A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Mkuu unacomplicate sana, huyo Mungu ndie kaleta dini na vitabu vitakatifu? Nikisema hawezi kusema uongo au anasema kweli simanishi alifunga mike akaongea. bali maelezo hayo ameyaeleza kupitia kitabu cha dini husika.

Unashindwa kueleza vizuri unachokikusudia,kama nilivyosema kwamba uliyoyaeleza ni sifa za Mungu na ni kweli hizo sifa zimetajwa kwenye vitabu vya dini. Sasa bado haujaweka vizuri maelezo yako ili tuweze kujua ni nini hasa unachotaka.
 
cabhatica sijaelewa maana yako ya kuleta hiyo mistari, je lengo lake ni kupinga maelezo yangu niliyosema Nimrod ndiye mwanzilishi wa imani za uongo? Kama ndivyo, sema ili nidadavue.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu dini nimeisoma madrasa, nikasisoma kwenye darsa msikitini, nikaisoma shule na kuifanyia mitihani, hata chuo nimesoma ...... na shariah.

Unaposema dini nimeisoma mitandaoni hunitendei haki mkuu. vizuri umekubali kwamba hata post zangu za mwamzo ulikua unaziona, hukutaka tu kusema kwamba nilipinga ububusa and be unreasonable kisa dini imesema.

Anyway, unaweza ukawa sahihi na hisia zako kwa mtazamo wako or mtazamo wa kiimani. naweza kuja pm but nahisi hutopata kuwaamsha na wengine. Kuna maswali nimeuliza hapo kwa mada unaweza kunisaidia majibu mkuu.

YOU NEVER UNDERSTOOD THAT.....kuna siku ulikuwa unaquestion pre destination (QADAR) hapa mi nakutiazama tu lakini i am strongly sure you know islam partially...not as you think if you want i can send a book of pre destination according to islam usome mwenyewe (unbiased)

otherwise pole sana......atheists have taken you now there is nothing we can do that is your choice anyway

experience shows many atheists are from Christianity, and most of them they convert to islam if they understand it, in islam every thing is backed with evidence but may be your just reading a copy of quran with no deep knowledge to connect dots or with preemptive ideas and that way you cannot understand the message

huko madrasa au msikitini sidhani kama mlisoma anything called aqeedah
 
Dini zinakuwa na prescription juu ya matendo ya kufanya kutofanya na hukumu zake za kibinadamu. Wakristo ni wafuasi wa Mungu ambapo moral values zipo moyoni mwao zikiwashuhudia kweli na Neema ya maisha yao huku wakiwa na Uhuru wa kuamua kutenda au kutotenda ...

Mkuu unaami IMANI fulani inaamini uwepo wa Mungu isipowekewa sheria na hukumu zake hapa duniani itakua sio dini?
 
Kwani hivyo unavyoviita vitabu vyetu kuna sehemu vimesema manabii wote wametokea mashariki ya kati? Hebu toa aya ya Qur'an inayosema mitume wote wametokea mashariki ya kati? Labda nikuulize swali wewe unatakaje labda kwa sababu shida nayoiona ni kwamba hukubaliani na maamuzi ya Mungu. Kwamba umeamua si sahihi kwa Mungu kumtuma mwarabu kwa dunia nzima au sio?

Mkuu ukiniambia nianze kukuekea ushahidi wa Qurani unaosema mitume yote 25 iliyotajwa ktk Qurani inatoka pale hiyo ni kazi mzito isiyo na tija wala mashiko. kwani aya iliyosema hivyo hakuna, ila kuna aya nyingi zinazoelezea mtume fulani ametokea wapi na ni wazi kwamba wote wametokea middle east.

Ikiwa unapinga just niwekee mtume mmoja tu asietoka pale nami nitakuekea ushahidi kwamba hata huyo katokea pale.

Labda nikuulize. Jee unaamini si mitume wote wametoka pale?
 
Kumbe umeanzisha mada ili kubishana!! Haya kila la heri.

What is this? tuseme hujaona ukweli niliokubaliana nao ambao unapingana na nilichokiandika hapo?

Hoja kwamba kuna mitume haikutoka middle east pekee ni wewe wa kuproof.

Kusema vitabu vinadangany ni mimi wa kuproof but hata hujaulizia hapo as a result unasema nabishana. Ok.
 
Unashindwa kueleza vizuri unachokikusudia,kama nilivyosema kwamba uliyoyaeleza ni sifa za Mungu na ni kweli hizo sifa zimetajwa kwenye vitabu vya dini. Sasa bado haujaweka vizuri maelezo yako ili tuweze kujua ni nini hasa unachotaka.

Ok. simply dini ya kweli inatokana na Mungu wa kweli. ukumbuke hatuwezi kukomaa na matawi wakati kuna shina. sidhani kama tunaelewana hapa.
 
Ni uongo bila ushahidi?

Ok sasa ni time ya mimi kuproof kwamba vitabu vya Mungu vinadanganya.

Nilikuuliza wewe ni wa dini gani but hukujibu hilo. sababu ya kukuliza ni kwamba sitaki nichanganye uongo wa kitabu unachokiamini na kile usichokiamini.

Hope wewe ni Muslim. Aren't you?
 
What is this? tuseme hujaona ukweli niliokubaliana nao ambao unapingana na nilichokiandika hapo?

Hoja kwamba kuna mitume haikutoka middle east pekee ni wewe wa kuproof.

Kusema vitabu vinadangany ni mimi wa kuproof but hata hujaulizia hapo as a result unasema nabishana. Ok.


"And for every nation is a messenger. So when their messenger comes, it will be judged between them in justice, and they will not be wronged"

suratul yunus : 47



"Indeed, We have sent you with the truth as a bringer of good tidings and a warner. And there was no nation but that there had passed within it a Warner."

suratul fatir : 24


EVERY nation kuwa na messenger "nabii" unawezaje kusema kuwa WOOTE WALIKUWA MIDDLE ESTERN?

all nations inamaanisha nini hapo? au mwenzetu hizi verses huwa unaelewa nini?
 
Mashaxizo Inabidi tuanze kuwaelimisha watu waelewe. Kipindi hiki watu wanaamka tena kwa kasi kubwa sana. Uongo uliowekwa kuhusu uwepo wa mungu kwenye maandiko wanayoyaita matakatifu ni uongo mkubwa.

Ninajiandaa kipesa nitaanzisha midaharo mbalimbali kwenye TV na mafundisho ya kuwaelimisha watu waanze kuamusha consciousness zao.
Ubepari, Umwinyi, Ugaidi, Ukafiri na chuki zimesababishwa na Dini hizi za kikristo, kiislam na kiyahudi.
 
Last edited by a moderator:
Umejitahidi kutafiti vizuri ila utafiti wako unakosa nguvu linapokuja suala la "origin of life". Where did life start.? Naomba jibu bila kuacha mashaka
 
YOU NEVER UNDERSTOOD THAT.....kuna siku ulikuwa unaquestion pre destination (QADAR) hapa mi nakutiazama tu lakini i am strongly sure you know islam partially...not as you think if you want i can send a book of pre destination according to islam usome mwenyewe (unbiased)
Im not sure in fact uliona malezo gani na yanayohusiana na nini kwenye suala zima la qadar na qudra. but ninachokumbuka ni kua nilikua nawajibu wasioamini katika mtindo niliofundishwa na any reasonanle man should accept. Coz nilifundishwa Mungu hakupanga kila kitu but anajua kila kitu. nikafundishwa tena kuna watu wanapotosha qadar na qudra kwa kutumia aya za Quran. hizo aya zipo ktk quran na hadithi, moja inasema "ikiwa Mungu amempangia mtu kupotoka, mtu huyo akawa anatenda mema hata ubaki muda mchache tu kabla ya kufa basi atapotoka na pia ikiwa Mungu amempangia mtu kuongoka hata afanye mabaya kiasi gani mtu huyo akaongoka mda mchache kabla ya kufa" nilifundishwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo kiasi hiko. nikaona niliyofundishwa ni sahihi but later on nilipokua naliongelea hilo nilikutana na upinzani mkali toka kwa muslim wenzangu wakimanisha Mungu amepanga kila kitu na hizo aya ziko sahihi. naweza kusema hata wewe uko na mtazamo huo. NA AYA HIZO BAADA YA KUGUNDUA WAISLAMU WENZANGU WANANIPINGA IMEKUA NI SABABU MOJA YA MIMI KUSEMA MUNGU WA QURANI SI MUNGU. coz hata nnachokifamya hapa naweza kusema ndivyo Mungu alivyonipangia. Sasa mimi nitawezaje kwenda kinyume na mipango yake????
otherwise pole sana......atheists have taken you now there is nothing we can do that is your choice anyway
Mkuu nami naweza kukupa pole kwa kuamini dini ambayo Mungu wake 1 anaupendeo, 2 Muongo na 3 ni unreasonable. (Naweza kukuekea ushahidi kwa hayo matatu ukitaka) Atheist ni jina tu halina atheri yoyote ni sawa nawewe ukiitwa gaidi or blocked mind.
experience shows many atheists are from Christianity, and most of them they convert to islam if they understand it, in islam every thing is backed with evidence but may be your just reading a copy of quran with no deep knowledge to connect dots or with preemptive ideas and that way you cannot understand the message

huko madrasa au msikitini sidhani kama mlisoma anything called aqeedah
Yaa ni kweli atheist wengi hutoka ktk ukiristo but thats not conclusive, ukumbuke kuna na waislamu wanaoingia ukiristoni pia.
 
Ok. simply dini ya kweli inatokana na Mungu wa kweli. ukumbuke hatuwezi kukomaa na matawi wakati kuna shina. sidhani kama tunaelewana hapa.

Unaona sasa hapo ndiyo umeeleweka. Lakini kabla ya kujadili hili suala ningependa kujua kuwa wewe kama wewe hizo sifa za Mungu umezipata wapi
 
"And for every nation is a messenger. So when their messenger comes, it will be judged between them in justice, and they will not be wronged"

suratul yunus : 47



"Indeed, We have sent you with the truth as a bringer of good tidings and a warner. And there was no nation but that there had passed within it a Warner."

suratul fatir : 24


EVERY nation kuwa na messenger "nabii" unawezaje kusema kuwa WOOTE WALIKUWA MIDDLE ESTERN?

all nations inamaanisha nini hapo? au mwenzetu hizi verses huwa unaelewa nini?

Kweli kabisa Quran imesema kila taifa lilipekewa Mtume lakini ukumbuke hizo aya ziko general sana coz zimesma tu but hakuna ushahidi nje ya middle east kupelekwa mtume huyo. na ikiwa yupo nitajie MMOJA TU.
 
Kweli kabisa Quran imesema kila taifa lilipekewa Mtume lakini ukumbuke hizo aya ziko general sana coz zimesma tu but hakuna ushahidi nje ya middle east kupelekwa mtume huyo. na ikiwa yupo nitajie MMOJA TU.

Qur'an haikuwa bali ni Kitabu kinakupa mwangaza wa mambo ....hoja kuwa nje ya middle east hakuna mjumbe aliyepelekwq ingekuwa na nguvu kama hata aya ya kusema KILA MAHALI WALIPELEKEWA MKUMBUSHAJI isingekuwapo

So kwa kuwa iko too general haimaanishi kuwa Hawakupelekwa unatakiwa ujue kuwa Qur'an cannot go into every detail mpaka utafute kwa kina tasfir za kina za aya hizo katika Hadith....umewahi fanya?
 
Mashaxizo Inabidi tuanze kuwaelimisha watu waelewe. Kipindi hiki watu wanaamka tena kwa kasi kubwa sana. Uongo uliowekwa kuhusu uwepo wa mungu kwenye maandiko wanayoyaita matakatifu ni uongo mkubwa.

Ninajiandaa kipesa nitaanzisha midaharo mbalimbali kwenye TV na mafundisho ya kuwaelimisha watu waanze kuamusha consciousness zao.
Ubepari, Umwinyi, Ugaidi, Ukafiri na chuki zimesababishwa na Dini hizi za kikristo, kiislam na kiyahudi.

Unajua mkuu nimegundua ni watu wachache sana wanaotafuta ukweli. wengi wamekua blocked na imani za wazazi wao bila hata kujiulza angekuaje if angezaliwa na wazazi wenye imani tofauti. Uongo mwingi uliomo kwenye vitabu unapanguliwa kisiasa na viongozi wa dini husika na wanapoulizia kuhusu unreasonable teachings simply wanaambiwa Mungu ndie ajuae.

Mkuu hiyo kazi unayotaka kuifanya ni ngumu kidogo kutokana na wengi wamefungwa kiimani kiasi cha kwamba hata ukiwapa hoja na ushahidi inakua ngumu kukuelewa. but sio tatizo coz wapo wanaotafuta ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Im not sure in fact uliona malezo gani na yanayohusiana na nini kwenye suala zima la qadar na qudra. but ninachokumbuka ni kua nilikua nawajibu wasioamini katika mtindo niliofundishwa na any reasonanle man should accept. Coz nilifundishwa Mungu hakupanga kila kitu but anajua kila kitu. nikafundishwa tena kuna watu wanapotosha qadar na qudra kwa kutumia aya za Quran. hizo aya zipo ktk quran na hadithi, moja inasema "ikiwa Mungu amempangia mtu kupotoka, mtu huyo akawa anatenda mema hata ubaki muda mchache tu kabla ya kufa basi atapotoka na pia ikiwa Mungu amempangia mtu kuongoka hata afanye mabaya kiasi gani mtu huyo akaongoka mda mchache kabla ya kufa" nilifundishwa Mungu hawezi kuwa na upendeleo kiasi hiko. nikaona niliyofundishwa ni sahihi but later on nilipokua naliongelea hilo nilikutana na upinzani mkali toka kwa muslim wenzangu wakimanisha Mungu amepanga kila kitu na hizo aya ziko sahihi. naweza kusema hata wewe uko na mtazamo huo. NA AYA HIZO BAADA YA KUGUNDUA WAISLAMU WENZANGU WANANIPINGA IMEKUA NI SABABU MOJA YA MIMI KUSEMA MUNGU WA QURANI SI MUNGU. coz hata nnachokifamya hapa naweza kusema ndivyo Mungu alivyonipangia. Sasa mimi nitawezaje kwenda kinyume na mipango yake????

Mkuu nami naweza kukupa pole kwa kuamini dini ambayo Mungu wake 1 anaupendeo, 2 Muongo na 3 ni unreasonable. (Naweza kukuekea ushahidi kwa hayo matatu ukitaka) Atheist ni jina tu halina atheri yoyote ni sawa nawewe ukiitwa gaidi or blocked mind.

Yaa ni kweli atheist wengi hutoka ktk ukiristo but thats not conclusive, ukumbuke kuna na waislamu wanaoingia ukiristoni pia.

kama ulifundishwa kuwa si kila kitu mwenyezi mungu anapanga definetely ni ufahamu wa Tariqa ya Qadiriyyah na may be ndo umekulia au ndo ulikozaliwa

je kuna ushahidi wowote kuwa Kila kitu Mwenyezi mungu hapangi? unaweza kuuleta?

another thing unadai kuwa Hakuna mungu ni stori za kuzua..

ipi purpose ya maisha? na ipi origin ya maisha haya....

yaani kwanini tuko hapa duniani?
 
Unajua mkuu nimegundua ni watu wachache sana wanaotafuta ukweli. wengi wamekua blocked na imani za wazazi wao bila hata kujiulza angekuaje if angezaliwa na wazazi wenye imani tofauti. Uongo mwingi uliomo kwenye vitabu unapanguliwa kisiasa na viongozi wa dini husika na wanapoulizia kuhusu unreasonable teachings simply wanaambiwa Mungu ndie ajuae.

Mkuu hiyo kazi unayotaka kuifanya ni ngumu kidogo kutokana na wengi wamefungwa kiimani kiasi cha kwamba hata ukiwapa hoja na ushahidi inakua ngumu kukuelewa. but sio tatizo coz wapo wanaotafuta ukweli.

Mkuu sio mda mrefu tu nilikuwa ninachat na mchungaji mmoja wa kinaijeria. Nikamuuliza swali moja kuhusu jinsi biblia inavyo contradict. Ndugu yaaani kaniita eti nimeingiliwa na shetani ninatakiwa ni rudi zizini. Jibu sikupata zaidi ya kuanza kupewa maneno meeeengi ambayo hayaendani na ninachouliza.

Kuhusu hili swala la kuelimisha jamii nitaanza na matamasha mbalimbali kisha nitaitisha midaharo ya watu wanaoweza kujibu na sio wenye hasira ili tujue ukweli.

Baada ya hapo nitaenda zaidi kuita makundi mbali mbali Mfano: Wanasayansi, Watu wa dini, Wasio na dini nk
 
Back
Top Bottom