A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Katika siku nime kutana na mada nzuri ni leo nimekumbuka matumimizi ya 3D PRINTER ndo haya mambo sasa pamojana haya yote mataifa ya dunia ya kwanza yalisha fika huku muda sana mataifa ya dunia ya tatu bado sana fikiria PROJECT za siri zinazo fanywa na mataifa haya pia utengenezaji wa magari yasiyo na dereva,ndege zinazo jiongoza, fikiria VACCUM TAILWAY inayo tegemewa kuanza kazi mwaka huu kwakweli dunia inaenda kasi sana.
 
kama walitaka kujenga mnara wamfikie juu alizuia mambo yasiwe mengi soma waanzilishi wengi wa hizi technology wanakutwa wamekufa au mambo yanawageukia wenyewe
Mkuu una uhakika kama kweli kuna mnara ulijengwa.?
Mbona hakuna hata mabaki ya majengo yake
 
Uvumbuzi wa Computer ulitoka jeshini.

***************

Mkuu verify hiyo info nahisi kuna kitu hakiko sawa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hv kipind cha vita kuu za dunia ndio strong computers .internet.radar .large aircraft.nuclear bomb ziligundulia hii ni baada ya waingereza.wajeruman na wamarekan kuchukua wanasayansi na kuwawrka busy jeshin ili wavumbue vitu vya kuwatandika wenzao hasa marekan ndio alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kukusanya wanasayansi wakubwa kutoka pande mbali mbali za dunia ivo tunaamin kwa technology nying ziligunduliwa jeshin zaman technology zilikuwepo lkn hazikuwa strong aftet world war 2 ndio technology ilianza kuja juu hata big aircraft zilijengwa kupitia vita
 
How kiongozi
AI inapoweza kujifunza na kujirekebisha kulingana na matukio, uwezo wake au ikiungana na nyinginezo utazidi ule wa binadamu, ikifikia hapo AI itataka kutawala dunia, otea Nani atakuwa adui, bila shaka mtawala wa Kwanza wa Dunia "Binadamu".

Hii tabia inaitwa Singularity.

AI ni kitu kizuri lakini tusiache kutoka kwenye uwezo wetu wa kuidhibiti.
 
Katika siku nime kutana na mada nzuri ni leo nimekumbuka matumimizi ya 3D PRINTER ndo haya mambo sasa pamojana haya yote mataifa ya dunia ya kwanza yalisha fika huku muda sana mataifa ya dunia ya tatu bado sana fikiria PROJECT za siri zinazo fanywa na mataifa haya pia utengenezaji wa magari yasiyo na dereva,ndege zinazo jiongoza, fikiria VACCUM TAILWAY inayo tegemewa kuanza kazi mwaka huu kwakweli dunia inaenda kasi sana.
Unaongelea Hyperloop transport ndio?
Nawaambia subiri muda ufike na uhai tuenao. Utaona hizi nyuzi watazikumbuka
 
Asiliatz,
Ushaambiwa zinauwezo mpaka wakudevelop lugha zao zenyewe ambazo binadamu hata walioyatengeneza na kuinstal hizo AI hawazielewi.

Kuna silaha za AI zinazobeba makombora ya nuclear je ikatokea yakaamua kudisobey commands za binadamu inakuwaje?

Usichukulie kirahisi kuwa tutashinda Mkuu.
 
Halafu ni vihesabu vidogo vidogo ila vigumu kinoma. 1,0 binary numbers
mku kwa mara ya kwanza natoka sitimbi nikajiunga na computer science baba hako kahesabu siku za mwanzo yalinizingua kinoma sana lakini baadaye nikavimudu
 
Back
Top Bottom