A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Hahahaha!! Mashaxizo ni ngumu aiseee sababu mwanadamu toka mwanzo ni mbinafsi, kila mmoja anataka lake liwe sahihi, Biblia naweza kusema ni nzuri sana na ni mbaya sana iwapo utakosa kuielewa na inaweza kukufanya ukawa kichaa kabisaa.

Mfano kuna baadhi ya mistari hufanya watu wachanganyikiwe na kuwa vituko mfano hii mtakula sumu wala haitawadhuru, mtakanyaga nge na nyoka wala hawatawadhuru mtu anatoka moja kwa moja anachukua sumu anasema tumeambiwa Sumu haitatudhuru....

Au kuna mwingine unasema msinyimane mmepewa kupatana kwa muda basi wee full watu kugegedana ati wasinyimane...... Lol.

Ukiwa na mahusiano mazuri na Mungu utaongozwa kupata maana halisi ya neno, utaongozwa kwa lile ulilolisikia kutoka kwa Mungu linaendana vipi na neno, na je hilo lipo kwenye neno?

Kuna article fulani (philosophy of religion) moja ya part yake inaongelea "Language of religion" nimeona sana utata kama huo na huo utata kwa vitabu vyote vya dini. Wanadini wenyewe wanatetea na kusema kwamba watu wanatafsiri 'sisisi' vitabu vyao. naweza kukubali kwa upande mmoja but upande mwengine napinga coz Mungu hakueka wazi hapa ni sisisi na hapa ni context, i wonder how the text of God contain many ambiguity, wakati amaelewa watu wanauwelewa tofauti.

Labda nikuulize everlenk. Hivi unalichukuliaje suala la Mungu kutoa utume kwa watu wa Middle East TU? yaani from Adam - Ibrahim to Yesu. in fact to Muhammad but nimemuacha coz humuamini.
 
Last edited by a moderator:
Hayo maelezo yameanza kuelezea hali ya kwamba teyari ushaweka kanuni ya kwamba B hapaswi kuthibitisha,lakini huwezi kusema tu kwamba kitu fulani hakuna bila maelezo ya kwanini unasema hivyo.

Hahahaaaaaa! Tz mbongo chomoka huko. hivi utadanganywa danganywa mpaka lini na kuishi maisha ya kuogopa moto usiokuepo? hivi hujiulizi mtu akishakufa imani zenu zinasema sijui anaanza kuteswa kaburini! sijui Mungu anahifadhi roho sehemu. Sasa kwanini watu wenye tabia mzuri huwatokea jamaa zao hata baada ya miaka kumi ya vifo vyao? Au unataka kusema ni waislamu or wakiristo tu ndio huwarokea watu wao?

Then sijajiwekea kwamba B hawezi kuproof, hiyo ni general overview word wide na hata ktk uislamu (shariah) burden to proof an existence of some thing lies to somebody who allege such existence. wakiristo hawana hiyo coz mambo ya sheria na hukumu zake hakuna ktk biblia. sijaelewa everlenk alimanisha nini aliposema biblia haijaacha kitu!!!!!!!!

Ninaposema kitu fulani hakuna sina maana kwamba hakuna proof. hapa ningekuleta moja kwa moja na issue ya Mungu na ithibati kwamba hayupo.

1- Sense organ hazijaproof.
2- Science haijaproof, only imedhihiriaha uongo wake kupitia matabu yenu matakatifu.
3- Logic inagoma pia.
 
Last edited by a moderator:
Mie naamini mungu mmoja na naamini dini ya kweli ni moja.

Naomba uniambie nje ya dini watu wamemjuaje mungu?

Mmmh! sijui post yangu iliyopita hukuilewa or hutaki tu!!!!!

Nimekwambia Mungu anatafsiriwa tofauti kupitia maana tofauti. Huwezi kusema ili umjue Mungu ni lazima uwe na dini ukizingatia dini zote zinaongea uongo. Jee Mungu anaweza kuongopa?
Na usikute mimi namjua zaidi ya wewe!!! teh teh teh!!!

Hiyo dini ya kweli unayoijua wewe ni ipi????

Tafadhali usijifanye hujaliona hilo swali.
 
Hahahahaaaaa! si unaona siasa zenu hapo? Kwavile imeshagundulika jua halitembei sasa unamanisha pale Mungu hakukusudia or kumanisha Jua linatembea.

Chek na swali uliloniuliza hapo?
Wewe ni mtu yule ni Mungu, wewe ni dhaifu yule ni the perfect one. Wewe hujaumba lolote but yeye ameumba kila kitu.

Mtu utamfananishaje na Mungu? Sadly siasa hizi zinatumiwa hata na Muslim.
Ivi waumini ni nani aliewaroga?

Hatishwi mtu mkuu! mlinitisha sana but for now. MIMACHO YANGU IMEFUNGUKA VIZURI.

Mwamuzi ni wewe na MOYO wako, wala hautokuwa wa kwanza kubishia uwepo wa MWENYEZI MUNGU MUWEZA WA YOTE walishakuwepo wengi na walikuwa na uwezo mkubwa kuliko wewe kamtu kadogo lakini mwishowe walikubali na kuthibitisha wenyewe...

Kamtu kenyewe kadogo maskini hata AKILI hazija kukomaa vizuri alafu unaanza kupinga ukweli ULIOKUWAKO tangia enzi na enzi.

Ivi jiulize ni jambo gani kubwa la maana ulilowahi kulifanya hapa duniani Mpaka Dunia ikatikisika na kukutambua..., najua jibu ni hakuna coz mtaani kwako tu si bure watu hawakutambui sasa compare na ilivyo kwa MWENYEZI MUNGU....Anyway Jaribu kufikiri Maelfu Kwa mamia wanainama kifudifudi na kumwabudu MWENYEZI MUNGU inamaana wao wote wako-wrong na ni wewe pekee uko sahihi??

But all in all choice is yours, to believe or not to believe.
 
Kuna article fulani (philosophy of religion) moja ya part yake inaongelea "Language of religion" nimeona sana utata kama huo na huo utata kwa vitabu vyote vya dini. Wanadini wenyewe wanatetea na kusema kwamba watu wanatafsiri 'sisisi' vitabu vyao. naweza kukubali kwa upande mmoja but upande mwengine napinga coz Mungu hakueka wazi hapa ni sisisi na hapa ni context, i wonder how the text of God contain many ambiguity, wakati amaelewa watu wanauwelewa tofauti.

Labda nikuulize everlenk. Hivi unalichukuliaje suala la Mungu kutoa utume kwa watu wa Middle East TU? yaani from Adam - Ibrahim to Yesu. in fact to Muhammad but nimemuacha coz humuamini.

Unajuaje simuamini.....lol(jokes), kuna article fulani niliwahi iona kipind hicho nilipokuwa mbishi kama wewe kuhusiana na Mungu ilielezea vizuri sana kuhusu Utume ambapo wengi hudhani Afrika au mtu mweusi kama hakujaliwa na Mungu, ngoja niitafute nikiipata ntaitupia hapa tuchanganue vizuri.

Ila kifupi nachoelewa Mungu hakutoa utume kwa middle East tu, tukiangalia historia katika Biblia tunaona habari za Misri na mambo yake, Misri ni Afrika, zipo habar za Kushi hii nayo ni Afrika ambayo,zipo habar za mitume wa Yesu walipohubir kuna ambao walifika hadi Afrika na makanisa mengi yakaanzishwa huko, Mimi nachoona wenzetu wazungu walikuwa speed katika ufahamu ingawaje Historia ya kidunia inatuaambia ukoloni uliingia Afrika kupitia dini pia, ndo hivyo kuna mambo yalikuja kama mazuri kumbe ni mabaya na kuna mambo yalikuja kama mabaya kumbe yana kusudi.
 
Last edited by a moderator:
Mwamuzi ni wewe na MOYO wako, wala hautokuwa wa kwanza kubishia uwepo wa MWENYEZI MUNGU MUWEZA WA YOTE walishakuwepo wengi na walikuwa na uwezo mkubwa kuliko wewe kamtu kadogo lakini mwishowe walikubali na kuthibitisha wenyewe...

Kamtu kenyewe kadogo maskini hata AKILI hazija kukomaa vizuri alafu unaanza kupinga ukweli ULIOKUWAKO tangia enzi na enzi.

Ivi jiulize ni jambo gani kubwa la maana ulilowahi kulifanya hapa duniani Mpaka Dunia ikatikisika na kukutambua..., najua jibu ni hakuna coz mtaani kwako tu si bure watu hawakutambui sasa compare na ilivyo kwa MWENYEZI MUNGU....Anyway Jaribu kufikiri Maelfu Kwa mamia wanainama kifudifudi na kumwabudu MWENYEZI MUNGU inamaana wao wote wako-wrong na ni wewe pekee uko sahihi??

But all in all choice is yours, to believe or not to believe.

Kwanza kabisa mkuu thanks kwa hizo personal attack zako dhidi yangu. coz i know that i know nothing i don care at all. Siku zote mtu anaposhindwa kutetea hoja haachi kuleta viroja.

Mkuu ningependa utambue hapa hatubishani thus why yoyote mwenye kujua yuko huru just naangalia hoja zake na kamwe sitopingana na ukweli. moja ya sababu ya kuleta mada hii ni kuangalia ukweli uko wapi, coz i know i can be wrong like any other person!

:focus:
unaposema wote wanaoabudu hawana akili isipokua mimi. hapo nakataa.
Coz sio mimi tu nnaepinga matabu yenu matakatifu.

2- Wote wanaoinama na kumsujudia Mungu hawamsujudii "the same God" Jee kuna miungu wangapi?
 
Unajuaje simuamini.....lol(jokes), kuna article fulani niliwahi iona kipind hicho nilipokuwa mbishi kama wewe kuhusiana na Mungu ilielezea vizuri sana kuhusu Utume ambapo wengi hudhani Afrika au mtu mweusi kama hakujaliwa na Mungu, ngoja niitafute nikiipata ntaitupia hapa tuchanganue vizuri.

Ila kifupi nachoelewa Mungu hakutoa utume kwa middle East tu, tukiangalia historia katika Biblia tunaona habari za Misri na mambo yake, Misri ni Afrika, zipo habar za Kushi hii nayo ni Afrika ambayo,zipo habar za mitume wa Yesu walipohubir kuna ambao walifika hadi Afrika na makanisa mengi yakaanzishwa huko, Mimi nachoona wenzetu wazungu walikuwa speed katika ufahamu ingawaje Historia ya kidunia inatuaambia ukoloni uliingia Afrika kupitia dini pia, ndo hivyo kuna mambo yalikuja kama mazuri kumbe ni mabaya na kuna mambo yalikuja kama mabaya kumbe yana kusudi.

Hahahahaaaaa! everlenk itafute tu hiyo article, huenda nami nikajifunza mengi.

Napoongelea Middle East actually naonganisha na Noth Afrika (white Africans) ukiwa na atlas or google map ningependa uangalie vizuri.

Hakuna nabii Afrika ya kati wala kusini.
Hakuna nabii North, East wala West.
Hakuna nabii China wala Korea.
Hakuna nabii Marekani ya juu wala ya chini.
Hakuna nabii Australia.

Jee ni kwamba huko hakukua na watu?
Or walimuamini na kumuabudu Mungu automatically?
Or Mungu hataki ibada za hao watu?

Cc: Kizzy Wizzy.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa! Tz mbongo chomoka huko. hivi utadanganywa danganywa mpaka lini na kuishi maisha ya kuogopa moto usiokuepo? hivi hujiulizi mtu akishakufa imani zenu zinasema sijui anaanza kuteswa kaburini! sijui Mungu anahifadhi roho sehemu. Sasa kwanini watu wenye tabia mzuri huwatokea jamaa zao hata baada ya miaka kumi ya vifo vyao? Au unataka kusema ni waislamu or wakiristo tu ndio huwarokea watu wao?

Then sijajiwekea kwamba B hawezi kuproof, hiyo ni general overview word wide na hata ktk uislamu (shariah) burden to proof an existence of some thing lies to somebody who allege such existence. wakiristo hawana hiyo coz mambo ya sheria na hukumu zake hakuna ktk biblia. sijaelewa everlenk alimanisha nini aliposema biblia haijaacha kitu!!!!!!!!

Ninaposema kitu fulani hakuna sina maana kwamba hakuna proof. hapa ningekuleta moja kwa moja na issue ya Mungu na ithibati kwamba hayupo.

1- Sense organ hazijaproof.
2- Science haijaproof, only imedhihiriaha uongo wake kupitia matabu yenu matakatifu.
3- Logic inagoma pia.

Sheria na hukumu katika Biblia zipo sana ndo maana hata kipind cha Musa waliweka sheria na hukumu zao, hata katika agano jipya tunaona kuna kipindi machafuko yalitokea wale watu wa kanisa la kwanza wakaanza kugombana wao kwa wao huyu akisema mimi ni wa Kefa na huyu ni wa Paulo na hii kitu ipo mpaka leo ndo maana unaona wakristo wako tofauti wapo ambao bado uhukumu kulingana na sheria hizo na wapo ambao huzingatia zile sheria wakiishi kwa hizo.


Kwangu mimi kama Everlenk na ninavyomuelewa Mungu huna haja ya kuwa na masheria kibao, au utamlazimishaje mtu aishi kulingana na matakwa yako atakuwa mwema usoni pako ilihali moyoni ameoza, ukimjua Mungu yeye mwenyewe atakupa sheria zake utajikuta una do's na don't s ,unajihukumu mwenyewe kwamba hili nilifanyalo si la kimungu, hutalazimishwa mpende Mungu au fanya hiki Mungu ndo anapendezwa, katika Yale asiyopendezwa nayo utayaona huna amani kabisa,guilty..... ,na Yale apendezwayo utapata amani ya ajabu isiyo na mfano, yatakupa furaha, afya na ustawi wa roho na mwili wako,Mungu haitakuwa ni story bali utaona hata kwako anatenda kama yale uliyoyasikia aliwatendea wengine ,utafurahia uwepo wake daima wala hutatishika na habar za moto kwenda mbinguni kwako itakuwa ni bonus tu, mema ya nchi utaanza kuyafaidi hapa hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa mkuu thanks kwa hizo personal attack zako dhidi yangu. coz i know that i know nothing i don care at all. Siku zote mtu anaposhindwa kutetea hoja haachi kuleta viroja.

Mkuu ningependa utambue hapa hatubishani thus why yoyote mwenye kujua yuko huru just naangalia hoja zake na kamwe sitopingana na ukweli. moja ya sababu ya kuleta mada hii ni kuangalia ukweli uko wapi, coz i know i can be wrong like any other person!

:focus:
unaposema wote wanaoabudu hawana akili isipokua mimi. hapo nakataa.
Coz sio mimi tu nnaepinga matabu yenu matakatifu.

2- Wote wanaoinama na kumsujudia Mungu hawamsujudii "the same God" Jee kuna miungu wangapi?

Embu kwanza twende taratibu...

Wewe nia yako ni ipi haswa?
Uzi wako huu ulioanzisha,tittle yake na point zako unazochangia katika mada nyingine kama zinanichanganya....

Ni kwamba unapinga uwepo wa Mungu wetu sisi wakristu na unakubali uwepo wa miungu mingi mingine nashindwa kukusoma clearly....!
 
Hahahahaaaaa! everlenk itafute tu hiyo article, huenda nami nikajifunza mengi.

Napoongelea Middle East actually naonganisha na Noth Afrika (white Africans) ukiwa na atlas or google map ningependa uangalie vizuri.

Hakuna nabii Afrika ya kati wala kusini.
Hakuna nabii North, East wala West.
Hakuna nabii China wala Korea.
Hakuna nabii Marekani ya juu wala ya chini.
Hakuna nabii Australia.

Jee ni kwamba huko hakukua na watu?
Or walimuamini na kumuabudu Mungu automatically?
Or Mungu hataki ibada za hao watu?

Cc: Kizzy Wizzy.
Mashaxizo mataifa hayo yapo kwenye Biblia yakishatajwa tayari inadhihirishwa watu wake wapo katika mpango wa Mungu hata kama hakukuwa na Nabii aliyetajwa moja kwa moja na Biblia , tumia muda tu kusoma Biblia na kugoogle, bahati mbaya mimi historia sizipend nitaomba wengine wakusaidie katika hilo..........
Ila mfano Babylon,the Golden cup hand of God wanavyojiita wenyewe ndo America ya sasa,kuna mataifa yaliyotajwa kama Persian ambayo ndo Iran, Syria, Australi(Armstrong)kama Australia Sinim kama sikosei Isaya 49:19 imeelezea hayo ......pia ndoto ya Nebukadreza ambayo Daniel alitafsir kuna mataifa yameelezwa pale...... Ntuzu saidia hapa tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
...........

Hata leo tunaambiwa Wazungu wanaakili sana kuliko sisi Weusi, na watu kama wewe kuamini hivyo! Kwahiyo siwezi kushangaa kuwa umeaminishwa na kuamini kuwa Nebuchadnezzar alikuwa na akili kuliko binadamu yoyote aliyepata kuishi! Upande mwingine, tunaambiwa Suleiman alikuwa na akili, hekima na busara kuliko binadamu yoyote!!! Haya mambo ya Mungu na Uungu, they only exist in your own mind, and those who make their living by preaching! Lazima wazidi kukuogopesha.......though uoga huo usaidia kuwepo kwa Amani.......... Ila uwezi kunidanganya kuwa there is life after death na kwamba kuna supernatural powers

mkuu jaribu kusoma kwa umakini, vinginevyo itanitia shaka hata yawezekana fact nyingine kuhusu uwepo wa Mungu huwa hautulii unapokuwa unazimeng'enya. Nimesema nebkaneza with reference ya watu wanaoishi current world na sio tangu dunia iiumbwe.

MUNGU yupo chief, Mafundisho ya kutokuwepo kwa Mungu ni miongoni mwa siraha za Shetani kuwapoteza watu mwelekeo. Kupitia wasomi na wananzuoni wanaoaminika kwa maandishi ya kielevu.

SEARCH HIM AND YOU WILL FIND, Mimi ninachokushauri kama Soma Bibilia Daniel husianisha na historia ya dunia kabla na baada ya yesu. Na karenda ya matukio ya dunia hii. utagundua Mungu yupo.

Mwenzako msomi Isaac Newton kwa kutulia na kufanya utafiti kama yaliyosemwa na bibilia juu ya Mungu na Kuchunguza History alipata majibu ya maswali yanayokusumbua. alikufa pia akiamini Mungu yupo na Kuna siku atakuja kuwachukua wanaomwamini.

Amini na Ukatii. Utakuwa umechagua fungu jema ambalo hautajuta milele. GOD EXIST
 
Hahahaaaaaa! Tz mbongo chomoka huko. hivi utadanganywa danganywa mpaka lini na kuishi maisha ya kuogopa moto usiokuepo? hivi hujiulizi mtu akishakufa imani zenu zinasema sijui anaanza kuteswa kaburini! sijui Mungu anahifadhi roho sehemu. Sasa kwanini watu wenye tabia mzuri huwatokea jamaa zao hata baada ya miaka kumi ya vifo vyao? Au unataka kusema ni waislamu or wakiristo tu ndio huwarokea watu wao?

Then sijajiwekea kwamba B hawezi kuproof, hiyo ni general overview word wide na hata ktk uislamu (shariah) burden to proof an existence of some thing lies to somebody who allege such existence. wakiristo hawana hiyo coz mambo ya sheria na hukumu zake hakuna ktk biblia. sijaelewa everlenk alimanisha nini aliposema biblia haijaacha kitu!!!!!!!!

Ninaposema kitu fulani hakuna sina maana kwamba hakuna proof. hapa ningekuleta moja kwa moja na issue ya Mungu na ithibati kwamba hayupo.

1- Sense organ hazijaproof.
2- Science haijaproof, only imedhihiriaha uongo wake kupitia matabu yenu matakatifu.
3- Logic inagoma pia.

Hazija proof kvp?fafanua.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh! sijui post yangu iliyopita hukuilewa or hutaki tu!!!!!

Nimekwambia Mungu anatafsiriwa tofauti kupitia maana tofauti. Huwezi kusema ili umjue Mungu ni lazima uwe na dini ukizingatia dini zote zinaongea uongo. Jee Mungu anaweza kuongopa?
Na usikute mimi namjua zaidi ya wewe!!! teh teh teh!!!

Hiyo dini ya kweli unayoijua wewe ni ipi????

Tafadhali usijifanye hujaliona hilo swali.

Suala la Mungu bado tunatatizana halafu unataka nikutajie dini ya kweli..!! Eleza kwanza Mungu unamtafsiri vp?
 
Mashaxizo mataifa hayo yapo kwenye Biblia yakishatajwa tayari inadhihirishwa watu wake wapo katika mpango wa Mungu hata kama hakukuwa na Nabii aliyetajwa moja kwa moja na Biblia , tumia muda tu kusoma Biblia na kugoogle, bahati mbaya mimi historia sizipend nitaomba wengine wakusaidie katika hilo..........
Ila mfano Babylon,the Golden cup hand of God wanavyojiita wenyewe ndo America ya sasa,kuna mataifa yaliyotajwa kama Persian ambayo ndo Iran, Syria, Australi(Armstrong)kama Australia Sinim kama sikosei Isaya 49:19 imeelezea hayo ......pia ndoto ya Nebukadreza ambayo Daniel alitafsir kuna mataifa yameelezwa pale...... Ntuzu saidia hapa tafadhali.

everlenk rafiki yangu Mashaxizo kuna mambo mengi sn yanampita kushoto! Ndio maana kuna swali nili muuliza hapo nyuma akakosa majibu na kudai nilifafanue vzr hilo swali! Na nitakuja kulifafanua tu nikipata nafasi ili aweze kuona kile anachosema hakina mashiko!

Kwa mfano ktk post uliyomkoti anauliza hakuna manabii kutoka Australia au kusini mwa Africa etc. Sasa hapa naweza kumuuliza swali. Kwa mujibu Wa Biblia nyakati za manabii zimeshaisha? Au unabii una ukomo? Hapa ngoja tusubiri majibu Yake uone atasema nini juu ya utafiti wake!
 
Last edited by a moderator:
Embu kwanza twende taratibu...

Wewe nia yako ni ipi haswa?
Uzi wako huu ulioanzisha,tittle yake na point zako unazochangia katika mada nyingine kama zinanichanganya....

Ni kwamba unapinga uwepo wa Mungu wetu sisi wakristu na unakubali uwepo wa miungu mingi mingine nashindwa kukusoma clearly....!

I was Muslim. Sasa siamini dini yeyote. 1-9 ktk mada ni vitu nilivyoviona ktk dini. Just nilijiuliza kwanini sisi Muslim tunajiona ndio wa dini ya haki? Then nikaobserve kila imami inajihisi hivyo. nikaamua kutafiti (sio rasmi sana).

Kwa vile naweza kuwa wrong. nimeweka hapa hiyo 1-9. kwa mjadala nijue ipi inaukweli na kwa kiasi gani.
 
Mashaxizo mataifa hayo yapo kwenye Biblia yakishatajwa tayari inadhihirishwa watu wake wapo katika mpango wa Mungu hata kama hakukuwa na Nabii aliyetajwa moja kwa moja na Biblia , tumia muda tu kusoma Biblia na kugoogle, bahati mbaya mimi historia sizipend nitaomba wengine wakusaidie katika hilo..........
Ila mfano Babylon,the Golden cup hand of God wanavyojiita wenyewe ndo America ya sasa,kuna mataifa yaliyotajwa kama Persian ambayo ndo Iran, Syria, Australi(Armstrong)kama Australia Sinim kama sikosei Isaya 49:19 imeelezea hayo ......pia ndoto ya Nebukadreza ambayo Daniel alitafsir kuna mataifa yameelezwa pale...... Ntuzu saidia hapa tafadhali.

Hahahaaaa. Afadhali umemsogeza huyo Ntuzu (alikimbia... hahahahahaaaa)

Eve kweli biblia imetaja maeneo mengi na tofauti (na quran pia) but Hakuna mtume aliepelekwa huko save Middle East. may be im wrong. hope Ntuzu atanitajia ata mtume mmoja alieshushwa nje ya middle east.
 
Last edited by a moderator:
Hazija proof kvp?fafanua.

Kivip!!!

Sema wewe kati ya hizo tatu ni ipi imethibitisha uwepo wake?

1- Sense organ hazijaproof.
2- Science haijaproof, only
imedhihiriaha uongo wake kupitia
matabu yenu matakatifu.
3- Logic inagoma pia.
 
Suala la Mungu bado tunatatizana halafu unataka nikutajie dini ya kweli..!! Eleza kwanza Mungu unamtafsiri vp?

Super natural power. nawala haiwezi kuandika tabu, haina mambo ya kudanganya na wala haihitaji kuabudiwa.

Sasa jibu wewe Mungu ni nani?
 
Back
Top Bottom