Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Ivi mkuu ulitaka niseme biblia na quran zipo sahihi kwa pamoja? Nilichokiona mchanganyiko wa ukweli, uongo and many unreasonable teachings.
Kitabu cha Mungu kitasemaje uongo?
Ningeomba kwanza kujua japo kwa ufupi uliifanya vp hiyo research? maana mie nina mashaka kuwa huenda hukufanya research kabisa kutokana na hayo maswali uliyouliza.