Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza, sidhani kama hii ni story ya kweli maana haileti maana, na kama ni story ya kweli basi Tz tutakuwa na jeshi la polisi la kipumbavu zaidi kuwahi kutokea. Na sababu ziko hapa:Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Nimecheka kifala🤣Ruge alisema muogope Mungu na technolojia "Ila mimi nasema Muogope mwanamke na black colour"Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Jamaa baada ya kushtukiwa akajitetea kuwa watalii wengi waliokuwa wanakuja kwenye Zoo yake walikuwa wanamsumbua sana wanataka kuona pundamiliaNa China pia wamefanya sana kwenye zoo
Na kuna mmoja huko japan aliwauza kondoo kama mbwa na walinunua sana
Mama mmoja akalalamika na kusema mbona hali nyama? 😆 😂 😆
Ni kweli ila mpaka u google ndio mtu ataamini
Rudi kwenye kichwa cha uzi mkuu.Huu ni uongo bwashee
Mkuu umeenda mbali sana.Yaani unataka angemfanyia na plastic surgery ya kichwa afanane na chui?😂😂😂Huyo hata rangi haijakaa kama chui. Anaonekana tu kuwa ni mbwa kutokana na kichwa chake kilivyo.
"Enterejensia" ya polisi itakufuatilia ulipo.Huyu jamaa..kanipa mbinu ngoja na mm nikapake mbwa wangu niwatishe majirani
Rudi kwenye kichwa cha uzi mkuu.
Mimi tena?Huwa nina kiherehere kwenye vitu vya maana tu:Kula,kupiga kura,kuvaa vema,kuhudhuria shughuli za kijamii bila kuwa kero.Sawa mkuu, hakikisha umejiandikisha kupiga kura.
Majirani zetu wa Kenya nao walishawahi mpaka rangi nyeusi chui ili tuu afanane na black pantherMkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Misri nao walimpaka rangi punda wa kawaida akafanana na pundamilia.Walivyoshtukiwa wakajitetea hiyo ni new breed inaitwa "pundamliaji"!🤔Majirani zetu wa Kenya nao walishawahi mpaka rangi nyeusi chui ili tuu afanane na Jaguar
Wakati Jaguar hawapatikani huku East Africa 😁
😄 🤣 ndio kama hawa wa zoo ya china walikuwa hawana Panda wakaamua kuwachora mbwaJamaa baada ya kushtukiwa akajitetea kuwa watalii wengi waliokuwa wanakuja kwenye Zoo yake walikuwa wanamsumbua sana wanataka kuona pundamilia
Ikabidi ajiongeze🤣🤣
Misri nao walimpaka rangi punda wa kawaida akafanana na pundamilia.Walivyoshtukiwa wakajitetea hiyo ni new breed inaitwa "pundamliaji"!🤔
Akili na kujiongeza tu.🤣🤣🙏Noma sana mkuu 🤣
Ebhana ehh mulemule hapo lazima upigwe 😁😄 🤣 ndio kama hawa wa zoo ya china walikuwa hawana Panda wakaamua kuwachora mbwa View attachment 3125693