A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Mashehe waliokupa siasa hakujua ama labda hawakuwa na elimu juu ya hilo swala, lakini kwa taarifa moses waislam tunaita musa alikuwa mweusi, ingawa wengi hawajui hili. Na ndo maana Mungu alimpa miracle ya mkono wake akiweka kwenye kwapa akiachia unakuwa mweupe, kuna mtu anaitwa luqman kwenye Quran Mungu amemuelezea ukarasa mzima kwa wema wake aliofanya nae pia alikuwa mweusi ingawa hakuawa Mtume
 
Nkwesa Makambo naona ujibia imani rather than fact, nnaposema hivo vitabu vinasema uongo hata siongelei huku wameeleza kitu fulani hivi wakati kule kimeelezewa vile. hivyo mtabishana wenyewe. nimegundua waislamu hupewa sumu nyingi dhidi ya ukiristo na biblia pia wakiristo hupewa sumu dhidi ya uislamu na quran. nakushauri pitia vizuri hayo matabu. Mimi sitetei kitabu chochote hapo, na hata sipendi nitetee uislamu hapa.

Najua unaamini ukirosto ni dini sahihi. let us stick on that.

Kwani biblia inamaagano mawili?

Where are the fact Mashaxizo,Mimi sijawahi kufundishwa chochote kuhusu Quran na mafinyufinyu yao tangu nikiwa mdogo na kwa kiasi kikubwa nimelelewa na baba yangu mkubwa aliyekuwa Muislam.
Kiu yangu ya kujua yaliyomo na maana zake ndiyo imeniwezrsha kukwambia nilichokwambia na nawajibika kwacho 100%

Mimi siamini kwamba Ukristo ni Dini. Take it from me do not make assumption...

Kwa sababu nyakati na wahusika na mipango ni tofauti Kati ya Agano la zamani na Agano jipya.
Kuna vitabu vilivyopo kwenye agano la zamani na kitabu cha mwisho agano la kale na kitabu cha kwanza agano jipya kulikuwepo na tofauti ya miaka 400 hivyo huo muda pia umesaidia kutambua uwepo wa maagano mawili.
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini tanzania haijawahi kutawaliwa na mnyakusa ni kwamba hakuna wasomi, kwa nini kwa nini ujerumani haijawahi kutawaliwa na mweusi hakuna weusi waliosoma kule...

Swali lako unauliza bila kujua Kama kweli linasifa ya kuwa swali la kujibiwa !
Mimi nimejaribu kukukumbusha kwamba huko kulikotoka hayo.maandiko kuhusu Mungu ndiko kulikotoka maandiko kuhusu sayansi na maendeleo ya teknolojia. Wewe ukaxima kitengo cha kutafakari ikaona ni hoja ndogo..
Kwa nini uhoji kuhusu imani ya Mungu pekee wakati hata noble prizes za kisayansi wametwaa nyingi kushinda waafrika.
Hapa unaogopa nini kuweka japo sababu hata Kama utapinga lakink tuelewe namna Waafrika ealivyopeleka ujuzi wowote huko kulikotoka vitabu vya dini ?
 
Unaposema kitu fulani ni uongo basi jaribu kutupa ukweli ni upi au kutueleza ni sababu zipi za msingi zilizofanya ni uongo? Lakini kuishia kusema tu ni uongo na kuwaona watu ni wajinga haisaidi kitu.
 
Ikiwa umeziweka akili zako kukataa uwepo wa Mungu hata uambiwe nini hautoelewa/utajifanya kutoelewa....

ikiwa mganga anaweza kukufanyia mazingaombwe/Viini macho Basi vise versa is true vilevile kwamba kuna alie zaidi ya vyote Katika Dunia hii..Nae Ni MUNGU.

Usidanganywe na akili zako zilizokuzwa na kupaliliwa na Theories, Principles na Ujuvi mdogo sana wa watu wa Dunia hii ambao nao wana uelewa finyu kuhusu Mwenyezi MUNGU.

Kumbbuka kama unataka kukubaliana na Mimi Kuhusu uwepo wa Mungu Kubali kwanza kwamba Ujuzi, Akili, Maarifa na vyote unavyojivunia ni Finyu, na hafifu.

Human Knowledge has Big Limitations to revel presence of God Only Faith can work through it.

Mkuu hukujibu maswali niliyokuuliza.
 
Sasa hizo ni sifa za kutambua dini sahihi au hizo ni za Mungu?

Mkuu unacomplicate sana, huyo Mungu ndie kaleta dini na vitabu vitakatifu? Nikisema hawezi kusema uongo au anasema kweli simanishi alifunga mike akaongea. bali maelezo hayo ameyaeleza kupitia kitabu cha dini husika.
 
Hapa mimi ndo nlikua napataka hii inaonesha dhahiri watu walivo na uelewa mdogo wa Mungu basi kama hamtujui Mungu kwakua sisi ni wadhaifu sana na yeye alie Mkuu sana its safe to say kuna mambo ya uongo tunayompakazia Mungu wetu na huenda yanayotokana na huo udhaifu wetu na ukuu wake tuendeleeni kujitahidi kumtafuta Mungu tusichoke tena bila woga tukazane

Go ahead Mkuu. ukimuona/ukimpata nistue.
 
Kumbuka kwa sisi wakristu tunashauriwa kumwomba roho mtakatifu atusaidie kuweza kumjua vyema huu Mungu, Bila yeye ni Ngumu kumfahamu Yehova Muweza wa yote.

usitegemee akili zako mweyewe, tumwombe yeye atuwezeshe kuweza kumjua zaidi.

Mkuu ukimjua njoo utueleweshe.
 
So basically we are supposed to believe this pineal gland thing as the absolute and final truth? That you are going to explain everything using a pineal gland??!! That these prophets magically appeared to know how to activate the pineal gland but no one else? That those places where you claim have no prophets either people don't have a pineal gland or no one whatsoever has ever been able to activate theirs.

Now that you know how to activate your pineal gland, I bet you are a new prophet of pineal gland. I mean you are accusing the prophets of the same thing you end up doing and that is you KNOW the absolute TRUTH!!!
 
Mashehe waliokupa siasa hakujua ama labda hawakuwa na elimu juu ya hilo swala, lakini kwa taarifa moses waislam tunaita musa alikuwa mweusi, ingawa wengi hawajui hili. Na ndo maana Mungu alimpa miracle ya mkono wake akiweka kwenye kwapa akiachia unakuwa mweupe, kuna mtu anaitwa luqman kwenye Quran Mungu amemuelezea ukarasa mzima kwa wema wake aliofanya nae pia alikuwa mweusi ingawa hakuawa Mtume

Hapo sijui weusi sjui weupe hiyo hoja sijasema. mimi nimeuliza kwanini mitume na manabii wote watoke middle east?
 
Where are the fact Mashaxizo,Mimi sijawahi kufundishwa chochote kuhusu Quran na mafinyufinyu yao tangu nikiwa mdogo na kwa kiasi kikubwa nimelelewa na baba yangu mkubwa aliyekuwa Muislam.
Kiu yangu ya kujua yaliyomo na maana zake ndiyo imeniwezrsha kukwambia nilichokwambia na nawajibika kwacho 100%

Mimi siamini kwamba Ukristo ni Dini. Take it from me do not make assumption...
Aisee! we unaamini ukiristo ni nini?
Kwa sababu nyakati na wahusika na mipango ni tofauti Kati ya Agano la zamani na Agano jipya.
Kuna vitabu vilivyopo kwenye agano la zamani na kitabu cha mwisho agano la kale na kitabu cha kwanza agano jipya kulikuwepo na tofauti ya miaka 400 hivyo huo muda pia umesaidia kutambua uwepo wa maagano mawili.

Hapo sijaelewa. jee unamanisha hiyo ni sababu kwanini kunamaagano mawili?
 
Last edited by a moderator:
Nimeangalia namna tulivyopokea dini.
Nikajiuliza kwanini kila dini inajiona ipo sahihi kuliko nyengine.
Nikaangalia kwanini hasa mtu anakua mkiristo au muislamu.
Nikaangalia ukweli, uongo na contradictions za kwenye dini.
Nikajiuliza kwa nini manabii and/or mitume wote wametoka sehemu moja tu (far east)
Nikajiuliza kwanini udhaifu wa dini fulani uonekane na dini nyengine.

Nakushauri pitia post za mwanzo.
Hebu kuwa mkweli umeangalia kila dini au umeangalia uislamu na ukristo? Halafu manabii unaowazungumzia hawajatoka mashariki ya mbali (far east) kwa mfano, Muhammad na Yesu wametoka mashariki ya kati. Halafu mkuu wewe umefikia vipi hitimisho kuwa manabii wote wametoka mashariki ya mbali? Unajuaje hakuna manabii Afrika na Amerika?
 
Mkuu when i was Muslim niliuliza swali hilo kwa mashehe wakaanza kunipa siasa kwamba Mungu alituma mitume jamii zote! teh teh, nilipouliza ni Mtume gani alietumwa nje ya far east wakaniambia Mungu hakutaka tu kuwataja kwenye kitabu kitakatifu! But unaweza kujiuliza mbona hakuna historia yoyote au kitabu cha historia kinachoonesha nje na far east kulikua na hayo mafundisho? Hapo unaambiwa Mungu ndie ajuae!!!!

Swali hilo hilo nililileta hapa jf atleast kuskia na mawazo ya wakiristo bu ile mada ilifika page tano bila jibu.
Mashaxizo kutokuwepo kwa kitabu ndio ushahidi wako hakuwahi kuwa na mitume sehemu nyingine duniani? Labda nikuulize swali rahisi tu, Wewe unajua jina la babu yako wa kizazi cha 20 nyuma? Kama hujui au halijaandikwa mahali popote inamaanisha kuwa huyu babu yako hakuwepo?
 
Aisee! we unaamini ukiristo ni nini?

Kwa sisi wakristo kama nilivyokueleza hapo mwanzo, imani yetu imejikita kwenye kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo, dini zilikuwepo hata kabla ya ujio wake! Imani ya kumwamini Yesu Kristo kua ni mpatanishi kati ya wanadamu na Mungu ndio chimbuko la Ukristo.
 
OK. Bila shaka utafiti huo umeshafanywa.

Wapo wanahistoria ambao wamefanya utafi huo na kugundua uwepo wa Mungu eg: Thomas Aquiras na wengineo wengi. pia kunawanahistoria waliogundua dini ya kweli, hapa kila dini imawanahistoria wake wanaokubali dini fulani ni sahihi, = Ukiristo umesjibitishwa kwamba ni dini sahihi pia Uislamu umethibitishwa hivyo hovyo.

Mpaka hapo ithibati zimefanywa but inawezekana vipi uislamu iwe dini sahihi na ukiristo uwe hivyo hivyo?

Pia kunawanahiatoria wengi tu waliofanya utafiti na kugundua hakuna Mungu wala dini sahihi. eg Thomas hobbes na wengineo wengi.

Ikiwa issue ni utafiti wa wanahistoria mbona kuna majibu tofauti na yamayopingana juu ya tafiti hizo?
Ongea kwa ushahidi kaka. Huwezi tu kuandika majina ya watu bila reference inakuwa haina uzito hivi!
 
1- Mungu ni mjuzi/anajua yote. Akisema uongo huyo hajui anachokiongea so huyo si Mungu.

2- God is reasonable one. akiact or kufundisha unreasonably huyo si Mungu.

3- Mungu hana ubaguzi na anapenda watu wote. akifanya kinyume huyo si Mungu.

4- Ni hakimu wa haki. akifanya kinyume huyo si Mungu.

5- Sheria za Mungu yanakwenda na wakati na kutekelezeka, ikiwa kinyume huyo si Mungu.

Kwa mtazamo wangu ni sifa hizo kuu.
Hivi vigezo wewe umevitoa wapi? Au unataka kujiumbia Mungu wako?
 
Mkuu hukujibu maswali niliyokuuliza.

Kijana,

God is not theoretically explained..., Is something unique, special, Amazing no one can be able to lift up eyes and look at HIM, most powerful, Brave, God of gods, Creator of Universe and its contents including YOU very Little one.

Kijana zishushe akili zako, act like mtoto mdogo asiyejua chchote, kuwa na nia ya kumjua MUNGU MWENYEZI I believe that you could know him better. Once you will get to know him everything in your mind will change.

Just think about wabashiri, watafsiri ndoto, wenye maono, waganga, wachawi, wanga, wanamazingaombwe achilia mbali wachungaji...., unataka kuniambia hakuna something special, unseen, unique that some people depend to?

Ikiwa watu wanaamini kazi za shetani na kweli zipo na tunaziona basi kazi za MWENYEZI MUNGU zipo ni za kweli na tunaziona pia.

Its matter of your choice buddy to select either to believe or not, But I would like to advice you to believe on HIM.


 
Back
Top Bottom