Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mshana jr hujamjibu Diva Beyonce swali lake apo.......anauliza vichanga huwa wa kazi gan??
dah mbn kila ukijibu napata swali la nyongeza........mkuu ulivaa mavazi gan wewe mshana jr
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo
Daah kuna kuna comment kila nikitaka kuipost ina feli na kufutika kabisa nahisi ni dalili kwamba mungu ananiepusha na kitu
titimunda kwan unataka kushawish watu wajiunge na shetan mkuu???Chaajabu hii imekubali,wanaofamu wataelewa nini namaanisha wengine watahisi natania
titimunda kwan unataka kushawish watu wajiunge na shetan mkuu???
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo
Daah kuna kuna comment kila nikitaka kuipost ina feli na kufutika kabisa nahisi ni dalili kwamba mungu ananiepusha na kitu
Chaajabu hii imekubali,wanaofamu wataelewa nini namaanisha wengine watahisi natania
Negative,I wish to do the opossite,nataka kuwaonyesha hatari za kuzama sana katika kuyajua hayo mambo,nkasema nahisi mungu ananiepusha kutoa hyo comment kwausalama wangu,labda kuyasema nliyotaka kuyasema italeta madhara kwangu,maana nsharudia kuandika mara tatu lakini kila nikiposti inagoma na kufutika
Dah!! Umenikumbusha mbali sana. Mambo ya Tripitaka: Vinaya, Sutra, na Abhidharma.
Shelizi, se bu yi kong, kong bu yi se,
kong ji shi se, se ji shi kong. Kitu cha 'shin jing' hicho (heart sutra). Hapo unagonga 'muyu' kama huna akili nzuri vile.
Kwenye hiyo picha kama sikosei yule kule mbele ni "mzungu f@la".
Ila wacongo waliharibu sana, mpaka waafrica wote tukaonekana siyo.
Mkuu ulimaliza nyundo tatu???
Hahahahaaaaaaa tulikuwa watu wa mazoezi na kubanwa sana na ratiba lakini pengine 'toilet has a story to tell'
Vichanga/foetus ni chakula chenye nguvu mwilini, wanaoamini kuwa kuna cells changa hivyo wakila nyama yake huwaongezea nguvu na afya
Mavazi niliyotoka nayo chuoni ndio yalikuwa hayo hayo
Mptuuuuu!... Nimesoma yooote, hii ni zaidi ya hatareeee
Huwezi kumfahamu mtu moja kwa moja kwakuwa kwanza taa ni za mwanga mwekundu sana kiasi cha kubadili kabisa mwonekano wa mtu pia hazikuwaka moja kwa moja ni kama zilikuwa zinazunguka hivyo kuleta ile commotion ya zombie hata kama mtu anajitikisa tu