A joke: Ampaka rangi mbwa wake afanane na Chui kuwatisha maafisa wa Benki

Creative, akija mikoa DSM, Moro/ Tanga/ Mtwara/ MZA/ Mbeya atapiga sana hela ... kila mumbwa na tucolor twakeee
 
Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Kwanza, sidhani kama hii ni story ya kweli maana haileti maana, na kama ni story ya kweli basi Tz tutakuwa na jeshi la polisi la kipumbavu zaidi kuwahi kutokea. Na sababu ziko hapa:
1. Maafisa wa benki huwa hawapaswi kudeal na mkopaji bali dhamana za mkopaji.

2. Ikiwa mkopaji ataonekana ni mhalifu jukumu la kumkamata linapaswa kuwa la Polisi na sio maafisa mkopo wa benki.

3. Hakuna kosa lolote alilofanya huyo mkopaji kwa kumpaka mbwa wake rangi ili aonekane ni chui. Nani anaweza kupima dhamira ya mkopaji na hapo hapo kupima utisho wa huyo mbwa kwa maafisa wa benki?
 
Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
View attachment 3125652
Nimecheka kifala🀣Ruge alisema muogope Mungu na technolojia "Ila mimi nasema Muogope mwanamke na black colour"
 
Na China pia wamefanya sana kwenye zoo
Na kuna mmoja huko japan aliwauza kondoo kama mbwa na walinunua sana
Mama mmoja akalalamika na kusema mbona hali nyama? πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜†
Ni kweli ila mpaka u google ndio mtu ataamini
Jamaa baada ya kushtukiwa akajitetea kuwa watalii wengi waliokuwa wanakuja kwenye Zoo yake walikuwa wanamsumbua sana wanataka kuona pundamilia




Ikabidi ajiongeze🀣🀣
 
Huyo hata rangi haijakaa kama chui. Anaonekana tu kuwa ni mbwa kutokana na kichwa chake kilivyo.
Mkuu umeenda mbali sana.Yaani unataka angemfanyia na plastic surgery ya kichwa afanane na chui?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.

View attachment 3125652
Majirani zetu wa Kenya nao walishawahi mpaka rangi nyeusi chui ili tuu afanane na black panther



Wakati Black panther hawapatikani huku East Africa 😁
 

Attachments

  • 5f44805291cce9615675fdcb11eea72e.png
    81.7 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…