Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
- Thread starter
- #141
Mashaxizo ukumbuke kwamba uwepo wa dini au imani nyingi ndicho kitu pekee kinachoweza kusaidia kujua imani ya kweli ni IPI na kwa vigezo vipi ? Hii inawezekana baada ya kuchuja kwa vigezo na matendo yanayofit squarely na zile ziitwazo ndizo Sifa za Mungu wanayemtumainia.
Uwepo wa dini nyingi unaweza kuwa kigezo cha dini sahihi but udhaifu wa dini hizo unauongeleaje? (coz zote zinaudhaifu)
Last edited by a moderator: