Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
- Thread starter
- #81
Kiranga alishawauliza kama mungu yupo kweli je iweje mtu anazaliwa bila kumjuwa?
na ili amjuwe basi ni lazima akatandikwe viboko madrasa au mafundisho kanisani?
but wakaingia chini ya meza na hawakurudi na jibu...
Dah! mkuu umenikumbusha mbali kiasi cha kung'amua kwanini madrasa watoto wanachapwa sana. kiukweli kuchapwa kwa watoto madrasa ni kuwapandikiza uoga usio na sababu za msingi. ni tamaduni ya waarabu walipokuja kutufanya watumwa nothing more, madrasa ukichapwa sana na kulalamika unaambiwa hiyo ni heri yako coz makovu utakayoyapata ndio taa yako ukiwa kaburini. ni ujinga wa hali juu kabisa.