A God can be a mere theory, nothing more


Hata baba yako na mama yako walianza maisha wawili,lakini leo mpo kikundi.na mnatawanyika.
Afu Dini haijaanzia middle east!
Jifunze nini maana ya Dini.Dini ilianza taratibu mpaka ikatimia!
 

Pamoja
 

Ushahidi tafadhali wa maneno yako hata!
 
Mkuu Shetani ni nani? ni kiumbe? Embu nipe maana ya shetani ili nikujibu, may be im one of them according to your perspective.

Shetani ni yule anayeongoza watu katika kumpinga mungu,hata wewe unaongozwa na roho ya shetani.
 


Mkuu nimeheshimu, ushauri wa kuwa natoa maelezo mengi mno, ni kweli, lakini mkuu nitendee haki, muanzilishi wa mada alitoa maelezo mengi kisha akauliza maswali mengi zaidi yenye nature tofauti.

ni kweli, vitabu vina mikanganyiko ukivilinganisha, na hii ni kutokana na kuingiliwa na tamaduni mbalimbali, kaika kumtumikia Mungu, yeyoyote, aweza kuwa sahihi mahali popote, ilimradi dini hiyo haipingani na dhamiri njema.

maana yabgu ni kwamba baya ni baya tuu, na haliteteki, kipimo kitatoka katika uasili wa matendo, yaani jamiii hii hii uishiyo kuna mabo wote kwa namna tofauit wanasema ni mabaya na mengine wanasema mazuri. Cha msingi ni kwamba tuelewe kuna Mungu, mkuu wa mambo mema, na Shetani mkuu wa mambo mabaya.

Hiyo mikanganyiko katika dini haiondoi uwepo wa Mungu, kama mtawala mwenye nia njema.
 
Ahahahhahaaha taratiiibu unaanza kuamini kuwa Mungu yupo, thats very good beginning.

Hahahaaaa! Kijana Niliamini hiyo kitambo Mungu wenu wa vitabu. Supernatural power ikiwa ni Mungu basi namuamini huyo. Labda tu unisaidie ikiwa supernatural power ina dini na inaandika kitabu. then uniambie hiko kitabu chenyewe ni kipi.
 

Ushayakana mengi kwa kauli hii.
Si umesema una paneal grands.geuza jiwe mkate.

Kwanini mpaka ufanye kazi na ujitume.mbona hayo ni maamrisho ya Dini ya mungu?
Asiye Fanya kazi na asile.

We si umesoma?

Wapi pameabdikwa kila mtu alipatikana kwa kujamiina?
Thibitisha kama wazazi wako walijamiiana ukapatikana wewe.

Adam alipatikana kwa kugegedana nani na nani?

Hawa/Eva alipatikana kwa kugegedana nani na nani?

Yesu/issa alipatikana kwa kugegedana nani na nani?

Pia kama unaamini evolution theory ya uongo ya Charles d.

Masokwe yalipogeuka binadamu yaligegedana na nani?

Unachokiamini wewe ndio uongo.hujijui tu!
Umelewa somo la kishetani(philosophy)
 
unaogopa kujibu hilo swali kwani unajua fika kuwa hapo ndipo utumwa ulipoanzia,physical and mental slavery ambayo mmeachiwa mpaka leo.

Unaona sasa tatizo hilo?

Sasa ikiwa hapa afrika uwepo wa dini ni utumwa je,vp huko mahali pengine maana dini zipo kila mahali? Na ni aina gani hiyo ya utumwa unayomaanisha?
 

Mkuu ni mimi niliweka mada ila sikuweka kama unavyoiona sasa. ni mods ndio wameicompile, infact sio jambo baya. hata mimi nimependa. ila nimeweka bayana kupitia mada hiyo kwamba mtu achague kipengele anachoona hakiko sahihi kwa mtazamo wake ili tujadili.

Anyway. vitabu kujieleza kuwa vinatoka kwa Mungu, tena Mungu wa kweli na mkamilifu then tukaona mushkeli hapo lazima tuulize ukamilifu wa Mungu huyo ni upi.

Then mkuu umegusia suala la shetani hapo. Jee shetani ni kiumbe or ni theory?
 
Unabadiri hoja kwa kuingiza habari ya ibada ya sanamu. Nimekwambia Allah waliyekuwa wanamwabudu Makuraish aliwekewa wasaidizi zaidi ya 360 naabinti watatu. Hakukuwa na sanamu ya Allah Bali wasaidizi.
Wewe ndiwe eleza alikuwa anawalinfania nini ?

Hehe we jama ni pasua kichwa...haya huyo Allah ambaye alikuwa anaabudiwa na Makuraish alikuwa na sifa zipi?
 

Mafundisho yapi ya Dini yapo kimaslahi?

Kutumia mwiko kumpigia mtu haimaanishi kazi ya mwiko ni kupigia.kazi ya mwiko iko wazi.
Ila unakuwa umemisuse.
 
'....religion is opium of society...' Karl Marx. so it is not a theoru but ganja. Jinsi wanadamu wanavyozidi kuelewa na kuweza kuyatawala mazingira yao ulimwenguni dini zitakwenda likizo na hatimae kustaafu.
 

Kumbe unakubali kuwa mungu yupo,sema humuoni.Na hiyo ndiyo imani.
 
Kipengele cha 7 c
vilema viwete ni matokeo ya dambi zetu

Mkuu dhambi za wazee wanabebeshwaje watoto? Si mnasema watoto ni malaika wa Mungu wasio na hatia. Ivi wewe ukigombana na jirani yako utakwenda kumkata mkono mtoto wake?
 
Duh. basi kweli Allah ni Mungu. Ok nijibu yale maswali yangu sasa.

Hatukuwa tukijadili kwamba Allah ni Mungu ama siyo Mungu,tulikuwa tukijadili suala la kwamba Qur'an ni maneno ya Mungu kupitia kwa Mtume muhammad.
 
Kumbe unakubali kuwa mungu yupo,sema humuoni.Na hiyo ndiyo imani.

Imani kukubali uwepo wa kitu bila ithibati.
Super natural power imeshakuwa proved na Science. Huyo Mungu wenu wa vitabu ndie asiethibitishwa mpaka leo hii.
 
Hatukuwa tukijadili kwamba Allah ni Mungu ama siyo Mungu,tulikuwa tukijadili suala la kwamba Qur'an ni maneno ya Mungu kupitia kwa Mtume muhammad.

Aya Mkuu. naomba unijibu yale maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…