A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

mshana jr viapo vya damu vikoje aisee........ni pm mkuu if u dont mind

Ni kiapo chochote cha kunuizia kwa kutumia damu mbichi ya mnyama au binadamu
Unapoimwaga kuinywa au kujipakaza au kuipakaza mahali kwa namna yeyote ile huku ukinuizia hiki ndio kiapo cha damu
Zamani ilikuwa kuna kula yamini kati ya wapenzi ndugu au marafiki yani mnajikata vidole vyenu kidogo kisha mnavigandamiziana, kutengeneza unganiko la milele... Hiki ni kiapo cha damu pia
Kuna wengine hujikata na kuitumia damu kama wino na kuandika mambo mabaya kisha kuiweka ile karatasi kwenye Maji na kuyanywa, wengine huyamwaga au kuyapeleka mtoni
 
Last edited by a moderator:
Ni kiapo chochote cha kunuizia kwa kutumia damu mbichi ya mnyama au binadamu
Unapoimwaga kuinywa au kujipakaza au kuipakaza mahali kwa namna yeyote ile huku ukinuizia hiki ndio kiapo cha damu
Zamani ilikuwa kuna kula yamini kati ya wapenzi ndugu au marafiki yani mnajikata vidole vyenu kidogo kisha mnavigandamiziana, kutengeneza unganiko la milele... Hiki ni kiapo cha damu pia
Kuna wengine hujikata na kuitumia damu kama wino na kuandika mambo mabaya kisha kuiweka ile karatasi kwenye Maji na kuyanywa, wengine huyamwaga au kuyapeleka mtoni

mmmmhhh kweli duniani kuna mengi............
 
Ukipata nafasi plz mshana jr endelea kutufunza .

Kama nilivyosema awali maisha yetu yalitawaliwa na kanuni kwenye kila kitu kuanzia kuamka ile alfajiri mpaka kurudi kitandani
Kiuhalisia ni kwamba sio kanuni zote zilihusisha ubuddha nyingine zilikuwa ni kwa ajili ya afya ya mwili na akili 1439692897153.jpghapa kuna kama posture nne tofauti ya kulala kukaa na kufanya meditation
1439692970282.jpghii ilihusu meditation tuu, na ndio posture bora ya kufanya meditation
1439693051573.jpghii inasaidia sana kuleta focus na mind sharpness
Hizi nyingine zinajieleza1439693162297.jpg

NB: picha hizi nimepakua mtandaoni na si za chuoni japo maudhui ni yaleyale
 
Last edited by a moderator:
mshanajr kwenye meditation safi sana...hivi ile sample ya kiapo cha damu ndo hayo maelezo hapo au bado mkuu?

Hahaaa! We dada mjanja sana yan ndio unamkumbusha promc yako aliyokuambia umkumbushe next week kidizain hyo yan hapo akijbu swali itabd afanye mpango atuletee na zile picha za kiapo moja kwa moja asiache kiporo kinaweza kikachacha.
 
Last edited by a moderator:
mshanajr kwenye meditation safi sana...hivi ile sample ya kiapo cha damu ndo hayo maelezo hapo au bado mkuu?

Hahaaa! We dada mjanja sana yan ndio unamkumbusha promc yako aliyokuambia umkumbushe next week kidizain hyo yan hapo akijbu swali itabd afanye mpango atuletee na zile picha za kiapo moja kwa moja asiache kiporo kinaweza kikachacha.

Kile bado ngoja nirejee ngamani
 
Last edited by a moderator:
Ukifanikiwa kuyajua hata nusu yake tu unaweza kuwa chizi

kwa maana hiyo mshana jr wale mapadre na wakuu wa VATICAN zile tetesi tunazosikia yaweza kua kwel eh??? mana na wao wanaijua kwel hii dunia!!! mmmhhh ngoja niendelee kufatilia huu uzi
 
Last edited by a moderator:
kwa maana hiyo mshana jr wale mapadre na wakuu wa VATICAN zile tetesi tunazosikia yaweza kua kwel eh??? mana na wao wanaijua kwel hii dunia!!! mmmhhh ngoja niendelee kufatilia huu uzi

Jambo lolote likiwa tetesi.....likisemwasemwa ama likitajwatajwa... Aidha kuna ukweli ndani yake au upotoshaji....kwa ajili ya malengo fulani. Vatican ni sealed society na yote yanayosemwa hayana uthibitidho wa moja kwa moja na walau Mashahidi kamili ukiachilia ishu za zile za ngono
 
Last edited by a moderator:
Temple tour na safari ya kwenda kuhudhuria ibada ya waabuduo shetani

Chuo chetu kila Jumapili kilikuwa kinapokea wageni wengi sana kutoka maeneo tofauti ya South Africa... Wengi walikuja temple kwa ajili ya ibada za chanting, meditation, masomo ya Buddhism lakini pia temple tour

Mimi nilikuwa mmoja wa ma tour guide, kazi ambayo niliipenda sana
Siku moja Jumapili mchana tukiwa karibia kabisa kumaliza shughuli za temple walikuja wazungu wanne wakiwa kwenye mavazi meusi full kuanzia miwani mpaka viatu
Wenzangu walikataa kuwahudumia lakini mimi nikakubali hivyo nikawachukua temple tour, wakawa watu wa maswali mengi sana kiasi kwamba tour iliisha karibia saa kumi na moja jioni

Baada ya tour ile ambayo waliipenda sana wakanipa ofa ya kwenda kwenye synagogue lao lililoko mji wa New Castle, mwendo wa zaidi ya masaa matatu toka chuoni, na kwamba nao wangependa mno nione ibada zao na usiku ule kulikuwa na ibada kubwa

Mpaka leo sijui ninini kilinifanya nikubali kwenda, tena kwa kutoroka kwakuwa nisingeruhusiwa katu na uongozi wa chuo
Nilicheza michezo yangu baada ya dinner na saa moja kasoro nilikuwa njiani kwenda New Castle na wale jamaa kwenye Cadillac jeusi tii, kuhudhuria ibada nisiyojua
Tukafika mwendo wa saa tatu usiku hivi nakumbuka huko njiani tulichepuka na kuingia rough road ya msitu na mashamba kwa zaidi ya nususaaa hivi

Kama kuna siku nilifika kuzimu basi ilikuwa siku hii, mbele yetu kulikuwa na jengo refu jeusi tii likisimama gizani ndani kulikuwa na taa za rangi zilizofifia
Jengo lilikuwa refu la grorofa tatu
 
....ndani ya lile jengo kulikuwa na kila kitu cha kutisha sana kuanzia floor ya kwanza mpaka ya tatu. Mambo mabaya ya dunia hii mabaya hasa

Kulikua na mambo kama nini mkuu?

Kama nilivyoona vilikuwa ni viungo vya maiti halisi za vichanga na watu wazima wale watu hawafai kuishi duniani......
.........
Ilifika muda wa ibada nikachukuliwa kwenda huko underground floor, kulikuwa kunatisha mno nikakaa sehemu ya wageni kwa juu kidogo kabla ya holini
Hall lilikuwa kubwa lililopakwa rangi nyeusi na taa zilikuwa nyekundu sana zenye mwanga mkali, madhabahu MSALABA wake uliangalia chini na kulikuwa na jeneza lililofunikwa kutambaa chekundu
Ukumbi ulikuwa na watu wasiopungua hamsini hivi wote wakiwa uchi wa mnyama,ulianza mziki wa heavy metals wenye sauti za ajabu mno kama zile za kuzimu
 
Back
Top Bottom