Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe ni nini?
Umenikumbusha 🙏Mpe mlevi kileo apate kusahau shida zake. Mkumbe daudi alimnywesha uriya kilevi
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Amesema msilewe kwa mvinyo na sio msinywe mvinyo.Kunywa mvinyo unywe ila kulewa ni dhambi hivyo unywe kwa kiasiMsilewe Kwa mvinyo ambamo Kuna ufisadi, Bali mjazwe Roho (Waefeso 5:18).
Soma na uelewe, BIBLIA inasomwa Kwa ujumla kutafuta maana, Si kujikita kwenye FUNGU Moja na kuweka judgement.
Hao wanaokumbatia wake zenu na kuwatomasatomasa eti wanawahamishia nguvu za Mungu ndio manabii wa kweli !!(1 Wakorintho 6:9-11)
Bali walevi, hawataurithi ufalme wa Mungu.
Mkimbieni haraka Nabii huyu wa uongo.
Hivyo divai ni pombe....Mwanzo 9:20,21
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
Wa uongo wapo, wa KWELI pia wapo.Hao wanaokumbatia wake zenu na kuwatomasatomasa eti wanawahamishia nguvu za Mungu ndio manabii wa kweli !!
Yangu umeanza ku ywa, hujawahi kulewa?Amesema msilewe kwa mvinyo na sio msinywe mvinyo.Kunywa mvinyo unywe ila kulewa ni dhambi hivyo unywe kwa kiasi