Mungu wangu aweza kuwa tofauti kwani siamini kuna ahera au moto wa milele. Jehanamu na ahera vipo hapahapa duniani. Viumbe vyote hai kwenye umauti ni sawa. game finito. Ukiishi maisha ya wema ahera yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Ukiwa muovu vivyo hivyo jehanamu yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Jamii hai inabidi ikuhukumu kwa wema au uovu wako ungali hai...siku njemaKwani wewe nae hauamini mungu?
Na mie ningependa kuongezea kuhusu chanzo cha Shetani ktk biblia. Ni kwamba kisa kilichotumika kwenye bibli kuonesha kwamba ndiyo chanzo cha Shetani hicho kisa si cha kweli,kwa maana hicho kisa hakikuwa kikimuhusu Malaika na chengine malaika si kiumbe kama sie kwamba tuna chaguzi ya kuamuwa la kufanya na kutofanya kinyume na Mungu.
Mungu wangu aweza kuwa tofauti kwani siamini kuna ahera au moto wa milele. Jehanamu na ahera vipo hapahapa duniani. Viumbe vyote hai kwenye umauti ni sawa. game finito. Ukiishi maisha ya wema ahera yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Ukiwa muovu vivyo hivyo jehanamu yako ni ndani ya mioyo ya watu hai. Jamii hai inabidi ikuhukumu kwa wema au uovu wako ungali hai...siku njema
Hahahaaaa! Mkuu hizi stori za shetani zinamkanganyiko mkubwa sana. Idea or story ya Shetani kwa wakiristo inachanganya sana. mara waseme roho, mara malaika, vile vile wanachanganya kati ya shetani na jini na hapo ndipo wanaponiacha hoi coz kunamajini wakiristo pia kama kulivyo na majini waislamu (Ruhani)
Idea ya malaika kati ya uislamu na ukiristo inatofautiana sana. coz ktk uislamu malaika ni sinless na hawaja wahi wala hawatowahi kumuasi Mungu. Chaajabu hapo kila mmoja anajiona yupo sahihi kuliko mwenzie. Hizi dini hizi, wee acha tu!!
FATHER OF REALITY nnamaana kubwa sana nilipokuuliza whether shetani ni kiumbe or ni theory.
Unfortunately umejibu upande mmoja kwamba shetani sio theory but hukusema kwamba ni kiumbe.
Hapo underline umeweka hizo noun kwamba zipo group moja (dhahania) i failed to understand wether 'wema na ubaya' vinashabihiana na 'Mungu na shetani' but if vinashabihiana, jee unaweza kusema wema na ubaya sio theory ila ni viumbe pia?
Kwanza kabisa ningependa uelewe shetani na jini ni vitu viwili tofauti. Jini ni viumbe hilo liko wazi hata ktk vitabu vya dini. Jini haonekani but kunaproof za kutosha juu ya uwepo wao.
Linapokuja suala la ni nini or ni nani shetani nikubaliane nawe kwamba hapo kuna maana tofauti sana kulingana na kundi fulani.
Embu tuangalie wakiristo wanatafsiri vipi nadharia ya shetani.
Source ni malaika muasi, alietaka kushondana na Mungu. Jee uwepo wa malaika umekuwa proved?
Also wanasema shetani ni roho. hii concept sijailewa not because sijui maana ya roho but kutokana na wao kushindwa kumuelezea. unaweza kuniweka sawa hapo.
Then ikiwa source ya shetani ni malaika, then shetani si kiumbe ila ni sifa aliyopewa huyo Malaika Muasi.
Ktk Uislamu idea ya shetani iko wazi, kwamba "shetani ni mtu or jini yeyote alietoka (alieondoka) kwenye misingi ya Mungu (Allah). hivyo basi katika uislamu shetani si kiumbe ila ni 'SIFA' Shetani wa kwanza ktk uislamu ni IBLISI ambaye alikuwa Jini kabla.
Secular: Shetani ni myth. ukisoma development of criminology utakutana jamaa anaitwaaaaa...... (jina nimesahau) But Jina lake lina herufi "B, S, S nk. Mcheki katika classical theory ya criminology na penology.
Ilikua mnamo karne ya 16-17. watu wakifanya makosa wanasema walipitiwa na shetani by that time "mnipotent of evil spirit" Hiyo theory ilionekana defensive na yenye kupitwa na wakati na hapo kukaibuka theory nyingi za kupinga ikiwemo theory ya 'Free will'
Chaajabu hata sasa kuna waji.nga especially huku Afrika wanafanya manyago na kumsingizia huyo shetani. FATHER OF REALITY waafrika tuna safari ndefu sana.
Bado tunaipinga KWA KUJUA OR KUTOJUA the theory of Free wills. Unamkuta mtu anagawanya matendo eti 'Ukifanya jema linatoka kwa Mungu na ukifanya baya linatoka kwa Shetani' We are stupi.d Africans. Tukisema hizi dini ni tatizo mnakuwa wakali baadhi yenu, yaani unamkuta mtu anasoma tabu moja la imani yake ndio hilo hilo! Mkuu jaribu hata kupitia hizo comment nyengine za waumini humu.
Cc: Nkwesa Makambo.
Hahahaaaa! Mkuu hizi stori za shetani zinamkanganyiko mkubwa sana. Idea or story ya Shetani kwa wakiristo inachanganya sana. mara waseme roho, mara malaika, vile vile wanachanganya kati ya shetani na jini na hapo ndipo wanaponiacha hoi coz kunamajini wakiristo pia kama kulivyo na majini waislamu (Ruhani)
Idea ya malaika kati ya uislamu na ukiristo inatofautiana sana. coz ktk uislamu malaika ni sinless na hawaja wahi wala hawatowahi kumuasi Mungu. Chaajabu hapo kila mmoja anajiona yupo sahihi kuliko mwenzie. Hizi dini hizi, wee acha tu!!
Wakristo walichokifanya ni kutumia kisa cha Mfalme mmoja(ni binadamu) hivi ambaye ndiye alitamka hayo maneno ambayo wao wakristo wanasema aliyatamka Malaika. Kwahiyo kiukweli hakuna Malaika aliyetamka tamka maneno ya kumuasi Mungu,na hata tukianza kuchambua kisa kizima hapa utaona wazi kuwa hakiendani kabisa na Malaika na ndiyo maana Idea yao ya Shetani haina uhalisia.
Tatizo la msingi ni kukosa kujuamini kwa Waislam na Uislam wao.
Allah sio Yhwh period.
Chambua malaika/shetani kwa mtazami huo lakini ukuweka kwamba wote ni sawa na tofauti ni namna tunavyomchukulia utaendelea kuabudu kisichokuwepo
Mungu ninaye mwabudu mimi sio kichaa nikiamini ni yule yule kwa wakristo na waislam nitakuwa nakufuru kwa kuwa nitamaanisha Kuwa ni Kichaa...
Naona umekuja na gia za ushkaji ili upate compan. Simama mwenyewe mtoto wa kiume. ikiwa unahoja niulize direct.
Wewe unajitoa fahamu na kuulizia kusali! unashidwa hata kuelewa maana na tofauti za kusali but ukisoma vizuri nimeandika kusali = kumaditate/ tahajudi.
Anyway. twende vile unataka. ok nimesema kusali. labda nikuulize we mgalatia. Yesu mnasema ni Mungu but mwenyewe alikua akisali. Swali: Alikuwa akimsalia nani?
Tatizo lako la msingi ni kutotambua na kulazimisha Dini ya Kiislam na Umani ya Kikristo kuwa zinamwabudu Mungu mmoja, hiyo ndiyo sababu ya kuchanganyikiwa kwako. Ungejua Kila mmoja anaabudu Mungu wake japo kila mmoja anampa Sifa na ukuu sawa wala udingehangaika kulinganisha matango na viazi.
Mungu anayeabudiwa na Wakristo sie Mungu anayeabudiwa na Waislam.
Ukitambua hilo utakuwa na uwezo wa kuchambua mambo ya Mungu na kuyaelewa.
Mungu wa Wakristo anaweza kuwa na mwana pasipo mke... Kwa kuwa ni muweza wa yote
Mungu wa Waislam hayumkiniki awe na mwana ili hali hana mke...
Sijui kama utaelewa ...
Sikuelewi naona namna unavyojichanganya. Unachanganya matatixo wa watu binafsi na kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu.
Unajuchanganya sanaaa.
Kiasi huwezi kutofautisha tatizo la uelewa kwa MTU mmoja mmoja na kile asichokielewa. Wewe unaaminj kutokuelewa kitu kunatokana na kitu husika pasipo kutafakari tatixo linaweza kuwa ni mhusika mwenyewe.
Ni ngumu Sana kufundisha MTU wa aina yako.
Unamtafakari Mungu kwa kuangalia petty issues za wanaoaminj uwepo wako ?
Ukiambiwa unakariri mambo yasiyo na mantiki na kutengeneza mantiki zako zisizo na maana huelewi, tungekuwa upande wako tungehitimisha sawa na wewe kwamba huelewi kwa kuwa Mungu yupo na wewe hujitambui
Vyote.
Kweli hujielewi wewe kabinti, kama huamini uwepo wa Mungu mambo ya binadam wanavyoabudu kisiichokuwepo yanaakuhusu nini?umekurupuka dogo,nadhani ndo umejua matumizi ya internet majuzi
vitu vingi umeongea ukweli lakn wabongo kwa imani zao huwez kuwashawishi, hizi dini mbili ni mawazo yaliibuka hapo middle east watu waka copy na kupest na kutuletea huku. yaani mungu ambaye anaona dunia yoote awe na uvivu wa kupeleka imani mwenyewe brazil,afrika,china hadi watu waje wamsaidie tena wengine through vita?????
Haya ndio yale madhara ya kula tunda la mti wa kati tunda la ujuzi wa mema na mabaya
Neno litasimama, mambo yote yatapita lakini neno litasimama milele, wale wote waliojaribu kuichallange Bible miaka na miaka na hata kuandika tafiti na nadharia za kusadikika na kufikirika huku wakijaza mabuku na mabuku, walishaondoka na kusahaulika lakini NENO limeendelea kusimana
Huwexi kuwa Mkristo then ukaamua kuwa atheist kwa kuwa Mkristo anafahamu kuwa Kristo alisisitiza Sana reasoning na sio Kukariri
Kama ukisoma mafundisho yake kupitia vitabu vya Injili utatambua kwamba hakutaka kuwa na wafuasi wanao kariri Bali wenye kufikiri na kuamini wakiona kuna sababu ya msingi iliyojengwa kwwnye ujuzi wa kile wanachokiamini. Faith with reason .
MTU anayefikiri sawa sawa akiwa Muislam ataishia ama kuwa mganga wa kienyeji au kukana uwepo wa Mungu.