A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

I was Muslim. Sasa siamini dini yeyote. 1-9 ktk mada ni vitu nilivyoviona ktk dini. Just nilijiuliza kwanini sisi Muslim tunajiona ndio wa dini ya haki? Then nikaobserve kila imami inajihisi hivyo. nikaamua kutafiti (sio rasmi sana).

Kwa vile naweza kuwa wrong. nimeweka hapa hiyo 1-9. kwa mjadala nijue ipi inaukweli na kwa kiasi gani.
Mashaxizo nafikiri tatizo kubwa ni wewe na uwezo wako wa kutafakari kuliko dini kuwa ndiyo tatizo.
Kuna pahala tulikuwa tunajibizana uliuliza vitu ambavyo kimsingi ni very elementary kwa JF member ambaye anajinasibu kuwa alifanya utafiti , ulipojibiwa si tu kwamba huku kubali majibu yake Bali hata kuyakubali na kukiri kuelewa hukufanya.
Kilicho nishangaza wakati natafakari na kuamini kwamba utakuwa umeelewa labda bado unatafakari nikaona ukinukuu maandishi ya wengine unauliza maswali Yale Yale ambayo uliniuliza nikakujibu. Nikagundua kuwa wewe hupo hapa kuelewa upo Ku show off na unayo default position no matter what
Sasa umeweka kwamba 1-9 ndiyo vitu vilivyokufanya uache kuamini dini yoyote na kujihami unaandika ulifanya utafiti usio rasmi.
Kwamba ulikaa somewhere ukawa Una day dream then ukajiaminisha umejua kila kitu na kuamua mungu uwepo wake ni questionable .
Naamini ungefanya utafiti japo kidogo ungegundua kuwa kuna very great mind kama kina C.S.Lewis na Anthony Flew to mention but a few walifanya tafiti za kweli mwishoni wakatumia bahati nasibu na kuamua kuwa Atheist lakini waliendelea Ku question na kujigundua madhaifu yao wakakiri pasipo kumung'unya maneno kuwa Ulimwengu na vilivyomo ni matokeo ya intelligent ya hali ya juu mno na haiwezekani iwe imetokea kwa ajali tu.
Kilichofuatia ni kutafita ni imani IPI inazungumzia ukweli wa Mungu
 
Last edited by a moderator:
everlenk rafiki yangu Mashaxizo kuna mambo mengi sn yanampita kushoto! Ndio maana kuna swali nili muuliza hapo nyuma akakosa majibu na kudai nilifafanue vzr hilo swali! Na nitakuja kulifafanua tu nikipata nafasi ili aweze kuona kile anachosema hakina mashiko!

Kwa mfano ktk post uliyomkoti anauliza hakuna manabii kutoka Australia au kusini mwa Africa etc. Sasa hapa naweza kumuuliza swali. Kwa mujibu Wa Biblia nyakati za manabii zimeshaisha? Au unabii una ukomo? Hapa ngoja tusubiri majibu Yake uone atasema nini juu ya utafiti wake!

Hahahahaaaaaaa! Ntuzu unapenda kunizungusha zungusha. Hawa manabii wenu wa leo mtamalizana nao coz mnawajua wenyewe mimi ata nisingependa kuwajadili. koz i know ni manabii njaa, wazinzi na waongo.

Usikwepe swali nimeuliza from Adam-ibrahim to Yesu. kuna nabii gani alieshushwa nje na Middle East?
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo nafikiri tatizo kubwa ni wewe na uwezo wako wa kutafakari kuliko dini kuwa ndiyo tatizo.
Kuna pahala tulikuwa tunajibizana uliuliza vitu ambavyo kimsingi ni very elementary kwa JF member ambaye anajinasibu kuwa alifanya utafiti , ulipojibiwa si tu kwamba huku kubali majibu yake Bali hata kuyakubali na kukiri kuelewa hukufanya.
Kilicho nishangaza wakati natafakari na kuamini kwamba utakuwa umeelewa labda bado unatafakari nikaona ukinukuu maandishi ya wengine unauliza maswali Yale Yale ambayo uliniuliza nikakujibu. Nikagundua kuwa wewe hupo hapa kuelewa upo Ku show off na unayo default position no matter what
Sasa umeweka kwamba 1-9 ndiyo vitu vilivyokufanya uache kuamini dini yoyote na kujihami unaandika ulifanya utafiti usio rasmi.
Kwamba ulikaa somewhere ukawa Una day dream then ukajiaminisha umejua kila kitu na kuamua mungu uwepo wake ni questionable .
Naamini ungefanya utafiti japo kidogo ungegundua kuwa kuna very great mind kama kina C.S.Lewis na Anthony Flew to mention but a few walifanya tafiti za kweli mwishoni wakatumia bahati nasibu na kuamua kuwa Atheist lakini waliendelea Ku question na kujigundua madhaifu yao wakakiri pasipo kumung'unya maneno kuwa Ulimwengu na vilivyomo ni matokeo ya intelligent ya hali ya juu mno na haiwezekani iwe imetokea kwa ajali tu.
Kilichofuatia ni kutafita ni imani IPI inazungumzia ukweli wa Mungu

Wewe unaongelea imani rather than fact ukiulizwa unajinganya mara useme ukiristo sio dini sjui nini.

Maswali niliyowauliza hamkujibu. mmeanza kuleta siasa zile zile za kumfanya Mungu wenu kuna maneno hayajui. ubaya zaidi si ninyi tu wakiristo hata waislamu. Ivi wewe Nkwesa ungekua unafikiri sawa sawa ungekua mkiristo? Ivi hamjiulizi kwanini mapadri wenu ambao wanawadanganya wanaingia kwenye uislamu rather than mashehe wanavyoingia ukiristo? Au na hilo unapinga?

Mana unavyojifanya unafikiri sawa sawa ni kana kwamba Mungu wenu aliweka akili za watu wote kwako afu wewe ndio unazigawanya kwa watu.

Mmkalia kisiasa siasa! Mungu wenu Muongo, mbaguzi, unreasonable na udhaifu mwengine mwingi tu. mlivyofumba macho mnashindwa kukubali ata ushaifu mmoja tu wa Mungu wanu. afu unajita CRITICAL THINKER!!! Ivi unajua maana ya ilo neno?

Hujiulizi hata dini hiyo umeipata vipi, hujiulizi ingekuaje ungelazimishwa kuamini dini hiyo, hujiulizi walioleta hizo dini wamekuja kufanya nini hapa. Ok chaguo ni lako.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaa! Ntuzu unapenda kunizungusha zungusha. Hawa manabii wenu wa leo mtamalizana nao coz mnawajua wenyewe mimi ata nisingependa kuwajadili. koz i know ni manabii njaa, wazinzi na waongo.

Usikwepe swali nimeuliza from Adam-ibrahim to Yesu. kuna nabii gani alieshushwa nje na Middle East?


Unaona Sasa everlenk? Nimemuuliza kitu kidogo tu kua unabii una ukomo? Hataki kujibu lkn muda si mrefu utasikia matabu yenu yamejaa uongo! Uongo gani huo wakati hujui ata km unabii hauna ukomo? Ungeweza kujua kua km unabii una ukomo basi ingekua rahisi kuweza kupata jibu kua kwanini manabii walitokea mashariki ya kati na pia wanaweza kutokea nje ya mashariki ya kati!

Rudi tena ukasome maandiko ktk matabu yanayosema uongo uone yanasemaje juu ya hili!

Sasa everlenk hili tu dogo limemshinda huyu rafiki yangu Mashaxizo sembuse hayo mambo uliotaka niongezee ya kitabu cha Daniel ata yaelewa kweli? Nina mashaka sn! Na kwasababu hajatoa jibu na Mimi simjibu kitu mpk aamue kujifunza sio ajifiche ktk kichaka cha utafiti wakati huo hamna lolote ktk huo utafiti!

Asanteni sana!

Mbarikiwe na Bwana.
 
Last edited by a moderator:
Wewe unaongelea imani rather than fact ukiulizwa unajinganya mara useme ukiristo sio dini sjui nini.

Maswali niliyowauliza hamkujibu. mmeanza kuleta siasa zile zile za kumfanya Mungu wenu kuna maneno hayajui. ubaya zaidi si ninyi tu wakiristo hata waislamu. Ivi wewe Nkwesa ungekua unafikiri sawa sawa ungekua mkiristo? Ivi hamjiulizi kwanini mapadri wenu ambao wanawadanganya wanaingia kwenye uislamu rather than mashehe wanavyoingia ukiristo? Au na hilo unapinga?

Mana unavyojifanya unafikiri sawa sawa ni kana kwamba Mungu wenu aliweka akili za watu wote kwako afu wewe ndio unazigawanya kwa watu.

Mmkalia kisiasa siasa! Mungu wenu Muongo, mbaguzi, unreasonable na udhaifu mwengine mwingi tu. mlivyofumba macho mnashindwa kukubali ata ushaifu mmoja tu wa Mungu wanu. afu unajita CRITICAL THINKER!!! Ivi unajua maana ya ilo neno?

Hujiulizi hata dini hiyo umeipata vipi, hujiulizi ingekuaje ungelazimishwa kuamini dini hiyo, hujiulizi walioleta hizo dini wamekuja kufanya nini hapa. Ok chaguo ni lako.
Mashaxizo katika kila andiko lako Mimi naona kumejaa majinga majinga, yaweza kuwa makuzi ya akili yako yaliathiriwa Sana ulipokuwa mtoto, Una matatizo makubwa katika kutafakari.

Kwanza umeonyesha udhaifu mkubwa Sana kifikra kusema ati mapadre kuingia Uislam ni kigezo cha Uislam kuwa ndio yenye mafundisho sahihi , Kama ni kweli mapadre wengi wanaingia Uislam ungejibidisha japo kidogo kujua ni sababu gani wanayotoa labda ungewwka hiyo sababu ili hoja yako iwe na mashiko.
Lakini kuna mambo ambayo Kama ungekuwa ni MTU anayefikiri usingetumia mfano wa mapadre kwa kuwa Kuwa Mkristo ni hiyari ya MTU free entry free exit hakuna tishio la kutolewa uhai ukikana imani. Nafikiri na uislam ni vivyo hivyo ?!
Lakini pia ungejua kwamba kujiita Mkristo sio chanjo ya upumbavu hata padre aweza kuwa mpumbavu ungeweka sababu wanazotoa ningekuonyesha jinsi zinavyoakisi viwango vyao vya matatizo kifikra.

Mungu aliumba sote tukiwa timamu tuwe na akili japo tunatofautia nature na makuzi, kuna makuzu yanadumuza uwezo wa MTU kutumia akili, uislam ni moja ya makuzi yanayoua uwezo wa MTU kufikiri akizoeshwa kukariri, nawe kwa kuwa ulianzia huko uwezekano mkubwa ni kwamba Una impaired reasoning Kama inavyojionyesha kwenye maandishi yako hapa.

Umeandika Mungu mwongo, dhaifu na unreasonable kwa vigezo vyako na nimekwambia wewe Una impaired reasoning, ungeweka hayo uliyoyafunga kwenye maneno ya jumla jumla kumhusu Mungu ungesaidiwa...

Critical thinking inahusu kujiuliza maswali na kuangalia kila hoja ukihusisha angalau utafakari juu ya "FIve Wives +One Husband "
Then ndipo unaweza kuhitimisha na ukiangalia rejea zingine.
Sasa kadri ya maandishi yako wewe sio GT hata Average haupo wewe ni lazy thinker perse.

Fanya mazoezi ya kujifunza kutafakari kwa kutumia hekima unayopata hapa.
Tatizo lako ulikuwa devoted Muslim na kuchelewa kuhoji hivyo uwezo wako kufikiri ulidumazwa sana .
Ndiyo sababu unaweza jengo hoja nzito Sana katika hoja dhaifu ati Mapadre waingia kwa wingi katika Uislam kuliko Mashekh waingiavyo Ukristo
Thinker angejua kwamba Uislam unakataza mafundisho huru ya dini nyingine kwenye himaya zake ... Lakini Ukristo ni MTU aelewa na aamue mwenyewe mnaruhusiwa kufundishana uislam pasipo kuingiliwa na Ukristo kwa namna yoyote. Hivyo usibabaishwe na wanaoingia uislam au ukristo Bali angalia sababu wanazozitoa Kama zina make sense.
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo katika kila andiko lako Mimi naona kumejaa majinga majinga, yaweza kuwa makuzi ya akili yako yaliathiriwa Sana ulipokuwa mtoto, Una matatizo makubwa katika kutafakari.

Kwanza umeonyesha udhaifu mkubwa Sana kifikra kusema ati mapadre kuingia Uislam ni kigezo cha Uislam kuwa ndio yenye mafundisho sahihi , Kama ni kweli mapadre wengi wanaingia Uislam ungejibidisha japo kidogo kujua ni sababu gani wanayotoa labda ungewwka hiyo sababu ili hoja yako iwe na mashiko.
Lakini kuna mambo ambayo Kama ungekuwa ni MTU anayefikiri usingetumia mfano wa mapadre kwa kuwa Kuwa Mkristo ni hiyari ya MTU free entry free exit hakuna tishio la kutolewa uhai ukikana imani. Nafikiri na uislam ni vivyo hivyo ?!
Lakini pia ungejua kwamba kujiita Mkristo sio chanjo ya upumbavu hata padre aweza kuwa mpumbavu ungeweka sababu wanazotoa ningekuonyesha jinsi zinavyoakisi viwango vyao vya matatizo kifikra.

Mungu aliumba sote tukiwa timamu tuwe na akili japo tunatofautia nature na makuzi, kuna makuzu yanadumuza uwezo wa MTU kutumia akili, uislam ni moja ya makuzi yanayoua uwezo wa MTU kufikiri akizoeshwa kukariri, nawe kwa kuwa ulianzia huko uwezekano mkubwa ni kwamba Una impaired reasoning Kama inavyojionyesha kwenye maandishi yako hapa.

Umeandika Mungu mwongo, dhaifu na unreasonable kwa vigezo vyako na nimekwambia wewe Una impaired reasoning, ungeweka hayo uliyoyafunga kwenye maneno ya jumla jumla kumhusu Mungu ungesaidiwa...

Critical thinking inahusu kujiuliza maswali na kuangalia kila hoja ukihusisha angalau utafakari juu ya "FIve Wives +One Husband "
Then ndipo unaweza kuhitimisha na ukiangalia rejea zingine.
Sasa kadri ya maandishi yako wewe sio GT hata Average haupo wewe ni lazy thinker perse.

Fanya mazoezi ya kujifunza kutafakari kwa kutumia hekima unayopata hapa.
Tatizo lako ulikuwa devoted Muslim na kuchelewa kuhoji hivyo uwezo wako kufikiri ulidumazwa sana .
Ndiyo sababu unaweza jengo hoja nzito Sana katika hoja dhaifu ati Mapadre waingia kwa wingi katika Uislam kuliko Mashekh waingiavyo Ukristo
Thinker angejua kwamba Uislam unakataza mafundisho huru ya dini nyingine kwenye himaya zake ... Lakini Ukristo ni MTU aelewa na aamue mwenyewe mnaruhusiwa kufundishana uislam pasipo kuingiliwa na Ukristo kwa namna yoyote. Hivyo usibabaishwe na wanaoingia uislam au ukristo Bali angalia sababu wanazozitoa Kama zina make sense.


Post yangu ya tatu ktk huu Uzi Wa huyu rafiki nilimwambia kua naona ameegemea upande Fulani. Hili niliweza kulisoma kutoka ktk kila hoja zake! Lkn huo upande ambao hajaengemea ndio hakuna kitu anachoelewa humo! Na ukimbana maswali anabaki kuzunguka tu! Yeye ajadili swala la uislam na kitabu chake na si ukristo na biblia kwasababu haufahamu ukristo na wala biblia haijui ingawa anaweza kua anajiamiani anaifahamu lkn mi nasema wazi hafahamu. Kwahiyo kujibu hoja za ukristo na biblia hatoweza. Na hapo ndio utafiti wake unapokua sifuli!

Asante.
 
Last edited by a moderator:
Post yangu ya tatu ktk huu Uzi Wa huyu rafiki nilimwambia kua naona ameegemea upande Fulani. Hili niliweza kulisoma kutoka ktk kila hoja zake! Lkn huo upande ambao hajaengemea ndio hakuna kitu anachoelewa humo! Na ukimbana maswali anabaki kuzunguka tu! Yeye ajadili swala la uislam na kitabu chake na si ukristo na biblia kwasababu haufahamu ukristo na wala biblia haijui ingawa anaweza kua anajiamiani anaifahamu lkn mi nasema wazi hafahamu. Kwahiyo kujibu hoja za ukristo na biblia hatoweza. Na hapo ndio utafiti wake unapokua sifuli!

Asante.

Hajafanya utafiki wowote zaidi Sana Uislam umemfanya aishi na msongo wa mawazo kiasi kaamua kujenga chuki na Ukristo.
Stress stress stress
 
Kivip!!!

Sema wewe kati ya hizo tatu ni ipi imethibitisha uwepo wake?

1- Sense organ hazijaproof.
2- Science haijaproof, only
imedhihiriaha uongo wake kupitia
matabu yenu matakatifu.
3- Logic inagoma pia.

Unarudi kulekule kwa kujiweka kuwa ambaye hupaswi kuproof,nimekuuliza hazija proof kvp?
 
Super natural power. nawala haiwezi kuandika tabu, haina mambo ya kudanganya na wala haihitaji kuabudiwa.

Sasa jibu wewe Mungu ni nani?

Hivi ulivyoniambia kwamba kwamba Mungu ana tafsiri tofauti tofauti ulikuwa na maana gani hasa?
 
Unaona Sasa everlenk? Nimemuuliza kitu kidogo tu kua unabii una ukomo? Hataki kujibu lkn muda si mrefu utasikia matabu yenu yamejaa uongo! Uongo gani huo wakati hujui ata km unabii hauna ukomo? Ungeweza kujua kua km unabii una ukomo basi ingekua rahisi kuweza kupata jibu kua kwanini manabii walitokea mashariki ya kati na pia wanaweza kutokea nje ya mashariki ya kati!

Rudi tena ukasome maandiko ktk matabu yanayosema uongo uone yanasemaje juu ya hili!

Sasa everlenk hili tu dogo limemshinda huyu rafiki yangu Mashaxizo sembuse hayo mambo uliotaka niongezee ya kitabu cha Daniel ata yaelewa kweli? Nina mashaka sn! Na kwasababu hajatoa jibu na Mimi simjibu kitu mpk aamue kujifunza sio ajifiche ktk kichaka cha utafiti wakati huo hamna lolote ktk huo utafiti!

Asanteni sana!

Mbarikiwe na Bwana.

Unaona matatizo yako Ntuzu? Wewe uliitwa uje utoe ufafanuzi or uje uulize maswali?

Kwanini unapenda kuuliza wewe tu?
Ikiwa wewe umesoma hicho kitabu kitakatifu na kukielewa si umtaje huyo mtume alieshushwa nje na hapo?

Unaleta habari za ukomo kana kwamba nimesema matabu yenu yamesema utume basi!!!! Iknow kwa waislamu utume basi pia najua wakiristo wanaendeleza huo mfumo.

Baada ya biblia ndio kunaibuka mitume kupitia sehem tofauti. embu jiulize kwani mitume isambae baada ya kusambaa biblia? Jee mitume yoote kabla ya biblia kwanini wote watokee pale middle east? yaani nashindwa kukuelewa ikiwa hujaelewa swali langu or umeelewa vizuri ila unaleta zile siasa zenu.

Labla nikufikirishe kidogo.
Mitume kabla ya biblia ilikuwa ni mitume ya dini gani ?1
2 Walizaliwa na wazazi wa dini gani or walipewa mafunzo ya dini gani na nani?

Then niambie mitume wenu wa sasa wamezaliwa na mitume wa dini gani or walipewa mafunzo gani na nani kabla ya utume wao?

Jaribu kuwa mkweli Ntunzu usiwe na katabia ka kutaka ujibiwe wewe tu tena kwa njia unayotaka wewe!!

Barikiwa pia.
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo katika kila andiko lako Mimi naona kumejaa majinga majinga, yaweza kuwa makuzi ya akili yako yaliathiriwa Sana ulipokuwa mtoto, Una matatizo makubwa katika kutafakari.

Kwanza umeonyesha udhaifu mkubwa Sana kifikra kusema ati mapadre kuingia Uislam ni kigezo cha Uislam kuwa ndio yenye mafundisho sahihi , Kama ni kweli mapadre wengi wanaingia Uislam ungejibidisha japo kidogo kujua ni sababu gani wanayotoa labda ungewwka hiyo sababu ili hoja yako iwe na mashiko.
Lakini kuna mambo ambayo Kama ungekuwa ni MTU anayefikiri usingetumia mfano wa mapadre kwa kuwa Kuwa Mkristo ni hiyari ya MTU free entry free exit hakuna tishio la kutolewa uhai ukikana imani. Nafikiri na uislam ni vivyo hivyo ?!
Lakini pia ungejua kwamba kujiita Mkristo sio chanjo ya upumbavu hata padre aweza kuwa mpumbavu ungeweka sababu wanazotoa ningekuonyesha jinsi zinavyoakisi viwango vyao vya matatizo kifikra.

Mungu aliumba sote tukiwa timamu tuwe na akili japo tunatofautia nature na makuzi, kuna makuzu yanadumuza uwezo wa MTU kutumia akili, uislam ni moja ya makuzi yanayoua uwezo wa MTU kufikiri akizoeshwa kukariri, nawe kwa kuwa ulianzia huko uwezekano mkubwa ni kwamba Una impaired reasoning Kama inavyojionyesha kwenye maandishi yako hapa.

Umeandika Mungu mwongo, dhaifu na unreasonable kwa vigezo vyako na nimekwambia wewe Una impaired reasoning, ungeweka hayo uliyoyafunga kwenye maneno ya jumla jumla kumhusu Mungu ungesaidiwa...

Critical thinking inahusu kujiuliza maswali na kuangalia kila hoja ukihusisha angalau utafakari juu ya "FIve Wives +One Husband "
Then ndipo unaweza kuhitimisha na ukiangalia rejea zingine.
Sasa kadri ya maandishi yako wewe sio GT hata Average haupo wewe ni lazy thinker perse.

Fanya mazoezi ya kujifunza kutafakari kwa kutumia hekima unayopata hapa.
Tatizo lako ulikuwa devoted Muslim na kuchelewa kuhoji hivyo uwezo wako kufikiri ulidumazwa sana .
Ndiyo sababu unaweza jengo hoja nzito Sana katika hoja dhaifu ati Mapadre waingia kwa wingi katika Uislam kuliko Mashekh waingiavyo Ukristo
Thinker angejua kwamba Uislam unakataza mafundisho huru ya dini nyingine kwenye himaya zake ... Lakini Ukristo ni MTU aelewa na aamue mwenyewe mnaruhusiwa kufundishana uislam pasipo kuingiliwa na Ukristo kwa namna yoyote. Hivyo usibabaishwe na wanaoingia uislam au ukristo Bali angalia sababu wanazozitoa Kama zina make sense.

Ili iwe nimefanya utafiti nilitakiwa nije na Jibu kwamba yesu ni Mungu, Mungu wa kweli.
Akikubariki utakwenda mbinguni.
Biblia takatifu imeandika ukweli, ukweli mtupu.
Biblia haijicontarict, tunajicontadict wenyewe.

Ookey kwa jjina la baba na la mwana na la roho mtakatifu nitawakuja na hayo majibu. Mniombee sana kwa bwana Yesu. Yesu ni mkombozi anaempinga kapotea.
Ntuzu, everlenk, Kizzy Wizzy Jina la bwana litukuzwe. Haleluya?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Mashaxizo utasumbuka sana na hawa watu maana wanajitoa ufahamu wenyewe. Lakini kwa faida ya watu wengine wanaopitia huu uzi ngoja tuendelee kuelimisha jamii. Nimeleta maelezo hapa namna gani hivyo vitabu vinavyodanganya na jinsi gani vilivyoandikwa kuwa ni kulingana na jamii za wakati ule.

Watu hawajiulizi hivi kweli mtu ambaye hajui kusoma inamaana hatamfahamu mungu?
What kind of this god mpaka watu waende chuo wakamsomee ili wafundishe wengine? mungu gani huyu wa kusomea na kufanya mitihani?
 
Last edited by a moderator:
Ili iwe nimefanya utafiti nilitakiwa nije na Jibu kwamba yesu ni Mungu, Mungu wa kweli.
Akikubariki utakwenda mbinguni.
Biblia takatifu imeandika ukweli, ukweli mtupu.
Biblia haijicontarict, tunajicontadict wenyewe.

Ookey kwa jjina la baba na la mwana na la roho mtakatifu nitawakuja na hayo majibu. Mniombee sana kwa bwana Yesu. Yesu ni mkombozi anaempinga kapotea.
Ntuzu, everlenk, Kizzy Wizzy Jina la bwana litukuzwe. Haleluya?

Acha utoto, utafiti unafanywa na matokeo yake huwekwa hadharani na kupatiwa maoni. Huwezi kusema umefanya utafiti na kuja na maswali ambayo yalijibiwa karne ya 5. Hujafanya utafiti wowote zaidi ya mihemko inayosababishwa na msongo wa mawazo.
Ungetafiti ungekuja na mswali na sio majibu.
Ungetueleza kile ulichopata kwenye maadiko yaliyopo kuhusu hoja zako na gap uliloliona na kuuliza namna ya kujaza.
Unajipa ujuzi ambao sio kwamba huna Bali uwezo wa kuona nao huna kwa kuwa Ina impaired reasoning. Kilichobaki kwako na kiltu ambacho kirakudaidia kukupunguzia madhara ya Elimu mfu iliyofisha reasoning yako ni kuleta maswali ujibiwe na uwe tayari kubadili mtazamo Kama kuna hoja unaipata lakini ukiwa na default position sawa ulivyo kwa sasa. Ni vigumu Sana kukufundisha.

Ungetafiti kweli ungeziona contradiction na majibu ambayo yalijibiwa na wale walioziona kwanza na kuzitafutia ufumbuzi. Hakuna kipya utachoona wewe kwenye biblia Leo , labda hata hiyo bible iwe mpya na iliyoghushiwa.
 
Last edited by a moderator:
Ili iwe nimefanya utafiti nilitakiwa nije na Jibu kwamba yesu ni Mungu, Mungu wa kweli.
Akikubariki utakwenda mbinguni.
Biblia takatifu imeandika ukweli, ukweli mtupu.
Biblia haijicontarict, tunajicontadict wenyewe.

Ookey kwa jjina la baba na la mwana na la roho mtakatifu nitawakuja na hayo majibu. Mniombee sana kwa bwana Yesu. Yesu ni mkombozi anaempinga kapotea.
Ntuzu, everlenk, Kizzy Wizzy Jina la bwana litukuzwe. Haleluya?

Duh!! Sasa hapa best yangu Mashaxizo umefanya mzaha,wala hata usipaniki tupo kuelimishana taratibu pasipo ngumi wala konde...... Sijajua hasa lengo ni mabishano ya dini au Mungu? Tunataka kujifunza au kubishana? Kama ni kubishana kwa kweli mimi huko simo kabisaa endeleeni kubishana na wala huyo Mungu hamtampata aliye sahihi kulingana na vigezo vyenu.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Mashaxizo utasumbuka sana na hawa watu maana wanajitoa ufahamu wenyewe. Lakini kwa faida ya watu wengine wanaopitia huu uzi ngoja tuendelee kuelimisha jamii. Nimeleta maelezo hapa namna gani hivyo vitabu vinavyodanganya na jinsi gani vilivyoandikwa kuwa ni kulingana na jamii za wakati ule.

Watu hawajiulizi hivi kweli mtu ambaye hajui kusoma inamaana hatamfahamu mungu?
What kind of this god mpaka watu waende chuo wakamsomee ili wafundishe wengine? mungu gani huyu wa kusomea na kufanya mitihani?

Haya hebu sasa eleza unawezaje kujuwa tu kuwa kuna Mungu na sifa zake?
 
Last edited by a moderator:
Acha utoto, utafiti unafanywa na matokeo yake huwekwa hadharani na kupatiwa maoni. Huwezi kusema umefanya utafiti na kuja na maswali ambayo yalijibiwa karne ya 5. Hujafanya utafiti wowote zaidi ya mihemko inayosababishwa na msongo wa mawazo.
Ungetafiti ungekuja na mswali na sio majibu.
Ungetueleza kile ulichopata kwenye maadiko yaliyopo kuhusu hoja zako na gap uliloliona na kuuliza namna ya kujaza.
Unajipa ujuzi ambao sio kwamba huna Bali uwezo wa kuona nao huna kwa kuwa Ina impaired reasoning. Kilichobaki kwako na kiltu ambacho kirakudaidia kukupunguzia madhara ya Elimu mfu iliyofisha reasoning yako ni kuleta maswali ujibiwe na uwe tayari kubadili mtazamo Kama kuna hoja unaipata lakini ukiwa na default position sawa ulivyo kwa sasa. Ni vigumu Sana kukufundisha.

Ungetafiti kweli ungeziona contradiction na majibu ambayo yalijibiwa na wale walioziona kwanza na kuzitafutia ufumbuzi. Hakuna kipya utachoona wewe kwenye biblia Leo , labda hata hiyo bible iwe mpya na iliyoghushiwa.

Wewe ndugu yangu nimekuletea vifungu vingi kweli vya kwenye biblia vinavyo muongelea huyo mungu wenu kuhusu uumbaji hujaja hapa na kutoa maelezo kuhusu hivyo vifungu.

Umejifanya kama huvioni. Biblia inaeleza dunia ina kona nne, inaeleza mungu aliumba mbingu na dunia pekee. Nikakuambia kuwa hii biblia iliandikwa kwaajili ya jamii za kale na haifai kwa sasa inabidi ibadilishwe.

Maana haiongelei computer, simu nk.
 
Ndugu yangu Mashaxizo utasumbuka sana na hawa watu maana wanajitoa ufahamu wenyewe. Lakini kwa faida ya watu wengine wanaopitia huu uzi ngoja tuendelee kuelimisha jamii. Nimeleta maelezo hapa namna gani hivyo vitabu vinavyodanganya na jinsi gani vilivyoandikwa kuwa ni kulingana na jamii za wakati ule.

Watu hawajiulizi hivi kweli mtu ambaye hajui kusoma inamaana hatamfahamu mungu?
What kind of this god mpaka watu waende chuo wakamsomee ili wafundishe wengine? mungu gani huyu wa kusomea na kufanya mitihani?

Mkuu nakumbuka hata Asprin ameeleza hilo na hata hawajapinga ila sijui kwanini wanapenda tu turudie yale yale.

Mimi nimeweka hoja na uzuri ni kwamba niweka hoja ambazo ni general kabisa na zenye kufikirisha mwanzoni walijibu kwa hoja ila sasa ni personal attack tu. nimeona niwaache tu. hiyo siku watapokufa nakuona hakuna moto ndio watajua hela zao zimeliwa bure makanisani.

Tuko pamoja mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Acha utoto, utafiti unafanywa na matokeo yake huwekwa hadharani na kupatiwa maoni. Huwezi kusema umefanya utafiti na kuja na maswali ambayo yalijibiwa karne ya 5. Hujafanya utafiti wowote zaidi ya mihemko inayosababishwa na msongo wa mawazo.
Ungetafiti ungekuja na mswali na sio majibu.
Ungetueleza kile ulichopata kwenye maadiko yaliyopo kuhusu hoja zako na gap uliloliona na kuuliza namna ya kujaza.
Unajipa ujuzi ambao sio kwamba huna Bali uwezo wa kuona nao huna kwa kuwa Ina impaired reasoning. Kilichobaki kwako na kiltu ambacho kirakudaidia kukupunguzia madhara ya Elimu mfu iliyofisha reasoning yako ni kuleta maswali ujibiwe na uwe tayari kubadili mtazamo Kama kuna hoja unaipata lakini ukiwa na default position sawa ulivyo kwa sasa. Ni vigumu Sana kukufundisha.

Ungetafiti kweli ungeziona contradiction na majibu ambayo yalijibiwa na wale walioziona kwanza na kuzitafutia ufumbuzi. Hakuna kipya utachoona wewe kwenye biblia Leo , labda hata hiyo bible iwe mpya na iliyoghushiwa.

Haya yanakujaje tena Mkuu?
Wewe mkiristo gani unaeambiwa 'Haleluya' na kushindwa kuitika 'Heemen'?

Hivi unachotaka ni tubishane tu!! Critical thinker mda huo sina kwa topic hii may topic nyengine.

Jina la bwana litukuzwe. HALELUYYA?
 
Mkuu nakumbuka hata Asprin ameeleza hilo na hata hawajapinga ila sijui kwanini wanapenda tu turudie yale yale.

Mimi nimeweka hoja na uzuri ni kwamba niweka hoja ambazo ni general kabisa na zenye kufikirisha mwanzoni walijibu kwa hoja ila sasa ni personal attack tu. nimeona niwaache tu. hiyo siku watapokufa nakuona hakuna moto ndio watajua hela zao zimeliwa bure makanisani.

Tuko pamoja mkuu.

Hahahahhah!!! Kwa hiyo wa misikitini,waliofanya kafara za ng'ombe na kuku makaburini, milimani watakuwa hawajaliwa eeeh?
My dear kwenda mbinguni is just a bonus unatakiwa hapa hapa uanze kula mema ya nchi kwa kumuona huyo Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom