A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Hahahahhah!!! Kwa hiyo wa misikitini,waliofanya kafara za ng'ombe na kuku makaburini, milimani watakuwa hawajaliwa eeeh?
My dear kwenda mbinguni is just a bonus unatakiwa hapa hapa uanze kula mema ya nchi kwa kumuona huyo Mungu.

Ndugu yangu. Hebu jaribu kufukiria zaidi ya hapo
 
Duh!! Sasa hapa best yangu Mashaxizo umefanya mzaha,wala hata usipaniki tupo kuelimishana taratibu pasipo ngumi wala konde...... Sijajua hasa lengo ni mabishano ya dini au Mungu? Tunataka kujifunza au kubishana? Kama ni kubishana kwa kweli mimi huko simo kabisaa endeleeni kubishana na wala huyo Mungu hamtampata aliye sahihi kulingana na vigezo vyenu.

Hahahahaaaa! Best everlenk hata usijali. sometimes ni heri kuua mjadala kuliko kukubali kutukanana na kuonana wapuuzi.

Hii mada inapost zisizopungua 500, za kwangu ni zaiti ya 130 na most of them najibu and/or kuuliza wanaopinga rather than wanaosapoti but huwezi kukuta post namwita mtu mpu.uuzi, sijui hajielewi, sijui akili zake zinamatatizo etc.

Sasa naona post zinazoendelea hajijadili issue, yaani ni personal attack na kwenda mbele. Yanini yote hayo best?

Si bora nikubali tu.
 
Last edited by a moderator:
Unaona matatizo yako Ntuzu? Wewe uliitwa uje utoe ufafanuzi or uje uulize maswali?

Kwanini unapenda kuuliza wewe tu?
Ikiwa wewe umesoma hicho kitabu kitakatifu na kukielewa si umtaje huyo mtume alieshushwa nje na hapo?

Unaleta habari za ukomo kana kwamba nimesema matabu yenu yamesema utume basi!!!! Iknow kwa waislamu utume basi pia najua wakiristo wanaendeleza huo mfumo.

Baada ya biblia ndio kunaibuka mitume kupitia sehem tofauti. embu jiulize kwani mitume isambae baada ya kusambaa biblia? Jee mitume yoote kabla ya biblia kwanini wote watokee pale middle east? yaani nashindwa kukuelewa ikiwa hujaelewa swali langu or umeelewa vizuri ila unaleta zile siasa zenu.

Labla nikufikirishe kidogo.
Mitume kabla ya biblia ilikuwa ni mitume ya dini gani ?1
2 Walizaliwa na wazazi wa dini gani or walipewa mafunzo ya dini gani na nani?

Then niambie mitume wenu wa sasa wamezaliwa na mitume wa dini gani or walipewa mafunzo gani na nani kabla ya utume wao?

Jaribu kuwa mkweli Ntunzu usiwe na katabia ka kutaka ujibiwe wewe tu tena kwa njia unayotaka wewe!!

Barikiwa pia.

Mashaxizo maswali ninayokuuliza si kwamba ni mabaya au sijui namna gani! Maswali ninayokuuliza yanakua na malengo maalum kwamba iwapo utajibu vema, basi hoja yako juu ya manabii inakua imeisha! Si kwamba nauliza maswali tu Mkuu ili nikusumbue! Hapana!

Kwa mfano nilimega kipande ktk bandiko lako cha kwanza ambacho umezungumzia maswala ya dini kua ziko 30 na pia kuna sehemu umesema kwamba ni nani ana uhakika kwamba hivi vitabu vimetoka kwa Mungu? Mimi nilianza uzuri kwa kutoa mfano kwamba sisi wanadamu tukitengeneza vitu tunachapisha na vijijalada kibao vya maelezo ya namna ya matumizi ya hivi vitu ili kumsaidia mtumiaji aweze kutumia hicho kitu bila shida! Yote hii ni kukufanya uweze kuona kua mwanadamu ameweza kua na maarifa hayo ya kufanya manual books for any goods Sasa Mungu atashindwa kufanya hayo? Mungu atatengeneza kila kitu na ashindwe kutupatia manual book ili mwanadamu wake alie muumba afahamu siri na na mambo yote ambayo Mungu alifanya? Lkn kote huku hukunielewa ndio maana nikauliza kipi kinaweza kua ni kitabu cha hii sayari dunia? Na ili hicho kitabu kiwe sahihi njia nzuri ya kukijaribu yani to test the book ni unabii, nabii zake zinasemaje? Je zote zimetimia na zinatimia au vipi? Hayo yote nilikuuliza ili uweze kuona kua manual book ya Mungu kwa hii sayari yetu IPO. Na nikakuuliza kua mafunuo au maandiko yaliyomo ktk biblia yanasema yalitoka kwa nani? Hili swali ukadai nilifafanue vzr. Lkn lengo la mimi kuuliza yote hayo nilikua ni dogo sn! Iwapo ungejibu vema kua maandiko ndio manual book ya dunia hii basi hoja ya dini ingekua rahisi kuijibu kwasababu tungeyauliza hayo maandiko kua Mungu aliumba vitu vyote vikiwa ktk ukamilifu na hakukua na dhambi! Dini nyingi ni matokeo ya dhambi! Yote haya hicho kitabu kingejibu! Ni kukiuliza tu kingetoa majibu!

Mfano mwingine ni swala la manabii, tungepata kujua kwanza IPI ni manual book ya hii dunia basi yote haya ingejibu! Na uzuri ni kwamba manual book yangu ina majibu yote kwamba kwanini Mungu aliwachagua watu Fulani kua manabii, alikua na makusudi gani? Na walikua na imani gani yoooooote haya inajibu!

Na kwa kukusaidia tu ata zamani nyakati za manabii kulikua na kitabu! Kikiitwa chuo. Hichi kitabu kilikuwepo na manabii walikuwepo pia! Si kweli kwamba mitume wamesambaa baada biblia kusambaa!

Karibu Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa! Best everlenk hata usijali. sometimes ni heri kuua mjadala kuliko kukubali kutukanana na kuonana wapuuzi.

Hii mada inapost zisizopungua 500, za kwangu ni zaiti ya 130 na most of them najibu and/or kuuliza wanaopinga rather than wanaosapoti but huwezi kukuta post namwita mtu mpu.uuzi, sijui hajielewi, sijui akili zake zinamatatizo etc.

Sasa naona post zinazoendelea hajijadili issue, yaani ni personal attack na kwenda mbele. Yanini yote hayo best?

Si bora nikubali tu.

Hahahaha!!! Utakubalije wakati hujaelewa? Usikubali bana kirahisi ni jino kwa jino.........lol. watu wanakasirika maana unawamalizia ATP zao tu na mtu mwenyewe hutaki hata kuelewa .........lol
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Mashaxizo utasumbuka sana na hawa watu maana wanajitoa ufahamu wenyewe. Lakini kwa faida ya watu wengine wanaopitia huu uzi ngoja tuendelee kuelimisha jamii. Nimeleta maelezo hapa namna gani hivyo vitabu vinavyodanganya na jinsi gani vilivyoandikwa kuwa ni kulingana na jamii za wakati ule.

Watu hawajiulizi hivi kweli mtu ambaye hajui kusoma inamaana hatamfahamu mungu?
What kind of this god mpaka watu waende chuo wakamsomee ili wafundishe wengine? mungu gani huyu wa kusomea na kufanya mitihani?
Annael naomba kuelimishwa juu ya Mungu ambaye sharti ujue kusoma ndiyo umjue. Mimi nafahamu kwamba watu/ binadamu kajua uwrpo wa Mungu na walimwabudu kabla ya hata herufi hazijavumbuliwa !
 
Last edited by a moderator:
Hahahahhah!!! Kwa hiyo wa misikitini,waliofanya kafara za ng'ombe na kuku makaburini, milimani watakuwa hawajaliwa eeeh?
My dear kwenda mbinguni is just a bonus unatakiwa hapa hapa uanze kula mema ya nchi kwa kumuona huyo Mungu.

Hahahahaaaa! everlenk sijamanisha Uislamu uko sahihi. ingawa nimetokea huko.

Short and clear sifungamani na dini yoyote.

Sasa nakula vyakula vyote unless nigundue vinamadhara KWANGU. kwa maana nyengine naweza nisile vyakula mnavyoita Halali ikiwa vinamadhara kwangu. Siamini tena haramu wala halali. siamini ukiristo wala uislamu. Na ramadhani itanikoma, sifungi ata moja! teh teh teh.

Jioni njoo tule ile kitu iliyokatazwa kwa walawi na Isaya na qurani. Hahahahahaaaaaa! raha sana! Yaani dini wameharamisha pombe mpaka wine. Wangejua faida za wine hasa unapokunywa kwa kiasi wangefuta yale maandishi yao kwenye matabu!!! Hahahahahaaaaaa! kuwa huru raha sana! Babu Asprin asione hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa! everlenk sijamanisha Uislamu uko sahihi. ingawa nimetokea huko.

Short and clear sifungamani na dini yoyote.

Sasa nakula vyakula vyote unless nigundue vinamadhara KWANGU. kwa maana nyengine naweza nisile vyakula mnavyoita Halali ikiwa vinamadhara kwangu. Siamini tena haramu wala halali. siamini ukiristo wala uislamu. Na ramadhani itanikoma, sifungi ata moja! teh teh teh.

Jioni njoo tule ile kitu iliyokatazwa kwa walawi na Isaya na qurani. Hahahahahaaaaaa! raha sana! Yaani dini wameharamisha pombe mpaka wine. Wangejua faida za wine hasa unapokunywa kwa kiasi wangefuta yale maandishi yao kwenye matabu!!! Hahahahahaaaaaa! kuwa huru raha sana! Babu Asprin asione hapa.

Hahaahahhah!! Mama yangu nimecheka mpaka machozi!!!! Sasa umekuja nilipopataka,hapa ndo penyewe zooote zile mbwembwe tu hiki ndo kiini cha mada hiii!!

Mwana wewe Naona unataka uiue kabisa dhamiri yako ushachoka na masharti kibao ya dini unataka uwe like a free molecule ule dunia kwa raha zako hutaki kusikia kitu Mungu maana kinakunyima mambo fulani ya kuinjoi dunia hasa ukikumbuka kuna moto, unatamani usingewahi kusikia kabisa hizo inshu......Lol.

Best yangu hii hali wengi tulishaipitia,na wengine wanaipitia bado, yaani hutamani kabisa kusikia hizo do na don't za kidini na unafikia na conclusion no God at all,kama yupo basi angefanya hili na lile ,na angekuwa hivi na vile,asingefanya hili na lile,yaani ni criticize kwa kwenda mbele, Nakumbuka hiyo hali ilivyonitesa sana.

Kama unahitaji kujifunza na kuujua ukweli inabidi ufike mahali uamue mwenyewe kujifunza wewe kama wewe tulia chini tumia muda wako mwingi katika hilo,na lililo kubwa kuliko yote ni kuuondoa kwanza ubinafsi wa kibinadamu, usitake mambo yawe kama utakavyo au yawe kama uliyoyasikia kwa wengine ,be Neutral student kadri unavyoendelea na hilo darasa lako utafika mahali utaanza kuona jinsi gani yalivyosadifu huu ulimwengu na ukweli uko wapi,na katika akili ya kibinadamu yako relevant kias gani, majibu ya maswali yako yote yaliyokutatiza yatapata ufumbuzi.
 
Last edited by a moderator:
Annael naomba kuelimishwa juu ya Mungu ambaye sharti ujue kusoma ndiyo umjue. Mimi nafahamu kwamba watu/ binadamu kajua uwrpo wa Mungu na walimwabudu kabla ya hata herufi hazijavumbuliwa !
Mungu kama super natural being hilo sikatai ila huyu jamaa wa kwenye bible na quran ni fix tupu.
 
Mungu kama super natural being hilo sikatai ila huyu jamaa wa kwenye bible na quran ni fix tupu.

Hapo Mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi.
Mwanzo 1:1

Huyo ndiye Mungu anayeongelewa na Wakristo labda unifundishe vigezo sahihi vya huyo Supernatural being wako.
 
Hahahahaaaa! everlenk sijamanisha Uislamu uko sahihi. ingawa nimetokea huko.

Short and clear sifungamani na dini yoyote.

Sasa nakula vyakula vyote unless nigundue vinamadhara KWANGU. kwa maana nyengine naweza nisile vyakula mnavyoita Halali ikiwa vinamadhara kwangu. Siamini tena haramu wala halali. siamini ukiristo wala uislamu. Na ramadhani itanikoma, sifungi ata moja! teh teh teh.

Jioni njoo tule ile kitu iliyokatazwa kwa walawi na Isaya na qurani. Hahahahahaaaaaa! raha sana! Yaani dini wameharamisha pombe mpaka wine. Wangejua faida za wine hasa unapokunywa kwa kiasi wangefuta yale maandishi yao kwenye matabu!!! Hahahahahaaaaaa! kuwa huru raha sana! Babu Asprin asione hapa.

Hakyamama mi nimeona hapo tu baaasi!

Huyu Mungu wa kwenye vitabu ana masharti Mugabe anasingiziwa.

Wengine wamepewa AMRI KUMI ZA MUNGU.... Lakini pamoja na amri hizo, wakatokea sijui ndo mitume na manabii.... sijui wameonana wapi na Mungu akawatuma viamri vingine vya kibweeeeege... Basi shida tupu. Ndo kama hivi sasa Amri za Mungu mkuu hakuna sehemu aliposema usipige ulabu... sijui wakatokea wapi watu waleeeee.... sijui wanakula maharage ya wapi waleeeee.... Basi tu wakaamua kutuambia Mungu kawaambia Kilauri ni dhambi... Nyambaf zao na robo... huyo Mungu walimwona wapi mpaka akawapa maagizo mapya? Alishindwaje kuyatoa wakati anatoa amri zake? Alisahau?.... Mungu ni msahaulifu?

Damnnnnnnnnnnnnn!!
 
Hakyamama mi nimeona hapo tu baaasi!

Huyu Mungu wa kwenye vitabu ana masharti Mugabe anasingiziwa.

Wengine wamepewa AMRI KUMI ZA MUNGU.... Lakini pamoja na amri hizo, wakatokea sijui ndo mitume na manabii.... sijui wameonana wapi na Mungu akawatuma viamri vingine vya kibweeeeege... Basi shida tupu. Ndo kama hivi sasa Amri za Mungu mkuu hakuna sehemu aliposema usipige ulabu... sijui wakatokea wapi watu waleeeee.... sijui wanakula maharage ya wapi waleeeee.... Basi tu wakaamua kutuambia Mungu kawaambia Kilauri ni dhambi... Nyambaf zao na robo... huyo Mungu walimwona wapi mpaka akawapa maagizo mapya? Alishindwaje kuyatoa wakati anatoa amri zake? Alisahau?.... Mungu ni msahaulifu?

Damnnnnnnnnnnnnn!!

Kiruuuuuuuuuuuuuuuu!!!! Siku hizi sikuelewi !!!...........wewe endeleza tu mwakani naenda zangu kenyaaaaa!!!! lol
 
Hapo Mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi.
Mwanzo 1:1

Huyo ndiye Mungu anayeongelewa na Wakristo labda unifundishe vigezo sahihi vya huyo Supernatural being wako.

Huelewi unachoongelea wewe. Hiyo mwanzo nani ataijua asipojua kusoma?
 
Kiruuuuuuuuuuuuuuuu!!!! Siku hizi sikuelewi !!!...........wewe endeleza tu mwakani naenda zangu kenyaaaaa!!!! lol
Potelea mbali. Kwani K kitu gani bhana.... Mbuzi mwenyewe kaiweka hadharani na kimkia juu:A S 100::A S 100::A S 100: beberu aiangalie anavyotaka, akitaka ajisevie hata hadharani Hahahahahaha LOL

Kuna mtu kahack account yangu hakyamama.
 
Hahaahahhah!! Mama yangu nimecheka mpaka machozi!!!! Sasa umekuja nilipopataka,hapa ndo penyewe zooote zile mbwembwe tu hiki ndo kiini cha mada hiii!!

Mwana wewe Naona unataka uiue kabisa dhamiri yako ushachoka na masharti kibao ya dini unataka uwe like a free molecule ule dunia kwa raha zako hutaki kusikia kitu Mungu maana kinakunyima mambo fulani ya kuinjoi dunia hasa ukikumbuka kuna moto, unatamani usingewahi kusikia kabisa hizo inshu......Lol.

Best yangu hii hali wengi tulishaipitia,na wengine wanaipitia bado, yaani hutamani kabisa kusikia hizo do na don't za kidini na unafikia na conclusion no God at all,kama yupo basi angefanya hili na lile ,na angekuwa hivi na vile,asingefanya hili na lile,yaani ni criticize kwa kwenda mbele, Nakumbuka hiyo hali ilivyonitesa sana.

Kama unahitaji kujifunza na kuujua ukweli inabidi ufike mahali uamue mwenyewe kujifunza wewe kama wewe tulia chini tumia muda wako mwingi katika hilo,na lililo kubwa kuliko yote ni kuuondoa kwanza ubinafsi wa kibinadamu, usitake mambo yawe kama utakavyo au yawe kama uliyoyasikia kwa wengine ,be Neutral student kadri unavyoendelea na hilo darasa lako utafika mahali utaanza kuona jinsi gani yalivyosadifu huu ulimwengu na ukweli uko wapi,na katika akili ya kibinadamu yako relevant kias gani, majibu ya maswali yako yote yaliyokutatiza yatapata ufumbuzi.

Hahahahaaaaa! everlenk hatishwi mtu hapa. wee hapa unaongea kama mkiristo na unajiona ukosahihi kabisa, na mwengine Muislamu akiongea ya kwake anajihisi kama unavyohisi wewe tu, na wenye imani nyengine ni hivyo hivyo. sipati picha tungetawaliwa na wachina leo hii best ungekua unanipa swaga za kibudha sijui kijuda na reference kibao! mara uniambie karma. ili mradi vurugu! vulugu, vulugu, vulugu!!! Hahahahahaaaa! nimemkumbuka miss chagga.

Anyway. ni mara ya pili unasema hata wewe ulikua hivi (mean ulikua huamini na ulipenda uwe huru) hem niambie ni nini kilikufanya urudi kwenye imani ya kikristo?
 
Last edited by a moderator:
Potelea mbali. Kwani K kitu gani bhana.... Mbuzi mwenyewe kaiweka hadharani na kimkia juu:A S 100::A S 100::A S 100: beberu aiangalie anavyotaka, akitaka ajisevie hata hadharani Hahahahahaha LOL

Kuna mtu kahack account yangu hakyamama.

Mweeeeeeeeeeee!!! Mume wangu kaingiliwa jamani.............kama si mtu kahack acc yako bas itakuwa laana ya yule Pastor wa JF imeanza kufanya kazi.........lol

Weee huna jeuri hiyo ya kusema ni kitu gani endelea kujifagarua tu hapa mbele ya kibod......!!!!! Na utaona dawa yako nakukodia tu......lol
 
Hapo Mwanzo Mungu aliumba Mbingu na Nchi.
Mwanzo 1:1

Huyo ndiye Mungu anayeongelewa na Wakristo labda unifundishe vigezo sahihi vya huyo Supernatural being wako.

Mbingu ni nini?
Jee Mungu wenu anaongeleaje suala la sayari nyengine na galaxies zinazotuzunguka?

Cc: Ntuzu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom