Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,319
Sasa hapo ndio umeandika nini?
Mbona bible hiyo inakubali Mungu ni mpu.mbavu?
Ivi ni nani hasa mpum.bavu kati ya Yule anaeadhibu mtoto kwa kosa la babu yake na yule na yule aliesema Mungu wa hivyo hayupo?
Well Apologise lady, watu wamefungwa na nidhamu ya uoga, wanashindwa kutrace hata historia ya imani yao, wanashindwa hata kusoma matabu yao matakatifu na kuona walivyochanganyiwa pilau na mrenda. fikra zao zimefungwa.
Habari za hapa.
Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.
Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.
My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.
HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:
1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.
2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.
Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?
3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)
4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)
Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?
5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!! but wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)
6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.
Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?
Na wewe unawaza hivi...?
Sitaki kuamini.
Nakusoma vyema mkuu.
Embu tujaribu kueka inference hii:
Kwamba wewe unawatoto wako wawili, unawapenda sana, ukawambia kitu fulani msifanye (coz kinamadhara kwao) but watoto wakakengeuka na kufanya. Jee utawaacha tu kwa vile ulishawakataza?
Does it logically? If not, why?
Well Apologise lady, watu wamefungwa na nidhamu ya uoga, wanashindwa kutrace hata historia ya imani yao, wanashindwa hata kusoma matabu yao matakatifu na kuona walivyochanganyiwa pilau na mrenda. fikra zao zimefungwa.
Well Apologise lady, watu wamefungwa na nidhamu ya uoga, wanashindwa kutrace hata historia ya imani yao, wanashindwa hata kusoma matabu yao matakatifu na kuona walivyochanganyiwa pilau na mrenda. fikra zao zimefungwa.
Basi wewe nithibitishie haya:
Nijibu kwanza hayo ili mimi nibadili mtazamo.
- , Mungu yuko wapi?????
- Ni jinsia gani???
- Ni mfano wa nani, mzungu , mwafrika, muhindi , mchina, mwarabu??????
- Kwanini aumbe dunia tu, hizo sayari nyingine zilikujaje??????
- Biblia iliandikwa na nani?????
- Mtu akifa anaenda wapi????? ni vizazi vingapi vimepita hadi sasa mbona havifufuki??????
Ninachokiamini:
Mungu,hahitaji nadharia yoyote kuthibitisha kuwepo au kutokuwepo kwake.
Nadharia na tafiti hazikuwepo. Sasa zipo.Zinaweza kuendelea kunadharishwa nyingine pia.
Mwisho wa siku: Mungu,Yeye alikuwepo. Yupo. Ataendelea kuwepo.
I rest my case.
Vizuri umeanza kwamba Nachokiamini wewe.
Kila mtu huamini apendacho vile vile huwezi kuniambia vyote viaminiwavyo ni kweli/sahihi. kwa mantiki hiyo huna uhakika unachokiamini wewe ni sahihi or nnachokiamini mimi sio sahihi. Mimi nimewekq fact kwamba hicho mnachokiamini wakiristo na waislamu sio sahihi.
Once again vizuri ulivyorest your case ila hiyo ni mbaya kwa lishe ya ubongo wako.
Haya ndio yale madhara ya kula tunda la mti wa kati tunda la ujuzi wa mema na mabaya
Neno litasimama, mambo yote yatapita lakini neno litasimama milele, wale wote waliojaribu kuichallange Bible miaka na miaka na hata kuandika tafiti na nadharia za kusadikika na kufikirika huku wakijaza mabuku na mabuku, walishaondoka na kusahaulika lakini NENO limeendelea kusimana
...mtoa mada ukitaka kujua unaamini kuwa Mungu yupo rejea pionti yako namba tano, nanukuu "kuziba errors ambazo Mungu ameziacha" so stop wasting our time kwa kuleta porojo kwenye mambo ya msingi ambayo nafsi yako pia inaamini ukweli Wa Mungu. Nenda ukany..e ukalale....
Japo nina shida na taabu za kila aina siwezi hadharani na kusema hakuna mungu. Nina imani ipo nguvu kuu takatifu juu yangu. Darwins alikuja na evolution theory yake karne ya 18 mungu ameshahubiriwa sana. Wazungu walileta habari njema Africa na penginepo kama ilivyoandikwa. Tunawiwa shukrani kwao badala ya kuwatukana
"Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu."
Mkuu Mashaxizo mie nina mashaka na hayo maelezo yako hapo juu. Uliposema kwamba umefanya research nikadhani kwamba utakuwa umezama ktk mafundisho ya hizo dini na kuja na mambo mapya, hivyo nikawa na hamu ya kuona ulichokipata kwenye hiyo research,lakini aina ya maswali uliyokuja kuuliza hayana tofauti na ambao hawajadai kufanya research.
Hebu kwanza tuambie hiyo research yako uliifanya vp? kwa sababu kama kweli ungekuwa umefanya research basi usingekuja kuuliza maswali kama hayo. Swali lako la kwanza tu linaonesha haujafanya research.
Kwani hapo pa kuactivate hiyo power ya kufanya miujiza umesema ni kusali sana swali unasali vipi kama Mungu hayupo hata Yesu alisali kwa Mungu
Ndugu katika utafiti wako umeanza kwa kujiweka kwenye Box.
Toka kwanza kwenye Box la Mungu wa dini Fulani uje nje umwangalie Mungu na broad picture ya Uumbaji.
Huwezi kutaja watu ili kupata ukweli wa Mungu kuwepo au kutokuwepo
Tunaoamini Mungu kutuumba tunaamini alituwekea hekima na uwezo ili kujitafakari na kutafakari.
Wewe umeamua kuzima kitengo chako cha hekima na kutafakari na kujitafakari umeamua ktafuta Mungu kwa kuangalia watu wengine na maeneo yao ya Kijiografia.
Pole...