A day in the Buddhist college

A day in the Buddhist college

Last edited by a moderator:
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo

oooooppppssss
kwaio watu wanakula binadamu wenzao (vichanga)???
vipi kuna watu maarufu uliwaona humo kwenye hall/madhabahu???
 
Daah kuna kuna comment kila nikitaka kuipost ina feli na kufutika kabisa nahisi ni dalili kwamba mungu ananiepusha na kitu
 
titimunda kwan unataka kushawish watu wajiunge na shetan mkuu???

Negative,I wish to do the opossite,nataka kuwaonyesha hatari za kuzama sana katika kuyajua hayo mambo,nkasema nahisi mungu ananiepusha kutoa hyo comment kwausalama wangu,labda kuyasema nliyotaka kuyasema italeta madhara kwangu,maana nsharudia kuandika mara tatu lakini kila nikiposti inagoma na kufutika
 
Last edited by a moderator:
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo

Huwezi kumfahamu mtu moja kwa moja kwakuwa kwanza taa ni za mwanga mwekundu sana kiasi cha kubadili kabisa mwonekano wa mtu pia hazikuwaka moja kwa moja ni kama zilikuwa zinazunguka hivyo kuleta ile commotion ya zombie hata kama mtu anajitikisa tu
 
Daah kuna kuna comment kila nikitaka kuipost ina feli na kufutika kabisa nahisi ni dalili kwamba mungu ananiepusha na kitu

Chaajabu hii imekubali,wanaofamu wataelewa nini namaanisha wengine watahisi natania

Negative,I wish to do the opossite,nataka kuwaonyesha hatari za kuzama sana katika kuyajua hayo mambo,nkasema nahisi mungu ananiepusha kutoa hyo comment kwausalama wangu,labda kuyasema nliyotaka kuyasema italeta madhara kwangu,maana nsharudia kuandika mara tatu lakini kila nikiposti inagoma na kufutika

Umecoment ndefu sana, kuna hiyo shida JF, ukiandika comment ndefu/reply ndefu ukitaka kupost unaambiwa you are not logged in na chote ulichoandoka kinapotea, dawa yake kila ukiandika para 2,3 unapost kisha una edit unaendelea kuandika
 
Dah!! Umenikumbusha mbali sana. Mambo ya Tripitaka: Vinaya, Sutra, na Abhidharma.
Shelizi, se bu yi kong, kong bu yi se,
kong ji shi se, se ji shi kong. Kitu cha 'shin jing' hicho (heart sutra). Hapo unagonga 'muyu' kama huna akili nzuri vile.
Kwenye hiyo picha kama sikosei yule kule mbele ni "mzungu f@la".
Ila wacongo waliharibu sana, mpaka waafrica wote tukaonekana siyo.
Mkuu ulimaliza nyundo tatu???

Hizo Sio mantra kweli
 
Mkuu
Kuna aliyefikia enlightenment Katika waliomaliza?
 
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo

Vichanga naskia hutumika hata na wachawi kuongeza nguvu zao kwenye kuwanga.
Je hao watu waliokuwa wanachinjwa walikua wanajielewa au walikua wamepumbazwa kabisa. Huyo mkuu wao alikua ni shetani mwenyewe au binadamu wa kawaida?
 
Huyo mtu aliyekatwa kichwa baada ya damu kuisha huwa wanamla au wanamfanya nini?
 
Huwezi kumfahamu mtu moja kwa moja kwakuwa kwanza taa ni za mwanga mwekundu sana kiasi cha kubadili kabisa mwonekano wa mtu pia hazikuwaka moja kwa moja ni kama zilikuwa zinazunguka hivyo kuleta ile commotion ya zombie hata kama mtu anajitikisa tu

Hivi mshana jr kwa mambo uliyopitia kuna uwezekano wa majini au misukule kupiga kura kama sasa hivi tunapoelekea uchaguzi mkuu?
 
Back
Top Bottom