'....religion is opium of society...' Karl Marx. so it is not a theoru but ganja. Jinsi wanadamu wanavyozidi kuelewa na kuweza kuyatawala mazingira yao ulimwenguni dini zitakwenda likizo na hatimae kustaafu.
mental slavery ni aina mbaya mno kuliko aina zote za utumwa,hapo awali walitutawala kwa kutufunga minyororo miguuni, mikononi na kiunoni utumwa ulipoisha wakatuachia na dini ambayo kwa bahati mbaya ni utumwa wa akili ambao kiuhalisia hatutakuwa free tena..walitumia dini kutufanya wajinga na watumwa na wakatuachia dini kuendelea kuwa watumwa wao na hakika sisi ni watumwa,kwa nyinyi wachache mliofunguka akili nawapongeza sana ila wengi bwao ni watumwa pamoja na vizazi vyao.
Mkuu unataka kusema kwamba dini zimekuja hali ya kuwa tayari watu wanamjua mungu?
Then tunaambiwa mtume aliuita mwezi na kuugawa ukawa vipande viwili kwenye viganja vyake, infact wanauchulia mwezi kama mpira wa netball. then tunaambiwa Mungu kapanga kila kitu but ujinga unaendelea duniani haambiwi yeye ni source. watakao kwenda mbinguni na motoni tunaambiwa ameshawapanga.
Yaani hizi dini zinauongo kiasi kwamba hata uyo Mungu kama yupo, huko aliko anacheka sana!!!
Then tunaambiwa mtume aliuita mwezi na kuugawa ukawa vipande viwili kwenye viganja vyake, infact wanauchulia mwezi kama mpira wa netball. then tunaambiwa Mungu kapanga kila kitu but ujinga unaendelea duniani haambiwi yeye ni source. watakao kwenda mbinguni na motoni tunaambiwa ameshawapanga.
Yaani hizi dini zinauongo kiasi kwamba hata uyo Mungu kama yupo, huko aliko anacheka sana!!!
Aisee ktk dini watu wanadanganywa sana, wengi huingia uoga wakiambiwa habari za motoni na story za watu walioangamizwa.
Ikiwa ni hivyo hao wanaedai yupo wamemtambuaje?
Soma point no. 9 ktk thread Mkuu.
Mkuu unaweza kuelezea shetani ni nani? ni kiumbe?
Ikiwa ni hivyo hao wanaedai yupo wamemtambuaje?
Soma point no. 9 ktk thread Mkuu.
Mkuu unaweza kuelezea shetani ni nani? ni kiumbe?
Sema wewe. Sisi tunaonekana vichaa.
Najua watu wanotambua hizo habari za motoni ni uongo na story nzima ni uzushi lakini wanakwenda kuswali kwa sababu dini kwao imekuwa kama therapy.
Hawakubali kukubali uhalisia wa maisha kwamba life is not fair. Hivyo mtu anaona akiswali kidogo shida zake zinapungua na anakua na amani fulani.
Hapa mimi ndo nlikua napataka hii inaonesha dhahiri watu walivo na uelewa mdogo wa Mungu basi kama hamtujui Mungu kwakua sisi ni wadhaifu sana na yeye alie Mkuu sana its safe to say kuna mambo ya uongo tunayompakazia Mungu wetu na huenda yanayotokana na huo udhaifu wetu na ukuu wake tuendeleeni kujitahidi kumtafuta Mungu tusichoke tena bila woga tukazane
Mkuu jamaa amesema ukiristo sio dini kwa mtazamo wake.
Unaliongeleaje hilo?
Mashaxizo Inabidi tuanze kuwaelimisha watu waelewe. Kipindi hiki watu wanaamka tena kwa kasi kubwa sana. Uongo uliowekwa kuhusu uwepo wa mungu kwenye maandiko wanayoyaita matakatifu ni uongo mkubwa.
Ninajiandaa kipesa nitaanzisha midaharo mbalimbali kwenye TV na mafundisho ya kuwaelimisha watu waanze kuamusha consciousness zao.
Ubepari, Umwinyi, Ugaidi, Ukafiri na chuki zimesababishwa na Dini hizi za kikristo, kiislam na kiyahudi.
Ndugu nadhani unachanganya vitu hapa. Hapa tunaonesha jinsi gani maandiko yenu yanavyojichanganya kuhusu uwepo wa mungu wenu. Sasa kulingana na hayo na mungu wenu kutojitetea ni sawa na yule mungu wa kichaga aliyevunjwa.
Mungu gani ashindwe na shetani?, mungu gani ahukumu watu wake? mungu gani apende wazungu tu? mungu gani huyu?
Ni lazima tuutafute ukweli. Na pale utakapoanza kuutafuta ukweli nuru itakuangazia.
Aisee! Sasa mkuu ikiwa Mungu ana/mepanga kila kitu kwani unasema Atheist wameniweza? Na ikiwa amepanga kila kitu basi yeye si hakimu muadilifu kama anavyodai. kwanini wengine wapangiwe kuongoka na wengine kupotoka? kwanini wengine wapangiwe kwenda motoni na wengine peponi? Ivi ni kweli Allah (sw) anaupendeleo?
Mungu anaweza kuwepo lakini si anaeongelewa na wakiristo na waislam.
Kila mtu anamtazamo wake kuhusu kuwepo hapa duniani.