Uchaguzi 2020 A coincidence or a highly calculated move? Bernard Membe kupeperusha bendera ya upinzani kwenye uchaguzi

Uchaguzi 2020 A coincidence or a highly calculated move? Bernard Membe kupeperusha bendera ya upinzani kwenye uchaguzi

Membe kiuhalisia hawezi kuwa popular hata kumzidi Zitto. Membe amekosa mvuto kabla hata kampeni hazijaanza jambo ambalo ni hatari kwa afya. Membe kwa nguvu yake hana uhakika wa kupeleka jimbo lolote ACT hata lile la Mtama lenyewe. Hapana Membe tena angekuwa na busara angeacha tu maana hata chama hakitakuwa tayari kuwekeza nguvu kubwa kwake ilihali hana ushawishi ule tunaoutaka. Halafu amepoa sana yani bado ana uccm ndani yake.
 
Msianze haya mambo. Mnasema sema hivi ili mkimuwekea pingamizi ionekane Chadema walipanga wenyewe! Ili baadae hapa uje ufufue uzi wako kuwa ulisema! Lissu ndio mgombea kwa upinzani.. na mjiandae kukabidhi Ikulu kwa Mh TL.
 
Msianze haya mambo. Mnasema sema hivi ili mkimuwekea pingamizi ionekane Chadema walipanga wenyewe! Ili baadae hapa uje ufufue uzi wako kuwa ulisema! Lissu ndio mgombea kwa upinzani.. na mjiandae kukabidhi Ikulu kwa Mh TL.
Kukabidhi Ikulu!? Sio mwaka huu mkuu
 
Chadema wakilikubali hilo watakuwa wamejizika wenyewe na jpm atakwenda kulala
Ikitokea mgombea wa CHADEMA akakwamishwa na technicalities za kisheria kutokana na madai lukuki dhidi yake yawe halali au la CHADEMA watajikuta wanalazimika kutoa support kwa mgombea mwingine mwenye nguvu kutokea upinzani. Hakuna mwinginw zaidi ya Membe
 
Ikitokea mgombea wa CHADEMA akakwamishwa na technicalities za kisheria kutokana na madai lukuki dhidi yake yawe halali au la CHADEMA watajikuta wanalazimika kutoa support kwa mgombea mwingine mwenye nguvu kutokea upinzani. Hakuna mwinginw zaidi ya Membe
Hill halitawezekana, NEC wamegoma of a toka ccm, wameambiwa waongee na wakurugenzi kwenye majumuisho.tunza comment hii.
 
Mtahangaika sana kisa Lissu
Hakuna grand coalition ya wapinzani, hakuna makubaliano rasmi kwa maana ya MOU kwa sababu sheria na kanuni mpya za uchaguzi zimeshawapiga stop kua wamechelewa

Lakini kuna Gentlemens' Agreement miongoni mwa vyama vikuu viwili vikubwa vya upinzani. Haisemwi, haiandikwi, haiwekwi wazi lakini ndio itakavyokua huku ikionekana kama ni sudfa tu (coincidence)

Tundu Lissu kashapitishwa na CHADEMA kuwania Urais kwa tiketi yao, Bernard Membe hatimaye atapitishwa na ACT Wazalendo. Na hapo ndio mchezo unaanza

Kwa vikwazo atakavyowekewa Lissu, viwe vya halali au kinyume chake, hatoboi!!! Vinaonekana ni viunzi vyepesi kisheria lakini wenye maamuzi wakishasema ndio ishatoka hiyo tena! Dhana ya kwamba ni calculated move inajionyesha hata kwenye kauli za hivi karibuni za Bwana Tindu Lissu mwenyewe

Ameanza kutumia lugha za ku provoke mamlaka! Kutamka uwezekano wa kuingiza watu barabarani au hata hilo la ku temper na wimbo wa taifa. Yote hayo ni katika kuwapatia sababu wenye mamlaka ya kuteuwa wagombea wa vyama wafanye maamuzi dhidi yake kisha lawama ziwaangukie wao hali ya kua kiuhalisia upinzani ulishakubaliana Membe ndio mpeperusha bendera. Kimya kimya na ili isionekane kua Chadema wali compromise kwenye hilo. Kwa hali hiyo tutaendelea kusikia kauli tata na kuwachokaza wahusika kutoka kwa Lisu ili asipitishwe kugombea iwe kwa kuwekewa pingamizi au kwa kuadhibiwa na msajili au NEC au hata mahakama

Muda ni muamuzi mzuri, basi na tusubiri kuyaona haya katika kipindi kifupi kijacho. Yetu macho hasa sisi tusio na vyama
 
Ccm wamechanganyikiwa sana safari hii, na kwa taarifa tu ni kuwa jambo lolote watakalo mfanyia mh Lissu, Tanzania itaingia kwenye historia
Tumekusikia. Pengine hili liwe angalizo kwa Mhe. LISSU. Aache sasa kuongea kwa jazba na kutumia maneno makali kwenye maeneo nyeti. Ukimya nao ni busara si unyonge.
 
Hakuna grand coalition ya wapinzani, hakuna makubaliano rasmi kwa maana ya MOU kwa sababu sheria na kanuni mpya za uchaguzi zimeshawapiga stop kua wamechelewa

Lakini kuna Gentlemens' Agreement miongoni mwa vyama vikuu viwili vikubwa vya upinzani. Haisemwi, haiandikwi, haiwekwi wazi lakini ndio itakavyokua huku ikionekana kama ni sudfa tu (coincidence)

Tundu Lissu kashapitishwa na CHADEMA kuwania Urais kwa tiketi yao, Bernard Membe hatimaye atapitishwa na ACT Wazalendo. Na hapo ndio mchezo unaanza

Kwa vikwazo atakavyowekewa Lissu, viwe vya halali au kinyume chake, hatoboi!!! Vinaonekana ni viunzi vyepesi kisheria lakini wenye maamuzi wakishasema ndio ishatoka hiyo tena! Dhana ya kwamba ni calculated move inajionyesha hata kwenye kauli za hivi karibuni za Bwana Tindu Lissu mwenyewe

Ameanza kutumia lugha za ku provoke mamlaka! Kutamka uwezekano wa kuingiza watu barabarani au hata hilo la ku temper na wimbo wa taifa. Yote hayo ni katika kuwapatia sababu wenye mamlaka ya kuteuwa wagombea wa vyama wafanye maamuzi dhidi yake kisha lawama ziwaangukie wao hali ya kua kiuhalisia upinzani ulishakubaliana Membe ndio mpeperusha bendera. Kimya kimya na ili isionekane kua Chadema wali compromise kwenye hilo. Kwa hali hiyo tutaendelea kusikia kauli tata na kuwachokaza wahusika kutoka kwa Lisu ili asipitishwe kugombea iwe kwa kuwekewa pingamizi au kwa kuadhibiwa na msajili au NEC au hata mahakama

Muda ni muamuzi mzuri, basi na tusubiri kuyaona haya katika kipindi kifupi kijacho. Yetu macho hasa sisi tusio na vyama
Kwa yaliyotokea kwa Lowasa ni vigumu mno mtu kutoka CCM kupeperusha bendera ya upinzani katika uchaguzi mkuu.
Kuhusu Lissu huyu ni game changer hataweza kumuangusha JPM lakini ana uwezo wa kuita koleo "Koleo" kitu ambacho JPM hakukizoea katika miaka hii mitano iliyopita.
Bernard Membe hana ujasiri kama wa Lissu na mvuto lakini kama taamua ku support campaign kwa kuwa mwanamkakati inaweza kusaidia.
Kauli za kuudhi ni za wanasiasa wote lakini kwa uoga uliotuingia kwa miaka hii mitano kauli hizi zinatoka kwa wapinzani tu (Ni bahati mbaya sana)
 
Hill halitawezekana, NEC wamegoma of a toka ccm, wameambiwa waongee na wakurugenzi kwenye majumuisho.tunza comment hii.
Nimekusoma mkuu. Naihifadhi comment yako kwa matumizi ya baadae

Nukta muhimu nikikusoma kati ya mistari kwamba NEC wameweza kuwatunishia kifua mabosi wao!!!
 
Hakuna grand coalition ya wapinzani, hakuna makubaliano rasmi kwa maana ya MOU kwa sababu sheria na kanuni mpya za uchaguzi zimeshawapiga stop kua wamechelewa

Lakini kuna Gentlemens' Agreement miongoni mwa vyama vikuu viwili vikubwa vya upinzani. Haisemwi, haiandikwi, haiwekwi wazi lakini ndio itakavyokua huku ikionekana kama ni sudfa tu (coincidence)

Tundu Lissu kashapitishwa na CHADEMA kuwania Urais kwa tiketi yao, Bernard Membe hatimaye atapitishwa na ACT Wazalendo. Na hapo ndio mchezo unaanza

Kwa vikwazo atakavyowekewa Lissu, viwe vya halali au kinyume chake, hatoboi!!! Vinaonekana ni viunzi vyepesi kisheria lakini wenye maamuzi wakishasema ndio ishatoka hiyo tena! Dhana ya kwamba ni calculated move inajionyesha hata kwenye kauli za hivi karibuni za Bwana Tindu Lissu mwenyewe

Ameanza kutumia lugha za ku provoke mamlaka! Kutamka uwezekano wa kuingiza watu barabarani au hata hilo la ku temper na wimbo wa taifa. Yote hayo ni katika kuwapatia sababu wenye mamlaka ya kuteuwa wagombea wa vyama wafanye maamuzi dhidi yake kisha lawama ziwaangukie wao hali ya kua kiuhalisia upinzani ulishakubaliana Membe ndio mpeperusha bendera. Kimya kimya na ili isionekane kua Chadema wali compromise kwenye hilo. Kwa hali hiyo tutaendelea kusikia kauli tata na kuwachokaza wahusika kutoka kwa Lisu ili asipitishwe kugombea iwe kwa kuwekewa pingamizi au kwa kuadhibiwa na msajili au NEC au hata mahakama

Muda ni muamuzi mzuri, basi na tusubiri kuyaona haya katika kipindi kifupi kijacho. Yetu macho hasa sisi tusio na vyama
Wakimuengua TAL tunaenda kugawana ofisi za NEC tunachoma na kushusha kama ilivyoshuka WTC.
 
Hakuna grand coalition ya wapinzani, hakuna makubaliano rasmi kwa maana ya MOU kwa sababu sheria na kanuni mpya za uchaguzi zimeshawapiga stop kua wamechelewa

Lakini kuna Gentlemens' Agreement miongoni mwa vyama vikuu viwili vikubwa vya upinzani. Haisemwi, haiandikwi, haiwekwi wazi lakini ndio itakavyokua huku ikionekana kama ni sudfa tu (coincidence)

Tundu Lissu kashapitishwa na CHADEMA kuwania Urais kwa tiketi yao, Bernard Membe hatimaye atapitishwa na ACT Wazalendo. Na hapo ndio mchezo unaanza

Kwa vikwazo atakavyowekewa Lissu, viwe vya halali au kinyume chake, hatoboi!!! Vinaonekana ni viunzi vyepesi kisheria lakini wenye maamuzi wakishasema ndio ishatoka hiyo tena! Dhana ya kwamba ni calculated move inajionyesha hata kwenye kauli za hivi karibuni za Bwana Tindu Lissu mwenyewe

Ameanza kutumia lugha za ku provoke mamlaka! Kutamka uwezekano wa kuingiza watu barabarani au hata hilo la ku temper na wimbo wa taifa. Yote hayo ni katika kuwapatia sababu wenye mamlaka ya kuteuwa wagombea wa vyama wafanye maamuzi dhidi yake kisha lawama ziwaangukie wao hali ya kua kiuhalisia upinzani ulishakubaliana Membe ndio mpeperusha bendera. Kimya kimya na ili isionekane kua Chadema wali compromise kwenye hilo. Kwa hali hiyo tutaendelea kusikia kauli tata na kuwachokaza wahusika kutoka kwa Lisu ili asipitishwe kugombea iwe kwa kuwekewa pingamizi au kwa kuadhibiwa na msajili au NEC au hata mahakama

Muda ni muamuzi mzuri, basi na tusubiri kuyaona haya katika kipindi kifupi kijacho. Yetu macho hasa sisi tusio na vyama
I concur with you chief, kama vile ambavyo tulimshauri Hussein Mwinyi kwa upande wa kinyang'anyiro cha uraisi wa Zanzibar azingatie itifaki na kuepuka kuingia mtego wa kujibishana na vyombo vya habari, hali kadhalika mpeperusha bendera wa nafasi ya uraisi kwa upande wa CDM anapaswa kuzingatia itifaki hizo.

Toka Mkutano Mkuu ulipo mthibitisha, hapaswi tena kuenenda tena kama yeye, bali awe "covered" na timu ya watu makini nyuma yake. Kumuacha peke yake mbele ya kitu ndani ya chama chake kwa hivi sasa, CDM wanatengeza utawala wa "one man show" na dikteta uchwala mwingine kwa kunukuu kauli zao wenyewe.
 
Kwa yaliyotokea kwa Lowasa ni vigumu mno mtu kutoka CCM kupeperusha bendera ya upinzani katika uchaguzi mkuu.
Kuhusu Lissu huyu ni game changer hataweza kumuangusha JPM lakini ana uwezo wa kuita koleo "Koleo" kitu ambacho JPM hakukizoea katika miaka hii mitano iliyopita.
Bernard Membe hana ujasiri kama wa Lissu na mvuto lakini kama taamua ku support campaign kwa kuwa mwanamkakati inaweza kusaidia.
Kauli za kuudhi ni za wanasiasa wote lakini kwa uoga uliotuingia kwa miaka hii mitano kauli hizi zinatoka kwa wapinzani tu (Ni bahati mbaya sana)
Kwa maneno niliyoyasikia kwenye hotuba ya shukrani ya Membe baada ya kutangazwa kupeperusha bendera ya ACT kweli mgombea wa CCM ajiandae kisaikolojia kua na ngozi ngumu. Nakubaliana nawe kua mgombea wao hajazoea na havumilii maneno "magumu"
 
Back
Top Bottom