Sasa hapo kuna kosa gani kisheria? Tuanzie hapo maana kwa nchi zetu hizi masikini polisi huwa wanajipa kazi hata sio zao kisheriaMkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Hahahaa, watakwambia amezua taharuki.Sasa hapo kuna kosa gani kisheria? Tuanzie hapo maana kwa nchi zetu hizi masikini polisi huwa wanajipa kazi hata sio zao kisheria
Hilo liko wazi mkuu.Halafu usikute aliyefanya huo utoto ni mtu mzima mwenye familia yake kabisa ๐ค ๐ ๐ฎ
Kuna mahali nimesoma eti Ni rombo Hilo tukio kimetokea na sii huko bukobaMkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
The opposite, huyu jamaa smart sana unaahirisha zoezi ili ujipange upyaInchi ina watu wajinga wajinga sana hii ๐ค ๐
Ni BukobaKuna mahali nimesoma eti Ni rombo Hilo tukio kimetokea na sii huko bukoba
Huu ni uongo bwasheeMkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Of course wabongo wakikosa kitu cha kupost wanabuni tu upuuziUongo huu. Hii picha mwaka wa nane naiona mtandaoni, west Africa walianza ku post
waende kujiandikisha huko tupate viongozi wazuri wasikae kuwaza utoto wa kutumia data vibayaOf course wabongo wakikosa kitu cha kupost wanabuni tu upuuzi
Na China pia wamefanya sana kwenye zooHii imenikumbusha yule Mmisri mmiliki wa Zoo aliyempaka rangi Punda ili afanane na pundamilia๐
Kwa uchoraji huo sidhani kama anahitaji mkopo huyo ๐
Kakamatwa kwa kuvunja sheria gani vile? Kamchora chui?๐๐๐Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Nielezee utoto wake plsHalafu usikute aliyefanya huo utoto ni mtu mzima mwenye familia yake kabisa ๐ค ๐ ๐ฎ