A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi


Naomba utueleze misingi ya tafiti zao zimejengeka katika nini ? Maana ukijua msingi ndio utajua jambo hilo linawezekana au story za wana Sayansi.

Hujatuambia kwamba ni mambo yote yajayo au ya kisayansi tu ?

Je shuguli hii kwa mara ya kwanza ilianza lini,na je kuna lolote ambalo waliwahi kutabiri likatokea ? Kama lipo ni jambo gani na ilikuwaje ?
Futurist wanapredict mambo yajayo kwa kuangalia siasa za dunia,teknolojia ya mwanadamu, intelligence ya mwandamu, Ustaarabu wa mwanadamu, uchumi,nk nk na kutabiri kua miaka kadhaa ijayo kutakua na hiki au kile.
Unakubali ya kuwa utabiri nje ya ufunuo ni ubahatishaji ? Sasa kwanini wanajishughulisha na kamali/kamari/bahati nasibu?Vipi yasipotokea hayo wanayoyatabiri ? Huoni kama wanapoteza muda na nguvu zao ? Huwa wanasema nini baada ya kufanya tabiri zao ?

Ndio maana nataka kujua misingi ya jambo lao.

Huwa nasema hivi kutokujua mipaka ya akili yako,ni utumwa wa kujitakia.

Kuna mambo hayawezekani kabisa lakini wanasayansi na hao futurist wanataka kuaminisha watu ya kuwa yanawezekana mwisho wa siku wanakuja kudanganya.
Achieve maisha yasiyo na kifo kwa ghalama yoyote ile.
Haya ni matumizi mabaya ya akili.Wanao jaribu kufanya hivyo hawajui kifo ni nini. Kwa maana hiyo hao katika hili tunawaita Wajinga.

Hapa wanajisumbua,kwanza kwa uchache tu kuhusi kifo :
1. Kifo hakihusiani na ajali,kuumwa au mfano wa haya na hizo zinabaki kuwa sababu tu,unaweza usiwe mgonjwa lakini ukafa,au kinyume chake.
2. Kifo ni haki,yaani kama ilivyo haki yako a kula.
3. Kifo ni muda wako tu ukifika huongezewi hata sekunde,utakufa.
4. Hakuna binadamu anaejua ni sejemu au mahali gani atafia,vioi waje kuweza kuzuia kifo. Bila shaka hawa wanafikiri kitoto na kivivu mno.
 
Genesis
Tarehe 4 September 1927 Boston Massachusetts alizaliwa mtoto kutoka familia ya wahamiaji kutoka Ireland ya bwana John patrick na mkewe Ida McCarthy ambao walikua ni wayahudi, mtoto huyo aliitwa John McCarthy. ....

Hapa sasa ndio tatizo linapokuja,kwanza watu hawajui nini maana ya akili,halafu jambo ambalo halihusiani na akili kwa asilimia mia ndio wanalipa hukumu ya mtu mwenye akili.

Kujua hesabu au kukariri sana sio kipimo cha mtu mwenye akili,hii ni kulingana na maana na asili ya tamko AKILI. Hapa ndipo wana Sayansi walipoangukia pua,na hii inatokana na wao kuipa akili hadhi ambayo si yake.

Kwanza mtoto mdogo akili haifanyi kazi,isipokuwa kwa kile inachokidiriki na anakuwa hawezi kujua lipi baya na lipi zuri,kipimo cha akili ni mtu kujua jema na baya,baya akaliacha na zuri akaliacha.

Hicho unachokizungumzia wewe ni kipaji tu,yaani uwezo mkubwa wa kufanya jambo fulani na si kuwa mtu ana akili.

Nikija nitakueleza nini maana ya akili na kwanini imeitwa akili na vitu gani akili haiweze kuvifanya.

Kufikiri ni nini ? Na wanamaanisha nini wanaposema mashine inafikiri Ili kitu kiitwe au kisemwe kina fikiri,kinahitaji kiwe na sifa gani ?

Nakuja kuendelea hapa nilipoishia .....
 
Udadisi sio ki2 kibaya, wakiendelea kudadisi wanaweza ibua concept nyingine ambayo ni practical.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio ule wa kawaida ulioniambia? Mbona hauonekani Kama ni wa kawaida?.
Mgumu sana.
Ndio huu wa kawaida ndugu..
Mbona mengi nimeacha sijaeleza kabisa maana ungekua mgumu zaidi. Artificial Neural networks sijaeleza na Neurolink na Neurology
 
Hee we jamaa kwamba mtoto mdogo akili haifanyi kazi? Hivi umesoma saikolojia kweli mkuu?

Sikolojia ni elimu za kubahatisha si za hakika kama ilivyo Falsafa na Mantiki.

Mtoto amakaririshwa na kulirudia rudia,kipimo sahihi cha elimu nimekigusia huko juu.

Nakuuliza swali tu,ushawahi kukuta mtume au nabii mtoto ?

Akili huanza kufanya kazi baada ya baleghe,na utambuzi wa mambo unaanzia hapo.

Akili ni nini ?

Nakusaidia kwa mtindo huu,unaijuaje akili ya mtoto hali ya kuwa hana utambuzi wa mambo ?
 
AI is very interesting
Watu wa sayansi wanaisubiri kwa hamu kweli kweli kama masiha anavyosubiriwa. Lakini
Ubongo unabaki kuwa most sophisicated computer in entire universe. Ni rahisi kusema kwamba AI ipo mbioni kureplicate uwezo wa ubongo lakini Ni ngumu kwenye kutengeneza hiyo AI. Challenge zipo nyingi ila ntaongepea kuhusu structure.

Hiz chip zilizopo kwenye simu na computer zetu transistor zake zipo katika two dimension ukija kwenye ubongo brain cell zimepangwa in three dimensions na zina amount to 100 bilions wakati most advance chip in 39 bilions

Hapo juu ni challenge ya kuconstruct sasa hujaja kwenye operation systems yake

Endapo mwanadamu atafanikiwa katika hili atakua mungu na history ya mungu mtu itaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…