A joke: Ampaka rangi mbwa wake afanane na Chui kuwatisha maafisa wa Benki

A joke: Ampaka rangi mbwa wake afanane na Chui kuwatisha maafisa wa Benki

Sasa kosa liko wapi hapo?

Basi na sie tunaopaka rangi ili tuwatishe wanaume mabahili tukamatwe

Coz watu wa mikopo wa siku hizi usipolipa wanakuua halafu wanaulizana
"OYA ashakufa tayari huyu"

OYA WAMETUFUNZA
Aise umeandika kwa creativity sana na details zina corellation. OYA unanidai pongezi lakini unanigopesha na rangi ulizopaka mimi bahili ngoja nitoke nduki kama nimefatwa na watu wa benki
 
hao watu wa benki nao ni wapuuzi tu!. wanashindwaje kutofautisha sura ya mbwa na ya chui?
 
Halafu usikute aliyefanya huo utoto ni mtu mzima mwenye familia yake kabisa 🤒 😎 🚮
Sasa wewe unashangaa mtu mzima kufanya hivyo tu...wakati tz kuna watu wazima wana miliki kadi za ccm na kusema mama anaupiga mwingi ...sasa huyo na hao yupi.mpumbavu
 
Back
Top Bottom