A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.

ukinywa pombe mfano kwenye sherehe lazima ulewe, kama sio wewe basi miongoni mwenu; swali kuna sehemu waliandika kuwa waliokunywa mvinyo ule miongoni mwao, kuna waliolewa?
Hawakulewa.
 
Kwahiyo Lusekelo alipokunywa na Kutoa lugha chafu hakulewa?

(Waefeso 5:8) says,

Msilewe Kwa mvinyo, mna ufisadi, Bali mjazwe Roho.
video please akinywa pombe. Msimtupie mawe kwa kuwa slilusha dongo hewani
 
Wakorinto 5 : 12 - 17
Sijawakataza watu wangu kutumia mvinyo, tumieni kama njia mojawapo ya kuchangamsha bongo zenu ili ziweze kuishi na wake zenu kwa akili. Kwa kuwa naliwaumbiwa wanawake ambao ni pasua kichwa. Kataa ndoa, umiza mwanamke
 
Kazi kweli kweli
Njia ya Mbinguni ni nyembamba na imesonga miiba.

Ibilisi amepanda magugu ndani ya Kanisa.

KAZI IPO, ndomana tunatakiwa kusoma sana neno lijae moyoni, akileta andiko hili akimaanisha kupotosha uwe unajua kupambanua.

Jiulize Akiwa amekunywa Pombe Lusekelo, anaomba saa ngapi?

Maana imeandikwa tuitafakari SHERIA ya Mungu Mchana na siku (Yoshua 1:8) na ( Zaburi 1:2).
 
ukinywa pombe mfano kwenye sherehe lazima ulewe, kama sio wewe basi miongoni mwenu; swali kuna sehemu waliandika kuwa waliokunywa mvinyo ule miongoni mwao, kuna waliolewa?
Kama Unanijua Vizuri huwa nasimama kwnye Ukweli na Sio Conspiracy theorem..

Na kuna Vitu nisivyojua huwa Siwez kuvisema..
Hakuna mahali imeandikwa walilewa Hakuna mahali nimeelezea kuhusu Harusi ya kana zaidi ya kukupa maana tu..

Na mimi siko miongoni mwa yoyote mkuu..
Jaribu Kumuuliza Rabbon mimi Ni wa calibre gani, Huwa Sipo kusema kitu nisichokuwa na Elimu nacho
 
Wakorinto 5 : 12 - 17
Sijawakataza watu wangu kutumia mvinyo, tumieni kama njia mojawapo ya kuchangamsha bongo zenu ili ziweze kuishi na wake zenu kwa akili. Kwa kuwa naliwaumbiwa wanawake ambao ni pasua kichwa. Kataa ndoa, umiza mwanamke
Yoshua 1:8 na Zaburi 1:2 says tuitafakari neno la Mungu Mchana na usiku.

Ukilewa mvinyo, muda wa kuomba na kusoma neno utapata wapi?
 
Kama Unanijua Vizuri huwa nasimama kwnye Ukweli na Sio Conspiracy theorem..

Na kuna Vitu nisivyojua huwa Siwez kuvisema..
Hakuna mahali imeandikwa walilewa Hakuna mahali nimeelezea kuhusu Harusi ya kana zaidi ya kukupa maana tu..

Na mimi siko miongoni mwa yoyote mkuu..
Jaribu Kumuuliza Rabbon mimi Ni wa calibre gani, Huwa Sipo kusema kitu nisichokuwa na Elimu nacho
Unaweza kumweleza kwanini uliacha unywaji wa pombe.

Ukoo wetu ni Watumishi wa Mungu, wote walioamua kufuata pombe, walikufa empty handed, nusu wehu.

Ungana nasi katika Operation ya

" KATAA POMBE NA ULEVI" 🙏
 
video please akinywa pombe. Msimtupie mawe kwa kuwa slilusha dongo hewani
Waumini wanapungua anajaribu kujitafutia UPYA.

Atubu tu, kuongea zaidi kujitetea ni kuharibu zaidi.

"KATAA POMBE NA ULEVI 🙏"
 
Unaweza kumweleza kwanini uliacha unywaji wa pombe.

Ukoo wetu ni Watumishi wa Mungu, wote walioamua kufuata pombe, waliokufa empty handed, nusu wehu.

Ungana nasi katika Operation ya

" KATAA POMBE NA ULEVI" 🙏
🤣🤣
Kuacha pombe inahitaji Commitment kubwa sana..
Inahitaji Kujitoa kafara na kujikana mwenyewe kabisa
 
Kwani alichokisema yeye ni nini hadi uandike hiki?.

Au ndiyo umekariri fungu hilo tu?.
Nimesoma yote.

Yeye Kwakuwa ni mlevi, amejituma uma sana.

Amedai hata wanae hawezi wakataza Pombe sababu ajua waeza kuja kuwa walevi baadae.
 
Kwahiyo Lusekelo alipokunywa na Kutoa lugha chafu hakulewa?







(Waefeso 5:8) says,







Msilewe Kwa mvinyo, mna ufisadi, Bali mjazwe Roho.



Sijasema lusekelo hajalewa au alilewa. Hoja yake ni kwamba kunya pombe bila kulewa sio dhambi, dhambi ni kunywa mpaka kulewa.
 
Hakuna Nabii Wa Ukwel Dunia Ya Leo Hata Kama Atasema Pombe Haramu.Manabii Ni Zamani Tu Kila Nabii Alikuja Na Ufunuo Wake,Yesu Injili,Mussa Torat,daud Zabur N.k na ufunuo nyingine ambazo hazijawekwa wazi.Hakuna Nabii Alishea Kitabu Na Mwenzie Hata Paulo Ni Baba Wa Manabii Feki,na Kila Nabii Ana Watu Wa Zama Zake Na Kitabu Chake Ingal Mafunzo Hayapishana Ila Yana Maboresho Kutokana Na Udhaifu Wa Watu Wa Zama Husika.
 
🤣🤣
Kuacha pombe inahitaji Commitment kubwa sana..
Inahitaji Kujitoa kafara na kujikana mwenyewe kabisa
Unaona sasa!!

BIBLIA imetupa kutumia akili tukiongozwa na Roho mtakatifu,

Kuacha pombe ni mtihani mkubwa.

Solution ni tuungane

" KATAA POMBE NA ULEVI 🙏"
 
Divai Si pombe,

Divai ni sawa na Juc, ikichachuliwa ndo inakuwa pombe.
Ndugu Rabbon, jifunze kujielimisha kwanza kabla ya kuanza kung'ang'ania jambo ambalo huna uhakika nalo kwa 100%. Haya mambo ndiyo yanafanya watu wadharau Walokole, na kuonekane watu wa hovyo.
 
Hakuna Nabii Wa Ukwel Dunia Ya Leo Hata Kama Atasema Pombe Haramu.Manabii Ni Zamani Tu Kila Nabii Alikuja Na Ufunuo Wake,Yesu Injili,Mussa Torat,daud Zabur N.k na ufunuo nyingine ambazo hazijawekwa wazi.Hakuna Nabii Alishea Kitabu Na Mwenzie Hata Paulo Ni Baba Wa Manabii Feki,na Kila Nabii Ana Watu Wa Zama Zake Na Kitabu Chake Ingal Mafunzo Hayapishana Ila Yana Maboresho Kutokana Na Udhaifu Wa Watu Wa Zama Husika.
Manabii wa UONGO wapo na walikuwepo,

Na manabii wa Kweli wapo na walikuwepo,

Mungu ni yule yule,Jana Leo na hata milele.

Haiwezekani zamani wawepo manabii wa Kweli Leo wasiwepo.

" KATAA POMBE NA ULEVI 🙏"!!!
 
Back
Top Bottom