwa mara ya kwanza mnamo karne ya 15 wakati huo mzungu yupo mbali kidogo katika teknolojia mfano silaha hivyo tusingeweza kuwateka kama tungeenda

2.Umasikini -Mzungu aliweza kufika huku kututeka kutokana na kwamba alikuwa na capital sasa kwa mfano mkwawa angeweza ku finance jeshi lake kwenda Ulaya ?

3.Kutokuwa na Wazo hilo- Mu Africa hakuwa na wazo la kumtawala mzungu kama mtumwa kwa sababu wazungu walimuitaji mtu mweusi kumfanya mtumwa kwenye mashamba ya Miwa nk lakini sisi tuliitajiana kufanyana misukule

4.SABABU ZA KIUTAWALA-Wazungu walikuwa na mfumo mzuri wa kiutawala kwa mfano Uingereza ilikuwa chini ya utawala wa kifalme pamoja na nchi zingine za Ulaya lakini huku kwetu tuliongoz kitemi kila kabila na mtemi wake hivo isingewezekana wote wakubaliane katika kwenda Ulaya na kuteka wazungu
Lucas umeongea point nzuri(3) sio kweli kuwa waafrika hatukuwa na watumwa ila sisi tulitumia technolojia ya kuwachukua waafrika wenzetu kuwa misukule kulima usiku tofauti na wazungu wao uchawi walishavuka hiyo hatua wakawa wanaenda live bila chenga wakishirikiana na machifu na waarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
100% true

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kiteknolojia tulikuwa mbali kwanini waliweza kutuvamia? Kwanini tulikosa silaha na mbinu za kupambana nao?
Mkuu kuna njia nyingi za kuvamiwa. Kuna jia ya majeshi na kuna njia za vizazi.

Kabla ya kuchangia hoja inapaswa kwanza ujitathmini mwenye nini unakijua na nini hukijui. Nafikiri ni busara kufanya hivyo.

Ninavyo kuona mimi wewe unauliza swali ambalo jibu lake tayari unalijua ila unataka kunitega mimi. Huwezi niambia mimi kuwa wewe hujui njia tofauti za kuvamia Taifa au culture nyingine.

Nikupe mfano; wakristo walivamia Rom sio kwa mitutu na majeshi bali walitumia ideology. Na hiyo ideology ndiyo iliyo tuangamiza sisi mpaka leo. Paulus au kwa kiswahili Mtakatifu Paulo alipeleka Rom injili ya Yesu, kitu ambacho hakikuwepo Rom wakati ule wa Utawala wa kirumi.

Warumi walimsulubu kifungoni mpaka kufa. Lakini hata hivyo alikwisha kusambaza tentacles zake ambazo zilikuwa zina operate kimya kimya. Baada ya madaraka kushikwa na Emperor Constantine na kushinda vita dhidi ya maadui wake kwa ishara ya msalaba wa Yesu Kristo hapo ndipo wakatholics walianza kuwa free ma kuheshimika. Na hivyo ndivyo waktisto walivyo mamia Rom.

Na hivyo ndivyo waarabu walivyo vamia Misri na sehemu nyingine kwa Kivita, ideology ya dini ya kiislam na kwa njia ya kuzaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna njia nyingi za kuvamiwa. Kuna jia ya majeshi na kuna njia za vizazi.

Kabla ya kuchangia hoja inapaswa kwanza ujitathmini mwenye nini unakijua na nini hukijui. Nafikiri ni busara kufanya hivyo.

Ninavyo kuona mimi wewe unauliza swali ambalo jibu lake tayari unalijua ila unataka kunitega mimi. Huwezi niambia mimi kuwa wewe hujui njia tofauti za kuvamia Taifa au culture nyingine.

Nikupe mfano; wakristo walivamia Rom sio kwa mitutu na majeshi bali walitumia ideology. Na hiyo ideology ndiyo iliyo tuangamiza sisi mpaka leo. Paulus au kwa kiswahili Mtakatifu Paulo alipeleka Rom injili ya Yesu, kitu ambacho hakikuwepo Rom wakati ule wa Utawala wa kirumi.

Warumi walimsulubu kifungoni mpaka kufa. Lakini hata hivyo alikwisha kusambaza tentacles zake ambazo zilikuwa zina operate kimya kimya. Baada ya madaraka kushikwa na Emperor Constantine na kushinda vita dhidi ya maadui wake kwa ishara ya msalaba wa Yesu Kristo hapo ndipo wakatholics walianza kuwa free ma kuheshimika. Na hivyo ndivyo waktisto walivyo mamia Rom.

Na hivyo ndivyo waarabu walivyo vamia Misri na sehemu nyingine kwa Kivita, ideology ya dini ya kiislam na kwa njia ya kuzaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ufafanuzi wako
 
Iko hivi changamoto kwa wenzeti ni fursa lakini kwetu tunatafsiri tumelogwa . Mzingi kapitia mazingira magumu sanaa ndo mpaka leo hii ikifika kipindi cha badidi wengi huwa wanasepa kukimbilia afrika na arabuni hapo Sasa ndo akaamua kujiongeza kwa kutafuta maarifa zaidi .
Sisi bado tumelala mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulungwa, huyu ni Ramses II. Ndiye mfalme aliyekuwa na nguvu kuliko wote wa Misri, probably ndiye yule baharia aliyelisha msosi dunia nzima kwenye njaa kali inayotajwa katika Kitabu cha Mwanzo cha Biblia Takatifu.
Swali dogo, does he look white to you?View attachment 1451443

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, he is obviously white. A white African, if that's what you want to hear.
 
Bila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
Aisee ni point kubwa ever

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
 
Waafrika ni watu wenye utu, hekima na busara. Na kwaajili ya hayo tumepiga hatua kubwa, far more intelligent than pigs and other animals.

Hatukushindwa, kwasababu lukuki

Ardhi tunayo Teknolojia ya Kulima, Kujenga, Kutumia ardhi na pamoja na kurutubisha ardhi tunayo
Rasilimali tunayo madhaabu kede kede l, vyuma ndio usiseme, na vyote hivi tulijua kuvitumia, kwa biashara, dhahabu ilitumka kuoa, tulibadishana cheni hereni, yaani viwalo kweli kweli...viwanda hata kama tulikuwa tunazalisha vipuri vya kivita(ambayo na yo tunajua) mikuki panga mpaka viwanda vya marungu!

Wanawake, au wake wazuri tunawo
wenye hekima, wenye nguvu, wenye halaiki na utu na bila kuuliza...ujuzi wa mapenzi kitandani na mambo lukuki ya maisha.

Hao wazungu au waarabu ni watu makatili, wasioabudu mungu wote kafiir tu, yaani ni watu wa ajabu ajabu. Mtu mwenye akili au unavyodai "highIl intelligent" hawezi awe anaweza kuua, kulghai tena kwa dhambi kubwa ulimwenguni ya kumhusisha muumba!
Na kwasababu ya kulaaniwa kwao ndio kuliwapeleka, kutuvamia, kutaka kuzaa na wanawake wetu ili wawe nao na nguvu, akili, na uzuri usio na kifani!

Walitaka wawe na ujuzi na maarifa ya kuishi hapa mamaanisha civilization kama ya waafrika, kulima, kuwinda, biashara, vita na utabibu n.k

Kukosa utu, ni kukosa akili, kukosa akili kunakufanya uwe katili, kaafir na shetani mkubwa na kwa hayo yaliwapeleka kwa wazungu na waarabu yaani wanyama kama hao, kuleta unyama katika bara la Afrika.
Kuwa na wivu ndio waltaka wawe wanaishi kwenye nyumba kama zetu
zenye uwezo kushindana na dhoruba za duniani...mengi, mambo ni mengi

Mtuache basi lalama za nini kama sio ukorofi na kuleta taharuki?
Ww muafrica atoe wapi hekima embu kuwa makini na unachoandika hapa.

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini watu weusi walishindwa kuwa wa kwanza kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Kwanini wazungu/waarabu waliweza kuwa wa kwanza kuwaza kuja kuwazoa babu zetu na kuwafanya bidhaa?

Waafrika tulikosa nyenzo gani za kutufanya kuwa wa kwanza kwenda Ughaibuni kisha kuwazoa wazungu kuja kufanya kazi za kitumwa katika mashamba yatu?

Je, hii inadhihirisha ya kuwa wazungu/waarabu wana kitu cha ziada kwenye akili/bongo zao (highly intelligent) tangia zama za kale mpaka wakawaza kuja Afrika kwa mara ya kwanza?

HILI SWALI WADAU WENGI WANALIKWEPA
Je, kuna umuhimu wowote wa watu wa bara la Afrika kuendelea kulialia na kulalamikia biashara ya utumwa kama ni janga lililowarudisha nyuma kimaendeleo mpaka sasa?


NINAOMBA KUWASILISHA MADA HII FIKIRISHI. KARIBUNI SANA KWA MICHANGO YENU NDUGU ZANGU

Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher - JamiiForums

KUMBUKA: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TAFADHALI TIMIZA WAJIBU WAKOIPASAVYO.
Nikikosea mtani sahihisha. Ninavyo fahamu hapo mwanzo hao weupe kutoka ulaya hawakua na nia ya kuchukua watumwa kutoka afrika walikua wanachukua watumwa kutoka amerika. Na walituma watu wao kwenda mashariki ya mbali kutafuta viungo, dhahabu nk.

Kutoka ulaya ilibidi waizunguke afrika kwa mashua na walikwenda huku wakiweka vituo baadhi ya maeneo ya pwani za afrika ikiwemo sauzi, msumbiji, tanganyika nk. ndio wakakuta watu wenye nguvu za kuweza kufanya kazi zaidi ya wale watumwa kutoka amerika hivyo wakaendelea na safari yao ya mashariki ya mbali lakini taarifa zili wafikia wakubwa huko ulaya kwamba kuna mahali kuna watumwa wanao tufaa na aridhi yenye mali zakutosha.

Hatukuweza kuwa wakwanza kwenda ulaya kwasababu hatukua na msukumo wa kufanya hivyo ukilinganisha na wao. Maeneo yao nikama vile yalikua hayatoshelezi, pia walikua mbele yetu kiteknolojia....mambo ni mengiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom