A God can be a mere theory, nothing more

A God can be a mere theory, nothing more

Unaongea kihisia sana kwa kudhani kuwa na imani sana kwa unachokiamini ndiyo usahihi wa hiyo imani. Yani unachotaka kueleza ni kwamba huo wingi wa wakristo kuwa atheists ni kwa sababu hawakuwa na imani ya sana,kuna watu wanaabudu masanamu na wanaimani kubwa sana na hiyo misanamu yao.

Kuna watu wanaelimu kubwa ya dini yao ila wanaupungufu wa imani na kuna wenye imani kubwa ya dini ila wanaupungufu wa elimu ya dini yao.wakristo wanajulikana kwa imani kubwa walizonazo ila kibaya imani zao si za kumjua sana mungu. Ukristo umeshindwa kueleza kwa kina kusudio la kuumbwa binadamu na unamueleza Mungu ktk hali ambayo imefanya atheists waulize maswali mengi juu ya uwepo wa Mungu.
Tz mbongo ni vema tumjadili Mungu kwa hekima, uwazi na ukweli ili si Tu kwamba tujue ukweli kuwa Mungu anayeabudiwa na Wakristo na yule wa waislam ni tofauti; pia tujue imani ya Mungu wa kweli ni IPI Kati ya Allah kwa Waislam na Yhwh kwa Wayahudi na Wakristo.
Kama uko tayari Mimi nipo tayari .
Ninafahamu ukweli kwamba Waislam wanaamini Allah ya kuwa ndiye Mungu mmoja na aliyeumba vitu vyote lakini pia najua kweli kuwa kuamini Mungu mmoja na kuamini kuwa ndiye akiyeumba pasipo kuwa na maelezo ya kutosha kuhusu Mungu husika ambayo yanaweze kuelezeka kwa kuchinguza mwenendo wa kihistoria wa waumini na wafuasi wake ni sawa na kutoamini uwepo wa Mungu.
Mimi kwangu hakuna tofauti ya Muislam anayeamini mungu asiyekuwepo na Atheist anayeamini Mungu hayupo.
Wote ni sawa.
Tofauti ni kwamba Atheist ni thinker and not believers and Muslim are believers who don't think.
Wakristo tuna kaxi moja kuwasaidia Thinker kubelieve na believer Ku think ili wote wamjue Mungu wa Kweli, Mungu mmoja Mwenye nafsi Tatu.
 
Last edited by a moderator:
Nini unasema Mkuu. Sielewi Una maana gani kuweza kuandika "Wakristo wameshindwa kueleza kusudio la kuumbwa binadamu" naamini umeamua kuingiza utani kwenye hili !
Kama wakristo au ukristo umeshindwa kuhusu kuumbwa na sababu za kuumbwa nieleze world view unayoifahamu inayoweza kueleza sio hilo Tu Bali hata maisha baada ya haya .
Ni ukristo pekee na world view yake ndipo mwenye busara yoyote anaweza kuona maana ya "faith with reason " ukiacha imani zingine zote pamoja na atheism ambazo ni faith with no reason au blind faith.
Kama Uislam ndiyo usiseme kabisa maana uislam ni utii hakuna reasoning , hata hiyo maana ya neno lslam ni uti na palipo uti reasoning inauawa.

Kwenye Uislam ndiko kunatakiwa watu kuwa na Elimu kubwa ya dini ili kutii na Elimu kubwa katika Uislam ni kukubali kilichopo pasipo kuhoji. Kwenye Ukristo kinachohitajika ni kufikiri na kuamini au kuamini na kufikiri na hilo ndilo kuu katika mafundisho ya Bwana Yesu.
Narudia Atheist ni wengi nchi unaxoziona za kikristo kwa kuwa Ukristo unataka MTU awe huru kufikiri tofauti na uislam ambapo kufikiri ni dhambi ya mauti.
Freedom of thinking and expression unapatikana palipo na ukristo na sio palipo uislam.

Sasa unaanza kuongea maneno ya siku zote ya kukaririshwa juu ya uislamu,suala la dini ipi inakataza kuhoji halina ubishi kuwa ukristo ndiyo unaokataza, wengi wanaogopa kuhoji kwa kuhofia kuambiwa wanamapepo na mambo kama fumbo la imani yapo hayo huko, halafu unasema ukristo ni wa kuhoji..acha kutumia hisia.

Halafu sijui unaelewa vp maana ya kutii? maana mfano kama hao atheists wao hawamtii Mungu na ndiyo maana unaona wanayoyafanya humu,sasa sijui nawe wewe unajiweka kundi hilo.
Uislamu ni mfumo mzima wa maisha si sehemu ya maisha kama nyie na ukristo,ndiyo nimesema ukristo umeshindwa kuonesha kusudio la maisha ya binadamu hapa dunia. Hivyn Elimu kwn uislamu ni lazima kwa bila elimu utajua vp kumuabud Mungu kwa usahihi na utawezaje kujuwa aliyo halalisha na kuharamisha Mungu?

Ndiyo maana umaghalibi umeathiri ukristo,haiwezekani Mungu atulete duniani na asitupe muongozo wa maisha ya kuishi hapa duniani.
Kwa kukosa muongozo ndiyo maana ukristo umekuw ni sehemu tu ya maisha ya kiimani.

Hizo imani zenu ndiyo leo watu wanafunguwa makanisa na kufanya miujiza na kujipatia utajiri.
Babu wa loliyondo ni ushahindo tosha wa kuonesha aina ya imani zenu. Ni tofauti na uislamu na ndiyo hakuna kesi kama hizo.
 
Tz mbongo ni vema tumjadili Mungu kwa hekima, uwazi na ukweli ili si Tu kwamba tujue ukweli kuwa Mungu anayeabudiwa na Wakristo na yule wa waislam ni tofauti; pia tujue imani ya Mungu wa kweli ni IPI Kati ya Allah kwa Waislam na Yhwh kwa Wayahudi na Wakristo.
Kama uko tayari Mimi nipo tayari .
Ninafahamu ukweli kwamba Waislam wanaamini Allah ya kuwa ndiye Mungu mmoja na aliyeumba vitu vyote lakini pia najua kweli kuwa kuamini Mungu mmoja na kuamini kuwa ndiye akiyeumba pasipo kuwa na maelezo ya kutosha kuhusu Mungu husika ambayo yanaweze kuelezeka kwa kuchinguza mwenendo wa kihistoria wa waumini na wafuasi wake ni sawa na kutoamini uwepo wa Mungu.
Mimi kwangu hakuna tofauti ya Muislam anayeamini mungu asiyekuwepo na Atheist anayeamini Mungu hayupo.
Wote ni sawa.
Tofauti ni kwamba Atheist ni thinker and not believers and Muslim are believers who don't think.
Wakristo tuna kaxi moja kuwasaidia Thinker kubelieve na believer Ku think ili wote wamjue Mungu wa Kweli, Mungu mmoja Mwenye nafsi Tatu.

Ukizungumzia historia huko ndiyo utata mtupu,maana utakutana na Mungu wa kweli na Mungu wa Paulo aliyempa sifa ya kufa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa unaanza kuongea maneno ya siku zote ya kukaririshwa juu ya uislamu,suala la dini ipi inakataza kuhoji halina ubishi kuwa ukristo ndiyo unaokataza, wengi wanaogopa kuhoji kwa kuhofia kuambiwa wanamapepo na mambo kama fumbo la imani yapo hayo huko, halafu unasema ukristo ni wa kuhoji..acha kutumia hisia.

Halafu sijui unaelewa vp maana ya kutii? maana mfano kama hao atheists wao hawamtii Mungu na ndiyo maana unaona wanayoyafanya humu,sasa sijui nawe wewe unajiweka kundi hilo.
Uislamu ni mfumo mzima wa maisha si sehemu ya maisha kama nyie na ukristo,ndiyo nimesema ukristo umeshindwa kuonesha kusudio la maisha ya binadamu hapa dunia. Hivyn Elimu kwn uislamu ni lazima kwa bila elimu utajua vp kumuabud Mungu kwa usahihi na utawezaje kujuwa aliyo halalisha na kuharamisha Mungu?

Ndiyo maana umaghalibi umeathiri ukristo,haiwezekani Mungu atulete duniani na asitupe muongozo wa maisha ya kuishi hapa duniani.
Kwa kukosa muongozo ndiyo maana ukristo umekuw ni sehemu tu ya maisha ya kiimani.

Hizo imani zenu ndiyo leo watu wanafunguwa makanisa na kufanya miujiza na kujipatia utajiri.
Babu wa loliyondo ni ushahindo tosha wa kuonesha aina ya imani zenu. Ni tofauti na uislamu na ndiyo hakuna kesi kama hizo.

Una bwabwaja Tu. Mungu alituumba na kuweka moral laws mioyoni mwetu hivyo habari ya kukaririshwa masahihi sijui maquran ati ni Elimu na mwongozo kwani Mungu aliwaumba maroboti ?
Adam alikula tunda la ujuzi wa mema na mabaya hivyo binadamu mwenye akili timamu hahitaji ujuzi wa kuambiwa yampasayo...
 
Ukizungumzia historia huko ndiyo utata mtupu,maana utakutana na Mungu wa kweli na Mungu wa Paulo aliyempa sifa ya kufa.

Mbona unabwabwaja wakati nimehitaji hoja za kihistoria ili uone kwamba kaabah ilikuwa madhabahu wa washirikina wa Makkah pahala ambapo mungu wao Allah alikuwa akiishi akiwa na wasaidizi zaidi ya 360 na mabinti wa 3.
Muhammad alimkarabati kwa kuondoa wasaidizi na mabinti na kubakia na Allah mmoja asiyemwana wala mke na Hana washirika na ninyi pasipo kutafari mmemwadopt mungu fake.
 
Mbona unabwabwaja wakati nimehitaji hoja za kihistoria ili uone kwamba kaabah ilikuwa madhabahu wa washirikina wa Makkah pahala ambapo mungu wao Allah alikuwa akiishi akiwa na wasaidizi zaidi ya 360 na mabinti wa 3.
Muhammad alimkarabati kwa kuondoa wasaidizi na mabinti na kubakia na Allah mmoja asiyemwana wala mke na Hana washirika na ninyi pasipo kutafari mmemwadopt mungu fake.

Hiyo ndiyo historia yenyewe unayozungumzia? Sasa na mie nikianza kueleza hivyo ndiyo tutajifunza kitu kweli!!

Maana utasababisha nianze kumueleza Paulo na jinsi alivyoanzisha ukristo. Mi sipo hapa kufanya mzaha na kukashifu tu dini.
 
Una bwabwaja Tu. Mungu alituumba na kuweka moral laws mioyoni mwetu hivyo habari ya kukaririshwa masahihi sijui maquran ati ni Elimu na mwongozo kwani Mungu aliwaumba maroboti ?
Adam alikula tunda la ujuzi wa mema na mabaya hivyo binadamu mwenye akili timamu hahitaji ujuzi wa kuambiwa yampasayo...

Duh! Una dalili na hayo uliyoyasema au ni mtazamo wako tu?
 
Hiyo ndiyo historia yenyewe unayozungumzia? Sasa na mie nikianza kueleza hivyo ndiyo tutajifunza kitu kweli!!

Maana utasababisha nianze kumueleza Paulo na jinsi alivyoanzisha ukristo.

Nini Paulo Mimi nazungumzia Mungu wenu Allah jinsi alivyo evolve hadi kuwa huyu mnayemwabudu. Najua chuki ya Waislam kwa Mtume Paulo hakuna jipya.
Mimi nazungumzia historia yenye rejea za kweli na sio chuki ya kidini
Usiogope ukweli ni ukweli pekee utakao kuweka huru.
Hamna namna ya kujifunza isipokuwa kurejea historia na mazingira hakuna kukariri ni kuuliza na kuhoji
Lete historia ya Mtume Paulo na unaiambie rejea nami nizichunguze.
 
Nini Paulo Mimi nazungumzia Mungu wenu Allah jinsi alivyo evolve hadi kuwa huyu mnayemwabudu. Najua chuki ya Waislam kwa Mtume Paulo hakuna jipya.
Mimi nazungumzia historia yenye rejea za kweli na sio chuki ya kidini
Usiogope ukweli ni ukweli pekee utakao kuweka huru.
Hamna namna ya kujifunza isipokuwa kurejea historia na mazingira hakuna kukariri ni kuuliza na kuhoji
Lete historia ya Mtume Paulo na unaiambie rejea nami nizichunguze.

Isiwe tabu nakupa nafasi ueleze historia ya uislamu hadi leo hii kwa unavyojuwa wewe.
 
Isiwe tabu nakupa nafasi ueleze historia ya uislamu hadi leo hii kwa unavyojuwa wewe.

Hiyo ni taabu tayari, Mimi siwezi kukufundisha wewe historia ya Uislam wakati wajibu wangu ni kuhubiri habari njema za Bwana Yesu.
Vitabu vya historia na maandishi ya watafiti wa historia yako wazi na technolojia inatuwezesha kuzifikia kwa urahisi.
Unaweza kuzitafuta na kuzitumia, Mimi nimezitafuta katika kujua veracity ya Uislam Kama dini ya kumpeleka na kumfikisha MTU katika ukamilifu wa kidunia na kimungu nimegundua haina Sifa ni sawa na tamaduni nyingine za kibinadam hazina uhusiano na ibada kwa Mungu wa kweli.
Kama nimekosea kuhitumisha hivyo kwa mtazamo wangu ksma Mfuasi wa Yesu Kristo uwe huru kunifundisha.
 
Hiyo ni taabu tayari, Mimi siwezi kukufundisha wewe historia ya Uislam wakati wajibu wangu ni kuhubiri habari njema za Bwana Yesu.
Vitabu vya historia na maandishi ya watafiti wa historia yako wazi na technolojia inatuwezesha kuzifikia kwa urahisi.
Unaweza kuzitafuta na kuzitumia, Mimi nimezitafuta katika kujua veracity ya Uislam Kama dini ya kumpeleka na kumfikisha MTU katika ukamilifu wa kidunia na kimungu nimegundua haina Sifa ni sawa na tamaduni nyingine za kibinadam hazina uhusiano na ibada kwa Mungu wa kweli.
Kama nimekosea kuhitumisha hivyo kwa mtazamo wangu ksma Mfuasi wa Yesu Kristo uwe huru kunifundisha.

We ndiyo umetaka tujadili Mungu wa kweli na kuangalia historia,sasa ndiyo nimekupa nafasi ueleze ujuavyo ni vp waislamu hawamuabudu Mungu wa kweli kwa kutumia historia. Sasa unapotaka nikatafuta kwenye mitandao nakuwa nashindwa kuona sababu iliyokufanya ulete hoja kama hii hapa.

Kwenye mitandao kuna mambo mengi hata mie naweza kuleta habari za Paulo kutoka kwn mitandao.
 
We ndiyo umetaka tujadili Mungu wa kweli na kuangalia historia,sasa ndiyo nimekupa nafasi ueleze ujuavyo ni vp waislamu hawamuabudu Mungu wa kweli kwa kutumia historia. Sasa unapotaka nikatafuta kwenye mitandao nakuwa nashindwa kuona sababu iliyokufanya ulete hoja kama hii hapa.

Kwenye mitandao kuna mambo mengi hata mie naweza kuleta habari za Paulo kutoka kwn mitandao.

Kwako Allah wenu size yake ni Mtume Paulo wa wakristo ?
Ninekwambia historia ya Allah mnayemwabudu. Kama huitaki sema lete unayoitaka.
Sitaki porojo nataka upate Elimu adhimu kupitia Jf
 
Kwako Allah wenu size yake ni Mtume Paulo wa wakristo ?
Ninekwambia historia ya Allah mnayemwabudu. Kama huitaki sema lete unayoitaka.
Sitaki porojo nataka upate Elimu adhimu kupitia Jf

Sasa ni historia gani ambayo umeitowa mkuu? Hebu eleza kitu chenye kueleweka mbona unakuwa kama haujiamini.
 
Nkwesa Makambo na Tz mbongo, naona mnabishana kiimani rather than fact. kila mmoja wenu anajiona yuko sahihi kuliko mwengine na hoja hizo hizo za kiimani. Iknow kuna thinkers waukweli ktk uislamu na ukiriato pia (hapo simanishi ninyi hamuezi kufikiria sawa) ila naona naona Mkwesa akisema uislamu sio reasonable religion na hauruhusu mambo ya kufikiri. kitu ambacho sio kweli. mimi kama mimi nimepata nguvu ya kuhoji kutokana na agizo la dini kwamba "uislamu ni dini ya kweli coz kila kitu kimefunguliwa kwa sababu" sikusita kuhoji ukizingatia na mada tofauti nnazosoma ndio nimejikuta kuangukia kutoamini dini yeyote. Nkwesa huwezi kusema mimi siujui ukiristo. naweza kuujua ukiristo kuliko unavyoujua wewe, ulipoambiwa atheist wengi hutoka ukiristo hilo ni kweli na ni fact ya ukweli. na hapa nnapoongea im not Muslim, nakumbuka nilikuambia ikiwa nitarudi na kumuamini Mungu wa vitabu basi nitakua Muslim! hapo haimanishi nitafamya hivyo coz nimetokea huko. Nachopinga hapa ni wewe kusema uislamu unamfunga mtu kufikiri. but naamini huujui uislamu. umekarishwa tu udhaifu wake. islamic perspective on education inataka watu wasome, wasome sana, wasome kila sehem hata china. ktk uislamu kunaruhusa ya kusoma elimu zote, namanisha zote hata uchawi. kilichokatazwa ni kutumia vibaya elimu hiyo. but mtu akitumia elimu mbaya kuokoa maisha ya watu hata haijakatazwa. najua umeshavimba hapo nakuniona natetea uislamu na kuubeza ukiristo. hapana. hata ukiristo uko poa kwenye mambo ya elimu, especially elimu ya roho. nakumbuka hapa ulijiambia Quran imeandikwa na mtu mmoja so siwezi ifananisha na biblia iliyoandikwa na msururu wa watu. nilikuelewa vizuri sana.

Nnachokipinga kwa nyote ni kwamba mnasema hayo ni matabu ya Mungu. ni kweli kabisa humo mnamafunzo mengi ya kweli na ya kimoral, kilichonitoa huko ni mchanyiko wa unreasonable teachings, uongo na contradiction.

Hapa ningependa mjifunze juu ya allegation hizo kwa kuangalia tu wote kati yenu mtapinga hili. but nikiweka proof against islam Mkwesa utadhani proof zangu ni za kweli na zenye mashiko. but wakati huo huo nikiweka proof against christian Tz Mbongo ataniona niko sahihi.

Jee mtajiuliza ni nini kinafanya muwe hivyo? Simple ni kwamba nyote mnatumia imani rather than fact.

Na pia ningependa mjifunze na hili. hoja yoyote nitakayoweka dhidi ya uislamu, Tz mbongo atanijibu na Muslim yeyote atakubaliana naye. also nikiweka hoja dhidi ya ukiristo, Mkwesa utajibu na mkiristo yeyote akisoma atakuona uko sahihi? Je mnajua ningependa mjifunze nini hapo? Simple. hizi dini zinatumia siasa kuficha udhaifu wake ili ikubalike.

Nadhani tunaelewana hapo.
Nb: Sitojibu hoja yoyote ya kutetea imani yeyote kati ya hizo mbili. i know Mkwesa unapenda ubishi but naomba uzingatia hiyo NB.
 
Last edited by a moderator:
Nkwesa Makambo na Tz mbongo, naona mnabishana kiimani rather than fact. kila mmoja wenu anajiona yuko sahihi kuliko mwengine na hoja hizo hizo za kiimani. Iknow kuna thinkers waukweli ktk uislamu na ukiriato pia (hapo simanishi ninyi hamuezi kufikiria sawa) ila naona naona Mkwesa akisema uislamu sio reasonable religion na hauruhusu mambo ya kufikiri. kitu ambacho sio kweli. mimi kama mimi nimepata nguvu ya kuhoji kutokana na agizo la dini kwamba "uislamu ni dini ya kweli coz kila kitu kimefunguliwa kwa sababu" sikusita kuhoji ukizingatia na mada tofauti nnazosoma ndio nimejikuta kuangukia kutoamini dini yeyote. Nkwesa huwezi kusema mimi siujui ukiristo. naweza kuujua ukiristo kuliko unavyoujua wewe, ulipoambiwa atheist wengi hutoka ukiristo hilo ni kweli na ni fact ya ukweli. na hapa nnapoongea im not Muslim, nakumbuka nilikuambia ikiwa nitarudi na kumuamini Mungu wa vitabu basi nitakua Muslim! hapo haimanishi nitafamya hivyo coz nimetokea huko. Nachopinga hapa ni wewe kusema uislamu unamfunga mtu kufikiri. but naamini huujui uislamu. umekarishwa tu udhaifu wake. islamic perspective on education inataka watu wasome, wasome sana, wasome kila sehem hata china. ktk uislamu kunaruhusa ya kusoma elimu zote, namanisha zote hata uchawi. kilichokatazwa ni kutumia vibaya elimu hiyo. but mtu akitumia elimu mbaya kuokoa maisha ya watu hata haijakatazwa. najua umeshavimba hapo nakuniona natetea uislamu na kuubeza ukiristo. hapana. hata ukiristo uko poa kwenye mambo ya elimu, especially elimu ya roho. nakumbuka hapa ulijiambia Quran imeandikwa na mtu mmoja so siwezi ifananisha na biblia iliyoandikwa na msururu wa watu. nilikuelewa vizuri sana.

Nnachokipinga kwa nyote ni kwamba mnasema hayo ni matabu ya Mungu. ni kweli kabisa humo mnamafunzo mengi ya kweli na ya kimoral, kilichonitoa huko ni mchanyiko wa unreasonable teachings, uongo na contradiction.

Hapa ningependa mjifunze juu ya allegation hizo kwa kuangalia tu wote kati yenu mtapinga hili. but nikiweka proof against islam Mkwesa utadhani proof zangu ni za kweli na zenye mashiko. but wakati huo huo nikiweka proof against christian Tz Mbongo ataniona niko sahihi.

Jee mtajiuliza ni nini kinafanya muwe hivyo? Simple ni kwamba nyote mnatumia imani rather than fact.

Na pia ningependa mjifunze na hili. hoja yoyote nitakayoweka dhidi ya uislamu, Tz mbongo atanijibu na Muslim yeyote atakubaliana naye. also nikiweka hoja dhidi ya ukiristo, Mkwesa utajibu na mkiristo yeyote akisoma atakuona uko sahihi? Je mnajua ningependa mjifunze nini hapo? Simple. hizi dini zinatumia siasa kuficha udhaifu wake ili ikubalike.

Nadhani tunaelewana hapo.
Nb: Sitojibu hoja yoyote ya kutetea imani yeyote kati ya hizo mbili. i know Mkwesa unapenda ubishi but naomba uzingatia hiyo NB.

Huyo Nkwesa Makambo linajifanya linajiua na hizo lugha zake mbovu mbovu. Hakuna point yoyote ile Zaidi ya kutoa lugha chafu kiburi
 
Last edited by a moderator:
Huyo Nkwesa Makambo linajifanya linajiua na hizo lugha zake mbovu mbovu. Hakuna point yoyote ile Zaidi ya kutoa lugha chafu kiburi

Dah! Afadhali nawe umeliona hilo. Huyu Mkwesa mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na yeye, kwake ni mpuu.zi tu.
 
Last edited by a moderator:
Nkwesa Makambo na Tz mbongo, naona mnabishana kiimani rather than fact. kila mmoja wenu anajiona yuko sahihi kuliko mwengine na hoja hizo hizo za kiimani. Iknow kuna thinkers waukweli ktk uislamu na ukiriato pia (hapo simanishi ninyi hamuezi kufikiria sawa) ila naona naona Mkwesa akisema uislamu sio reasonable religion na hauruhusu mambo ya kufikiri. kitu ambacho sio kweli. mimi kama mimi nimepata nguvu ya kuhoji kutokana na agizo la dini kwamba "uislamu ni dini ya kweli coz kila kitu kimefunguliwa kwa sababu" sikusita kuhoji ukizingatia na mada tofauti nnazosoma ndio nimejikuta kuangukia kutoamini dini yeyote. Nkwesa huwezi kusema mimi siujui ukiristo. naweza kuujua ukiristo kuliko unavyoujua wewe, ulipoambiwa atheist wengi hutoka ukiristo hilo ni kweli na ni fact ya ukweli. na hapa nnapoongea im not Muslim, nakumbuka nilikuambia ikiwa nitarudi na kumuamini Mungu wa vitabu basi nitakua Muslim! hapo haimanishi nitafamya hivyo coz nimetokea huko. Nachopinga hapa ni wewe kusema uislamu unamfunga mtu kufikiri. but naamini huujui uislamu. umekarishwa tu udhaifu wake. islamic perspective on education inataka watu wasome, wasome sana, wasome kila sehem hata china. ktk uislamu kunaruhusa ya kusoma elimu zote, namanisha zote hata uchawi. kilichokatazwa ni kutumia vibaya elimu hiyo. but mtu akitumia elimu mbaya kuokoa maisha ya watu hata haijakatazwa. najua umeshavimba hapo nakuniona natetea uislamu na kuubeza ukiristo. hapana. hata ukiristo uko poa kwenye mambo ya elimu, especially elimu ya roho. nakumbuka hapa ulijiambia Quran imeandikwa na mtu mmoja so siwezi ifananisha na biblia iliyoandikwa na msururu wa watu. nilikuelewa vizuri sana.

Nnachokipinga kwa nyote ni kwamba mnasema hayo ni matabu ya Mungu. ni kweli kabisa humo mnamafunzo mengi ya kweli na ya kimoral, kilichonitoa huko ni mchanyiko wa unreasonable teachings, uongo na contradiction.

Hapa ningependa mjifunze juu ya allegation hizo kwa kuangalia tu wote kati yenu mtapinga hili. but nikiweka proof against islam Mkwesa utadhani proof zangu ni za kweli na zenye mashiko. but wakati huo huo nikiweka proof against christian Tz Mbongo ataniona niko sahihi.

Jee mtajiuliza ni nini kinafanya muwe hivyo? Simple ni kwamba nyote mnatumia imani rather than fact.

Na pia ningependa mjifunze na hili. hoja yoyote nitakayoweka dhidi ya uislamu, Tz mbongo atanijibu na Muslim yeyote atakubaliana naye. also nikiweka hoja dhidi ya ukiristo, Mkwesa utajibu na mkiristo yeyote akisoma atakuona uko sahihi? Je mnajua ningependa mjifunze nini hapo? Simple. hizi dini zinatumia siasa kuficha udhaifu wake ili ikubalike.

Nadhani tunaelewana hapo.
Nb: Sitojibu hoja yoyote ya kutetea imani yeyote kati ya hizo mbili. i know Mkwesa unapenda ubishi but naomba uzingatia hiyo NB.
Mashaxizo sijui Kama uislam wako ni UPI ambao unaruhusu kufikiri, uislam ninaousema kwamba unakataza kufukiri ni ule ambao unatoa hukumu ya kifo kwa anayeacha dini... Japo nasikia kuna uislam ambao hakuna kulazimishana kwenye dini.
Wewe na Mimi Tu mashahidi wa BINTI aliyenusurika kifo hivi karibuni kwa kuukana Uislam.
Sasa Mimi siwakatazi ninyi na uislam wenu ambao unaruhusu kuhoji.
Kwangu dini au imani yoyote inayokataza Uhuru wa kufikiri na kutoa maoni kwa mafundisho ambayo mnasema ni divine kwangu ni unreasonable na Uislam kwa kiasi kikubwa unaangukia humo.
Mimi naamini mzinifu anamkosea Mungu hanikosei Mimi ninachoweza kumfundisha Kama Mkristo ni mwenendo mwema, siwezi nyenyua jiwe kumuua. Hilo sio fundisho katika Uislam ambapo mzinifu mwanamke anauawa kwa kupigwa mawe. Sasa wewe usawa wa imani uno wapi kwenye jambo kubwa Kama hilo ?
Unapolinganisha linganisha mambo yanayohusu 3rd party na namna anavyohukumiwa kisheria za dini ndipo utajua ninaposema sio reasonable namaanisha nini

Wewe sio mjuzi hata wa Imani ya Kikristo nakumbuka uliandika similarities na differences za mafundisho kuhusu Yesu Kristo. Kwa akili na ujuzi wako ukaona mambo mengi ni sawa tofauti ukasema ni ndogo.
Nikakukmbusha ni MTU wa ajabu nayeamini tofauti kwenye msingi wa imani kuwa ni ndogo.
Yesu Kufa na kufufuka ndio msingi wa Imani ya Kikristo.
Waislam wanasema hakufa wala hakufufuka; tofauti hiyo kwako unaiona ndogo sasa ujuzi wako uko wapi ?

Kwa hilo nililokuonyesha ni uthibitisho tosha kwamba huujui Ukristo na Kama huamini huwezi kujifunza kamwe.
Mimi niliye Mkristo kwa imani kwamba Yesu Kristo alikufa na kufufuka. Kama hakufufuka Mimi siwezi kuwa Mkristo, muulize Mkristo yoyote kama kufa na kufufuka kwa Yesu kristo ni jambo Dogo.
Yesu Kristo kuwa Mungu au si Mungu Kama mnavyodai hakuathiri Ukristo wangu lakini kufa na kufufuka ndimo mwake.

Christian inaitwa faith with reason kwa sababu ya Historical Jesus wewe mbwembwe zako sio mpaya no mambo am bayo contemporary atheist hawahangaiki nayo kwa kuwa yanawashushia hadhi katika thinking arena.

Kwa taarifa yako nitakujibu chochote ulichonashaka nacho katika imani yangu ya Kikristo nawajibika kwa hilo. Natakiwa kujibu lolote kuhusu tumaini langu nami Niko tayari.
 
Last edited by a moderator:
Huyo Nkwesa Makambo linajifanya linajiua na hizo lugha zake mbovu mbovu. Hakuna point yoyote ile Zaidi ya kutoa lugha chafu kiburi
Vradimil nakuhakikishia sina Shaka na ninachokiamini. Ukijitia ujuzi wakati ukweli umekaririshwa yasiyo kweli lazima utaona nina lugha chafu...
Ukicheka na ngendere utavuna mabua... Huo msemo Una maana Sana. Mimi sitaki kuvuna mabua na mabua yenyewe ni mafundisho potofu na hoja mfu mnazoziweka dhidi ya Ukristo.
Mimi sina shida na Uislam isipokuwa Muislam akijipa ujuxi wa Ukristo ambao hamuujui anyway.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom