A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Kiranga alishawauliza kama mungu yupo kweli je iweje mtu anazaliwa bila kumjuwa?
na ili amjuwe basi ni lazima akatandikwe viboko madrasa au mafundisho kanisani?

but wakaingia chini ya meza na hawakurudi na jibu...

Dah! mkuu umenikumbusha mbali kiasi cha kung'amua kwanini madrasa watoto wanachapwa sana. kiukweli kuchapwa kwa watoto madrasa ni kuwapandikiza uoga usio na sababu za msingi. ni tamaduni ya waarabu walipokuja kutufanya watumwa nothing more, madrasa ukichapwa sana na kulalamika unaambiwa hiyo ni heri yako coz makovu utakayoyapata ndio taa yako ukiwa kaburini. ni ujinga wa hali juu kabisa.
 
Nataka kukyonyesha jinsi ulivyo mvivu wa kutafakari.
Mambo ya tech yameanzia na yanaendelezwa na hao hao ambao walianza kuamini Mungu ambaye kwako unauliza kwa njnj iwe far east tu.
Niambie kiluchoanzia Africa ukiacha ebora , kipindupindu na maradhi mengine.
Twende kazi...

Ikiwa unaamini hao ndio walioleta/walioanzisha hayo mambo ya tech, kwanini Mungu amepiga lana ya vita visivyoisha na kuahidi mateso, mashaka na tabu kwa kila uzao? (there generations)
 
Vinathibitisha kwa kuwa vyenyewe sio infinity kwa kuwa sio inglfinity Ina maana kuna kilichosababisha viwepo
Aliyesababisha viwepo ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vilivyomo na ambaye ndiye chanzo cha Uhai.

Sasa je huo ndio uthibisho? If yes, hembu niambie tu nini maana ya kuthibitisha?
 
Namba 2. Waarabu walifanya utumwa East Africa tu, na watumwa wao wengi waliuzwa Uarabuni na Ulaya tu. Kule Afrika Magharibi (Ghana, Senegal, Mali, Nigeria, n.k) ambako ndiko utumwa wa kutisha ulifanyika biashara hiyo ilifanywa na wazungu hasa wareno na wahispania na watumwa wao walipelekwa Amerika zaidi. Hivyo biashara ya utumwa afrika haikufanywa na waarabu tu. Pili, biashara ya utumwa ni biashara ya kale sana wazungu na waarabu walianza kufanyiana biasha hii kabla hawajakuja kuifanya Afrika, hata bibilia na misahafu inaitaja biashara hii kuwa ni halali. Tatu, watawala wetu wa Kiafrika ndo waliokuwa wanauza watu wao kwa wageni kama watumwa na kupewa nguo, shanga, vioo, bunduki, visu, vikombe, n.k.

Namba 4. Mitume iko kila sehemu na ilikuwa ikitumika kufanikisha mambo ndani ya jamii husika ila mitume yetu iliitwa ya kishenzi na watawala wa kigeni. Yesu na Mohamed SAW ni watu maarufu kwa wakati wao waliotumika kutatua matatizo fulani ndani ya jamii sawa na wale waliotatua shida ya usafiri, umeme, mawasiliano, n.k. Wao walitatua shida ya ukosefu wa amani ndani ya jamii na wengine walitatua shida za maji, usafiri, mwanga, joto, umeme, n.k. Hivyo MUNGU ni kweli yupo bila kumung'unya maneno na akina Yesu, Mohamed, Mussa, Yakob, Ibrahim ni baba wa Amani duniani wanaopaswa kuheshimiwa pia sawa na akina Galileo, Estens, Boys, Archemedes, n,k

Mkuu uliyosema kuhusu utumwa ni kweli ie kwamba hata wazungu walifanya hiyo biashara huku Africa. vizuri ni kwamba umekubali huku East Africa utumwa ulifanywa na waarabu na ndio hao hao walioleta uislamu.

SWALI LA MSINGI HAPO NI:

Jee dini ya kweli inaweza kuletwa na madhalimu? = mwarabu alieleta utumwa na mzungu alieleta ukoloni?

Unaposema hata Afica save northern Africa = part of far east kwamba kuliletwa mitume ila iliitwa ni ya kishenzi. Jee...

1. Ni mtume gani alieletwa Africa?
2. Aliletwa na nani?
3. Alihubiri nini or dini gani?
and
4. How about America, china, korea and Australia?
 
Umenikumbusha Mkuu,jamaa yangu mmoja wa Kibongo alitembelewa na rafiki yake kijana wa kizungu maskani akamkuta jamaa anasoma Bible.Hakika yule mzungu alishangaa sana kuona jamaa yupo bize na bible ambayo yeye mzungu anaiita novel

Mkuu huyo mzungu anaelewa. Bible maana yake ni mchanyiko wa vitabu. na mkiristo yoyote anaejua hawezi kupinga maana hiyo.

Kwa mantiki hiyo hata wewe ukikusanya vitabu tofauti na kuviandika kwenye kitabu kimoja, unaweza kuita bible na hakuna atakaekushtaki.
 
Ivi mkuu ulitaka niseme biblia na quran zipo sahihi kwa pamoja? Nilichokiona mchanganyiko wa ukweli, uongo and many unreasonable teachings.

Kitabu cha Mungu kitasemaje uongo?

Mkuu tatizo ni research yako mie ningeomba uchambuzi wa kina juu ya research yako. Aina ya maswali uliyouliza yanaonesha utata wa kwenye research.
 
Ikiwa unaamini hao ndio walioleta/walioanzisha hayo mambo ya tech, kwanini Mungu amepiga lana ya vita visivyoisha na kuahidi mateso, mashaka na tabu kwa kila uzao? (there generations)

Nimeweka kukuonyesha ulivyo mvivu wa kutafakari, na hoja yako ni matokeo ya uvivu wa kutafakari.
Bado unahoja kuhusu Waliokuletea tech ndo hao hao walioleta dini kwa wenzio ?
Habari ya vita na mengineyo bado ni hoja zilizojengwa kwenye msingi wa sinker na sio thinker
 
Sasa je huo ndio uthibisho? If yes, hembu niambie tu nini maana ya kuthibitisha?

Ficha upum.bavu wako, kuwepo kwa kitu sio lazima kithibutishwe na binadamu, Kama ambavyo huwezi wewe kuthibitisha energy / gravity isipokuwa kwa kutumia uthibitisho wa vinavyosababishwa navyo.
Ndiyo nami nimekwambia Uhai unathibitisha kuwepo kwa Mungu ambaye ndiye aliyesanabisha Kama unao uthibitisho wa kitu kingine kinachohusika na uhai niambie.
 
Hiyo ni Lugha yenye maana pana. Kaa Muda Mrefu na Bibilia utaelewa. Wote waliompokea Mungu kwa Imani wanafananishwa na uzao wa ibrahimu ambao kupitia izrael ujumbe ulipangwa kuwafikia watu wote. Hiyo ni mipango ya Mungu. Lakini baada ya Yesu, hakuna cha muisrael wala myunini, wala yoyote. Injili ni kwa watu wote.

Uhusiano: Baada ya Mwanadamu kutenda dhambi edeni na kifo kikatangazwa kwa mara ya kwanza. Lakini Mungu aliandaa mpango wa kuwakomboa wanadamu wote watakao kubali ili Turudie katika hali ya zamani kabla ya dhambi na kumuangamiza shetani kabisa. Njia aliyoamua ni kuwa kupitia israel Mwokozi wa ulimwengu azaliwe, Ili kila atakayemuamini apate uzima ule wa milele. Ndio maana Kwa Mungu sasa hakuna cha Muisrael wana msukuma wala nani, bali ni wanaomwamini Mwokozi wa ulimwengu na waliokataa. Hata waisrael waliomkataa wataangamia wote. Muda sio mrefu huyu mwokozi atakuja na kila jicho litamuona kuwapa wote sawasawa na uchaguzi waliuchagua. kama ni uzima wa milele au upotee milele. Hakuna tukio la kiulimwengu lililobakia kutokea hadi sasa ni kuja kwa yesu tu ndio kunasubiriwa dalili zote tayari.

Kuchagua kujiunga na imani hii ya kumsubiri yesu na Kumuamini yesu ndio uchaguzi wa thamani kuliko zote ktk muda huu tunaoishi ktk ukingo wa historia ya dunia.

Acha kupoteza Muda, Mungu yupo (finite mind cannot understand fully the Infinity GOd). ukiimarika katika majibu ya mashaka yako mkuu imarisha na watu wote wanaokuzunguka.
Basing on underline 1.
Biblia nini hasa Mkuu? Imeandikwa na nani na mda gani/lini?
Kwanini inamatoleo mawili? ie Agano kongwe na jipya. Wewe unaamini agano lipi na kwanini?
Na jee unauongeleaje uongo uliomo ndani ya biblia?

Underline 2.
Jee unaweza kuorodhesha hizo dalili? (with reference from bible)

Underline 3.
If God cant be understood by finite mind, how could you understand him?
Then unahisi ni nani atakae imarisha mashaka yangu na kumuamini yeye ikiwa wewe si mmoja wao? Kwanini usinitoe mashaka kwa kujibu hoja zangu ukizingatia nami nimeshasoma hiko kitabu na kugundua ukweli, uongo na many unreasonable teaching zinazopatikana humo?
 
Mkuu tatizo ni research yako mie ningeomba uchambuzi wa kina juu ya research yako. Aina ya maswali uliyouliza yanaonesha utata wa kwenye research.

Mkuu nahisi ungeorodhesha hayo maswali niliyouliza na ambayo yanakupa mashaka na ufanywaji wa research.

Or

Ungeanza na kuulizia finding moja moja kati ya hizo tisa, then tuone hofu yako iko wapi.
 
Nimeweka kukuonyesha ulivyo mvivu wa kutafakari, na hoja yako ni matokeo ya uvivu wa kutafakari.
Bado unahoja kuhusu Waliokuletea tech ndo hao hao walioleta dini kwa wenzio ?
Habari ya vita na mengineyo bado ni hoja zilizojengwa kwenye msingi wa sinker na sio thinker

Mkuu hatuelewani kabisa. Embu tafuta mtu, mpe mawazo na hoja unayotaka kusema then mwambie aandike yeye ili wewe uitume tu.
 
Mtoa mada kama huamini kuwepo kwa Mungu, je unaamini kuwepo kwa shetani??. Na unadhani wewe umetoka wapi?

Mkuu Shetani ni nani? ni kiumbe? Embu nipe maana ya shetani ili nikujibu, may be im one of them according to your perspective.
 
Mkuu hatuelewani kabisa. Embu tafuta mtu, mpe mawazo na hoja unayotaka kusema then mwambie aandike yeye ili wewe uitume tu.


Unatatizo katika kutafakari Kama huelewi kwangu sio deal kimsingi wewe ni mzito wa kuelewa !
Nimekwambia unahoji kuhusu dini kutokea huko ambako hata noble prizes nyingi zimekwenda.
Mbona huhoji kuhusu hizo noble prizes katika nyanja zote zinaenda hukohuko ?
Kutafakari hutaki...
 
Huyu jamaa hana tofauti na wafaransa, kipinde kile walipotaka kuipoteza Bible kwa kuichona moto. Ila akumbuke hiyo nadhalia anayoileta siyo ngeni jwa wafuatiliaji wa hizi false doctrine kuhusu uwepo wa Mungu.

Kuna makundi mengi yanayotoa na kuweka machapisho, mabandiko kwamba "there's NO GOD'' hivo atakuwa amechukua hizo topic za hao wamwabudu shetani ili kuaminisha watu.

Bahati mbaya kwa mtoa mada hasivojielewa ni kwamba hao jamaa wana_secret agenda ambayo ukiwafuatilia wanatunia hata maandiko hayo hayo ya Holly Scriptures ili kukuleta karibu na uingie PIN.

So we must take careful kwa watu design hii. Nnachomshukuru Mungu ni kuwa (Muthali inasema mshike sana elimu...) watu kwa sasa wamesoma na wanasoma sana so kufikia kukubaliwa yataka mambwiga ndo utawapata.

Na usishangae wale wanaoanzisha madhehebu yao ya watu kuabudu uchi na kufanya ngono ndiyo watu kama hawa, maana mwisho anapata watu wanaomuunga mkono na kuwaomba wakutane watumie FULSA.
Mungu sio wa kumfanyia masikhara, mtoa mada "take care"
 
Mkuu nahisi ungeorodhesha hayo maswali niliyouliza na ambayo yanakupa mashaka na ufanywaji wa research.

Or

Ungeanza na kuulizia finding moja moja kati ya hizo tisa, then tuone hofu yako iko wapi.

Tuanze na namba moja, ningependa nipate ufafanuzi zaidi.
 
Hata nikitofautisha Kati ya wengi na wote bado hao wasomi nguri ni sehemu ya hao wengi labda uweke exception.
Kwani kufikiri mnaogopa ?

bila shaka wewe ni mkrsito hebu nijibu maswali haya.

1. nitajie errors 5 za kisayansi zilizopo kwenye biblia.
2. nitajie errors 5 za kihistoria zilizopo kwenye biblia.

nataka nijue uelewa wako kwanza kabla sijafika mbali.
 
Back
Top Bottom