Coz watu wa mikopo wa siku hizi usipolipa wanakuua halafu wanaulizana
"OYA ashakufa tayari huyu"
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coz watu wa mikopo wa siku hizi usipolipa wanakuua halafu wanaulizana
"OYA ashakufa tayari huyu"
Akili na kujiongeza tu.🤣🤣🙏
chase fan.Hawatasahau hilo saga.Waliite "Tiger by the tail"!
HahahaaMajirani zetu wa Kenya nao walishawahi mpaka rangi nyeusi chui ili tuu afanane na Jaguar
Wakati Jaguar hawapatikani huku East Africa 😁
Wacha waje kama hawaogopi.."Enterejensia" ya polisi itakufuatilia ulipo.
Soma tena uziUsichokijua ndugu mleta uzi Tanzania hatuna Chui-Tiger.
Tuna Chui - Cheetah na Chui' Leopard.
Hawa Tiger kama mchoro unavyoonekana wanapatikana Asia
Kinachochekesha na kusikitisha zaidi ni hao polisi waliomkata jamaa, nao watakuwa na familia kabisa😄😄Halafu usikute aliyefanya huo utoto ni mtu mzima mwenye familia yake kabisa 🤒 😎 🚮
HahahaaKinachochekesha na kusikitisha zaidi ni hao polisi waliomkata jamaa, nao watakuwa na familia kabisa😄😄
nakubaliana na hiliMatatizo humfanya binadaam kutumia ubongo wake to the fullest.
Watanzania bwana, yaani mnatishiwa hata na mtu govi (Muhaya)? Sasa hapa chui yupo wapi?Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Usicheze na wanaume wa DarWatanzania bwana, yaani mnatishiwa hata na mtu govi (Muhaya)? Sasa hapa chui yupo wapi?
Labda walijua ni Chui,wakatoa taarifa na Polisi kuja wakakuta ni MbwaChui 🤣🤣🤣🤣Akili kumkichwa.....kwahio na maofisa wa benki wakamuogopa mbwa chui