TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Nimsaidie kidogo, hata kama ataleta hizo jibu.
Kuwa mkristo OR muislam haiwezi kuwa sababu ya kujua makosa yote yaliyomo kwenye msaafu, kwanza kwenye misaafu hakuna errors za kiimani labda errors za kiuandishi na nk.
Ndiyo maana kila MTU (siyo binadamu) huwa anatafuta hizo errors kwenye IMANI isiyomuhusu ili iwe bakora kwa mbwigas.
Nakupa hii hapa, kati ya vitabu vyoote ulivosoma kipi kinarudiwa na mara zote many years throughout badp kinaoneka hakichoshi na kuonekana kama hujawahi kukisoma?
Kumbuma sayansi ime_copy from Bible, also history issues.
Kuwa mkristo OR muislam haiwezi kuwa sababu ya kujua makosa yote yaliyomo kwenye msaafu, kwanza kwenye misaafu hakuna errors za kiimani labda errors za kiuandishi na nk.
Ndiyo maana kila MTU (siyo binadamu) huwa anatafuta hizo errors kwenye IMANI isiyomuhusu ili iwe bakora kwa mbwigas.
Nakupa hii hapa, kati ya vitabu vyoote ulivosoma kipi kinarudiwa na mara zote many years throughout badp kinaoneka hakichoshi na kuonekana kama hujawahi kukisoma?
Kumbuma sayansi ime_copy from Bible, also history issues.
bila shaka wewe ni mkrsito hebu nijibu maswali haya.
1. nitajie errors 5 za kisayansi zilizopo kwenye biblia.
2. nitajie errors 5 za kihistoria zilizopo kwenye biblia.
nataka nijue uelewa wako kwanza kabla sijafika mbali.