Hii ya Genesisi ni msingi wa kila kitu kuhusu biblia. (Thus why we say at the real beginning bible was wrong)
Huwezi ukasema mungu muumba wa vitu vyote halafu useme yeye kaumba mbingu na dunia (Vipi kuhusu Mars, Venus na sayari zingine?. Vipi kuhusu galaxies zingine?)
Kuna nadharia nyingi sana kuhusu chanzo cha dunia. Mimi nitajikita katika ukweli kulingana na proofs za dark energy science na meditation point of view.
Tukija kwenye Science utakuja kugundua kuwa source ya dunia ni big bang
Siwezi nikatoa maelezo yote kuhusu big bang
Naomba usome hapa:
Big Bang - Wikipedia, the free encyclopedia
Angalia na hii video
Kuhusu Meditation:
Unapofanya meditation unakuwa kwenye realization unajua what is.
Utajua ukweli na utajua kitu gani sio kweli.
Sina mda wa kuweza kuelezea kila kitu hapa.
Hapa napo kuna nadhalia nyingi sana kuhusu uhai wa hapa duniani
Lakini kama nilivyoeleza hapa juu. Kuwa source of the physical universe ni big bang (Illusion)
Lakini asili halisi ya mtu ni consciousness. The evolution of consciousness ndio chanzo kikubwa cha uhai.
Madhuni ya binadamu hususani hapa duniani ni kufanya adventure, kupata experience kwenye physical realm
But we have our home (7th Realm) The bodies is the physical then stay in the physical only but our consciousness or our soul live forever. We are immortals.
Kwa kujibu maswali yako turudi kwenye swali langu la Genesis 1:1 je mungu wenu aliumba mbingu na dunia je ni nani aliyeumba sayari zingine na galaxies zingine?