mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,623
- 2,535
Kuruka hata bata anaruka!Ilikuwa possible Kuwa na Kifaa kinachoruka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuruka hata bata anaruka!Ilikuwa possible Kuwa na Kifaa kinachoruka?
JElezea.
Tafiti za kisayansi (siyo kidini kama ulivyodai mwanzo) zinaeleza binadamu wa zamani waliishi millions of years. Refer evolution study na findings za Carbon 14.
Au sayansi yako wewe ni ipi mkuu?
Mkuu kaipitie tena historia ya computer namna ilivyogunduliwa uje urekebishe maandiko yako hasa kwenye kipengele cha kuwa computers zimegundulika jeshini.Iko hv kipind cha vita kuu za dunia ndio strong computers .internet.radar .large aircraft.nuclear bomb ziligundulia hii ni baada ya waingereza.wajeruman na wamarekan kuchukua wanasayansi na kuwawrka busy jeshin ili wavumbue vitu vya kuwatandika wenzao hasa marekan ndio alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kukusanya wanasayansi wakubwa kutoka pande mbali mbali za dunia ivo tunaamin kwa technology nying ziligunduliwa jeshin zaman technology zilikuwepo lkn hazikuwa strong aftet world war 2 ndio technology ilianza kuja juu hata big aircraft zilijengwa kupitia vita
Computers hazikuanza kama zilivyo Sasa hadi miaka 70s, kabla ya hapo zilikua ni kwa ajili calculation na hii Ni toka acient time na late 1940 baada ya world war II ndipo first digital calculator ilitengenezwa na late 1950 wakagundua integrated circuit ICKwanini usinisaidie ku-Verify. Hii ni open topic kama nakosea mahali nilekerbishe
Hivi kumbe ile id hua ni yako mkuuWengine tupo humu kufurahi jamani [emoji28][emoji28]
Mmu na kadhalika masayansi tumeyaacha hukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
It depend on the scope of your meridianTime travelling itaendelea kuwa possible in theories tu na si vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Du sawa sheikhCherenganya,
Nafaham vuzuri history ya computer ila yote hayo ilikua kuimarisha medani za kijeshi mkuu.
Unaandaliwa kuyapokeaHaya mambo yanatangulizwa kwanza kwenye movie halafu ndio yanatokea eti?
Kabisa. Yale mazombie nayo sijui tunaandaliwa kuja kuishi na mashetani/mizimu katika taswira zao halisi.Unaandaliwa kuyapokea
[emoji28][emoji23]Lifecoded
Bwana bwana wee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]Yes sababu its all contradictory bullshit written by assholes and followed by desperate people who have nothing better to do with their lives, same as many other religious books.