A day in the Buddhist college

Babu M shana Jr, nikuulize kama unamfahamu Eric alikuwa anakaa Upanga, mlikuwa nae pamoja, na yeye aliiingia Budhist hiyo miaka ya tisini akapelekwa South mpaka China
Yeah namfahamu vema.. Yuko Dubai kwasasa.. Kwenye harusi yake nilikuwa best man wake
 
Yeah namfahamu vema.. Yuko Dubai kwasasa.. Kwenye harusi yake nilikuwa best man wake
Shukran sana, aah Eric rafiki yangu sana, tokea utotoni upanga mpaka shule Jitegemee, basketball kwa sana, mara ya mwisho walihamia Morroco K'ndoni, una contact zake, nitashukuru sana
 
Shukran sana, aah Eric rafiki yangu sana, tokea utotoni upanga mpaka shule Jitegemee, basketball kwa sana, mara ya mwisho walihamia Morroco K'ndoni, una contact zake, nitashukuru sana
Ngoja nizitafute takutumia
 
Ina maana levitation hamkufundishwa? Levitation ni uwezo wa kutawala gravitational forces na kuelea juu ya maji nahisi chuo chenu kilikuwa fake pole sana
Mbona kabla hajakujibu Swali Umeshaconclude kuwa chuo ni fake? Nadhani hajaweka kila kitu humu
 
Mara ya pili nausoma huu uzi.
Duh...hivi Nini kilikushawishi kwenda kusoma haya madude!?
 
Mkuu, sasa ulikuwa unajifunzaje hiyo kitu...ilihali ulikuwa unajua mbeleni kuna kuwekwa vidoti na kuwekwa muhuli???

Yaani ulikuwa una practise lakini steps za mbeleni ulikuwa huzitaki???


By the way; thank you kwa kutuongezea maarifa.
Ya mbeleni sikuyafahanu kabla
 
Mkuu naomba uni tag uzi wako wa utofaut kati ya shetani na Lucifa . Nimeutafuta jukwaa lakini sijauonaa... mshana
 
 
Mkuu Mshana Jr , ndio nimemaliza kusoma huu uzi mwanzo mwisho...huu uzi ni hatari, ni kama game of thrones fulani.. Nina maswali mengi if you dont mind...ningeomba kama unaweza ungeongezea nyama nyama pale kwenye kanisa la shetani....kwa uelewa wako, ni kweli kwamba kwenye hizo secret society huwa wanaonana uso kwa uso na lucifer mwenyewe? Je kwenye Buddhism pia mnaonana/mnawasiliana na lucifer...
... Pia ningependa kujua kuna connection gani kati ya hilo kanisa la shetani na Buddhist?....
 
...pili, ulizimia kwa takribani muda gani, na je baada ya kuzinduka kuna vitu gani vingine viliendelea?... Tatu, did they keep contacting you tena baada ya ile siku ya ibada?... Nne, je uli escape vp kwenye huo mtego wa kuwa agent wao?
 
Mshana Jr ,hiyo dini ndio freemason? It would be interesting kama ungetupatia uzi unaolezea connections/differences kati ya freemasonry, Buddhist na hiyo dini ya shetani?
 
Asante kwenye haya makanisa unakutana na wawakilishi wa Lucifer tuu... Ni kama walivyo viongozi wengine wa kiroho kwenye imani zingine
Hakuna connection kati ya dini ya mashetani na Buddhism kwakuwa moja inahubiri utu wema nyingine ukatili
 
Kwa kweli sikumbuki ila haukuwa muda mrefu sana..
Baada ya pale sikujua sana kilichoendelea huko nyuma japo nina uhakika walijaribu kunifuatilia... Nilipofanikiwa kufika chuoni wiki iliyofuata nilisafiri nje ya South... Wale jamaa hawakuwahi kunitafuta tena
...pili, ulizimia kwa takribani muda gani, na je baada ya kuzinduka kuna vitu gani vingine viliendelea?... Tatu, did they keep contacting you tena baada ya ile siku ya ibada?... Nne, je uli escape vp kwenye huo mtego wa kuwa agent wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…