Kwani tofauti ya kusema MUNGU na mungu ni nini?Naomba nikusahihishe kidogo,
Alafu unapokuwa unataja,kutamka au hata kuandika jina la MWENYEZI MUNGU jaribu kuwa na staha kidogo maana bado hujaujua ukweli kiasi cha kuweza kulichukulia jina la MWENYEZI MUNGU kama unavyolichukulia.
Ninaomba hoja zako ziweke hapa kwenye comment hii nizione.
Halafu ninaona unakwepa kujibu kiaina. Mimi ni mtu mzima nimekuelewa. Ingependeza sana ungekuwa unaweka vifungu kutoka kwenye kitabu na ukawa unatolea maelezo hatua kwa hatu.
Je unaongelea nini kuhusu
Genesis 1:1 In the beginning God created the heaven and the earth.
Kwani tofauti ya kusema MUNGU na mungu ni nini?
Ninaomba hoja zako ziweke hapa kwenye comment hii nizione.
Halafu ninaona unakwepa kujibu kiaina. Mimi ni mtu mzima nimekuelewa. Ingependeza sana ungekuwa unaweka vifungu kutoka kwenye kitabu na ukawa unatolea maelezo hatua kwa hatu.
Je unaongelea nini kuhusu
Genesis 1:1 In the beginning God created the heaven and the earth.
Hii ya Genesisi ni msingi wa kila kitu kuhusu biblia. (Thus why we say at the real beginning bible was wrong)Hiyo Genesis yliyoinukuu Mimi sijui unataka msaada gani au unaelewa nini maana ya "heaven and earth " au kwako neno Heaven au Earth yapo katika umoja au uwingi.
Nitashukuru Sana kupata majibu.
Mimi ninafahamu kuwa kila chenye mwanzo au ukomo kina kilichokifanya kuwapo. Ulimwengu Una mwanzo nini au nani aliufanya ulimwengu ?
Hapa napo kuna nadhalia nyingi sana kuhusu uhai wa hapa dunianiNini au nani akiyeanzisha uhai ?
Madhuni ya binadamu hususani hapa duniani ni kufanya adventure, kupata experience kwenye physical realmNini sababu au madhumuni ya binadamu kuwapo au kuishi ?
Ninaanza katika somo lako unalolijua (Geograph)
Unamuongeleaje huyo mungu wako anayeongelewa kwenye biblia
Genesis 1:1 In the beginning God created the heaven and the earth.
Je unaongelea nini kuhusu sayari zingine? unaongelea nini kuhusu other Galaxies? Je hiyo Geography inakusaidia nini kuhusu kumjua huyo mungu wako?
Kwani tofauti ya kusema MUNGU na mungu ni nini?
Hii ya Genesisi ni msingi wa kila kitu kuhusu biblia. (Thus why we say at the real beginning bible was wrong)
Huwezi ukasema mungu muumba wa vitu vyote halafu useme yeye kaumba mbingu na dunia (Vipi kuhusu Mars, Venus na sayari zingine?. Vipi kuhusu galaxies zingine?)
Kuna nadharia nyingi sana kuhusu chanzo cha dunia. Mimi nitajikita katika ukweli kulingana na proofs za dark energy science na meditation point of view.
Tukija kwenye Science utakuja kugundua kuwa source ya dunia ni big bang
Siwezi nikatoa maelezo yote kuhusu big bang
Naomba usome hapa:
Big Bang - Wikipedia, the free encyclopedia
Angalia na hii video
Kuhusu Meditation:
Unapofanya meditation unakuwa kwenye realization unajua what is.
Utajua ukweli na utajua kitu gani sio kweli.
Sina mda wa kuweza kuelezea kila kitu hapa.
Hapa napo kuna nadhalia nyingi sana kuhusu uhai wa hapa duniani
Lakini kama nilivyoeleza hapa juu. Kuwa source of the physical universe ni big bang (Illusion)
Lakini asili halisi ya mtu ni consciousness. The evolution of consciousness ndio chanzo kikubwa cha uhai.
Madhuni ya binadamu hususani hapa duniani ni kufanya adventure, kupata experience kwenye physical realm
But we have our home (7th Realm) The bodies is the physical then stay in the physical only but our consciousness or our soul live forever. We are immortals.
Kwa kujibu maswali yako turudi kwenye swali langu la Genesis 1:1 je mungu wenu aliumba mbingu na dunia je ni nani aliyeumba sayari zingine na galaxies zingine?
Nina shangaa jinsi gani biblia yako huisomi na nina uhakika unayoyaongea yanatoka kichwani mwako jinsi unavyofikiri na si jinsi biblia ilivyo andikwa.
issue iko hivi inapotamkwa Heaven and Earth inamaanisha Ulimwengu kwa ujumla yaani UNIVERSE. Ninaposema Universe ninajumuisha Mbingu na vilivyomo pamoma na Dunia ikiwemo ndani yake.
Sasa usije ukaibua hoja kwamba kwanini waandishi wa BIBLIA hawakutumia neno ''Universe'' badala ya ''Heaven and Earth'' nitakudharau na nitathibitisha una udogo wa kifikra.
Hoja zangu ni kwamba
1. Mimi ninafahamu kuwa kila chenye mwanzo au ukomo kina kilichokifanya kuwapo. Ulimwengu Una mwanzo nini au nani aliufanya ulimwengu ?
Nini au nani akiyeanzisha uhai ?
Nini sababu au madhumuni ya binadamu kuwapo au kuishi ?
Hiyo Genesis yliyoinukuu Mimi sijui unataka msaada gani au unaelewa nini maana ya "heaven and earth " au kwako neno Heaven au Earth yapo katika umoja au uwingi.
Nitashukuru Sana kupata majibu.
Wewe unajichanya kidogo maana mara unaiamini biblia mara hutaki. Nipe jibu moja unaiamini au huiamini ili nikupe elimu tosha?.....
Ndio maana mwanzo kabisa nilikuuliza chanzo cha mungu ni nini? Ukaruka ruka eti hana mwanzo wala hana mwisho.Nataka unijibu chanzo cha universe ...
Mkuu kwani vitabu vinasomwaje?
Ikiwa mimi sikuelewa maana wewe usi utatoa maana halisi!!!!
Mkuu nilikwambia tuingie point ya pili ulikataa, nilipokuambia utoe hivyo vigezo vya dini ya kweli ulinitaka nitoe mimi, japo nilikwambia zile sifa ni kwa mtazamo wangu still ukaniuliza nimetoa wapi, now unaniuliza navikubali!!! Kweli?!!!
Mimi nimesema hiuyo Mungu anaweza akawa ni theory tu. sababu zangu nimeshaeleza ktk mada but unanizungusha zungusha sana hata sielewi objection zako ziko wapi.
Mkuu naomba upitie tena Post no. 1/mada.
Kama kila kitu kina mwanzo je Mungu mwanzo wake ni upoi kama yeye hahitaji kuletwa au kuumbwa kwanini unafikiri ulimwengu unahitaji kuumbwa.
Wewe unajichanya kidogo maana mara unaiamini biblia mara hutaki. Nipe jibu moja unaiamini au huiamini ili nikupe elimu tosha?
Halafu unapoongelea mambo ya kwenye biblia yenu lete mandishi hapa ili na wale wasio na hicho kitabu waweze kusoma.
Nikianza kukuchambulia Genesis 1 na Genesis 2 utashangaa kuona namna gani hicho kitabu kinavyo jichanganya. Ila ninachokuomba kimoja tu ni hakikishie kuwa wewe ni muumini wa biblia au la.
Ndio maana mwanzo kabisa nilikuuliza chanzo cha mungu ni nini? Ukaruka ruka eti hana mwanzo wala hana mwisho.
Halafu nime kuwekea kwenye mabano kwamba (All physical world is illusion hujahoji kuhusu hicho)
Kama ukiondoa Time hakuna uwepo wa dunia au nyota utakutana na void.
Vibration ya molecules vinacreate frequency ambayo inatufanya tuone kama kitu.
Hebu nakuomba ufikirie kibiology na kichemistry kidogo.
Mtu ni multsystems (Reprodction system, Digestion System etc)
After System utapata Organ, From Organ Tissue, Form Tissue Utapata Cell From Cell Utapata Chromosomes from Chromosomes utapata DNA from DNA utapata Compound (Chemistry inaanza) baada ya Compound unapa element, Atom, Proton and Neuton unaenda mpaka kwenye particles zinazohusiana na Quantum Theorem ukiendelea zaidi utakutana na frequency na baada ya hapo utapa void. So the void created the complex human body (Consciousness/soul)
Mantiki ya hapa ni kwamba the consciousness is the one which created the universe. Our Consciousness evolution are the ones which created the universe. Thus why I said Big bang in the illusion of the physical world.
Naomba niishie hapa kwa sasa. Ila tujibiane taaratibu.
Wewe unajichanya kidogo maana mara unaiamini biblia mara hutaki. Nipe jibu moja unaiamini au huiamini ili nikupe elimu tosha?
Halafu unapoongelea mambo ya kwenye biblia yenu lete mandishi hapa ili na wale wasio na hicho kitabu waweze kusoma.
Nikianza kukuchambulia Genesis 1 na Genesis 2 utashangaa kuona namna gani hicho kitabu kinavyo jichanganya. Ila ninachokuomba kimoja tu ni hakikishie kuwa wewe ni muumini wa biblia au la.
Ndio maana mwanzo kabisa nilikuuliza chanzo cha mungu ni nini? Ukaruka ruka eti hana mwanzo wala hana mwisho.
Halafu nime kuwekea kwenye mabano kwamba (All physical world is illusion hujahoji kuhusu hicho)
Kama ukiondoa Time hakuna uwepo wa dunia au nyota utakutana na void.
Vibration ya molecules vinacreate frequency ambayo inatufanya tuone kama kitu.
Hebu nakuomba ufikirie kibiology na kichemistry kidogo.
Mtu ni multsystems (Reprodction system, Digestion System etc)
After System utapata Organ, From Organ Tissue, Form Tissue Utapata Cell From Cell Utapata Chromosomes from Chromosomes utapata DNA from DNA utapata Compound (Chemistry inaanza) baada ya Compound unapa element, Atom, Proton and Neuton unaenda mpaka kwenye particles zinazohusiana na Quantum Theorem ukiendelea zaidi utakutana na frequency na baada ya hapo utapa void. So the void created the complex human body (Consciousness/soul)
Mantiki ya hapa ni kwamba the consciousness is the one which created the universe. Our Consciousness evolution are the ones which created the universe. Thus why I said Big bang in the illusion of the physical world.
Naomba niishie hapa kwa sasa. Ila tujibiane taaratibu.
Mpaka hapa umeshindwa kumtetea mungu wako zaidi ya kujigamba majigambo ambayo hayana hata reference yeyote. Nimekusihi ulete reference zako za kibibilia tuweze kuzichambua hujaleta chochote.Mimi sitaki vitu ulivyokariri au kukaririshwa
Kuhusu Biblia naomba kukuhakikishia kwamba Mimi Kama Mkristo naifahamu na kuielewa na kuamini ujumbe wake. Wewe ndiye mwenye matatizo na nimegundua kuna fallacy of definition inakwandama
Wewe kwako MTU akisema Nuru Ana maanisha jua ?
Huwezi kueleza chanzo cha uhai hadi uweke kariri zako ? Ambazo zinahitaji mjuzi wa aina yako kuunganisha na kupata maana
Jibu Kama unavyojibiwa nataka maelezo na sio nadharia za wengine
Ninaweza kukuuliza kitu kidogo tu. Hivi tofauti ya kuwa kwenye ndoto na sasa hivi ni nini? Je hujui sasa hivi uko kwenye ndoto katika consciousness?Namwamini Yesu Kristo.
Nimekwambia biblia Nina iamini lakini sihitaji Biblia kujua uwepo wa Mungu, Biblia kwa anayejua kufikiri inaeleza ukuu wa Mungu na haikutegemea kuwa iwe kitabu cha kufundishia Jiografia wala fizikia.Mpaka hapa umeshindwa kumtetea mungu wako zaidi ya kujigamba majigambo ambayo hayana hata reference yeyote. Nimekusihi ulete reference zako za kibibilia tuweze kuzichambua hujaleta chochote.
Hapa unajigamba gamba tu pasipo hata reference yeyote. Mimi ninakupa facts wewe unaleta siasa za kidini
Ninataka ulete maelezo yaliyonyooka kuhusu uumbaji na ulete reference ya kuhusu jinsi gani mungu wenu aliumba universe (Stella, Galaxies, Stars, Planets etc.)
Usipoleta maandishi yeyote kutoka kwenye kitabu chenu kinacho support maelezo yako nitakuona kama unatoa maelezo yasio na proof ni kutoka kwenye kichwa chako tu na imani yako haba ya kuogopa mungu asiye umba universe. Ni sawa na mungu wa kichaga au wa kizanaki.
Swali la kizushi kwanini unaabudu mungu wa israel na sio mungu wa africa?
Ninaweza kukuuliza kitu kidogo tu. Hivi tofauti ya kuwa kwenye ndoto na sasa hivi ni nini? Je hujui sasa hivi uko kwenye ndoto katika consciousness?