A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Habari za hapa.

Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.

Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.

My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.

HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:

1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.

2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.

Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?

3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)

4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)

Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?

5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!!

But wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)

6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.

Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?

7. Sifa anazopewa/anazojipa Mungu ni za uongo.

a) Mungu nimuweza wa yote. Kwanini haifanyi dunia kua sehwm salama? Kwanini mauaji? Kwanini unyama? Si anaweza yote? kwanini hazuii? For what? Ivi apa hamuoni ni sawa na mtu anaekwambia anapesa but ukimwambia nioneshe anakwambia nimeziacha nyumbani???

b) Mungu ni mpangaji wa kila kitu.
Nadharia hii jiliipinga wakati naamini na nilitetea kwamba Mungu anajua tu ila hapangi but niliambiwa napingana na maandiko. na kweli nilipewa ushahidi wa wa Maandiko Kwamba Mungu akimpangia mtu kupotoka hakuna wa kumuongoa na aliemuongoa hakuna wa kumpotosha!!!!

So ikiwa amepanga kila kitu kwanini aje aadhibu then?
Jee Mungu anaupendeleo? Sasa kwanini atupungie yeye matendo yetu? kwanini asituache tukaact by our own free will?

c) Mungu ni mkamilifu.
Kwanini anaumba vilema? Matahira? Wamemkosa nini hao? Au ukamilifu wake uko limited kwa baadhi ya vitu tu? Au vilema na matahira wameumbwa na nani?

d) Anapenda watu wote. Kwanini wengine wanahangaika sana? Kwanini wengine wanadhulumiwa sana? ukumbuke yeye ni mueza wa kila kitu.

Then kama anapenda kila mtu kwa nini ameahidi tabu na mashaka kwa vizazi vya Izrael kwa makosa ya mababu zao? Hawa wanaozaliwa sasa wamemkosea nini?

HOW UNREASONABLENESS GOD HE IS?

Sifa za uongo anazonyingi but let me skip and wait somebody who is interested on that point.

8. Ukweli juu ya Astrology. Astrology ni uhusiano wa mizunguko ya sayari na tabia za mtu kwa kuzingatia tarehe na saa aliyozaliwa. Najua hili ni somo geni kwa wengi wetu humu. but not an issue, ili nawe ujue ukweli wa astrology nitaweka link just put your information as it required on the given link so as to comment on this point.

https://alabe.com/freechart/

Hapo utagundua nini kimeinfluence tabia zako. Na kwa mantiki hiyo unapata jibu si kila unavyofanya or ulivyoepangiwa na Mungu also utajua si Mungu pekee anaeijua kesho ikizingatia alishasema hakuna anaeijua kesho. Ningependa kupokea hoja kwa point hii kwa mtu alietoa uvivu na kuingia humo. Narudia tena sipendi ubishi wa kiji.nga.

9. Miujiza na maono waliyokuwa nayo mitume ni uwezo alionao kila mwanadamu.

Inaaminika mitume waliweza kuota ndoto za kweli pia waliweza kutafsiri ndoto za wengine.
Waliweza kutabiri mambo yajayo pia waliweza kuelezea mambo mengi yaliyopita.
Pia waliweza kufanya miujiza tofauti tofauti.

Watu wengi hudhani yale ni Miujiza kutoka kwa Mungu kitu ambacho sio kweli, it just how they succeed to activate their pineal gland. Pineal gland ni part ya ubongo iliopo kati lakini chini ya ubongo wa kila mwanadamu. ingia ata google uone picha. Ukiweza kuactivate pineal gland unafungua nguvu zako za maono na miujiza. pineal gland kwa kishwahili wanaita jicho la tatu.

Ile miujiza sijui maono just ni psychic powers ambazo kila binadamu anazo sema zinatofautiana tu kidogo.

Wakiristo wengi huibiwa pesa zao makanisani kwa nguvu hizi. then ata biblia imegusia ili somo sema tu watu tuwavivu wa kusoma. always tunakarirshwa machache ili wajanja wale vyao bila tabu.

Namna ya kuactivate jicho la tatu ni kumeditate (tahajudi/kusali), hata Yesu inaaminika alikua akisali. wakiristo hawajiulizi huyu Mungu alikua akimsalia nani? Yeye si ni Mungu, si angefanya tu mambo yake bila ya kusali. ukija kwa uislamu tunaambiwa Muhammad alikua akienda milimani kusali kabla ya kupewa utume. tunaambiwa alipofatwa na mfalme najash ili kuthibitisha utume wake alisali kwanza, mifano ni mengi na inaanzia kwa ibrahim.

Point hapa ni kwamba wale waliodevelop vizuri pineal gland zao na kujitangazia utume ndio mitume iliyoorodheshwa kwenye vitabu. pia ikumbukwe ilifikia uwepo wa mitume miwili kwa wakati mmoja na ilitokea mtoto alikua mtume, baba yake alikua mtume, babu yake alikua mtume na yeye mwenyewe akazaa mtume. hiyo iko kwenye biblia na quran too. (anaepinga naweka ushahidi)

Nisiwachoshe sana. hivyo ndivyo nilivyogungua kwenye reseach yangu.
Yoyote mwenye kupinga naskiliza hoja yake.

Huo ni ukweli mtupu na ndio mana wanasma dini ni imani, na definition ya imani ni kuamini kuwa jambo fulani ni la kweli kweli kabisa bila ushahidi
 
vitu vingi umeongea ukweli lakn wabongo kwa imani zao huwez kuwashawishi, hizi dini mbili ni mawazo yaliibuka hapo middle east watu waka copy na kupest na kutuletea huku. yaani mungu ambaye anaona dunia yoote awe na uvivu wa kupeleka imani mwenyewe brazil,afrika,china hadi watu waje wamsaidie tena wengine through vita?????

Mkuu when i was Muslim niliuliza swali hilo kwa mashehe wakaanza kunipa siasa kwamba Mungu alituma mitume jamii zote! teh teh, nilipouliza ni Mtume gani alietumwa nje ya far east wakaniambia Mungu hakutaka tu kuwataja kwenye kitabu kitakatifu! But unaweza kujiuliza mbona hakuna historia yoyote au kitabu cha historia kinachoonesha nje na far east kulikua na hayo mafundisho? Hapo unaambiwa Mungu ndie ajuae!!!!

Swali hilo hilo nililileta hapa jf atleast kuskia na mawazo ya wakiristo bu ile mada ilifika page tano bila jibu.
 
mkuu ninachofurahi ni kuwa angalau asilimia tisini ya maswali yako yanaufumbuzi kupitia neno lake ila kama ukiamua kujifunza kwa unyenyekevu.

Wewe sio wa kwanza hata paul wakati akiitwa sauli alikuwa anaua watumishi akidhani anafanya kazi ya Mungu kumbe alijichanganya.

Mfalme NEBUKADNEZA alikuwa na akili nyingi pengine kuliko mtu yeyote anayeishi duniani kwa sasa. Lakini wakati ulipofika pamoja na miungu yake yote. alikubali na kukili Hakuna kama Mungu wa Israel.

Ninachoomba ukweli huu uuelewe mapema kabla haujachelewa na moyo wako kuziba kabisa uwezekano wa kupokea ukweli.
natanguliza shukurani. kwa huo utangulizi wangu

Mkuu kwanini Mungu wa Israel? kwanini asiwe Mungu wa watu wote? Ivi kunauhusiano kati ya Mungu na Waizrael?
 
Ila matumizi ya android na simu yameibukia kisarawe kwenu. Au uvumbuzi wa vitu Vingi mnavyovitumia waafrika vimetokea mzenga ndiyo sababu mnapata shida na hsbari za dini kutokea far east ?

Hahahahaaaaa! we mjamaa sijui unatumia kiungo gani kufikiri? Ivi ulitaka kusema nini hapo?
 
Maswali haya aliyouliza mtoa mada ni maswali mazuri. Wengine wanaweza kuona anakufuru. Naomba ni-declare interest kwamba mimi ni mtu wa imani.

Kuna makundi mawili ya watu.
1- Watu wanaomwamini Mungu kwa mkumbo: Hawa wao hawajawahi kukutana au kuzungumza na Mungu katika maisha yao. Ama ushirika wao na Mungu ni wa kubahatisha.
2- Watu wanaomwamini Mungu wanayemjua. Hawa wanaweza kuwa walianza kwa mkumbo, lakini baadaye walifika mahali pa wao kukutana na Mungu katika maisha yao. Hawa wanamjua Mungu wanayemwamini.

Maswali hayo ya mtoa mada nimeyapenda kwa sababu yanawa-challenge watu wa kundi la kwanza juu ya imani yao ya mkumbo.

Kwa mtu wa kundi la pili, hayampi shida. Mtu anakwambia Mungu hayupo, wakati wewe asubuhi tu Mungu huyo ametoka kuzungumza na wewe juu ya mipango aliyonayo katika maisha yako kwa mwaka ujao, inawezaje kukusumbua?

Mkuu unalichukuliaje suala la mitume wote kutokea far east?

Na jee unauchukuliaje uongo na unreasonable teachings zilizomo kwenye vitabu vitakatifu?
 
Dhana ya uwepo wa Mungu haihusishi jinsi wanadamu wanavyoabudu,bali inajumuisha makundi yote yenye uhai.
Tunaweza kusema sisi kama binadamu kuwa hakuna Mungu lakini viumbe hai kama miti na wadudu wakathibitisha uwepo wa Mungu pasipo shaka yeyote.
Uwepo au kutokuwepo kwa Mungu uanza na huishia pale kundi moja linapobadilika kwenda kundi jingine la uhai.
Hivyo ili tuweze kuelezea dhana hii ni lazima tuangalie namna gani makundi ya vitu vyenye uhai vinavyoishi na kupotea kuliko namna gani dini zinavyotumika na kundi moja tu hususa sisi wanadamu.
Mimi kama binadamu ninaamini kuwa chochote kile kilicho na uhai na kisicho kilichoumbwa na Mungu kinatimiriza uwepo wake na ili kitokee ni lazima kitu hicho kitoke kwenye hali moja kwenda kwenye nyingine (mfumo mmoja wa uhai kwenda mfumo mwingine).
Pia naamini kuwa kifo ndilo fumbo kubwa linalowasumbua wanadamu na yamkini ndicho kitu wanakiogopa kuliko hata yule aliyewaumba.

Mkuu wanyama na miti vinathibitishaje uwepo wa Mungu ikiwa binadamu aliepewa akili anashindwa kuthibitisha?

Hapo kuhusu kuogopa kifo huoni ni kwa wale wanaoamini Mungu lakini wakashindwa kufuata yale walioaminishwa?
 
Well, Mashaxizo!
Inaweza kuwa ni maziwa ya kiimani na wala si sumu! Kiukweli linapokuja swala la kujadili kitu kilichojuu ya uwezo wako wa kuelewa huwa kazi sana.

Niweke hili wazi neno mungu (god) ni cheo na sio jina, hivyo tunajadili mungu yupi hapa, maana wahindi wana miungu yao na watu mbalimbali wana mungu ama miungu yao!

Kiimani katika muktadha wa kikristo Mungu amejifunua kwetu kwa namna aliyotaka yeye. Hivyo hiyo haitoi nafasi ya kumtaka huyu Mungu athibitishe aidha Uungu(mamlaka) wake au uwepo wake.

Japo nina imani inayoambatana na reasoning ni ngumu kuanza kujadili hili mpaka nijiweke kwenye nafasi ya kuwa neutral. Katika hili siwezi ku-contrast uwepo ama kutokuwepo kwake kwa kuwa sina ushahidi wa kutokuwepo kwake.



Hahahahaaa! hapana jerry mbona inaeleweka tu! kinakuchofanya usielewe ni sumu ya kiimani uliomezeshwa. Just be free, relax and reread it.
 
Kwanini wewe ni mkiristo na sio muislamu?


Kiranga alishawauliza kama mungu yupo kweli je iweje mtu anazaliwa bila kumjuwa?
na ili amjuwe basi ni lazima akatandikwe viboko madrasa au mafundisho kanisani?

but wakaingia chini ya meza na hawakurudi na jibu...
 
Hahahahaaaaa! we mjamaa sijui unatumia kiungo gani kufikiri? Ivi ulitaka kusema nini hapo?

Nataka kukyonyesha jinsi ulivyo mvivu wa kutafakari.
Mambo ya tech yameanzia na yanaendelezwa na hao hao ambao walianza kuamini Mungu ambaye kwako unauliza kwa njnj iwe far east tu.
Niambie kiluchoanzia Africa ukiacha ebora , kipindupindu na maradhi mengine.
Twende kazi...
 
Mkuu wanyama na miti vinathibitishaje uwepo wa Mungu ikiwa binadamu aliepewa akili anashindwa kuthibitisha?

Hapo kuhusu kuogopa kifo huoni ni kwa wale wanaoamini Mungu lakini wakashindwa kufuata yale walioaminishwa?

Vinathibitisha kwa kuwa vyenyewe sio infinity kwa kuwa sio inglfinity Ina maana kuna kilichosababisha viwepo
Aliyesababisha viwepo ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vilivyomo na ambaye ndiye chanzo cha Uhai.
 
Kiranga alishawauliza kama mungu yupo kweli je iweje mtu anazaliwa bila kumjuwa?
na ili amjuwe basi ni lazima akatandikwe viboko madrasa au mafundisho kanisani?

but wakaingia chini ya meza na hawakurudi na jibu...

Ungejibidisha kufikiri usingehoji kwanini azaliwe pasipo kumjua. Ungejua kwamba hata picha hamjui mchoraji wake.
Kama ungekuwa thinker kweli ungehoji chanzo cha huo uhai ni nini au kwa akili yako unaamini lap top unayotumia au simu aliyekuuzia alivua baharini na bahari ndiyo inafanya simu zievolve ?
 
Habari za hapa.

Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.

Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.

My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.

HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:

1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.

2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.

Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?

3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)

4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)

Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?

5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!!

But wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)

6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.

Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?

7. Sifa anazopewa/anazojipa Mungu ni za uongo.

a) Mungu nimuweza wa yote. Kwanini haifanyi dunia kua sehwm salama? Kwanini mauaji? Kwanini unyama? Si anaweza yote? kwanini hazuii? For what? Ivi apa hamuoni ni sawa na mtu anaekwambia anapesa but ukimwambia nioneshe anakwambia nimeziacha nyumbani???

b) Mungu ni mpangaji wa kila kitu.
Nadharia hii jiliipinga wakati naamini na nilitetea kwamba Mungu anajua tu ila hapangi but niliambiwa napingana na maandiko. na kweli nilipewa ushahidi wa wa Maandiko Kwamba Mungu akimpangia mtu kupotoka hakuna wa kumuongoa na aliemuongoa hakuna wa kumpotosha!!!!

So ikiwa amepanga kila kitu kwanini aje aadhibu then?
Jee Mungu anaupendeleo? Sasa kwanini atupungie yeye matendo yetu? kwanini asituache tukaact by our own free will?

c) Mungu ni mkamilifu.
Kwanini anaumba vilema? Matahira? Wamemkosa nini hao? Au ukamilifu wake uko limited kwa baadhi ya vitu tu? Au vilema na matahira wameumbwa na nani?

d) Anapenda watu wote. Kwanini wengine wanahangaika sana? Kwanini wengine wanadhulumiwa sana? ukumbuke yeye ni mueza wa kila kitu.

Then kama anapenda kila mtu kwa nini ameahidi tabu na mashaka kwa vizazi vya Izrael kwa makosa ya mababu zao? Hawa wanaozaliwa sasa wamemkosea nini?

HOW UNREASONABLENESS GOD HE IS?

Sifa za uongo anazonyingi but let me skip and wait somebody who is interested on that point.

8. Ukweli juu ya Astrology. Astrology ni uhusiano wa mizunguko ya sayari na tabia za mtu kwa kuzingatia tarehe na saa aliyozaliwa. Najua hili ni somo geni kwa wengi wetu humu. but not an issue, ili nawe ujue ukweli wa astrology nitaweka link just put your information as it required on the given link so as to comment on this point.

https://alabe.com/freechart/

Hapo utagundua nini kimeinfluence tabia zako. Na kwa mantiki hiyo unapata jibu si kila unavyofanya or ulivyoepangiwa na Mungu also utajua si Mungu pekee anaeijua kesho ikizingatia alishasema hakuna anaeijua kesho. Ningependa kupokea hoja kwa point hii kwa mtu alietoa uvivu na kuingia humo. Narudia tena sipendi ubishi wa kiji.nga.

9. Miujiza na maono waliyokuwa nayo mitume ni uwezo alionao kila mwanadamu.

Inaaminika mitume waliweza kuota ndoto za kweli pia waliweza kutafsiri ndoto za wengine.
Waliweza kutabiri mambo yajayo pia waliweza kuelezea mambo mengi yaliyopita.
Pia waliweza kufanya miujiza tofauti tofauti.

Watu wengi hudhani yale ni Miujiza kutoka kwa Mungu kitu ambacho sio kweli, it just how they succeed to activate their pineal gland. Pineal gland ni part ya ubongo iliopo kati lakini chini ya ubongo wa kila mwanadamu. ingia ata google uone picha. Ukiweza kuactivate pineal gland unafungua nguvu zako za maono na miujiza. pineal gland kwa kishwahili wanaita jicho la tatu.

Ile miujiza sijui maono just ni psychic powers ambazo kila binadamu anazo sema zinatofautiana tu kidogo.

Wakiristo wengi huibiwa pesa zao makanisani kwa nguvu hizi. then ata biblia imegusia ili somo sema tu watu tuwavivu wa kusoma. always tunakarirshwa machache ili wajanja wale vyao bila tabu.

Namna ya kuactivate jicho la tatu ni kumeditate (tahajudi/kusali), hata Yesu inaaminika alikua akisali. wakiristo hawajiulizi huyu Mungu alikua akimsalia nani? Yeye si ni Mungu, si angefanya tu mambo yake bila ya kusali. ukija kwa uislamu tunaambiwa Muhammad alikua akienda milimani kusali kabla ya kupewa utume. tunaambiwa alipofatwa na mfalme najash ili kuthibitisha utume wake alisali kwanza, mifano ni mengi na inaanzia kwa ibrahim.

Point hapa ni kwamba wale waliodevelop vizuri pineal gland zao na kujitangazia utume ndio mitume iliyoorodheshwa kwenye vitabu. pia ikumbukwe ilifikia uwepo wa mitume miwili kwa wakati mmoja na ilitokea mtoto alikua mtume, baba yake alikua mtume, babu yake alikua mtume na yeye mwenyewe akazaa mtume. hiyo iko kwenye biblia na quran too. (anaepinga naweka ushahidi)

Nisiwachoshe sana. hivyo ndivyo nilivyogungua kwenye reseach yangu.
Yoyote mwenye kupinga naskiliza hoja yake.

Namba 2. Waarabu walifanya utumwa East Africa tu, na watumwa wao wengi waliuzwa Uarabuni na Ulaya tu. Kule Afrika Magharibi (Ghana, Senegal, Mali, Nigeria, n.k) ambako ndiko utumwa wa kutisha ulifanyika biashara hiyo ilifanywa na wazungu hasa wareno na wahispania na watumwa wao walipelekwa Amerika zaidi. Hivyo biashara ya utumwa afrika haikufanywa na waarabu tu. Pili, biashara ya utumwa ni biashara ya kale sana wazungu na waarabu walianza kufanyiana biasha hii kabla hawajakuja kuifanya Afrika, hata bibilia na misahafu inaitaja biashara hii kuwa ni halali. Tatu, watawala wetu wa Kiafrika ndo waliokuwa wanauza watu wao kwa wageni kama watumwa na kupewa nguo, shanga, vioo, bunduki, visu, vikombe, n.k.

Namba 4. Mitume iko kila sehemu na ilikuwa ikitumika kufanikisha mambo ndani ya jamii husika ila mitume yetu iliitwa ya kishenzi na watawala wa kigeni. Yesu na Mohamed SAW ni watu maarufu kwa wakati wao waliotumika kutatua matatizo fulani ndani ya jamii sawa na wale waliotatua shida ya usafiri, umeme, mawasiliano, n.k. Wao walitatua shida ya ukosefu wa amani ndani ya jamii na wengine walitatua shida za maji, usafiri, mwanga, joto, umeme, n.k. Hivyo MUNGU ni kweli yupo bila kumung'unya maneno na akina Yesu, Mohamed, Mussa, Yakob, Ibrahim ni baba wa Amani duniani wanaopaswa kuheshimiwa pia sawa na akina Galileo, Estens, Boys, Archemedes, n,k
 
Habari za hapa.

Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu.

Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo na suala la uwepo wa Mungu in general as it preached by Muslims and Christians.

My be I'm wrong thus why nimeweka hoja hapa ili mwenye uelewa anieleweshe na pia aweze kujibu maswali. Lengo langu ni kutambua ukweli na sio kuleta ubishi usio na tija. so nakaribisha maswali na pia nasistiza wale wasio na hoja wajifanye kama hawajauona uzi huu.

HAYA NI MAMBO NILIOYAONA KTK UTAFITI WANGU:

1. Dini ziko nyingi (ni zaidi ya 30 na hapo hujagusia madhehebu!!) but licha ya uwingi huo kila dini inajiona iko sahihi ZAIDI ya nyengine. It cant be all religions are true but there possibility all of them are wrong.

2. Kwa huku Africa dini hizi tumeletewa, walioleta dini walileta ili kututawala. hope hili liko wazi, ie Uislam uliletwa na waarabu ambao walikuja kufanya utumwa na kutuuza sehem tofauti kama bidhaa tu. kiukweli tulipata shida sana. Pia ukiristo uliletwa na wakoloni ambao walikuja kuchukua malighafi na nguvu kazi zetu na kutuacha ktk hali ya utegemezi hadi leo hii.

Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu?

3. Qur-an and Bible (here and after refers to vitabu vitakatifu) vimecontain ukweli, uongo, many unreasonable teachings and contradictions on its/them. eg: Kwamba dunia ni flat, imetulia na jua ndilo linalotembea kutoka mashariki kwenda magaribi. (hope mnautambua uongo huo but if hujatambua hilo niambie nikuekee ushahidi ili tuende sawa)
Pia dini zinaruhusu mtoto wa kike kuolewa na kuingiliwa hata kama hajavunja ungo!!!! (pia naweza kuthibitisha hilo) na mengi mengineyo. (just put a number and tell me which no. you don't agree)

4. Kwamba mitume na manabii wote wametoka FAR EAST. kwamba around north Africa and western Asia. no more. (Ikiwa unaushahidi hata wa maandiko tu kupitia vitabu vitakatifu unaoonesha uwepo wa mitume apart from far east ningependa unitoe haya matongo)

Jee Mungu hakutaka kuabudiwa na watu kutoka Southern Africans? China? Korea? Northern Europe? North and Southern America? Australia?

5. Vitabu vitakatifu vinatafsiriwa kisiasa zaidi ili kuzibia errors ambazo Mungu aliacha kwenye vitabu hivyo! Eg: Mungu ameweka wazi kwenye vitabu vitakatifu kwamba jua linazama kwenye matope but Muslims wanasaidia majibu kwamba ni Red sea! wanaact kana kwamba Mungu hajui kusema Red sea! unapoulizia kuhusu jua kutembea kutoka mashariki kwenda magharibi na suala la kwamba dunia ni flat hapo unaambiwa Mungu ameielezea dunia kama ambavyo sisi tunaiona!!!

But wakati huo huo tunaambiwa vitabu vitakatifu vinaendana na nyakati!!! kwamba hata mambo ya kisansi yameongelewa mle toka enzi na enzi ambayo practise zake zinatokea sasa! Hapo unaweza kuuliza mbona hizo scientific findings hazikuongelewa kama sisi tunavyoona? Issue inakuja kwamba kwenye bible ni hivyo hivyo na kwenye Quran ni hivyo hivyo wakati hizo dini zinapingana vilivyo hadi kufikia kuitana magaidi na makafiri!!!! (Hapa nnamifano mingi tu na ushahidi just put a number and request me to proof)

6. Dini ya mtu inatokana na namna ya wazazi and/or walezi walivyomlea. hapa ningependa kueka wazi kwamba si kila dini or imani ya mtu ni zao la wazazi but ni wachache sana wanaoamini dini or imani ambayo hawakufunzwa na wazazi wao. kwa makadirio ni asilimia 5 tu ya wanaoamini kinyume na mafundisho ya wazazi wao. na kati ya hao, wengi wamebadili imani kutokana na mapenzi (romantic love) na kipato/pesa. ni wachache sana walioamini dini nyengine kwa kutumia their logic reasoning na findings. Hata wewe unaesoma hapa unaamini hicho unachokiamini kwa sababu tu wazazi and/or walezi wako wametokea imani hiyo, nothing more. and you cant fight against reality.

Jee wazazi/walezi wote wako sahihi na imani wanazowapachika watoto wao?

7. Sifa anazopewa/anazojipa Mungu ni za uongo.

a) Mungu nimuweza wa yote. Kwanini haifanyi dunia kua sehwm salama? Kwanini mauaji? Kwanini unyama? Si anaweza yote? kwanini hazuii? For what? Ivi apa hamuoni ni sawa na mtu anaekwambia anapesa but ukimwambia nioneshe anakwambia nimeziacha nyumbani???

b) Mungu ni mpangaji wa kila kitu.
Nadharia hii jiliipinga wakati naamini na nilitetea kwamba Mungu anajua tu ila hapangi but niliambiwa napingana na maandiko. na kweli nilipewa ushahidi wa wa Maandiko Kwamba Mungu akimpangia mtu kupotoka hakuna wa kumuongoa na aliemuongoa hakuna wa kumpotosha!!!!

So ikiwa amepanga kila kitu kwanini aje aadhibu then?
Jee Mungu anaupendeleo? Sasa kwanini atupungie yeye matendo yetu? kwanini asituache tukaact by our own free will?

c) Mungu ni mkamilifu.
Kwanini anaumba vilema? Matahira? Wamemkosa nini hao? Au ukamilifu wake uko limited kwa baadhi ya vitu tu? Au vilema na matahira wameumbwa na nani?

d) Anapenda watu wote. Kwanini wengine wanahangaika sana? Kwanini wengine wanadhulumiwa sana? ukumbuke yeye ni mueza wa kila kitu.

Then kama anapenda kila mtu kwa nini ameahidi tabu na mashaka kwa vizazi vya Izrael kwa makosa ya mababu zao? Hawa wanaozaliwa sasa wamemkosea nini?

HOW UNREASONABLENESS GOD HE IS?

Sifa za uongo anazonyingi but let me skip and wait somebody who is interested on that point.

8. Ukweli juu ya Astrology. Astrology ni uhusiano wa mizunguko ya sayari na tabia za mtu kwa kuzingatia tarehe na saa aliyozaliwa. Najua hili ni somo geni kwa wengi wetu humu. but not an issue, ili nawe ujue ukweli wa astrology nitaweka link just put your information as it required on the given link so as to comment on this point.

https://alabe.com/freechart/

Hapo utagundua nini kimeinfluence tabia zako. Na kwa mantiki hiyo unapata jibu si kila unavyofanya or ulivyoepangiwa na Mungu also utajua si Mungu pekee anaeijua kesho ikizingatia alishasema hakuna anaeijua kesho. Ningependa kupokea hoja kwa point hii kwa mtu alietoa uvivu na kuingia humo. Narudia tena sipendi ubishi wa kiji.nga.

9. Miujiza na maono waliyokuwa nayo mitume ni uwezo alionao kila mwanadamu.

Inaaminika mitume waliweza kuota ndoto za kweli pia waliweza kutafsiri ndoto za wengine.
Waliweza kutabiri mambo yajayo pia waliweza kuelezea mambo mengi yaliyopita.
Pia waliweza kufanya miujiza tofauti tofauti.

Watu wengi hudhani yale ni Miujiza kutoka kwa Mungu kitu ambacho sio kweli, it just how they succeed to activate their pineal gland. Pineal gland ni part ya ubongo iliopo kati lakini chini ya ubongo wa kila mwanadamu. ingia ata google uone picha. Ukiweza kuactivate pineal gland unafungua nguvu zako za maono na miujiza. pineal gland kwa kishwahili wanaita jicho la tatu.

Ile miujiza sijui maono just ni psychic powers ambazo kila binadamu anazo sema zinatofautiana tu kidogo.

Wakiristo wengi huibiwa pesa zao makanisani kwa nguvu hizi. then ata biblia imegusia ili somo sema tu watu tuwavivu wa kusoma. always tunakarirshwa machache ili wajanja wale vyao bila tabu.

Namna ya kuactivate jicho la tatu ni kumeditate (tahajudi/kusali), hata Yesu inaaminika alikua akisali. wakiristo hawajiulizi huyu Mungu alikua akimsalia nani? Yeye si ni Mungu, si angefanya tu mambo yake bila ya kusali. ukija kwa uislamu tunaambiwa Muhammad alikua akienda milimani kusali kabla ya kupewa utume. tunaambiwa alipofatwa na mfalme najash ili kuthibitisha utume wake alisali kwanza, mifano ni mengi na inaanzia kwa ibrahim.

Point hapa ni kwamba wale waliodevelop vizuri pineal gland zao na kujitangazia utume ndio mitume iliyoorodheshwa kwenye vitabu. pia ikumbukwe ilifikia uwepo wa mitume miwili kwa wakati mmoja na ilitokea mtoto alikua mtume, baba yake alikua mtume, babu yake alikua mtume na yeye mwenyewe akazaa mtume. hiyo iko kwenye biblia na quran too. (anaepinga naweka ushahidi)

Nisiwachoshe sana. hivyo ndivyo nilivyogungua kwenye reseach yangu.
Yoyote mwenye kupinga naskiliza hoja yake.


Umenikumbusha Mkuu,jamaa yangu mmoja wa Kibongo alitembelewa na rafiki yake kijana wa kizungu maskani akamkuta jamaa anasoma Bible.Hakika yule mzungu alishangaa sana kuona jamaa yupo bize na bible ambayo yeye mzungu anaiita novel
 
alafu haya mambo yametokea miaka 2000 na kidogo tu iliyopita. wakati dunia imekuwepo milions of years. evidence ni formation of oil and gas ambayo ni mlindikano wa masalia ya viumbe hai chini ya ardhi miaka mamilion huko. ukimleta mtu anayeamini uumbwaji wa adam na hawa mkapiga mahesabu haiwez kufika hata miaka 3000 BC. haya mambo ya kiiman yanakufanya unahamisha taaluma yako kias kwamba unaweza kukuta profesa analowa mvua pale tanganyika parkers anamsubiri gwajima amfufulie misukule au dr amekaa mahali anahubiriwa mambo ya mbinguni na ustaz aliyeishia darasa la 7. hiyo ni mifano tu
 
Mkuu kwanini Mungu wa Israel? kwanini asiwe Mungu wa watu wote? Ivi kunauhusiano kati ya Mungu na Waizrael?

Hiyo ni Lugha yenye maana pana. Kaa Muda Mrefu na Bibilia utaelewa. Wote waliompokea Mungu kwa Imani wanafananishwa na uzao wa ibrahimu ambao kupitia izrael ujumbe ulipangwa kuwafikia watu wote. Hiyo ni mipango ya Mungu. Lakini baada ya Yesu, hakuna cha muisrael wala myunini, wala yoyote. Injili ni kwa watu wote.

Uhusiano: Baada ya Mwanadamu kutenda dhambi edeni na kifo kikatangazwa kwa mara ya kwanza. Lakini Mungu aliandaa mpango wa kuwakomboa wanadamu wote watakao kubali ili Turudie katika hali ya zamani kabla ya dhambi na kumuangamiza shetani kabisa. Njia aliyoamua ni kuwa kupitia israel Mwokozi wa ulimwengu azaliwe, Ili kila atakayemuamini apate uzima ule wa milele. Ndio maana Kwa Mungu sasa hakuna cha Muisrael wana msukuma wala nani, bali ni wanaomwamini Mwokozi wa ulimwengu na waliokataa. Hata waisrael waliomkataa wataangamia wote. Muda sio mrefu huyu mwokozi atakuja na kila jicho litamuona kuwapa wote sawasawa na uchaguzi waliuchagua. kama ni uzima wa milele au upotee milele. Hakuna tukio la kiulimwengu lililobakia kutokea hadi sasa ni kuja kwa yesu tu ndio kunasubiriwa dalili zote tayari.

Kuchagua kujiunga na imani hii ya kumsubiri yesu na Kumuamini yesu ndio uchaguzi wa thamani kuliko zote ktk muda huu tunaoishi ktk ukingo wa historia ya dunia.

Acha kupoteza Muda, Mungu yupo (finite mind cannot understand fully the Infinity GOd). ukiimarika katika majibu ya mashaka yako mkuu imarisha na watu wote wanaokuzunguka.
 
Well, Mashaxizo!
Inaweza kuwa ni maziwa ya kiimani na wala si sumu! Kiukweli linapokuja swala la kujadili kitu kilichojuu ya uwezo wako wa kuelewa huwa kazi sana.

Niweke hili wazi neno mungu (god) ni cheo na sio jina, hivyo tunajadili mungu yupi hapa, maana wahindi wana miungu yao na watu mbalimbali wana mungu ama miungu yao!

Kiimani katika muktadha wa kikristo Mungu amejifunua kwetu kwa namna aliyotaka yeye. Hivyo hiyo haitoi nafasi ya kumtaka huyu Mungu athibitishe aidha Uungu(mamlaka) wake au uwepo wake.

Japo nina imani inayoambatana na reasoning ni ngumu kuanza kujadili hili mpaka nijiweke kwenye nafasi ya kuwa neutral. Katika hili siwezi ku-contrast uwepo ama kutokuwepo kwake kwa kuwa sina ushahidi wa kutokuwepo kwake.

Yah! Got you well jerry, i see how you are reasoning!

Umesema god ni cheo na sio jina, you can be right by your reasoning, but ukumbuke hata cheo ni sifa but sifa inaweza kuwa noun too. hope hapo ni issue ya lugha so let us skip on that.

Hapo underline. always tunaproof existence, we cant proof non existence in a sense that you cant find a thing which doesnt exist, he who allege the existence of something the burden to proof lies to him.

Also it seems umestic na imani ulionayo bila kujiuliza maswali ambayo unasema ni mpaka uwe neutral kitu ambachohisi si kizuri. But ukumbuke kuwa neutral sometimes ni bora coz hapo utakua free kuchanganua na kugain new knowledge.

Sometimes ni bora hata kusoma na imani za wengine ili kufanya critical analysis ukihusisha na imani yako. Ni mbaya sana mkuu jerry kufunga kichwa chako kutoruhusu other knowledge kuingia kichwani kwako IKIWA UKO INTERESTED KUUTAFUTA UKWELI.
 
Back
Top Bottom