A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Yah ni kweli ulivyosema.

I mean dini na madhehebu yake.

Ni kweli haiwezekani dini zote zikawa sahihi,kwahiyo zipo dini ambazo si sahihi na ipo dini ambayo ndiyo sahihi.

Kwahiyo uwepo wa dini nyingi na kila moja kudai ndiyo sahihi haifanyi kutokuwepo kwa dini sahihi yenyewe, hata hao wanaosema hakuna mungu huofautiana kwa mambo mengi tu.
 
Ni kweli haiwezekani dini zote zikawa sahihi,kwahiyo zipo dini ambazo si sahihi na ipo dini ambayo ndiyo sahihi.

Kwahiyo uwepo wa dini nyingi na kila moja kudai ndiyo sahihi haifanyi kutokuwepo kwa dini sahihi yenyewe, hata hao wanaosema hakuna mungu huofautiana kwa mambo mengi tu.

Ok. Sasa je, ni ipi dini sahihi?
 
Sahihi ni ile ambayo nabii au matukio yake yamethibitishwa na wanatafiti wa historia iwe ni wana dini au sio wanadini....

OK. Bila shaka utafiti huo umeshafanywa.

Wapo wanahistoria ambao wamefanya utafi huo na kugundua uwepo wa Mungu eg: Thomas Aquiras na wengineo wengi. pia kunawanahistoria waliogundua dini ya kweli, hapa kila dini imawanahistoria wake wanaokubali dini fulani ni sahihi, = Ukiristo umesjibitishwa kwamba ni dini sahihi pia Uislamu umethibitishwa hivyo hovyo.

Mpaka hapo ithibati zimefanywa but inawezekana vipi uislamu iwe dini sahihi na ukiristo uwe hivyo hivyo?

Pia kunawanahiatoria wengi tu waliofanya utafiti na kugundua hakuna Mungu wala dini sahihi. eg Thomas hobbes na wengineo wengi.

Ikiwa issue ni utafiti wa wanahistoria mbona kuna majibu tofauti na yamayopingana juu ya tafiti hizo?
 
Hapo sasa Panahitaji kuwe na vigezo ambazo vitatumika kujua ni ipi dini sahihi.

Wewe ni unahisi ni vigezo gani sahihi vitakavyoweza kutujulisha dini fulani ni sahihi?

Hilo swali na tuliangalie kupitia no. 2 kwenye mada. No. mbili inaongelea uingizwaji wa dini (ukiristo na uislamu huku Africa hasa Afrika mashariki. Iko wazi kwamba dini hizo zililetwa na Wakoloni na waarabu ambao walikuja kututawala na kutufanya watumwa as a result tumekua nchi tegemezi hadi leo.

Jee dini sahihi inaweza kuletwa na madhalimu?
 
OK. Bila shaka utafiti huo umeshafanywa.

Wapo wanahistoria ambao wamefanya utafi huo na kugundua uwepo wa Mungu eg: Thomas Aquiras na wengineo wengi. pia kunawanahistoria waliogundua dini ya kweli, hapa kila dini imawanahistoria wake wanaokubali dini fulani ni sahihi, = Ukiristo umesjibitishwa kwamba ni dini sahihi pia Uislamu umethibitishwa hivyo hovyo.

Mpaka hapo ithibati zimefanywa but inawezekana vipi uislamu iwe dini sahihi na ukiristo uwe hivyo hivyo?

Pia kunawanahiatoria wengi tu waliofanya utafiti na kugundua hakuna Mungu wala dini sahihi. eg Thomas hobbes na wengineo wengi.

Ikiwa issue ni utafiti wa wanahistoria mbona kuna majibu tofauti na yamayopingana juu ya tafiti hizo?

Kupitia majibu ya wanahistoria unachanganya na zako na kuangalia maandiko husika ndipo unajua iliyokweli.
Mimi ni mkristo na world view yenye mashiko ni Ukristo hasa kwa maisha, kifo na kufufuka Historical Jesus
Chukua majibu ya wanahistoria changanya na zako mkuu
 
Kupitia majibu ya wanahistoria unachanganya na zako na kuangalia maandiko husika ndipo unajua iliyokweli.
Mimi ni mkristo na world view yenye mashiko ni Ukristo hasa kwa maisha, kifo na kufufuka Historical Jesus
Chukua majibu ya wanahistoria changanya na zako mkuu

Unaposema ukiristo ni world view yenye mashiko unamanisha nini? mbona hiyo theory ya kufa na kufufuka ipo hata ktk uislamu?

Jee unaweza kuwa specific kidogo kwanini ukiristo ni dini sahihi? coz nahisi ukishikilia world view yenye mashiko tu huo ni ububusa.
 
Wewe ni unahisi ni vigezo gani sahihi vitakavyoweza kutujulisha dini fulani ni sahihi?

Hilo swali na tuliangalie kupitia no. 2 kwenye mada. No. mbili inaongelea uingizwaji wa dini (ukiristo na uislamu huku Africa hasa Afrika mashariki. Iko wazi kwamba dini hizo zililetwa na Wakoloni na waarabu ambao walikuja kututawala na kutufanya watumwa as a result tumekua nchi tegemezi hadi leo.

Jee dini sahihi inaweza kuletwa na madhalimu?

Swali lako kuhusu vigezo ni kwamba kwa mimi ninaweza nikatoa vigezo ambavyo kwa mtu asiye amini ktk dini vikawa havimgusi,hivyo ningependa viwe vigezo ambavyo hata asiye amini ktk dini naye akapata cha kujifunza tofauti na mtazamo aliyonao hivi sasa.

Swala la pili ni suala la kihistoria zaidi si kirahisi kama unavyoeleza wewe, lakini kwanza tujue ni ipi dini sahihi kabla ya kujua afrika dini ziliingiaje.
 
Swali lako kuhusu vigezo ni kwamba kwa mimi ninaweza nikatoa vigezo ambavyo kwa mtu asiye amini ktk dini vikawa havimgusi,hivyo ningependa viwe vigezo ambavyo hata asiye amini ktk dini naye akapata cha kujifunza tofauti na mtazamo aliyonao hivi sasa.

Swala la pili ni suala la kihistoria zaidi si kirahisi kama unavyoeleza wewe, lakini kwanza tujue ni ipi dini sahihi kabla ya kujua afrika dini ziliingiaje.

Ok. ni vipi vigezo vya dini sahihi?
 
Unaposema ukiristo ni world view yenye mashiko unamanisha nini? mbona hiyo theory ya kufa na kufufuka ipo hata ktk uislamu?

Jee unaweza kuwa specific kidogo kwanini ukiristo ni dini sahihi? coz nahisi ukishikilia world view yenye mashiko tu huo ni ububusa.

Kitu cha kwanza, Kama kushikilia world view yenye mashiko ni ububusa basi kujadili nawe ni ububusa zaidi.
Pili nimekwambia World view ya Kikristo tangu uumbaji, kuzaliwa kwa Bwana Yesu, mafundisho ya Bwana Yesu na namna alivyo yaishi Yale aliyoyafundisha na kufundisha Yale ambayo aliyaishi kiasi kwamba lawama pekee alizopata kutokana na maisha na matendo yake ni uoga wa watawala juu ya namna alivyopata wafuasi wengi watiifu na waaminifu kwake.
Kufa na kufufuka kwake ndiko hasa kunako nipa tumaini juu ya maisha yangu haya na yale ya baada ya kifo.
Katika Uislam theory ya kufa na kufufuka inahusu nani na alikufa lini na kufufuka lini ?
 
Mashaxizo ukumbuke kwamba uwepo wa dini au imani nyingi ndicho kitu pekee kinachoweza kusaidia kujua imani ya kweli ni IPI na kwa vigezo vipi ? Hii inawezekana baada ya kuchuja kwa vigezo na matendo yanayofit squarely na zile ziitwazo ndizo Sifa za Mungu wanayemtumainia.
 
Last edited by a moderator:
Ninachokitaka ni kwamba tujadiliane pamoja si suala la mimi tu kutaja hivyo vigezo kwa sababu tutaanza kubishana kuhusu hivyo vigezo.

Mmh! Ok. labda ungeorodhesha hivyo vigezo nahisi ingekua poa kwa kuanzia, coz naweza kueka vigezo ambavyo mimi navihisi ni vya kawaida but vikashindwa kufit imani/dini zilizopo. na hata nikiweka itakua ni kuruka hii hoja no. 1 na kuingia nyengine kitu ambacho ulikataa.

Kwanini usiorodheshe tu Mkuu?
 
Kitu cha kwanza, Kama kushikilia world view yenye mashiko ni ububusa basi kujadili nawe ni ububusa zaidi.
Pili nimekwambia World view ya Kikristo tangu uumbaji, kuzaliwa kwa Bwana Yesu, mafundisho ya Bwana Yesu na namna alivyo yaishi Yale aliyoyafundisha na kufundisha Yale ambayo aliyaishi kiasi kwamba lawama pekee alizopata kutokana na maisha na matendo yake ni uoga wa watawala juu ya namna alivyopata wafuasi wengi watiifu na waaminifu kwake.
Kufa na kufufuka kwake ndiko hasa kunako nipa tumaini juu ya maisha yangu haya na yale ya baada ya kifo.
Katika Uislam theory ya kufa na kufufuka inahusu nani na alikufa lini na kufufuka lini ?

Nnaposema ububusa hapo namanisha ni ile hali ya kuingia ktk hiyo imani kwasababu ya kukubalika kwakwe world wide bila ya wewe kuwa na specific reasons.

Pili kuzaliwa, alivyoishi na hayo mengine hapo ukitoa mafundisho (ambayo yako kwenye biblia) wewe uliyajuaje? lengo la kuuliza hivyo ni kutaka tu kujua kwamba yote ulioongea hapo yanatoka kwenye biblia or kuna na source nyengine ili tuwe specific na kitu tunachojadili.

Hivyo hivyo ilivyokwenye biblia kuhusu Yesu ni hivyo hivyo kuhusu Issa ktk uislamu kunatofauti ndogo tu ambazo sio main key yetu hapa.

Kwamba kule ni Yesu huku ni Issa.
Kule alisulubiwa na kufa siku 3 na kufufuka huku hakusulubiwa wala hakufa.
Kule Mungu huku Nabii.
hizo ndio tofauti.

Uwiyano.

Miaka.
Alizaliwa na Maryamu.
Hana baba.
Alifanya miujiza.
Alikwenda mbinguni na atarudi.
 
Nnaposema ububusa hapo namanisha ni ile hali ya kuingia ktk hiyo imani kwasababu ya kukubalika kwakwe world wide bila ya wewe kuwa na specific reasons.

Pili kuzaliwa, alivyoishi na hayo mengine hapo ukitoa mafundisho (ambayo yako kwenye biblia) wewe uliyajuaje? lengo la kuuliza hivyo ni kutaka tu kujua kwamba yote ulioongea hapo yanatoka kwenye biblia or kuna na source nyengine ili tuwe specific na kitu tunachojadili.

Hivyo hivyo ilivyokwenye biblia kuhusu Yesu ni hivyo hivyo kuhusu Issa ktk uislamu kunatofauti ndogo tu ambazo sio main key yetu hapa.

Kwamba kule ni Yesu huku ni Issa.
Kule alisulubiwa na kufa siku 3 na kufufuka huku hakusulubiwa wala hakufa.
Kule Mungu huku Nabii.
hizo ndio tofauti.

Uwiyano.

Miaka.
Alizaliwa na Maryamu.
Hana baba.
Alifanya miujiza.
Alikwenda mbinguni na atarudi.

Nimesema World view sijasema world wide

Pili tofauti ya mafundisho ya Kiislam na Kikristo kuhusu Yesu Kristo japo kwa Mtazamo wa wanaosoma Quran na Biblia Kama hadithi wanaona ni ndogo ndogo ukweli ni kwamba Tofauti hizo ndizo misingi ya imani husika.
Mimi ni Mkristo kwa kuwa Bwana Yesu Kristo aliishi, akafa kwa kutundikwa Msalabani na kufufuka. Kuna wanahistoria wengi wameeleza na kuthibitisha mengi ya madai ya Wakristo kuhusu Yesu Kristo.
Kikubwa uelewe kuwa kinachotofautisha msimamo wa waislam na mafundisho yao kuhusu Yesu Kristo ndiyo Msingi wa Imani ya Kikristo hivyo tofauti sio ndogo hata kidogo ni sawa na usiku na mchana vilivyotofauti.
Waziita tofauti ndogo ? Hujui Wakristo wanaamini nini ndiyo sababu unaandika kwa kujidanganya namna hiyo.
Mimi rejea zangu ni pamoja na vitabu vya Dini na vile vya kitaaluma Kama historia...
 
Nnaposema ububusa hapo namanisha ni ile hali ya kuingia ktk hiyo imani kwasababu ya kukubalika kwakwe world wide bila ya wewe kuwa na specific reasons.

Pili kuzaliwa, alivyoishi na hayo mengine hapo ukitoa mafundisho (ambayo yako kwenye biblia) wewe uliyajuaje? lengo la kuuliza hivyo ni kutaka tu kujua kwamba yote ulioongea hapo yanatoka kwenye biblia or kuna na source nyengine ili tuwe specific na kitu tunachojadili.

Hivyo hivyo ilivyokwenye biblia kuhusu Yesu ni hivyo hivyo kuhusu Issa ktk uislamu kunatofauti ndogo tu ambazo sio main key yetu hapa.

Kwamba kule ni Yesu huku ni Issa.
Kule alisulubiwa na kufa siku 3 na kufufuka huku hakusulubiwa wala hakufa.
Kule Mungu huku Nabii.
hizo ndio tofauti.

Uwiyano.

Miaka.
Alizaliwa na Maryamu.
Hana baba.
Alifanya miujiza.
Alikwenda mbinguni na atarudi.
Mashaxizo kupitia tofauti hizo ukijibidisha kuzitafutia majibu zinaweza kukuongoza kufikia pahala ambapo unaweza kutambua nani ameandika uongo say kuhusu Yesu Kristo Kati ya Biblia na Quran then utakuwa umeanza safari na kuendelea na safari ya kuchuja hadi ubakie na itayostahili kwa vigezo vya wazi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom